tag:blogger.com,1999:blog-138761072009-04-30T22:57:37.268+03:00Blogu ya J.J. MnyikaBlogu ya Mkurugenzi wa Vijana wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA.UDIhttp://www.blogger.com/profile/14745780769836030111noreply@blogger.comBlogger26125tag:blogger.com,1999:blog-13876107.post-8088758488798453012008-09-03T12:35:00.000+03:002008-09-03T12:37:34.845+03:00SERIKALI IACHE KUMLINDA LOWASSA<br />• Ni mmoja wa mizizi ya ufisadi wa Richmond<br />• Akamatwe, ahojiwiwe na achukuliwe hatua za kisheria.<br /><br /><br /><br />Tarehe 25 Februari, 2008 Vijana wa CHADEMA tulitoa taarifa kwa umma tukikemea jitihada zilizokuwa zikiendelea za Lowassa kujisafisha na kusafishwa na tukahimiza achukuliwe hatua za haraka kutokana na tuhuma za ufisadi na/ama matumizi ya madaraka katika kashfa ya RICHMOND. Pamoja na taarifa yetu hiyo kwa umma katika kipindi chote ambacho Serikali ilipewa na Bunge kutekeleza maazimio ya Bunge kuhusu suala hilo hatua tulizopendekeza hazikuchuliwa. Aidha tumefadhaishwa zaidi na Taarifa ambayo Waziri Mkuu, Mheshimiwa Mizengo ameiwasilisha Bungeni Alhamisi 28 Agosti, 2008 pamoja na kutaja hatua ambazo zimechukuliwa kuhusu watuhumiwa wengine ikiwemo kuandikiwa Barua za kujieleza na/ama kuanza kuchunguzwa na vyombo vya dola/usalama; Waziri Mkuu hakueleza hatua ambazo zimeaanza kuchukuliwa dhidi ya Bwana Lowassa. <br /><br />Tunatambua kuwa Waziri Mkuu katika taarifa yake ameeleza kuhusu hatua ambazo serikali imeanza kuchukua ikiwemo za marekebisho ya Sheria ama mifumo ya uwajibikaji, ikiwemo ile ya manunuzi. Hata hivyo, tungependa kuweka bayana kwamba matatizo ya msingi ya taifa letu hayasababishwi na mapungufu katika sheria pekee, ila kwa kiasi kikubwa yanasababishwa na kulegea kwa misingi ya utawala wa sheria na uwajibikaji miongoni mwa viongozi. Hivyo, tunapenda kuwajulisha Watanzania kuwa kama watuhumiwa wa ufisadi hawatachukuliwa hatua mapema, misingi ya utawala wa sheria itazidi kutetereka na matokeo yake ni kuwa mageuzi yoyote katika mifumo ya kiutawala hayatatekelezwa kikamilifu. Kwa ujumla tunaamini kwamba utamaduni huu wa kulindana katika serikali unatoa mfano mbaya kwa vijana wa kitanzania kuhusu uongozi na utawala bora.<br /><br />Tungependa kusisitiza kuwa Bwana Lowassa, akiwa Waziri Mkuu wa nchi yetu wakati huo alikuwa mmoja wa mizizi mikuu ya ufisadi wa RICHMOND. Hivyo, tunaona kuwa Taarifa ya Utekelezaji ya Waziri Mkuu Pinda imejikita katika kushughulikia matokeo badala ya mzizi wa tatizo lenyewe na hivyo kama hali hii ikiendelea itaporomosha nidhamu na uwajibikaji katika taifa letu. Tunaamini kwamba kama Bwana Lowassa aliyekuwa kinara wa Serikali wakati huo, ataweza kuchukuliwa hatua kikamilifu basi itakuwa rahisi kwa waliokuwa chini yake kuweza kuchukuliwa hatua za haraka na hatimaye kurejesha maadili katika utawala. Lakini kama Serikali itaendelea kumlinda Bwana Lowassa na kuwatoa kafara maafisa wa chini, bado haitakuwa imetekeleza kikamilifu dhana ya uwajibikaji na utawala wa Sheria. Kujiuzulu kwa Waziri Mkuu na mawaziri wenzake kadhaa ni hatua ndogo sana katika kashfa iliyohusisha uvunjaji wa Sheria za nchi yetu, mazingira ya ufisadi na hasara kubwa kwa taifa.