<?xml version='1.0' encoding='UTF-8'?><?xml-stylesheet href="http://www.blogger.com/styles/atom.css" type="text/css"?><feed xmlns='http://www.w3.org/2005/Atom' xmlns:openSearch='http://a9.com/-/spec/opensearchrss/1.0/' xmlns:georss='http://www.georss.org/georss'><id>tag:blogger.com,1999:blog-18993688</id><updated>2009-02-21T00:18:59.519-08:00</updated><title type='text'>FIKRATHABITI</title><subtitle type='html'></subtitle><link rel='http://schemas.google.com/g/2005#feed' type='application/atom+xml' href='http://fikrathabiti.blogspot.com/feeds/posts/default'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/18993688/posts/default'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://fikrathabiti.blogspot.com/'/><link rel='hub' href='http://pubsubhubbub.appspot.com/'/><author><name>Fikrathabiti</name><uri>http://www.blogger.com/profile/14676375858044655887</uri><email>noreply@blogger.com</email></author><generator version='7.00' uri='http://www.blogger.com'>Blogger</generator><openSearch:totalResults>13</openSearch:totalResults><openSearch:startIndex>1</openSearch:startIndex><openSearch:itemsPerPage>25</openSearch:itemsPerPage><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-18993688.post-1771283374263744326</id><published>2008-10-09T04:46:00.000-07:00</published><updated>2008-10-09T04:50:31.876-07:00</updated><title type='text'></title><content type='html'>&lt;strong&gt;Kikwete chukua tahadhari wananchi wanakuasi&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;Uasi katika kamusi ya Kiswahili umepewa tafsiri ya tendo la uvunjaji wa kanuni, sheria au amri na pia imeelezwa kuwa ni tendo lolote la uhalifu unaolenga kuvuruga amani katika nchi au jamii husika. Nimekua nikitafakari matukio ya hivi karibuni ya wananchi kukaidi amri au maagaizo ya serikali bila uoga wowote na ujasiri huo umekua ukiongezeka kwa kasi ya ajabu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mijadala mikali imekua ikiendelea kuibuka kila kukicha kupinga hoja au maelekezo yanayotolewa na watendaji wakuu wa serikali. Kauli zenye jazba, hamaki na zilizosheheni matusi ya nguoni zimekua zikielekezwa kwa watu muhimu waliopewa dhamana ya kuboresha maisha ya Watanzania maskini ambao hupigana usiku na mchana kutafuta kipato kilicho chini ya wastani wa dola moja ili kuweza kujikimu maisha yao na watoto wao.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Si lengo langu kujitumbukiza katika mijadala hiyo, bali kutaka kufikisha ujumbe kwa watawala wetu hasa Rais ambaye ndo nahodha wa meli yetu iitwayo ‘MV Tanzania’. Ujumbe wa kwanza ni kuwa watawala watambue kwamba Watanzania wa sasa si wale wa miaka ishirini iliyopita waliokuwa wanatambulika kama watu wa ndiyo mzee!&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Sio wale waliokuwa wanadhani kumpinga kiongozi wao ni utovu wa nidhamu!Bali sasa wanajua ni wajibu na haki yao ya msingi kuhoji pale ambapo wanaona mambo hayaendi sawa sawia.&lt;br /&gt;Mfululizo wa migomo unaondela katika nchi hii si jambo jema na la kutia matumaini bali ingetosha kuwakosesha usingizi watu waliopewa dhamana kusimamia utekelezaji katika idara au sekta husika ‘Respective portifolio’. Nilianza kuingiwa hofu pale wanafunzi wa shule za msingi na sekondari walipoamua kujitokeza barabarani kupinga ongezeko la nauli huku wakiwa wamebeba mabongo yenye ujumbe wa kejeli kwa viongozi waandamizi wa serikali yetu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Wafanyakazi katika kila sekta nao hawakamatiki. Inauma sana na kutia mashaka pale unapoona wafanyakazi wa sekta ya afya kila siku malalamiko na vitisho vya kugoma haviishi. Wagonjwa wanaishi kwa hofu kuu na kukata tamaa kwani hawajui ni lini hawa watu wataweka vitendea kazi vyao chini na kusababibisha madhara makubwa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Nazidi kuwaonea huruma wale ndugu zangu wanaougua shinikizo la damu kwani utulivu wa fikra ambao ni tiba muhimu ni kama haupo katika mazingira hayo ya utoaji huduma. Wakina mama wajawazito nao hofu kila siku inazidi kutanda kwani hawajui kama viumbe vyao walivyoteseka kuvibeba katika matumbo yao wataviona vikiwa hai kwani uhakika wa huduma umetowaka kwa sasa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Katika utangulizi wa makala hii niliieleza nini maana ya uasi. Neno hili kama nilivyosema limekuwa likihusishwa na uovu unaolenga kuleta machafuko au hali ya vurugu kwa jamii husika.Nikitafakari kwa undani naona kuna mantiki kubwa katika kitendo hiki cha kuasi kama kitakuwa na lengo la kuleta mabadiliko kwenye jamii yenyewe.Natamani sana wananchi waendelee kuasi kwa lengo kuu na la dhati la kubadilisha maisha yao ambayo kwa sasa wanaona na kudai yanaharibiwa au kuchafuliwa na watu waliowapa dhamana ya kuwaongoza.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kila kona ukipita utasikia usemi huu “Hivi hii nchi ina viongozi kweli” kutoka kwa raia wa kawaida ambao awali hakuna mtu angedhani watu wenye tabaka la chini na walalahoi wangeweza kupata ujasiri wa kuhoji kwa kiwango hicho cha kejeli. Hofu za watu hawa dhidi ya watawala imetoweka, imani waliyokuwa nayo awali nayo imekalia kuti kavu hakika hakuna maneno mbadala ya kusema zaidi ya “Nahodha wetu Kikwete shika usukani wako kwa makini”.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Nilishawahi kuandika makala moja yenye kichwa cha habari “Mheshiwa raisi ukiamua unaweza” na leo ningependa kukuomba urejee makala ile kama ulipata bahati ya kuisoma au hata kuhadithiwa. Nchi hii mheshimiwa rais ni changa  sana na watu wa kuitoa hapa ilipo ni Watanzania wenyewe kuchapa kazi bila kuchoka na kwa kwa moyo mkuu na sio wahisani kama ambavyo viongozi wetu wengi wamekuwa wakihubiri kila kukicha.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Serikali imeenda mpango mkubwa kukuza kilimo lakini napatwa na wasiwasi na kasi ya madai ya wadau muhimu katika sekta ya usafiri kama wa reli kutishia kugoma kila siku. Je, mazao yatakayozalishwa yatasafirishwa vipi ikiwa usafiri wa anga umekua unabaki kua historia kwa wakulima wetu wa vijijini?Je, mpango mkubwa wakukuza elimu ya msingi na serikali utafanikiwa vipi ikiwa kila siku walimu wanagoma kutishia kuingia madarasani? Elimu bora itapatikana vipi ikiwa tatizo sugu la usafiri kwa wanafunzi halitapatiwa ufumbuzi wa kudumu ili kuwaondelea adha ya hofu wakati wa asubuhi na jioni wakielekea na kutoka mashuleni?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mheshimiwa raisi kikwete wananchi hawa si wavunjaji wa makusudi wa sheria wala si wendawazimu wa kutaka kupoteza mda pasipo kuchapa kazi bali wanataka sikio litakalosikia na kuwahakikishia kuyapa madai yao uzito unaostahili ili nao wajione ni sehemu ya nchi hii kwani wamekuwa wakivuja jasho jingi ili kuwahudumia wapiga kura wako ambaomda si mrefu utawarudua tena kuwaomba ridhaa ya kuwaongoza.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Sidhani kama itakuwa ni busara pale mwaka 2010 utakaporudi na kuwauliza kwamba wanavaa viatu namba ngapi wakati vipimo ulishavichukua tangu mwaka 2005! Maandamano ya wazee wastaafu wa iliyokua Jumuiya ya Afrika       Mashariki ya kutaka kukuona wewe binafsi ni ishara tosha ya wewe kutambua wasaidizi wako wamepoteza imani kwa wananchi wanaowahudumia. Huo si uasi bali ni chachu ya mabadiliko ya kiutendaji.Naamini wewe ukiaamua unaweza liwe hata kesho na kero hiyo itoweke machoni kwetu. Si busara katika hali ya kawaida kuona wazee wakilia machozi huku wakijigalagaza chini kudai haki yao ya utumishi uliotutaka kwa nchi hii kwa kitambo chote hicho.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Nimekuwa najiuliza iweje watumishi wengine walio katika ngazi za utendajii wanapogeuka mbogo kudai  marejesho ya fedha wanazotumia wanapokwenda safari au kucheleweshwa kupewe japo posho zao! Kwa nini wafanye hivi wakati wanakwamisha malipo halali ya wastaafu niliowazungumzia hapo juu ama kutofanikisha maenedeleo ya nchi ambayo inawapa mishahara na nafasi ya kuomba posho na safari kila kukicha?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwa nini walimu, madaktari na wengineo wabaki kugoma ili kupata haki yao ya kupandishiwa mishahara huku hali ya maisha ikifahamika wazi kuwa imepanda? Je, taifa hili linatoa haki nyingi kwa kundi la akina ninyi mheshimiwa Rais na kupora haki za watu wa chini ambao wanakilishwa na walimu, madaktari na wafanyakazi wa sekta nyingine?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Wahenga walishasema kuwa, ‘mdharau mwiba mguu huota tende!’ Kwa mantiki hii hatuna budi kuchukua tahadhari kukabiliana na hili vuguvugu la migomo, manung’uniko na kila aina ya ukatishwaji tamaa visigeuke kua vyanzo vya vuruga katika taifa letu ambalo limekua likisifiwa kila mara kwa kudumisha amani tangu uhuru. Kuna usemi mmoja ambao umekuwa ukitawala sana kwa watu wanaopenda kunywa vilevi kuwa “Mpe maskini kileo asahau shida zake”. Mantiki ya usemi huu iko wazi sana na ni wajibu wa viongozi wetu kuufanyia kazi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Wananchi hawa wanaoasi kila kukicha, hawataki madaraka ya kuongoza nchi hii au nafasi za kisiasa; bali ni haki zao na madai yao ya msingi kusikilizwa na sikio lenye huruma na kuwaondoa katika adha ya maisha haya ya mateso na shida wakati wanadai haki zao. Wanafunzi, walimu, madaktari, wauguzi na wafanyakazi wengine katika sekta za usafirishaji hawana la zaidi mheshimiwa rais zaidi ya kutatuliwa kero zao za madai.