Moo Jr. Sarya
My blogs
- PATA HABARI NJEMA HAPA NA MATUKIO MBALIMBALI
- nawapendeeni mnaosoma hap
- katika dunia hii kuna watu ni vipofu mchana, wanahitaji mwanga wa tochi
Gender | Male |
---|---|
Occupation | Posta |
Location | Ilala, Dar es Salaam, Tanzania |
Links | Audio Clip |
Introduction | Mwandishi mahiri,napenda taaluma hii karibu tukutangazie ewe mfanyabiashara ufikie maelfu ya watu |
Interests | Napenda kuskiliza miziki, pia mwenyewe ni mwanamziki wa kizazi kipya sema tu sijapata mfadhili wa kuweza kunitoa. nachukia sana majungu, kuonewa, kunyanyaswa na kutokutendewa haki, napenda mtu anayenipa stori za mapinduzi ya maisha na watu waliowahi kupinga kuonewa, napenda kuwasiliana na marafiki.napenda kufuatilia matukio yaliyoweka rekodi na ya ajabu. kama unapenda kuwa rafiki yangu tuwasiline .mobinsons@yahoo.com. |
Favorite Movies | AHH...Napenda maigizo ya kibongo na hivi vitimbi vya the commed lakini mimi mwenyewe napenda kusoma historia za watu maarufu duniani hapo hunitoi hata kama ni ndefu mnooo. |
Favorite Music | Jamani nimesema napenda miziki ya kizazi kipya pia nje nampenda yule R kelly na wimbo wake The Burning |
Favorite Books | AH kama ni vitabu napenda Vitabu vyote vya Dini zote Uislam na Ukiristo kwani ndipo napata hekima. pia kuna kitabu kinaitwa Afrika Inakwenda Kombo |