<br /><br /><br />Sisi tunaona kutotajwa kikamilifu kwa hatua zilizochuliwa juu ya Bwana Lowassa ni mwendelezo wajitihada za miezi ya karibuni za Bwana Lowassa(Mb) kupita akijitetea kuanzia katika hotuba yake alipokwenda Jimboni Monduli na kunukuliwa na vyombo mbalimbali vya habari na hata mahojiano yake maalumu na Televeshioni ya Taifa(TVT).<br /><br />Aidha, taarifa ya Waziri Mkuu Pinda imeakisi uamuzi wa Waziri Mkuu aliyejiuzulu Bwana Edward Lowassa kujitokeza miezi ya karibuni kujitetea kuhusu kuhusika kwake katika kashfa ya Richmond ambayo kwa ujumla ni ishara ya unafiki wa kisiasa. Itakumbukwa kuwa baada ya Kamati Teule kuwasilisha taarifa yake, Bwana Lowassa alipata nafasi bungeni takribani mara mbili kama kiongozi wa shughuli za serikali bungeni wakati akiwa Waziri kuzungumzia suala hili lakini hakutoa utetezi ambao Mwezi Februari alijaribu kuutoa kwa umma. Waziri Mkuu Pinda inabidi auleze Umma kama uamuzi wa kumtomtaja katika Taarifa yake ya utekelezaji kuhusu hatua ambazo amechuliwa ni ishara kuwa serikali imekubaliana na utetezi wa Bwana Lowassa.<br /><br />Itakumbukwa kuwa Vijana wa CHADEMA tulieleza wazi kwamba katika kujitetea kwake mwezi Mei, Bwana Lowassa alithibitisha wazi uzembe na matumizi mabaya ya madaraka ambayo aliyafanya alipokuwa Waziri Mkuu wakati wa sakata zima la Richmond. Hivyo, tunarudia kutoa mwito kwa vyombo vya dola kuweza kumkamata, kumhoji na kumchukulia hatua za kisheria dhidi ya uzembe na matumizi hayo mabaya ya madaraka kwa mujibu wa sheria za nchi yetu. Badala ya Bwana Lowassa kuendelea kupita akijitetea kuwa Kamati Teule haikumuita kuweza kujieleza; vyombo vya dola vimkamate akatoe maelezo yake panapohusika. Vyombo vya dola vimekuwa vikiwakamata raia wa kawaida wenye taarifa za uhalifu kuweza kuisadia polisi, inashangaza Bwana Lowassa amejieleza wazi kuwa alikuwa anafahamu uhalifu uliokuwa ukitendeka lakini bado yuko nje akijitetea na pia Taarifa za kiserikali zikielekea kumlinda. Tunaamini akikamatwa yeye, atawezesha watuhumiwa wakuu wa kashfa ya Richmond kuweza kupatikana. Tulieza wazi katika tamko letu na Mwezi Februari kuwa , jitahada zozote za kumlinda na kumtetea zingeweza kuathiri mwekekeo wa hatua ambazo zitanatarajia kupendekezwa na Kamati ya Waziri Mkuu mpya Mheshimiwa Mizengo Pinda. Kutokana na Taarifa ya Waziri Mkuu Pinda aliyowasilisha Bungeni Alhamisi tarehe 28 Agosti, 2008 ni wazi kuwa kuna kila dalili kuwa mwelekeo huo umeanza kuathiriwa, hivyo tunarudia tena kutaka Bwana Lowassa achukuliwe hatua kabla ya Bunge la Mwezi Novemba, 2008.<br /><br />Bwana Lowassa akiwa Waziri Mkuu amethibitisha kwamba maneno yake mwenyewe kuwa alikiuka Sheria ya Maadili ya Viongozi wa Umma ya mwaka 1995 na Sheria ya Makosa ya Udhibiti wa Uhujumu wa Uchumi wa nchi ya Mwaka 1984.