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ili tuijenge nchi hii inapaswa kila mtu atimize wajibu wake katika kila eneo alipo. Hali hii itasaidia kuharakisha jitihada za kuiondoa nchi yetu katika lundo la kero zisizokwisha. Ni wazi kua haya hayatafanikiwa ikiwa kila siku watu wako barabarani wamebeba mabango ya kilio katika kila kazi wanayofanya na kuwakatisha tamaa hata wale wanaojiandaa kuingika katika utumishi wa aina hiyo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ukipita vyuo vya Ualimu na Vyuo Vikuu ambapo walimu wanaandaliwa utajua kuwa hali si nzuri na haileti matumaini yoyote na tija katika utendaji kazi. Walimu wanafunzi wamekata tamaa, madaktari wanafunzi wamekata tamaa katika kiwango cha kutisha kiasi kwamba wanajuta kwa nini wamejitumbukiza katika fani ambazo badala ya kuwalipa neema inawalipa kero kuu inayowafanya kujikondoea kama  vile wanaishi bila kula au kunywa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hii nchi ni yetu sote ila tunatofautiana katika majukumu ya kiutendaji kwa hiyo sioni sababu kwa nini wale waliopewa dhamana ya kuwatimizia mahitaji muhimu na ya msingi wale walio nje washidwe kufanya hivyo kwa hiyo zifanyike jitihada za makusudi kufanyia kazi kwa kasi hizi kero za wananchi ili kuondoa fikra zalizojengeka miongoni mwa Watanzania walio wengi kuwa “nchi hii inajengwa na wenye moyo na kuliwa na wenye meno”. Mungu ibariki Tanzania.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/18993688-1771283374263744326?l=fikrathabiti.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://fikrathabiti.blogspot.com/feeds/1771283374263744326/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='https://www.blogger.com/comment.g?blogID=18993688&amp;postID=1771283374263744326' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/18993688/posts/default/1771283374263744326'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/18993688/posts/default/1771283374263744326'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://fikrathabiti.blogspot.com/2008/10/kikwete-chukua-tahadhari-wananchi.html' title=''/><author><name>Fikrathabiti</name><uri>http://www.blogger.com/profile/14676375858044655887</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:extendedProperty xmlns:gd='http://schemas.google.com/g/2005' name='OpenSocialUserId' value='02000229094485779929'/></author><thr:total xmlns:thr='http://purl.org/syndication/thread/1.0'>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-18993688.post-649235960200681716</id><published>2008-10-09T04:39:00.000-07:00</published><updated>2008-10-09T04:46:08.967-07:00</updated><title type='text'></title><content type='html'>&lt;strong&gt;TUNAJUA UNA DHAMIRA YA DHATI MHESHIMIWA RAIS; TUNASUBIRI UWEZO WAKO UTAMALAKI&lt;br /&gt;&lt;/strong&gt;Mheshimiwa Rais,ni miaka miwili na nusu sasa imepita tangu ukamate madaraka ya juu katika nchi hii changa iliyojaliwa kila aina ya rasilimali adhimu lakini bado inasota kwenye dimbwi kuu la umaskini.Nafarijika kua yaliyojiri hivi karibuni yamekupa jawabu ambalo lilikua wazi ulipoulizwa kwanini Tanzania ni nchi maskini wakati ina kila rasilimali muhimu za kuchochea maendeleo kwa kasi na nguvu kubwa.Hilo la BOT ni moja tu mheshimiwa yanayoweza kueleza kwanini juhudi zako na zetu sote hazizai na hazionyeshi matumaini yoyote ya kuzaa matunda.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mheshimiwa Rais, ni mengi yalisemwa juu yako baada ya kupitishwa na chama chako katika mchakato uliovuta hisia za watu wengi huku tukishuhudia mijadala iliyojengwa katika misingi ya ubaguzi na kishabiki ya urangi, ukabila na uwenzetu. Kuna ambao hatukua na hofu juu ya uwezo wako,dhamira yako na utashi wako katika kutumikia umma huu wa watanzania walioanza kupoteza matumaini baada ya kipindi kirefu cha kuteseka.Hakika uteuzi wako ni kama vile ulihuisha nuru ya mafanikio kwa watanzania kwa kiwango cha juu sana.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mheshimiwa Rais, wengine walikuhukumu kwa haiba yako!!!eti sura yako nzuri haina mashiko katika siasa za mikikimiki za kibongo!!!Hakika hii ilikua pigo kubwa katika mapambano ya kifikra kwa watanzania.Nikapiga moyo konde kwa kusema mbona hata Clinton alikua na haiba ya kuvutia lakini akaacha historia ya kiutawala licha ya kuandamwa na misukosuko mingi ya vimwana katika ikulu ya marekani!!!Fikra kama hizo hakika hazikua na maana kwa watu wenye akili timamu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mheshimiwa Rais, Hotuba yako ya December 30 2005 wakati unazindua bunge ilikua ni hatua muhimu ya kubadili mitazamo hasi juu yako.Hakika matumaini yalihuishwa kwetu sote tuliokua na imani juu yako japo tukikatishwa tamaa na baadhi ya shutuma na fununu zilizoandama uteuzi wako na wasaidizi wako katika kutimiza ilani ya chama chako iliyofanikiwa kushinda kwa mithili ya kishindo cha 'tsunami' kama tulivyoshuhudia wote.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mheshimiwa Rais, naomba katika makala hii nikufananishe na mpasha mwaidha wa timu(team coach). Wewe ni mtu wa muhimu sana katika kusoma uwezo wa timu yako na kufanya mabadiliko kadha wa kadha ili kujihakikishia ushindi wa timu yako. Haiwezekani kamwe mapenzi yako juu ya wachezaji fulani kukakufanya uache kufanya mabadiliko kwa hofu ya kuharibu uhusiano wako na wachezaji wako ambayo matokeo yake ni wazi kuwa unaweza kupoteza mechi na pia kupoteza imani ya mashabiki wako ambao siku zote huwa na shauku ya kocha wa timu yao kuandaa kikosi cha ushindi ambacho daima kitawaletea furaha.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mheshimiwa Rais,kauli yako uliyoitoa Dodoma wakati wa kuhutubia bunge bado iko vichwani mwa watanzania wengi na ninadiriki kusema ilikua ni kauli ambayo ilifanya uma wa kitanzania kusema kua "Sasa kazi imeanza".Mimi binafsi nilikua nina shauku sana ya kuona mambo makubwa yakitokea siku za usoni.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mheshimiwa Rais, je unakumbuka kauli hii "URAIS WANGU SIO WA UBIA NA MTU". Hii ni kauli nzito iliyojengwa katika umakini na udhati mkuu uliyoitoa mbele ya chombo tukufu cha kutunga sheria ambacho ni cha wawakilishi wa watanzania waliokupigia kura huku jua likiwawakia utosini mwao.Ni kweli kabisa wewe ndo mwenye dhamana ya kuongoza timu yako bila kushawishiwa vinginevyo na yoyote yule ambaye ataonyesha kutimiza matakwa yake binafsi kinyume na matarajio ya wengi ambao ni watanzania wenzako.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mheshimiwa Rais, hivi umeshagundua kua ndani ya timu yako au jeshi lako kuna "Mamluki" wanaofifisha jitihada zako? Nadhani bado utakua unamkumbuka mwanafalsafa mmoja kwa jina la NICOLLO MACHIAVEL.Huyu mtu alipinga sana matumizi ya wanajeshi mamluki au wa kukodi akiamini kabisa hawana uchungu wa kupigania nchi yao kwa dhati kwani wanaongozwa na tamaa ya pesa zaidi kuliko uzalendo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mheshimiwa Rais, je umeshafanikiwa kuwatambua watu wa aina aliyoisema mwanafalsafa huyo katika timu yako au jeshi lako ambalo aliyekutangalia alilibatiza jina la askari wa miavuli? Je kama bado, ni ipi nafasi yetu kuwaanika watu hao ili hatua za dhati uzichukue???Naamini hutawabania kama ilivyo kwa orodha ya wafanyabiashara wa unga na majambazi ambao watanzania wenzako waliamua kukuletea kwa nia njema kabisa lakini hadi sasa hatujashuhudia lolote lile au ndo mambo ya subira huvuta heri!!!&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mheshimiwa Rais,hatua za haraka ulizochukua baada ya kuuawa kwa watanzania wenzetu wafanyabiashara wa mahenge kutoka mkoani Morogoro ilikua ni kama mwanzo wa mapambano ya ukweli na dhati dhidi ya ubabaishaji wa watumishi wengi wa umma.Sitaki kuamini na kusema ile ilikua ni nguvu ya soda au uamuzi ule ulifanyika kwa vile ulikua unahusisha dagaa wadogo ambao wasingeweza kutia doa serikali yako kuu iliyoingia na ahadi kibao za matumaini .Hatujakata tamaa bado tunasubiri pengine tutasawazisha kwenye dakika za majeruhi ukizingatia hapa bado tuko mapumziko(Half time).&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mheshimiwa Rais, nilishasema hapo awali na ninarudia tena "Ukiamua uwezo wako utatamalaki". Wewe umepewa mamlaka makubwa sana mheshimiwa rais ili uweze kudhibiti utovu wa nidhamu kwa wasaidizi na wachezaji wako na sioni sababu kwanini ushindwe kutimiza matumaini yetu na matarajio tuliyonayo kwako!!Hili la BALALI ni moja tu ambalo nathubutu kusema ni kama vile umepapasa tu na bado hujaamua kushika. Hakika ukiamua, Tanzania yenye neema, haki na usawa katika mgawanyo wa rasilimali za nchi yetu inawezekana.