<br /><br />Bwana Lowassa alikiri kwamba alikuwa anafahamu kwamba Richmond ni kampuni ya kitapeli, lakini katika kipindi chote cha uongozi wake aliinyamazia hali hii na kwa kiasi kikubwa aliitetea kampuni hiyo mbele ya macho ya umma. Wakati wa Viongozi mbalimbali wa upinzani walipoweka bayana kwamba Richmond ni kampuni isiyo na uwezo, serikali ilitetea kampuni hiyo. Vyombo mbalimbali vya habari vilimtuhumu Bwana Lowassa mwaka 2006 na 2007 kama kiongozi wa Shughuli za serikali bungeni, kwamba alishiriki ‘kuwaziba midomo’ wabunge wa CCM wasijadili suala hili. Pia, ni Bwana Lowassa huyo huyo, alinukuliwa akiwa Arusha akiwataka watanzania wasiijadili kampuni ya Richmond baada ya mvua kuanza kunyesha. Kama Bwana Lowassa wakati wote huo alijua kama ni kampuni ya kitapeli kama anavyojaribu alivyojaribu kujitetea, uamuzi wake wa kuwaasa watanzania wasiijadili ulikuwa ni wa kulinda ufisadi ambao aliufahamu. Inashangaza pia ni Lowassa huyo huyo alisema alijua kuwa Richmond ni kampuni ya kitapeli; ni Lowassa huyo huyo alisema kwamba alishauriwa vibaya na watumishi wa umma aliowataja kuhusu uwezo wa Richmond; Ni Lowassa huyo huyo aliyesema kwamba alijua kuwa TANESCO chini ya Menejimenti ya Net Group Solution walitaka kuhujumu mchakato wa tenda na hivyo ‘kuwanyang’anya’. Lakini ni Lowassa huyo huyo aliyekuwa Waziri Mkuu ambaye angeweza kuviagiza vyombo vya dola kumwezesha kuthibitisha ‘utapeli wa Richmond’; hivyo, maelezo ya sasa yanayotolewa kuhusu ushiriki wake yanaonyesha kuwa sasa kuna mwelekeo wa kumlinda.<br /><br /><br />Tunaendelea kushangazwa na Serikali na Bwana Lowassa kutumia utetezi wake kueleza tu nia yake ya kutaka mkataba wa Richmond usitishwe; nia ambayo kama ni kweli alikuwa na uwezo wa kuitekeleza na hakuitekeleza. Tunaitaka Serikali na Bwana Lowassa kuweka bayana ni kwa vipi Richmond ilipewa tenda hiyo na kwa shinikizo la nani. Bwana Lowassa anakwepa kuyazungumzia haya kwa kuwa anajua kabisa kwamba ni yeye aliyetumia madaraka yake vibaya alipokuwa Waziri Mkuu kwa kukiuka Sheria na Taratibu za Ununuzi kwa ‘kupora’ mchakato uliokuwa ukiendeshwa na TANESCO, ‘kuunda kamati yake’ na kuzisukuma mamlaka za ununuzi hali iliyopelekea Richmond kupewa tenda ili hali haikuwa na uwezo uliotakiwa. Ni uzembe huu ambao umelisababishia hasara taifa kwa kulipa shilingi milioni 152 kila siku kwa kampuni ya Dowans iliyohamishiwa mkataba wa kitapeli wa Richmond; na takribani bilioni 172 kwa ujumla ambazo taifa linawajibika kuzilipa kutokana na kukodisha mitambo hiyo. Hvyo tunarudia tena rai yetu ya kutaka fedha zilizozilipwa kizembe mpaka sasa kurejesghwa serikalini. Kwa vyovyote vile, jitihada za Bwana Lowassa za kuhamasisha ujenzi wa Sekondari Kata, na utumishi wake kama Waziri Mkuu katika kipindi cha miaka miwili, haviwezi kuzidi hasara aliyosababisha katika uchumi wetu kipindi chote tulichokosa umeme wa dharura na wala hailingani na hasara ambayo tunaendelea kuilipa kila siku iendayo kwa Mungu. Maamuzi haya ya Bwana Lowassa yanaendelea kuwaumiza wananchi wote ikiwemo wa Jimbo lake la Monduli ambao wanataabika kwa mzigo wa gharama za umeme.