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mheshimiwa Rais, hivi unamfahamu huyu jemedari mkuu anajiita "JEETU PATEL".Kama nimekosea herufi za jina lake naomba uniwie radhi kwani huwa mara nyingi sipendi kusoma habari zake kwani zimekua zikinichafua roho na kunikatisha tamaa ya kuishi katika nchi hii hiyo tuliyozoeleshwa kuamini kua imejengwa katika misingi ya usawa na haki. Hivi yeye ni nani katika nchi hii asiyefikiwa na mikono mirefu ya dola na sheria ambayo ina uwezo wa kuwafikia wamachinga na vibaka wadogo waliotapakaa nchi nzima!!Au unataka tuamini kua huyu ni mtume wa mwenyezi mungu asiyepaswa kuhojiwa lolote na mamlaka za kidunia!! Jibu hapa nadhani ni hapana na pengine wewe kwa kimoyomoyo unasema "Dawa yake iko jikoni inachemka". Tunayo imani na wewe mkuu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mheshimiwa Rais, kauli yako uliyoitoa wakati wa hotuba yako ya kufunga mwezi wa Januari 2008 ya kutaka kutenganisha siasa na biashara ni ishara ya tumaini jipya linaloendeleza na kudhifirisha umakini wako kiutendaji .Je nia hiyo uliipata siku moja kabla ya kutoa hotuba au ilikua fikrani mwako tangu zamani??Naomba univumilie sana mheshimiwa rais kwa maswali yangu ya uchokozi.Sio utovu wa nidhamu bali ni shauku ya kutaka kujua mambo hasa yanayohusu nchi yangu na viongozi wangu waliokubali kutoa kiasi kidogo cha fedha kugharamia elimu yangu inayonipa ujasiri japo wa kuhoji haya ambayo vinginevyo nisingekua na uwezo wa kuhoji.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mheshimiwa Rais, mimi nilidhani kabisa kua kauli hii ungeanza kuitekeleza ndani ya chama chako katika uchaguzi mkuu uliopita siku si nyingi ambao kwa hakika unaandaa mazingira ya watu hao kutembea vifua mbele katila ulingo wa siasa za nchini mwetu.Hii ni vita kuu uliyoitangaza na hauna budi kuipigana hadi mwisho wake na kama utaitekeleza kwa vitendo utakua hujachelewa hata kidogo na watanzania wote bila shaka watakua nyuma yako na kukuunga mkono katika jambo hili nyeti.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mheshimiwa Rais, nafarijika sana na kauli hii ya kutenganisha biashara na siasa kwani  imekuja wakati nikiwa bado natafakari kwa kina kauli kama hiyo iliyotolewa na kijana ambaye nadiriki kusema kua alionyesha kiwango cha juu cha umakini na uadilifu katika siasa na utumishi wa uma.Hili nalo nitaliandalia muda wake maalumu ili kulizungumzia kwa kinagaubaga na nikipata nafasi siku nyingine nitakupa muhtasari wa yale tuliyojadili kwa siku ile kwani nadhani yalikua na mantiki kubwa katika mwenendo was siasa za nchi yetu.Ningetamani sana kama ungekua unatenga mda wa kubadilishana mawaidha na kijana huyo mara kwa mara kwani naamini ni hazina kubwa katika siasa za chama chako na taifa letu kwa ujumla.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mheshimiwa Rais,nimekua nikikerwa sana na kauli ya "Siasa ni mchezo mchafu" na kama hali hii itaachwa iendelee ni wazi kua hata raia wako wote wanapaswa kuamini kua hata wachezaji wenyewe wa mchezi huo pia ni wachafu!!Sasa mimi sitaki kuamini kua na wewe ni miongoni mwao na kamwe sipaswi niaminishwe hivyo kwani dhamira yako naamini ni safi.Katika hili una jukumu kubwa la kutuonyesha kua sivyo na usikubali hata siku moja watu wasio na ubia na urais wako wakuchafue,tungependa ubaki mweupe kama theluji ili Tanzania uliyotuahidi ionekane.Hakika ukiamua uwezo utatamalaki.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mheshimiwa Rais, hivi unajua 2010 haiko mbali? Unajua kua siku hiyo utasimama peke yako kuwapigia magoti watanzania wale wale wa 2005? Sasa kwanini ukubali wachezaji wako wakusababishe ushindwe kufika nusu fainali wakati uwezo wa kubadilisha timu ya ushindi unao? Usikubali wananchi wakaja na kauli ya "samaki mmoja akioza….."Hii ni hatari sana mheshimiwa rais mtanzania mwenzangu ambaye ningependa pia uingie katika awamu nyingine ya utawala wa kipindi kingine cha miaka mitano hadi 2015.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mheshimiwa Rais,Unalo jukumu la kututhibitishia kua utenguzi wa gavana Balali haukufanywa katika misingi ya KUTOLEWA KAFARA.Nakumbuka mwaka 2001 wakati naanza shahada yangu ya kwanza ya siasa na utawala katika chuo kikuu cha Dar Es Salaam,mheshimiwa rais mstaafu wa awamu ya tatu alikuja kuzindua majengo ya hostel za mabibo ambazo kwa kiasi kikubwa zilisaidia kutatua tatizo la malazi kwa wanafunzi.Sisi tulikua watu wa mwanzo kutumia hosteli zile na kila mwanafunzi alikua akisifia mradi ule kwa maneno mafupi sana na yenye kuonyesha imani na viongozi wao.Napenda kuwanukuu "HAKIKA HAYA NI MATUMIZI MAZURI YA FEDHA ZETU".&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mheshimiwa Rais, hivi unajua majengo hayo yaligharimu kiasi gani? Ni  shilingi bilioni 16 tu basi.Sasa jaribu kutumia taaluma yako ya MAGAZIJUTO uweze kujua tungekua na majengo kama hayo mangapi kwa fedha alizochota Balali na wenzake ambao bado serikali yako  haijaamua kuwaweka bayana il umma wa watanzania wajue japo ni wazi kua itazidi kuwapandisha presha na kuwapa magonjwa ya moyo na kisukari.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mheshimiwa Rais, ongezeko kubwa la idadi ya wanafunzi katika vyuo vikuu vyetu nchini limezidi kuongeza ukubwa wa tatizo la malazi na sina hakika kama wasaidizi wako katika wizara husika wanakupa uhalisia wa tatizo hili kwani naamini ungeshalitolea tamko kama ilivyo kawaida yako.Siku hizi hosteli za mabibo chumba kimoja wanakaa wanafunzi nane.Hii ni hatari sana kwa afya za vijana wako ambao tunawategemea kama viongozi wetu wa baadae!!!!Tafadhali fanya jitihada turudishiwe hata bilioni 16 katika hizo alizochota balali na wenzake ili tuweze kujenga hostel nyingine kama zile za mabibo ili tupunguze ukubwa wa tatizo hili. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mheshimiwa Rais,mgongano wa maslahi hasa kwa watumishi wa uma ni kitu hatari sana ambacho kama hakitatafutiwa dawa mapema kinaweza kuiangamiza nchi hii ambayo umedhamiria kuongoza mapambano ya kuikwamua katika umasikini unaoitafuna kwa kipindi kirefu sasa.Tanzania huru bila umaskini inawezekana,TIMIZA WAJIBU WAKO kama ulivyoainisha katika kauli mbiu ya kampeni ya kitaifa ya kupambana na ukimwi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mheshimiwa Rais, timu yako ina washambuliaji na viungo hodari sana ambao inakosa ushirikiano kutoka kwa wengine hivyo kushindwa kucheza kama timu.Kuna huyu kiungo wako anaitwa Magufuli, ni hodari kweli kweli ila sehemu ya ukabaji au udhibiti bado butu sana.Hapa nazungumzia hazina ambayo wewe binafsi ulithubutu kuiita roho ya uchumi wa nchi.Kwanini mabadiliko yasianzie hapo mheshimiwa? Au katika hili tutumie ule msemo wa mambo mazuri…na kima ndivyo mheshimiwa rais tutakua hatujachelewa kweli??.Bado tuna imani na wewe na hakika iko siku watumishi wababaishaji watajua wewe ni nani ila tafadhali sana usichelewe kulifanikisha hili mheshimiwa kwani waswahili hao hao waliotoa msemo huo wa mambo mazuri… wanatuonya pia kua ngoja ngoja huumiza matumbo. Wewe ni mtu mzima na makini mheshimiwa rais na unajua hapa namaanisha nini.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mheshimiwa Rais,kuna suala la EPA(Economic Partnership agreement) au ushirikiano wa kibiashara  kati ya nchi zetu za afrika mashariki na jumuia ya ulaya  ambalo lilipata kujadiliwa bungeni ila nasikitika kusema kua majibu yaliyotolewa na mshambuliaji wako hayakukidhi haja bali yalijengwa katika misingi ya ushabiki sana kuliko uhalisia wa jambo lenyewe.Hivi ni yapi mema tunayoweza kusema wenzetu wa nchi za Pacific na carebean wamenufaika nayo na sisi tukashawishika kujiunga katika ushirikiano huo? Nisilaumu sana kwani niligundua baadae kua ufahamu wa wabunge wengi hasa wa chama tawala katika hilo ulikua si wa kuridhisha ndo maana ukimya mwingi ulitawala wakati wa mjadala na kuachiwa viongozi wa upinzani kuteka hoja hiyo ambayo baadae ilihitimishwa bila ushawishi wa kimantiki wa nchi yetu kuingia katika huo ushirikiano.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mheshimiwa Rais, naomba hilo la EPA nilitafutie mda mwingine ili niweze kumalizia kwa kusisitiza machache.Mosi, endelea kutambua kua sisi watanzania tuna imani kubwa kwako ila tumechoshwa na utendaji wa baadhi ya wasaidizi wako.Mbili, watanzania bado wana shauku kubwa ya kupata undani wa kujua yaliyojiri katika ripoti ya Richmond na kwenye ripoti ya Ernst &amp;amp; Young ya ukaguzi wa mahesabu ya akaunti ya madeni ya nje au kwa kitaalamu External Payment Arears Account (EPA).&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mheshimiwa Rais,hivi ile tovuti ya serikali uliyoisimamia kidete iundwe si ndo ingekua mahali muafaka wa kuanika ripoti hiyo ili kuendeleza falsafa ya uwazi iliyosisitizwa na mkuu aliyekutangulia ambaye ni wazi kua hakufanikiwa kuiishi falsafa yake!Ni kweli iliyo wazi kua kama hilo lingefanyika imani kuu na ushirikiano ulio tukuka ungeupata kutoka kwa watanzania wenzako ambao wengine wamefikia hatua ya kuwaita WADANGANYIKA.Hili mimi silikubali hata kidogo mheshimiwa rais na naomba uniunge mkono katika msimamo wangu huo kutokana na ukweli kua sisi watanzania  ni watu makini na tukiamua tunaweza kufanya lolote lile.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mheshimiwa Rais, kwa leo naomba kuwasilisha hayo machache ambayo pengine kwa maoni ya wengine yanaweza kua kero ila kwa mujibu wa katiba yetu uliyoapa kuilinda na kuitetea inatoa fursa hiyo kwa mtu binafsi kama mimi nilivyofanya kuelezea dukuduku langu a mtazamo wangu juu ya nchi yangu ninayoipenda sana ambayo nina ndoto kua siku moja inaweza kua kama PARADISO.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mheshimiwa Rais, Natamani sana niendelee kuandika kuhusu bodi ya mikopo ya elimu ya juu ila mda nao unanitupa mkono lakini naahidi kutekeleza hili siku za usoni kwani hili ni eneo jingine ambalo USANII usio na mfano umetawala kwa kiwango cha juu sana.Naahidi siku hiyo nitakusimulia kisa cha kweli cha binti mmoja kutoka katika familia ya kimaskini sana ambaye alikosa haki yake ya msingi ya kuendelea na elimu ya juu kutokana na vigezo vya ajabu vilivyowekwa na bodi hiyo ambayo imekua kama wasanii wa kizazi kipya wa kuonekana wenye luninga kila mara pasipo kua na jipya lenye kutia moyo na tumaini kwa wanafunzi wanaohitaji huduma hiyo.Majibu mepesi mepesi yanayotolewa na wenye dhamana katika wizara husika ni ya kukatisha tamaa na sina maneno mbadala zaidi ya kusema ni kama MSIBA mwingine uliyoipata sekta ya elimu ya juu nchini.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Nakutakia afya njema na kazi njema mheshimiwa rais kwani bila wewe hakika chombo hiki (TANZANIA) kitapigwa na mawimbi na hatimaye kitazama bila kuokoa wahanga hata mmoja.Nia na uwezo unao mheshimiwa rais, sasa kwanini usiviruhusu vitamalaki!!! &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ni mimi raia wako mtiifu,&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/18993688-649235960200681716?l=fikrathabiti.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://fikrathabiti.blogspot.com/feeds/649235960200681716/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='https://www.blogger.com/comment.g?blogID=18993688&amp;postID=649235960200681716' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/18993688/posts/default/649235960200681716'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/18993688/posts/default/649235960200681716'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://fikrathabiti.blogspot.com/2008/10/tunajua-una-dhamira-ya-dhati-mheshimiwa.html' title=''/><author><name>Fikrathabiti</name><uri>http://www.blogger.com/profile/14676375858044655887</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:extendedProperty xmlns:gd='http://schemas.google.com/g/2005' name='OpenSocialUserId' value='02000229094485779929'/></author><thr:total xmlns:thr='http://purl.org/syndication/thread/1.0'>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-18993688.post-6884177611411069864</id><published>2007-05-18T01:08:00.000-07:00</published><updated>2007-05-18T03:44:14.590-07:00</updated><title type='text'></title><content type='html'>&lt;strong&gt;KAULI YA JAJI MKUU SAMATA IWE CHANGAMOTO KWA WADAU WA SHERIA NCHINI&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;div align="justify"&gt;Katika mamabo ambayo watanzania tumekua tukijigamba na kutembea vifua mbele ni AMANI iliyotawala nchini tangu tulipopata uhuru karibu miongo minne na nusu iliyopita..Nchi yetu imetokea kua kimbilio la wageni kutoka nchi majirani ambapo hapakaliki kutokana na kutoelewana na vita vya wenyewe kwa wenyewe na vita vya kimakundi au kimatabaka kati ya watawala na wananchi wao.&lt;/div&gt;&lt;br /&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;/div&gt;&lt;br /&gt;&lt;div align="justify"&gt;Sina haja ya kuingia kwa undani katika hali tete inayoendelea kwa majirani zetu ila kwa kuanzia mada iliyobeba kichwa cha habari hapo juu niliona ni busara kugusua kwa uchache maswahibu yanayowakumba wenzetu katika siasa zao na mifumo ya utawala na ya kutetetea haki zao.&lt;/div&gt;&lt;br /&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;/div&gt;&lt;br /&gt;&lt;div align="justify"&gt;Jana Mheshimiwa jaji mkuu Barnabas Samatta aligusia juu ya umuhimu wa vyombo vya sheria hasa mahakama katika kudumisha amani ya nchi husika kwa kuweka bayana kua...nanukuu "Iwapo jamii itapoteza imani kwa mahakama zetu ndio itakua mwanzo wa kupoteza amani nchini" Inawezekana ikaonekana ni sentensi fupi na iliyozoeleka lakini suala linabaki kua ni jitihada zipi zimefanyika katika kunusuru hali hiyo isitokee???Tunafanya nini ili kuhakikisha wananchi wetu hasa wale waliokata tamaa hawapotezi imani kwa vyombo vyetu hivi ambavyo ni mhimili muhimu katika utawala wa kidemokrasia na wenye kuheshimu haki za binadamu????&lt;/div&gt;&lt;br /&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;/div&gt;&lt;br /&gt;&lt;div align="justify"&gt;Kauli hii imekuja wakati muafaka wakati kukiwa na malalamiko mengi juu ya ubabaishaji unaofanywa na vyombo hivi katika kutetea haki za wanyonge.....Kumekua na ucheleweshaji wa kesi katika kiwango cha kukatisha tamaa na hata mara nyingine kutolewa maamuzi ambayo wakati mwingine yamekua yakizua mjadala juu ya umakini wa vyombo vyetu hivi..Sina nia ya kubeza kila jema linalofanywa na na mahakama zetu ila ni katika kuleta changamoto kwenye mchakato wa wadau kuelekea kwenye ujenzi wa jamii wenye kuheshimu haki za wananchi wenzetu..&lt;/div&gt;&lt;br /&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;/div&gt;&lt;br /&gt;&lt;div align="justify"&gt;Kumekua na migogoro mingi kati ya mtu na mtu,jamii na jamii,wananchi na serikali,wafanyakazi na waajiri wao,wanafunzi na uongozi wao lakini je "nii hatma ya kelele na tofauti zitokanazo na misuguano ya makundi hayo"?? Siku zote binadamu amekua na tabia ya kujaribu njia mbadala pale anapoona nia na mitazamo yao haiendi sawa na kama walivyotaraji....vitendo vya kuchoma vibaka moto ni kielelezo kirahisi cha kuelezea kuchoshwa na ufanisi wa baadhi ya taasisi au asasi zilizokabidhiwa majukumu ya kusimamia mambo kama hayo....Kwanini raia ambaye amechoshwa na tabia ya jambazi sugu au vibaka wazoefu asiamue kuchukua sheria mkononi wakati kila wanapopoleka malalamiko yao kwenye vyombo husika,hakuna maamuzi ambayo yataonekana kukidhi kero za walalamikaji!!!!!!&lt;/div&gt;&lt;br /&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;/div&gt;&lt;br /&gt;&lt;div align="justify"&gt;Kuna kesi nyingi katika sekta ya madini kati ya wachimbaji wadogo wadogo na wamiliki wa makampuni ya kigeni,kuna kesi nyingi kati ya wafanyakazi na waajiri wao ambazo bado mwisho wake haujulikani,wastaafu kila siku wanatanga na njia katika kufuatilia haki zao lakini bila matumaini yoyote katika yale mambo wanayodai ambayo asilimia 90% ni ya msingi!!!!!! Siku za karibuni kumekua na zoezi la bomoa bomoa katika jiji la Dar Es Salaam na asilimia kubwa ya wahanga wa tatizo hilo ni machinga.....vibanda vyao vingi vilipitiwa na sulubu hiyo...Sina nia ya kubeza zoezi hilo kwani mantiki yake iko wazi kabisa 'Kupendezesha mandhari ya jiji' hili ni jambo jema na linapaswa kupongezwa na kila mtu lakini swali la msingi ambalo linastaajabisha kila watu makini ni "Kwanini baadhi ya vibanda viachwe" Katika gazeti tando la michuzi alipiga picha ya moja ya vibanda hivyo na kuhoji uhalali wa kuwepo kwake????Watu wengi walichangia na kusema pengine ni cha mkubwa flani!!!je wakubwa hawapaswi kuguswa na sheria????je hao ndo wanapaswa kua juu ya sheria????&lt;/div&gt;&lt;br /&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;/div&gt;&lt;br /&gt;&lt;div align="justify"&gt;Iko mifano mingi ambayo inatia kichefuchefu katika utekelezaji wa mambo ambayo ni ya manufaa kwa wananchi...Nani hajui kua karibu asilimia 60 ya vituo vya mafuta vilivyopo katika jiji la Dar Es Salaam vipo kinyume na sheria???Je wasimamizi wa sheria hizo wako wapi??? au tunataka wananchi waanze kuamini kua hizo ni miradi ya watunga sera na sheria ambao pia wamepewa ruhusa ya kuzivunja???Ni kwanini majibu ya maswali haya yasipatiwe ufumbuzi wa haraka katika kurudisha imani ya wananchi kwa watawala wao?????&lt;/div&gt;&lt;br /&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;/div&gt;&lt;br /&gt;&lt;div align="justify"&gt;Kwa kumalizia napenda kutoa tu changamoto kwa serikali yetu kua makini katika kusimamia na kutatua kero za wananchi wake ili waendelee kua tayari katika kushiriki kikamilifu utekelezaji wa mipango ya maendeleo yao....Naamini kubwa na serikali ya mheshimiwa baba JK kwahiyo chondechonde watendaji msimwangushe katika nia yake njema ya kujenga nchi moja inayoheshimu haki na yenye kuweka mazingira ya kila mmoja kufaidi matunda ya uhuru...Ubabe wa baadhi ya watendaji hayana nafasi kwasasa kwani mwisho wake hautupi matumaini yoyote mazuri.....Mfano mzuri tunao kwa migomo inayoendelea kwa wanafunzi wa elimu ya juu....hii kwangu ni ishara ya kuchoshwa na ubabaishaji wa baadhi ya watendaji.....Nadhani itabidi tuanze kujadili nia ya mtu kama Proffessor msola katika kutumikia wananchi wa jamuhuri yetu hii.....Inatia hasira pale unaposikia WAZIRI flani msomi anawakatia simu wananchi wake eti kwasababu amechoshwa na kero zao!!!!!!!Hili naomba niliongelee siku nyingine...&lt;/div&gt;&lt;br /&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;/div&gt;&lt;br /&gt;&lt;div align="justify"&gt;Naomba kuwasilisha..&lt;/div&gt;&lt;br /&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;/div&gt;&lt;br /&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;/div&gt;&lt;br /&gt;&lt;div align="justify"&gt;&lt;/div&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/18993688-6884177611411069864?l=fikrathabiti.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://fikrathabiti.blogspot.com/feeds/6884177611411069864/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='https://www.blogger.com/comment.g?blogID=18993688&amp;postID=6884177611411069864' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/18993688/posts/default/6884177611411069864'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/18993688/posts/default/6884177611411069864'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://fikrathabiti.blogspot.com/2007/05/kauli-ya-jaji-mkuu-samata-iwe.html' title=''/><author><name>Fikrathabiti</name><uri>http://www.blogger.com/profile/14676375858044655887</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:extendedProperty xmlns:gd='http://schemas.google.com/g/2005' name='OpenSocialUserId' value='02000229094485779929'/></author><thr:total xmlns:thr='http://purl.org/syndication/thread/1.0'>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-18993688.post-114352661901074026</id><published>2006-03-27T22:15:00.000-08:00</published><updated>2006-03-28T05:43:17.676-08:00</updated><title type='text'></title><content type='html'>HATMA YA MAADILI YA UTUMISHI WA UMMA NA UVAAJI WA SARE ZA KISIASA SEHEMU ZA KAZI ZANZIBAR.