<br /><br />Tunarudia tena kumkumbusha Rais Kikwete kwamba Sheria ya Maadili ya Viongozi wa Umma inamtaka Rais kuhakikisha kwamba taratibu zinatengenezwa zitakazojenga maadili na kuongeza imani ya wananchi kwa uadilifu wa viongozi wa umma na katika taratibu za utoaji maamuzi ndani ya Serikali na katika sekta ya umma. Sheria ya Maadili ya Viongozi wa Umma vile vile imeweka kanuni zinazotakiwa kuongoza utendaji wa viongozi wa umma: kwamba wanapokuwa madarakani, viongozi wa umma watakuwa waadilifu, wenye huruma, utulivu, umakini na watakaoendeleza viwango vya juu vya maadili ili kujenga na kuendeleza imani ya umma kwa uadilifu wa Serikali. Kuhusiana na utoaji wa maamuzi, viongozi wa umma watatekeleza wajibu wao kufuatana na sheria na kwa maslahi ya umma. Hivyo, taarifa ya Waziri Mkuu Pinda kutokueleza bayana hatua ambazo Bwana Lowassa ameshachukuliwa au atachukuliwa ni ishara kuwa kauli ya Rais Kikwete aliyoitoa wakati akizungumza na Wazee wa CCM mkoani Dar es Salaam kwamba Bwana Lowassa amepata tu ‘ajali ya kisiasa’, na kumsifu kwa utumishi wake imechangia kumlinda mhusika huyu mkubwa katika sakata zima la RICHMOND. Vijana wa CHADEMA tulitarajia kuwa, baada ya Bwana Lowassa kukiri mwenyewe hadharani kuhusu uzembe wake na matumizi mabaya ya madaraka Rais Kikwete angelekeza hatua za kuchukuliwa dhidi yake badala ya kuendelea kumpamba kama “shujaa wa uwajibikaji’, kinyume na hayo tutaamini kwamba serikali yake inaendeshwa kwa ‘ubia wa kulindana’. Aidha tunarudia kutoa rai kwamba Rais Kikwete kuwafukuza kazi watumishi wote wa umma waandamizi ambao wametajwa na Bwana Lowassa kushiriki uzembe na matumizi mabaya ya madaraka; watumishi ambao walitajwa pia na Kamati Teule ya Bunge lakini mpaka sasa wanaendelea kutumikia nafasi zao mbalimbali. Kwa kuwa Waziri Mkuu Pinda ameshatangaza kwamba kwa wale wateule wa Rais, Kamati yake imeshapeleka suala zima kwake, tunategemea Rais atachukua hatua za haraka ili kuonyesha mfano kwa viongozi wengine wa chini yake wanaotarajiwa kuchukua hatua kwa watumishi wa chini.<br /><br />Kadhalika tunapenda kuvikumbusha tena vyombo vya dola kwamba Sheria ya Udhibiti wa Makosa ya Kuhujumu Uchumi ya mwaka 1984 inatamka makosa yafuatayo kuwa baadhi ya makosa ya kuhujumu uchumi ni pamoja na yale yote yenye kusababisha hasara kwa mamlaka ya Serikali. Pia Sheria ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa Na. 11 ya mwaka 2007 inatamka kuwa ubadhirifu na/au ufujaji wa mali ya umma unaofanywa na watumishi wa umma na Matumizi mabaya ya madaraka kwa ajili ya manufaa binafsi, ni sehemu ya ufisadi. Bwana Lowassa alithibitisha kwamba maneno yake kwamba wapo viongozi waandamizi wa Serikali ambao amewataja kwa majina wamefanya maamuzi ya kifisadi, kitendo chake cha kunyamazia ufisadi huo- kinafanya iwe vigumu kwa yeye kutenganishwa na tuhuma za ufisadi zilizomo katika mchakato mzima wa kupewa tenda kwa kampuni ya Richmond na mambo yote yaliyotokea baada ya Mkataba huo kuhamishiwa kwa kampuni ya Dowans.<br /><br />Aidha tumefadhaishwa na Taarifa ya Waziri Mkuu Pindi kwamba kujiuzulu kwa Waziri Mkuu na Baadhi ya Mawaziri ilikuwa ni ishara ya hatua ambazo serikali imechukua kutekeleza maazimio ya Bunge kuhusu suala husika. Tunarudia kukumbusha kwamba toka sakata la Richmond lilipoanza zaidi ya mwaka mmoja uliopita tulimtaka Bwana Lowassa kujiuzulu kulinda heshima yake lakini alikaidi na kuitetea kampuni ya Richmond. Uamuzi wa yeye kujiuzulu baada ya kashfa yote kuwa hadharani, umesaidia tu kuilinda serikali ya CCM lakini katu hauwezi kumpatia heshima ya uwajibikaji na wala hakuwezi kuwa ishara ya kwamba Maazimio ya Bunge yameshatekelezwa.<br /><br />Kwa niaba ya Baraza la Vijana wa CHADEMA (BAVICHA), kwa taarifa hii tunarudia kukemea jitihada zozote za kumlinda na kumtangaza Lowassa kuwa shujaa katika taifa letu kwani hali hii ikiachwa kuendelea inatoa mfano mbaya kwa vijana wa Tanzania. Tusingependa kwa namna yoyote katika taifa letu, mtuhumiwa wa ufisadi aliyetajwa pia katika orodha ya mafisadi(list of shame) kulindwa na kuenziwa kama shujaa wa Taifa letu kwani ni kuharibu maana nzima ya ushujaa katika uwajibikaji.<br /><br /><br />“Inasikitisha kwamba vijana wezi wadogo wadogo wakijazana magerezani. Vijana wamachinga kuendelea kukosa mitaji na maeneo ya kufanyia biashara; wanafunzi wa elimu ya juu wakipandishiwa ada na wengine kukosa mikopo- huku fedha za walipa kodi zikiendelea kuteketea kwa ufisadi na watuhumiwa wa ufisadi wakiendelea kutamba hadharani. Hali hii ikiachwa, itaharibu utawala wa sheria na kuleta matabaka katika taifa letu. Vijana tusingependa kuona nchi yetu inatumbukia kwenye migawanyiko kwa sababu ya kuwalinda watu wachache kwa kisingizio cha haki za binadamu”<br /><br /><br /><br />Imetolewa tarehe 31 Agosti 2008 safirini Kenya na:<br /><br /><br />John Mnyika<br />Mkurugenzi wa Vijana<br />0754694553<div class="blogger-post-footer"><img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/13876107-808875848879845301?l=www.chadema.net%2Fblogu%2Fmnyika%2Findex.html'/></div>UDIhttp://www.blogger.com/profile/14745780769836030111noreply@blogger.com1tag:blogger.com,1999:blog-13876107.post-83998570455520016042008-04-22T23:12:00.001+03:002008-04-22T23:12:28.160+03:00Bado nalijaribu jamvi jipya<div class="blogger-post-footer"><img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/13876107-8399857045552001604?l=www.chadema.net%2Fblogu%2Fmnyika%2Findex.html'/></div>UDIhttp://www.blogger.com/profile/14745780769836030111noreply@blogger.com1tag:blogger.com,1999:blog-13876107.post-74808417248617536422008-03-03T12:58:00.001+03:002008-03-03T13:01:52.585+03:00Kingunge