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mojawapo ya mambo ya msingi katika utoaji wa huduma za kijamii ni kutobagua watu katika misingi ya kidini,itikadi za kisiasa na makabila.Siasa za Zanzibar kama mjuavyo ziko tofauti sana na sehemu nyingine za Tanzania kwani kila kitu kimekua kikipewa tafsiri nyeti ya kisiasa hata kama kikiwa chema kiasi gani.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Nilishawahi kuandika katika gazeti tando hili juu ya uhasama uliokuwepo kati ya watu wa pande mbili hizi za Unguja na Pemba katika masuala mbalimbali ya kijamii kama vile kuzikana na hata katika biashara.Watu walikua wakisusia kuzika wafu kwasababu tu huyo ni MUUNGUJA au MPEMBA!au kununua bidhaa sokoni kutoka kwa mtu ambaye anatoka pande nyingine ya kisiwa hiki.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwa watu ambao wako nje ya kisiwa hiki wanaweza kudhani hali sasa ni shwari tangu uchaguzi mkuu ulipomalizika mwaka jana,La hasha! kwani bado watu wako katika sherehe za ushindi na maombolezo ya kushindwa katika kinyang’anyiro kilichopita.Huku tukiwa bado tunasubiri kwa hofu nini matokeo ya kauli ya katibu mkuu wa chama kikuu cha upinzani cha CUF aliyoitoa juu ya mustakabali wa hali ya kisiasa Zanzibar ambayo alitamka wazi kua iko mikononi mwa viongozi wakuu wa tano(5) wa chama hicho nimeona ni busara kulisemea lile ambalo kwa namna moja au nyingine linaonekana kuchochea uahasama wa makundi haya mawili.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Utumishi wa umma unaongozwa na maadili katika utoaji huduma kwa wanajamii kama nilivyosema hapo awali bila ubaguzi wa aina yoyote ile iwayo.Lakini ni jambo la kushtukiza na kutia wasiwasi pale unapoona  watumishi muhimu wa umma wakiwa katika sare za vyama vyao vya kisiasa katika kazi ambazo hazihitaji ushabiki wa aina yoyote ile wa kisiasa.Hivi kama mtu alikua anaweza kukataa kumzika mwenzake eti kwasababu ya tofauti zao kisiasa,JE chuki hizo haziwezi kuendelezwa hata katika huduma za afya,elimu na nyinginezo???&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kuna umuhimu gani kwa mtu kuvaa kofia,shati,kanga na beji ya chma chake wakati akijua wazi haileti picha nzuri kwa watu wa upande mwingine.Ushabiki kama huu unaoibua na kuchochea jazba za kisiasa kwanini ziendelezwe huku tukijua wazi hazina muelekeo au mwisho mzuri????Nilishawahi kusikia naibu waziri kiongozi akikemea tabia hiyo wakati wa ziara yake aligusia jambo hilo lakini nadhani ushabiki wa kisiasa walionao viongozi unakwamisha utekelezaji wake.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Haya ni masuala ambayo yakiangaliwa kwa juu juu yanaweza yasionekana kua na madhara,lakini kwa kuzingatia historia ya uhasama wa kisiasa inayoendelea kujikita katika kisiwa hichi,basi ni wazi kua hayo si masuala ya kufumbia macho hata kidogo na ni vyema viongozi husika kuchukua hatua zinazostahili kukomesha hali hii.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/18993688-114352661901074026?l=fikrathabiti.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://fikrathabiti.blogspot.com/feeds/114352661901074026/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='https://www.blogger.com/comment.g?blogID=18993688&amp;postID=114352661901074026' title='3 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/18993688/posts/default/114352661901074026'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/18993688/posts/default/114352661901074026'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://fikrathabiti.blogspot.com/2006/03/hatma-ya-maadili-ya-utumishi-wa-umma.html' title=''/><author><name>Fikrathabiti</name><uri>http://www.blogger.com/profile/14676375858044655887</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:extendedProperty xmlns:gd='http://schemas.google.com/g/2005' name='OpenSocialUserId' value='02000229094485779929'/></author><thr:total xmlns:thr='http://purl.org/syndication/thread/1.0'>3</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-18993688.post-114284445944885617</id><published>2006-03-20T00:46:00.000-08:00</published><updated>2006-03-20T21:48:21.156-08:00</updated><title type='text'></title><content type='html'>SUALA LA AJIRA TANZANIA NA FALSAFA YA TECHNICAL KNOW WHO&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Tatizo la ajira nchini mwetu liko wazi sana kwa mtu yeyote yule.Hata wale ndugu zangu waliopo nchi za watu nao pia hili wanalitambua fika.Na kuna uwezekano mkubwa kua wote waliopo huko ughaibuni si kutokana na masomo tu,bali pia katika harakati zao za kulipatia ufumbuzi tatizo hili baada ya kukumbana na kero mbalimbali walipokua wakitafuta mahali pa kujipatia riziki baada ya kazi ngumu ya kuperuzi makaratasi shuleni hadi kufikia kilele cha awali cha safari ndefu ya elimu kama vile kutunukiwa shahada ya kwanza au stashahada.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Serikali imekua ikisisitiza kutiliwa mkazo ukuaji wa sekta binafsi kama njia mbadala ya kulitafutia ufumbuzi tatizo la ukosefu wa ajira kwa wananchi wake.Hili bila shaka ni jambo la heri kabisa.Lakini sidhani kama idara mbalimbali za ajira za serikali na sheria zilizopo zinaenda na wakati ili kuhakikisha mambo katika sekta binafsi yanaenda sawa ili kuepukana na matatizo kama vile ya kuajiri watu wasio na uwezo au bila kuzingatia taratibu zilizopo za ajira.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Naandika waraka huu baada ya kupokea malalimiko kutoka kwa rafiki wa karibu wa MAKENE (ambaye ni Binti) juu ya madhila yanayomsibu katika kampuni moja ya binafsi.Na cha kutia hudhuni zaidi ni jambo hili kutokea katika  kampuni ya habari ambayo wengi wetu tungetegemea iwe mstari wa mbele katika kulipigia kelele jambo hili.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Suala la ubinafsi,udugu na unani katika sekta ya ajira kwakweli linatia kichefuchefu na liko katika sura mbili nizionazo kwa harakaharaka.Ya kwanza ni ile inayohusu utaratibu mzima wa kumuajiri mtu katika nafasi Fulani na la pili ni lile la upendeleo ulio wazi kazini unaotokana na kujuana kikabila,kindugu au kihusiano na zaidi ni  katika masuala ya mapenzi.Nafikiri la mwisho ndilo linaloota mizizi zaidi kwani matokeo yake ni kuharibika kwa kazi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Nani atabisha kua asilimia kubwa ya wakuu wa idara mbalimbali wana uhusiano wa kimapenzi na makatibu muhtasi wao?Nani atajifanya kusema kua hajui matokeo ya uhusiano huo kua ni kuharibika kwa kazi na kukua kwa dharau kati ya makatibu hao na waajiriwa wengine?Nani ambaye hatambui kua kwasasa asilimia kubwa ya makatibu muhtasi wa wakubwa katika makampuni binafsi ni wale wasiokua na sifa na elimu stahiki kushika nafasi hizo?Nani ambaye hajui kua hawa makatibu muhtasi wamekua na sauti ndani ya mashirika au makampuni binafsi kuliko hata hao wakubwa zao?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ni majuzi tu nilivyokua Arusha nikimalizia masomo yangu nikiwa katika harakati zangu za kutafuta ajira nikapeleka maombi ya kazi katika shirika moja Mkoani Arusha nikiwa na uhakika wa kuilamba hiyo nafasi.Nikiwa natoka mlangoni mwa ofisi hiyo nikakutana na rafiki yangu tuliyekua tunasoma pamoja shule ya msingi.Katika maongezi yetu nikamueleza lengo la mimi kwenda pale ofisini lakini nilipata hofu nilipomuona ameshtuka na kutikisa kichwa kuonyesha masikitiko yake na ndipo nilipoona kuna umuhimu wa kuhoji kulikoni.Jawabu likawa “huyo Katibu mushtasi wao ana tabia ya kuzichana au kuzichoma moto barua za maombi ya kazi za watu na kutafuta vihiyo wenzake ambao ni jamaa zake kwani uhakika wa wao kupata ajira ni mkubwa kutokana na bosi wao kumuweka kiganjani”!!!!!&lt;br /&gt;Kama nilivyosema hapo juu kuhusu rafiki wa karibu wa Makene aliponipa taarifa za kunyanyaswa na kusengenywa na katibu muhtasi wao nimeona ni busara kushirikishana tena huu uozo ambao wengi wetu tumekua tukishuhudia na tuweze kuchangia juu ya nini kifanyike ili tuokee hali katika hizi idara zianazotegemewa kua kimbilio la watu kujipatia ajira.Nimeambiwa kua imekua ni desturi kwa makatibu muhtasi hao kuwasema kwa mafumbo yanayoshadahishwa na tungo za pwani(Taarabu) wale wafanyakazi wenzao ambao wana chuki binafsi ilhali wakuu wa idara na mashirika husika wanafumbia macho vitendo kama hivi vya kishenzi.Hivi kuna uhalali upi kwa mtu aliyemaliza darasa la saba na asiye na uzoefu hata wa mwaka mmoja  kulipwa mshahara maradufu zaidi ya yule mwenye shahada zaidi ya moja na anayeshika nafasi nyeti katika shirika husika????&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; Hali sasa inazidi kua mbaya kupita maelezo.Kila anayeona tangazo la kazi mahali,kitu cha kwanza anachofanya ni kutafiti na kujua kama ana ndugu,jamaa au rafiki katika sehemu husika ya ajira tarajiwa.Huu utaratibu ndo umekua unazidi kukandamiza wenzangu na mimi wanaotokea TANDAHIMBA kama akina makene kushindwa kupata ajira pindi wamalizapo masomo yao.Hivi sasa vyeti vya taaluma vinakua kigezo cha mwisho kuzingatiwa na badala yake kujuana ndo kumeshika hatamu zaidi.Vikwazo vinakua vingi haswa kwa dada zetu wanaolazimishwa kuziweka taaluma zao kapuni au kwenye pochi na badala yake kutumia miili yake ili kujihakikishia nafasi zilizotangazwa na ambazo nionazo mimi ni kama haki zao. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Nionavyo mimi,ili maisha bora yapatikane kwa kila Mtanzania nadhani utaratibu mzima wa ajira unapaswa kutazamwa upya.AU MWASEMAJE WAKEREKETWA WENZANGU WA GAZETI TANDO?????????????&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/18993688-114284445944885617?l=fikrathabiti.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://fikrathabiti.blogspot.com/feeds/114284445944885617/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='https://www.blogger.com/comment.g?blogID=18993688&amp;postID=114284445944885617' title='1 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/18993688/posts/default/114284445944885617'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/18993688/posts/default/114284445944885617'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://fikrathabiti.blogspot.com/2006/03/suala-la-ajira-tanzania-na-falsafa-ya.html' title=''/><author><name>Fikrathabiti</name><uri>http://www.blogger.com/profile/14676375858044655887</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:extendedProperty xmlns:gd='http://schemas.google.com/g/2005' name='OpenSocialUserId' value='02000229094485779929'/></author><thr:total xmlns:thr='http://purl.org/syndication/thread/1.0'>1</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-18993688.post-113603810111299720</id><published>2005-12-31T06:02:00.000-08:00</published><updated>2005-12-31T06:08:21.116-08:00</updated><title type='text'></title><content type='html'>KIKWETE ASEMA HALI YA KISIASA ZANZIBAR INAHITAJI MJADALA WA KITAIFA&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Rais mteule wa jamhuri ya muungano wa Tanzania bwana Jakaya kikwete jana kwa mara ya kwanza alilihutubia bunge,ikiwa ni siku mbili baada ya kupatikana kwa spika wa bunge hilo na siku moja baada ya uteuzi alioufanya wa ndugu Edward Ngoyai Lowassa kuthibitishwa na bunge kua waziri mkuu wa tisa wa jamuhuri hii ya Tanzania.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ikiwa kama ni hotuba ya kutoa dira ya serikali yake ya awamu ya nne,mambo mengi aliyazungumzia kwa kina kwa takribani masaa mawili lakini mpasuko wa kisiasa uliopo Zanzibar umeonekana kuchukua uzito mkubwa na kua gumzo katika mitaa mbalimbali ya visiwa hivi ambavyo mchakato wa kisiasa umekua na matatizo makubwa bila kupewa uzito unaostahili.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kumbukumbu zangu zinanisukuma kusema kua ukiacha mwalimu Nyerere,Jakaya kikwete anakua kiongozi wa kwanza wa ngazi za juu kuzungumzia suala hilo hadharani ambalo linaonyesha kumkera kama si kumkatisha tamaa kwani halitoi muelekeo mwema kwani hali ya chuki inayoendelea kujengeka katika misingi ya Upemba na Uunguja inazidi kuota mizizi kama si kushamiri.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Inawezekana Kikwete amehamasika kupasua jipu hili kufuatia muendelezo wa matokeo ya uchaguzi yanayoendelea kugawa visiwa hivi katikati.Chama tawala(CCM) hakikuambulia hata kiti kimoja katika kisiwa cha pemba ambacho kinaaminika kua ni ngome kuu ya chama cha CUF,huku CCM ikijizolea viti vyote vya Unguja isipokua katika jimbo la mji mkongwe ambalo wapinzani wanaonekan kujizatiti.Nikiwa katika mizunguko yangu ya kawaida katika mitaa ya mji huo mkongwe leo nimeshuhuda makundi mbalimbali ya watu wakijadili hotuba hiyo huku wengi wakijiuliza ikiwa mfupo uliomshinda Mwinyi na Mkapa yeye(kikwete)atauweza???&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Naamini kabisa kua haiitaji viongozi wetu kua na shahada za chuo kikuu ili kubaini uzito wa tatizo lililopo visiwani hapa isipokua ushabiki wa kisiasa ndio unawaponza kuchukua hatua za haraka kutafuta ufumbuzi wa tatizo hili ambalo ni kama bomu linalosubiri mda kulipuka.Cha ajabu ni viongozi hawa kuchukulia mpasuko huo kama silaha ya wao kujijengea umaarufu wa kisiasa na hata kuendelea kuungwa mkono na wanachama wao.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Nimekua nikijiuliza maswali mengi bila ya kupata majibu sawia,Kwanini watu wafike mahali hadi kushindwa kumpangisha mtu nyumba ya kulala kutokana na chuki zilizojengeka katika hali ya upemba na uunguja?Kwanini watu wasusiane maiti kutokana utofauti wa asili zao?Kwanini watu waendelee kupiga kura za chuki bila kuzingatia uwezo wa wagombea wanaowapigia?Kwanini watu waendelee kutofautishana kwa sura na kunyoosheana vidole vya uunguja na upemba? &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Fursa aliyoahidi kuitoa Kikwete kujadili mustakabli wa kisiasa katika visiwa hivi, naichukulia kama tunu ya wanablog kuanza kuelekeza fikra zao katika kutoa nafasi ya TAFAKURI makini zinazozingatia suluhisho zaidi ya kuendelea kuhoji matatizo yaliyopo.Nataka tuichukulie nafasi hii kulifanyia jambo taifa letu jambo la neema na matumaini kwa vizazi vijavyo.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/18993688-113603810111299720?l=fikrathabiti.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://fikrathabiti.blogspot.com/feeds/113603810111299720/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='https://www.blogger.com/comment.g?blogID=18993688&amp;postID=113603810111299720' title='21 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/18993688/posts/default/113603810111299720'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/18993688/posts/default/113603810111299720'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://fikrathabiti.blogspot.com/2005/12/kikwete-asema-hali-ya-kisiasa-zanzibar.html' title=''/><author><name>Fikrathabiti</name><uri>http://www.blogger.com/profile/14676375858044655887</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:extendedProperty xmlns:gd='http://schemas.google.com/g/2005' name='OpenSocialUserId' value='02000229094485779929'/></author><thr:total xmlns:thr='http://purl.org/syndication/thread/1.0'>21</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-18993688.post-113584197589529853</id><published>2005-12-28T23:38:00.000-08:00</published><updated>2005-12-28T23:39:35.896-08:00</updated><title type='text'></title><content type='html'>&lt;strong&gt;KWAHERI MSEKWA&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Nafuraha kwa moyoni, tena isio kifani&lt;br /&gt;Babu msekwa kuagani,bungeni tena haonekani&lt;br /&gt;Njema safari nakutakiani,maisha mapya uraiani&lt;br /&gt;Kwaheri kwaheri babu yetu,mda wako tamatini!&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ulianza miaka ya sitini,ukakomea majuzini&lt;br /&gt;Ulitumika vya kutoshani,kwa mema na mabayani&lt;br /&gt;Takrima ulihalalishani,mungu sasa akulipani&lt;br /&gt;Kwaheri kwaheri babu yetu,mda wako tamatini!&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ulidhani wahitajikani,kumbe pekee ulijidhani&lt;br /&gt;Nafasi tena haipatikani,fikra zetu kuchezeani&lt;br /&gt;Ukerewe sasa urudini,ukafuge au kulimani&lt;br /&gt;Kwaheri kwaheri babu yetu,mda wako tamatini!&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kasi mpya imekuzoani,kwa pua ukaangukiani&lt;br /&gt;Ulizani ni matani,ukajidai kung'ang'aniani&lt;br /&gt;Ona sasa yalokupatani,kamwe huwezi kusahau&lt;br /&gt;Kwaheri kwaheri babu yetu,mda wako tamatini!&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kura nyingi ulizopitwani,ni ishara muhimu fikrani&lt;br /&gt;Siku nyingi walikuchokani,walisubiri mda ufikeni&lt;br /&gt;Sasa yametimiani,kwa aibu kuu waondokani&lt;br /&gt;Kwaheri kwaheri babu yetu,mda wako tamatini!&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mongella ulimsulubuni,bila huruma kumwoneani&lt;br /&gt;Wenzake sasa wakurudini, wakukana kama pilato&lt;br /&gt;Maanani wamekutoani,wakaona hustahilini&lt;br /&gt;Kwaheri kwaheri babu yetu,mda wako tamatini!&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Nje ya dimba nawe ukaeni,uangalie ya uwanjani&lt;br /&gt;Uwanja wa siasani,ndo mimi nazungumziani&lt;br /&gt;Ukemee na ukosoeni,kama u jasiri na makini&lt;br /&gt;Kwaheri kwaheri babu yetu,mda wako tamatini!&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/18993688-113584197589529853?l=fikrathabiti.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://fikrathabiti.blogspot.com/feeds/113584197589529853/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='https://www.blogger.com/comment.g?blogID=18993688&amp;postID=113584197589529853' title='1 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/18993688/posts/default/113584197589529853'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/18993688/posts/default/113584197589529853'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://fikrathabiti.blogspot.com/2005/12/kwaheri-msekwa-nafuraha-kwa-moyoni.html' title=''/><author><name>Fikrathabiti</name><uri>http://www.blogger.com/profile/14676375858044655887</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:extendedProperty xmlns:gd='http://schemas.google.com/g/2005' name='OpenSocialUserId' value='02000229094485779929'/></author><thr:total xmlns:thr='http://purl.org/syndication/thread/1.0'>1</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-18993688.post-113578496470250711</id><published>2005-12-28T07:45:00.000-08:00</published><updated>2005-12-28T07:49:24.720-08:00</updated><title type='text'></title><content type='html'>&lt;strong&gt;KASI MPYA YAZIDI KUPINDUA VIGOGO CCM-SASA NI ZAMU YA BABU MSEKWA, AANGUKIA PUA.