alijivunjia mwenyewe heshima<br /><br /><br />Hebu nikukumbushe kauli zake kidoooooooooogo---<br /><br />TAMKO KUHUSU KAULI ZA KINGUNGESisi, viongozi wa vyama vya CHADEMA, CUF, NCCR Mageuzina TLP tuliokutana Equator Hotel tarehe 20 Septemba2007 hapa Arusha tumeitafakari “Orodha yaMafisadi”(List of Shame) na tumejadili kauli za Waziriwa Nchi, Ofisi ya Rais, Siasa na Uhusiano waJamii-Mheshimiwa Kingunge Ngombale-Mwiru alizozitoa 18Septemba 2007 na kunukuliwa na vyombo mbalimbali vyahabari Jumatano 19 Septemba 2007 na kwa pamojatumeazimia kutoa tamko lifuatalo:Kingunge anapotosha umma, apuuzwe; wapinzani wanateteataifaTunaunga mkono uamuzi wa viongozi wetu wa kitaifakuanika wazi kwa umma orodha ya mafisadi; hii ni kwasababu rasilimali zinazofujwa ni za wananchiwatanzania, wanaoathirika kutokana na ufisadi ni ummawa watanzania na wenye uamuzi wa mwisho wakuwawajibisha viongozi mafisadi ni umma wa watanzania.Kwa kuzunguka nchini kueleza yaliyotokea bungeni(hususani kusimamishwa kwa Mbunge Zitto Kabwe nakupigwa danadana kwa hoja ya kashfa ya ufisadi ndaniya Benki Kuu iliyokuwa iwasilishwe na Dr WilbroadSlaa) wakati wa Mkutano wa Bunge la Bajetiuliomalizika hivi karibuni, wabunge wa upinzaniwanatimiza wajibu wao kama wawakilishi wa kweli wawananchi. Kwa kuzunguka nchini kueleza kuhusu ufisadiunaendelea nchini, viongozi wa upinzani wanatekelezawajibu wao wa kisiasa wa kuwazungumzia wananchi wotewa Tanzania wanaoguswa na ufisadi bila kujali itikadiama uanachama; ikumbukwe kuwa vyama vya siasa siovyombo vya uchaguzi tu bali ni taasisi muhimu katikajamii katika kuchochea uwajibikaji na maendeleo. Kwamantiki hiyo basi Waziri Kingunge anaupotosha ummaanaposema kwamba ziara za viongozi wa upinzanizinatokana na ‘hasira ya kushindwa uchaguzi mkuu 2005,kambi ya upinzani kushindwa kumtetea Zitto bungeni,wivu wa kuona CCM inatekeleza ilani yake vizuri, nakwamba wanautumia vibaya mfumo wa vyama vingi’.Tunapenda kusisitiza kuwa Viongozi wa umma wanaokiukana/au kuvunja masharti ya katiba ya Jamhuri yaMuungano na Sheria za Maadili ya Viongozi wa ummalazima waanikwe hadharani na kuwajibishwa na yoyoteanayetoka kauli ya kubeza jitahada hizi ni vyemawatanzania wakampuuza. Kama viongozi wa upinzaniwanavunja sheria kwa kutoa uzushi na kufanya uchochezikama Waziri Kingunge anavyodai kwa nini serikalihaiwakamati na kuwapeleka mahakamani badala ya kutoamatamko ya kulalamika?Kauli za Kingunge ni msimamo wa Serikali?; Ikulu itoetamko!Tumezijadili kauli za Waziri Kingunge na katika hatuaya sasa tusingependa kuamini kama zinawakilishamsimamo wa serikali kwa ujumla wake; hatutaki kuaminikwamba kauli hizo ni msimamo wa pamoja wa Serikalichini ya Rais Jakaya Kikwete ambaye pia ni Mwenyekitiwa Baraza la Mawaziri. Katika hatua ya sasatunazichukulia kauli hizo kuwa ni maoni binafsi yaBwana Kingunge mpaka hapo Ikulu itakapothibitishavinginevyo; hivyo kwa tamko hili tungependa ikulu itoeufafanuzi kuhusu kauli hizo. Lakini tunapenda piakutoa tahadhari kwamba inawezekana kauli hizi za BwanaKingunge amezitoa kwa nia ya kupoteza lengo tuanzekuzijadili kauli zake badala ya kujadili orodha yamafisadi na hatma ya rasilimali za nchi yetu. Hivyotungependa kusisitiza kuwa ikulu ijibu hojazilizotolewa na viongozi wa upinzani ambazo zimemgusamoja kwa moja Rais na serikali.Anayelinda ufisadi ndiye anayekwamisha maendeleo nahuduma za kijamiiTunashangazwa na uamuzi kauli ya Kingunge kwambauamuzi wa Viongozi wa Vyama na Wabunge wa Upinzanikuzunguka nchini ni mkakati wa kisiasa wa kuitoaserikali kwenye mstari wa kushughulikia maji, afya nabarabara. Tunapenda kumbukusha Waziri Kingunge kuwakatika orodha hii ya mafisadi pekee zaidi ya shilingitrilioni 1.3(1,300,000,000,000) ambazo kamazingetumika vizuri ni wazi zingeweza kutumikakuboresha maji, umeme na barabara bila kuendeleakuwakamua zaidi wananchi masikini. Ukweli ni kuwa kwakuendelea kulea ufisadi serikali inajitoa yenyewekwenye mstari wa kutumia vyema kodi za wananchi narasilimali za taifa katika kushughulikia shughuli zamaendeleo na huduma za kijamii ikiwemo maji, afya nabarabara. Ni ukweli pia kwamba kwa kuwawajibishamafisadi viongozi wa upinzani wanatimiza wajibu wao wakuhakikisha rasilimali za taifa zinatumika kwa ustawiwa wananchi walio wengi.Vyombo vya dola tayari vinayo orodha ya mafisadi;vichukue hatuaTunashangazwa na kauli ya Waziri Kingunge ya kuhojisababu za Viongozi wa Upinzani kushindwa kuziwasilishakwenye vyombo vya dola tuhuma walizozitoa dhidi yavigogo hao iwapo kweli wanao ushahidi wakuzithibitisha. Tunashangazwa na kauli hii kwa kuwatunaamini kabisa Waziri Kingunge anafahamu kabisa kuwasehemu kubwa ya tuhuma hizi zipo katika Ripoti zaMkaguzi wa Serikali ikiwemo ile ya mwaka 2005/06 nakwamba vyombo vya dola vinafahamu uwepo wa tuhuma hizilakini kwa zaidi ya miaka miwili vyombo hivyohavijachukua hatua dhidi ya vigogo waliotajwa.Tunaamini kwamba viongozi wa upinzani walichofanya nikuamua kushtaki kwa wenye mali walioibiwa ambao niwananchi wote wa Tanzania ili kwa pamoja tuwezekuvitaka vyombo vya dola viweze kuchukua hatua.Tunashangazwa na kauli hii ya Waziri Kingunge ya‘kuwahukumu’ viongozi wa upinzani kwa kushindwakupeleka ushahidi kwa kuwa kauli hii inapingana nakauli zingine ambazo zimewahi kutolewa na viongozi waserikali kuhusu tuhuma hizo hizo. Tunapendakumkumbusha Waziri Kingunge kwamba tayari Spika WaBunge-Samuel Sitta alishasema kwamba anavipelekapolisi vielelezo vyote vya ushahidi alivyotoa Dr Slaaili vichunguzwe. Pengine Kingunge angetoa hukumu hiyokwa Spika kwa kushindwa kupeleka vielelezo. Piaikumbukwe kwamba ni serikali hiyo hiyo iliyowahi kutoataarifa kwa umma kwamba tuhuma za ufisadi ikiwemo zaBOT zinachunguzwa na TAKUKURU. Kadhalika WaziriMkuu-Edward Lowasa alitoa kauli baadaye kwambaSerikali iliyafahamu madai ya Kashfa ya ufisadi BenkiKuu(BOT) kabla ya upinzani. Kwa upande