&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ni punde tu nimetoka kuangalia kinyang’anyiro cha uspika wa bunge letu tukufu na ningependa kuwashirikisha matokeo hayo na changamoto aliyoitoa Spika mpya aliyechaguliwa Mheshimiwa Samwell Sitta.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hakuna shaka kua ushindi wake ulitabiriwa na wengi ila tofauti ya kura alizompita mpinzani wake wa karibu bwana Msekwa ni kielelezo kingine kilicho wazi kua tayari ndugu msekwa na naibu wake walikua hawana mvuto wowote katika bunge lililopita na kitu kilichokua kinasubiriwa ni muda ufike na hatimaye kuwaaga rasmi tena kwa aibu iliyo kuu.Spika mteule amepata kura 217 huku bwana Msekwa akiambulia kura 57 na aliyekua naibu wake amefanikiwa kupata kura yake pekee, yaani kura moja.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mheshimiwa spika mteule anayejiita “THE MAN OF STANDARDS AND SPEED” ameanza kwa kutoa onyo kali kwa mawaziri watakaoteuliwa kua wajiandae na mijadala mikali itakayozingatia na kuweka mbele maslahi ya taifa kwani wakati wa mzaha umekwisha na kilichobaki ni kusogeza gurudumu la maendeleo kwa Ari mpya,kasi mpya na nguvu mpya “Majibu yasiyojitosheleza hayatavumiliwa na bunge hili” nimemnukuu mheshimiwa spika akiwasihi Mawaziri wateule wajiandae.Yetu macho kwani tumewazoea kwa maneno matamu na utendaji sifuri.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Nafikiri wanablog mnaweza mkazua maswali mengi katika hili,Je bunge lililopita lilikua ni la mzaha siyo? Je msekwa alikua hatoi nafasi kwa ajili ya mijadala hiyo?Je bunge lilikua limepoteza imani kwa  Msekwa na Akukweti kwa kiasi hicho?Je falsafa ya ari mpya inataka sura ngeni?Lakini mbona Sitta si mgeni katika System?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Labda nimalizie kwa kutoa wito kwa mheshimiwa msekwa kwasasa ajikite zaidi katika masomo yake ya shahada ya kwanza ya sheria katika chuo kikuu huria cha Tanzania angalau aweze kusajiliwa kama wakili wa kujitegemea ili awasaidie raia kama nia yake kweli ni utumishi!&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/18993688-113578496470250711?l=fikrathabiti.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://fikrathabiti.blogspot.com/feeds/113578496470250711/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='https://www.blogger.com/comment.g?blogID=18993688&amp;postID=113578496470250711' title='3 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/18993688/posts/default/113578496470250711'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/18993688/posts/default/113578496470250711'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://fikrathabiti.blogspot.com/2005/12/kasi-mpya-yazidi-kupindua-vigogo-ccm.html' title=''/><author><name>Fikrathabiti</name><uri>http://www.blogger.com/profile/14676375858044655887</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:extendedProperty xmlns:gd='http://schemas.google.com/g/2005' name='OpenSocialUserId' value='02000229094485779929'/></author><thr:total xmlns:thr='http://purl.org/syndication/thread/1.0'>3</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-18993688.post-113574980496512743</id><published>2005-12-27T21:46:00.000-08:00</published><updated>2005-12-27T22:03:24.966-08:00</updated><title type='text'></title><content type='html'>&lt;strong&gt;VITA YA KIFIKRA&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ulingoni naingia,hoja kutoani&lt;br /&gt;Africa yangamia,tuingie vitani&lt;br /&gt;Viongozi hatarini,bongo zao usingizini&lt;br /&gt;Hima hima jikazeni,mda hausubirini!&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Fikra chakavu nazungumzia,zilizochoka chambua&lt;br /&gt;Uzandiki ndo umezijaa,zisizojali raia&lt;br /&gt;Kila siku kutuhadaa,na hadith zisizoisha&lt;br /&gt;Hima hima jikazeni,mda hausubirini!&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Makene twasubiria,mstari wa mbele jitokeze&lt;br /&gt;Ndesanjo nawe fatia,ili wengine wajitokeze&lt;br /&gt;Hali sasa yachefua,ujinga tutokomeze&lt;br /&gt;Hima hima jikazeni,mda hausubirini!&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Tusikate tamaa,daima mbele tusonge&lt;br /&gt;Vizazi kuokoa,fikra zao tuzijenge&lt;br /&gt;Rai nazidi toa,wanablog wajiunge&lt;br /&gt;Hima hima jikazeni,mda hausubirini!&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Fikra chambuzi ndo silaha,mimi nasisitiza&lt;br /&gt;Hakuna msamaha,tutaotoa kwa bongolala&lt;br /&gt;Wote tuangamize,vionngozi ndo nazungumzia&lt;br /&gt;Hima hima jikazeni,mda hausubirini!&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;div align="left"&gt;&lt;strong&gt;ALUTA CONTINUE!!!!!!!!!!&lt;/strong&gt;&lt;/div&gt;NB:Mwalimu makene nakaribisha masahihisho na maoni katika masuala ya vina na mizani.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/18993688-113574980496512743?l=fikrathabiti.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://fikrathabiti.blogspot.com/feeds/113574980496512743/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='https://www.blogger.com/comment.g?blogID=18993688&amp;postID=113574980496512743' title='6 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/18993688/posts/default/113574980496512743'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/18993688/posts/default/113574980496512743'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://fikrathabiti.blogspot.com/2005/12/vita-ya-kifikra-ulingoni-naingiahoja_27.html' title=''/><author><name>Fikrathabiti</name><uri>http://www.blogger.com/profile/14676375858044655887</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:extendedProperty xmlns:gd='http://schemas.google.com/g/2005' name='OpenSocialUserId' value='02000229094485779929'/></author><thr:total xmlns:thr='http://purl.org/syndication/thread/1.0'>6</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-18993688.post-113532428109800734</id><published>2005-12-22T23:13:00.000-08:00</published><updated>2005-12-23T03:46:53.403-08:00</updated><title type='text'></title><content type='html'>&lt;div align="center"&gt;&lt;strong&gt;ANAYEJIITA MUUMINI WA DEMOKRASIA TANZANIA AANZA KULA MATAPISHI YAKE!&lt;/strong&gt;&lt;/div&gt;Ukweli na umakini wa utekelezaji ahadi ziltolewazo ni miongoni mwa misingi mikuu ya demokrasia.Ni katika mtazamo huo umenifanya kujenga desturi ya kua na hofu pindi nionapo mtu anaenda kinyume na kile alichoamini,na baya zaidi mtu aliyejijengea heshima na sifa katika jamii husika.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mwaka 2000,Spika anayemaliza mda wake Mh. MSEKWA alitamka hadharani kua hatagombea tena kiti hicho baada ya kulitumikia bunge kwa takriban muongo mmoja kwasasa na badala yake ataachia wenye mawazo na fikra mpya wachukue hatamu. Sitaki kuamini kua miaka mitano ni mingi sana kiasi cha kumfanya mtu asahau aliyoyasema.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mh. huyu muumini(Msekwa) ameibuka ghafla na kuweka wazi kua amebadili nia yake ya kustaafu na kutangaza kuchukua fomu kwa ajili ya kutetea kiti hicho.Katika hali ya kustaajabisha ni pale msekwa alivyoonyesha kukerwa na maswali ya mtangazaji wa BBC aliyekua anahoji sababu za yeye kuendelea kung'ang'ania hicho.Mhesimiwa alianza kujibu kwa kuhamaki na kunga'ka kana kwamba mtangazaji yule hakupaswa kumuuliza maswali hayo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hii tabia inaonyesha kuanza kuota mizizi baada ya mwaka 1995 Komandoo Salmin Amour,aliyekua rais wa Zanzibar kufika mbali hadi kutaka kubadili katiba ili aendelee kubaki madarakani na bila aibu wiki iliyopita alipokua akihojiwa akasisitiza nia yake aliyokua nayo kipindi kile kwa kisingizio kua wananchi walikua bado wanamuhitaji kama anavyojaribu kutueleza Msekwa kua wabunge walimuomba asing'atuke!&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Binafsi naamini kua bunge letu limejaa vipaji vya kila aina vinavyoweza kuijaza nafasi hiyo bila matatizo.Ni jambo la heri kua siku hizi mtu binafsi anaweza kuomba nafasi hiyo jambo linalopanua wigo wa kuibuka kwa vipaji vya raia wa kawaida kuiomba nafasi hiyo.HII NI CHANGAMOTO KWENU mh. NDESANJO NA MAKENE mjitokeze na kuwatoa watanzania kimasomaso kwani nahisi waheshimiwa wa aina ya msekwa ni wale walio na hofu ya kurudi uraiani na kuishi maisha ya kawaida kama tuishiyo sisi.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/18993688-113532428109800734?l=fikrathabiti.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://fikrathabiti.blogspot.com/feeds/113532428109800734/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='https://www.blogger.com/comment.g?blogID=18993688&amp;postID=113532428109800734' title='7 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/18993688/posts/default/113532428109800734'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/18993688/posts/default/113532428109800734'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://fikrathabiti.blogspot.com/2005/12/anayejiita-muumini-wa-demokrasia.html' title=''/><author><name>Fikrathabiti</name><uri>http://www.blogger.com/profile/14676375858044655887</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:extendedProperty xmlns:gd='http://schemas.google.com/g/2005' name='OpenSocialUserId' value='02000229094485779929'/></author><thr:total xmlns:thr='http://purl.org/syndication/thread/1.0'>7</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-18993688.post-113465317284969757</id><published>2005-12-15T05:04:00.000-08:00</published><updated>2005-12-15T05:42:53.216-08:00</updated><title type='text'></title><content type='html'>&lt;div align="center"&gt;&lt;strong&gt;ISHARA YA USHINDI WA CUF KATIKA JIMBO LA MJI MKONGWE.&lt;/strong&gt;&lt;/div&gt;Ni kama masaa mawili tu yamepita tangu alipotangazwa MAALIM SANYA kua ndo mshindi wa kiti cha ubunge katika jimbo la mji mkongwe.Wafuasi wa chama cha CUF wlilipuka kwa shangwe kuu huku wakichukua tahadhari kubwa wakati wa hekaheaka zao za kushangilia ushindi kwani vikosi vya usalama vimetapakaa kila kona za mji huo uliozoeleka kua na pilika nyingi wakati wa mchana.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Tunaweza kusema kua ni kama kiini macho kwa chama tawala tawala kwani watakua hawaamini nini kimetokea licha ya kutumia nguvu kubwa katika harakati zake za kukomboa jimbo hilo lililopo mikononi mwa wapinzani tangu mwaka 1995.Tangu jana asubuhi kumekuwepo na lawama za kupandikizwa mamluki wakiwa katika sare za kiusalama kwa ajili ya upigaji kura na hadi sasa hakuna ufafanuzi wa kina uliotolewa na Tume ya uchaguzi ya ZEC.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Nikiwa katika harakati zangu za kuelekea eneo maarufu la darajani kama kiunganishi cha mji huo mkongwe niliponea chipuchupu kutiwa ndani ya wana usalama waliokua wakiranda kila kona za njia ya mji huo wakiwa katika sare zao na silaha kana kwamba wamesikia habari za magaidi kutaka kulipua eneo la bandari lililopo mkabala na mji huo kumbe ni harakati za kuweka mambo sawa kabla ya kutangazwa yale matokeo yasiyotarajiwa kwa upande wao.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ushindi huu unafungua ukurasa mpya kwa wachambuzi wa masuala ya siasa za zanzibar kwani mengi yameshaanza kusemwa juu ya ushindi huo wa chama cha CUF kua ni kielelezo cha ushindi mkubwa walioporwa october 30.Ushindi huu wa chama cha CUF unakuja huku kukiwa na matukio kadhaa ya kutisha yaliyotokea jana baada ya wafuasi wawili wa CUF kupigwa risasi sehemu za siri na mwimgine kuchomwa kisu cha tumbo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hadi napoandika makala hii mji wa zanzibar katika jimbo la mji mkongwe umezizima kwa furaha huku wananchi wakionyesha tabasamu licha ya kudhibitiwa na vikosi vya kiusalama wanaofanya watu waamini kua ushindi huo wa CUF ni kama dhambi ya mauti kwa chama tawala.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/18993688-113465317284969757?l=fikrathabiti.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://fikrathabiti.blogspot.com/feeds/113465317284969757/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='https://www.blogger.com/comment.g?blogID=18993688&amp;postID=113465317284969757' title='3 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/18993688/posts/default/113465317284969757'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/18993688/posts/default/113465317284969757'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://fikrathabiti.blogspot.com/2005/12/ishara-ya-ushindi-wa-cuf-katika-jimbo.html' title=''/><author><name>Fikrathabiti</name><uri>http://www.blogger.com/profile/14676375858044655887</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:extendedProperty xmlns:gd='http://schemas.google.com/g/2005' name='OpenSocialUserId' value='02000229094485779929'/></author><thr:total xmlns:thr='http://purl.org/syndication/thread/1.0'>3</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-18993688.post-113336902801659258</id><published>2005-11-30T08:09:00.000-08:00</published><updated>2005-11-30T08:43:48.140-08:00</updated><title type='text'></title><content type='html'>&lt;div align="center"&gt;KAMATA KAMATA YA VIONGOZI WA UPINZANI NA MUSTAKABALI WA AMANI ZANZIBAR.&lt;/div&gt;Zikiwa zimepita takribani siku thelathini(30) tangu kumalizika kwa uchaguzi visiwani zanzibar na hatimaye kupatikana mshindi ambayeni Mh. Aman Abeid Karume wa C.C.M ni wazi kua hakuna atakeyethubutu kusimama na kujidai mbele ya watu wenye fikra thabiti,makini na ang'avu kua hali ya kisiasa zanzibar ni shwari.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kutapakaa kwa vikosi vya ulinzi na usalama mitaani ni ishara tosha kua hali ya mambo visiwani humu bado si shwari kama wenzetu washikao HATAMU wapendavyo tuamini.Kila kona utawaona askari wakiwa ndani ya sare zao wakitembea kwa miguu huku wamesheheni silaha za kila aina na wengine wakirandaranda ndani ya magari yao ambalo limekua jambo la kawaida kwasasa.INABIDI KATIKI HILI WANABLOG WENZANGU TUHOJI KWANINI?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwa upande mmoja chama kikuu cha upinzani(CUF) kinatafsiri hali hii kama njia ya kuwatisha viongozi na wafuasi wake ili wasijitokeze kwenye kampeni na baadaye kupiga kura za kumchagua Rais wa jamhuri ya Muungano,Wabunge na madiwani hapo Tar 14 december ili kukwepa fedheha ya kushindwa kwa chama tawala katika kinyang'nyiro hiki.Hali visiwani humu inazidi kua mbaya na kuzua wasiwasi mkubwa ukiambatana na maswali mengi baada ya kukamatwa kwa Mgombea Ubunge wa jimbo la Magogoni Mh. Abdulrahman Dedes amabye anafanya idadi ya viongozi wa cham hicho wakiokamatwa hadi sasa kufikia watatu baada ya mkurugenzi wa vijana na uchaguzi na mkurugenzi wa habari na uenezi wa chama hicho.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hali hii inapaswa kuwa changamoto kwa Rais Karume ambaye ameonyesha kua Muumini mzuri wa Muafaka ambao sasa unaonekana uko taabani baada ya chama kikuu cha CUF kukataa kutambua matokeo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;NAAMINI YA KUA SIASA HIZI ZA KUPANIANA NA KULIPIZANA VISASI HAZITAFIKISHA KISIWA HIKI POPOTE KATIKA HARAKATI ZAKE TEKETEKE ZA KUJIKWAMUA KATIKA GIZA HILI NENE LA UMASKINI!KWANINI MSIKAE,MJADILIANE,MKUBALIANE NA KUAMUA MAMBO CHANYA YA MAENDELEO NA SI KUNDELEZA CHUKI AMBAZO MWISHO WAKE TUNAUONA HAUNA ISHARA NJEMA!&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;Mheshimiwa KARUME na askari wako wa miavuli hebu jaribu kutumia busara katika hili. &lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;    &lt;/strong&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/18993688-113336902801659258?l=fikrathabiti.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://fikrathabiti.blogspot.com/feeds/113336902801659258/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='https://www.blogger.com/comment.g?blogID=18993688&amp;postID=113336902801659258' title='4 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/18993688/posts/default/113336902801659258'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/18993688/posts/default/113336902801659258'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://fikrathabiti.blogspot.com/2005/11/kamata-kamata-ya-viongozi-wa-upinzani.html' title=''/><author><name>Fikrathabiti</name><uri>http://www.blogger.com/profile/14676375858044655887</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:extendedProperty xmlns:gd='http://schemas.google.com/g/2005' name='OpenSocialUserId' value='02000229094485779929'/></author><thr:total xmlns:thr='http://purl.org/syndication/thread/1.0'>4</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-18993688.post-113250159904151066</id><published>2005-11-20T07:32:00.000-08:00</published><updated>2005-11-20T07:46:39.056-08:00</updated><title type='text'></title><content type='html'>A man is taking a walk in Central park in New York.  Suddenly he saw a little girl being attacked by a pit bull dog.&lt;br /&gt;He runs over and starts fighting with the dog. He succeeds in killing The dog and saving the girl's life.A  policeman  who  was  watching  the scene walks over  and says: "You are a hero,  tomorrow  you  can  read  it in all the newspapers: 'Brave New Yorker saves the  life of little girl!'" The man says: - "But I am not a New Yorker!"&lt;br /&gt;"Oh then it will say in newspapers in the morning:  'Brave American saves life of little girl!'" - The policeman answers."But I am not an American!" - says the man."Oh, what are you then?""The man says: - "I am aPakistani!"The next day the newspapers says:  "Islamic extremist kills Innocent American dog."&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/18993688-113250159904151066?l=fikrathabiti.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://fikrathabiti.blogspot.com/feeds/113250159904151066/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='https://www.blogger.com/comment.g?blogID=18993688&amp;postID=113250159904151066' title='2 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/18993688/posts/default/113250159904151066'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/18993688/posts/default/113250159904151066'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://fikrathabiti.blogspot.com/2005/11/man-is-taking-walk-in-central-park-in.html' title=''/><author><name>Fikrathabiti</name><uri>http://www.blogger.com/profile/14676375858044655887</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:extendedProperty xmlns:gd='http://schemas.google.com/g/2005' name='OpenSocialUserId' value='02000229094485779929'/></author><thr:total xmlns:thr='http://purl.org/syndication/thread/1.0'>2</thr:total></entry></feed>