mwingine, madaiya kutaka kushughulikia rushwa kubwa kubwa ikiwemo zakwenye mikataba yalianza kutolewa na Rais Kikwetewakati akifungua Mkutano wa Kwanza kabisa wa Bungemwaka 2005. Lakini baadaye ni Rais Kikwete alinukuliwana vyombo vya habari akisema kwamba anawafahamu walarushwa na anawapa muda wajirekebishe; tulitarajiaWaziri Kingunge kama mshauri wa Rais wa masuala yasiasa angemshauri apeleke ushahidi katika vyombo vyadola na si kuwahukumu viongozi wa upinzani ambaowametoa orodha ya mafisadi na ushahidi kutoka kwenyetaasisi za serikali yenyewe!. Na ni jukumu la vyombovya dola kuchukua hatua za kufuatilia baada ya orodhaya mafisadi kuwekwa hadharani.TAKUKURU inajipotezea imani yenyewe!Tumeshangazwa pia na kauli ya Waziri Kingunge yakuwalaumu viongozi wa upinzani kwa kutokuwa na imanina TAKUKURU. Kwa misingi ya kauli zao ambazo wamezitoakatika nyakati mbalimbali, viongozi wa upinzaniwamekuwa wakikisisitiza kuwa TAKUKURU inajipotezeayenyewe imani kwa wananchi kutokana na taarifa zake nakwamba wamekuwa wakiipa changamoto TAKUKURU kuchukuahatua. Mathalani TAKURU kuisafisha kampuni yaRICHMOND. “….hakuna ushahidi wowote uliopatikanakuthibitisha vitendo vya rushwa, uzembe na upokeaji wakamisheni watendaji wa serikali….uchunguzi huoumethibitisha udhaifu wa kawaida katika utendaji naambao haukuhusisha rushwa au manufaa ya aina yoyoteile kwa upande wa watendaji na hakuna hasarailiyosababishwa na udhaifu huo”(Mwananchi 12/5/2007).“….baada ya kuona hivyo, Richmond ilionekana kufahamumwenendo wa mambo serikalini…”(Tanzania Daima12/5/2007). Maswali yaliyobaki mpaka hivi sasa ambayosi TAKURU wala TAKUKURU ya sasa hawajayajibu ni pamojana: Ni kwanini Kamati ya Waziri Mkuu iliipa tendaRichmond baada ya Bodi ya Wakurugenzi ya Tanescokuitaka bodi yake ya sabuni kutangaza upya zabuni hiyokwa kutimia zabuni za kimataifa? Richmond kuwezakufahamu mwenendo wa mambo ya ndani serikalini sioishara ya rushwa ya kimadaraka? Ni kweli kama hakunahasara iliyosababishwa na uamuzi huu wakati ambapowatanzania wamekaa bila umeme kwa miezi mingi bilakupata umeme wa dharura waliotarajia wakati wadharura, Rais amekiri kwamba umeme ulichangia kushukakwa kasi ya ukuaji wa uchumi na hata kuongeza mfumukowa bei na mpaka leo bado megawatts 100 hazijatimizwana Richmond/Dowans? Tunapenda kumkumbusha WaziriKingunge kwamba Mkataba wa Richmond/Dowans pekeeumeligharimu taifa zaidi ya Bilioni 200 mpaka sasaambazo zingeweza kuelekezwa kwenye elimu, afya nabarabara. Viongozi wa upinzani wanapohoji utendaji waTAKUKURU wanataka ichukue hatua za harakakushughulikia mafisadi na kuendelea kuwa Taasisi yaKuzuia na Kudhibiti Rushwa na si Taasisi ya Kulinda,Kusafisha ama Kutetea Rushwa !Wasomi na asasi za kijamii wako sahihi; Kingungeamelewa madarakaTumefadhaishwa na kauli ya Waziri Kingunge kwambawasomi nchini wametathimini uamuzi wa Bunge wakumsimamisha Mbunge Zitto Kabwe kwa kutanguliza jazbabadala ya busara na kutilia wasiwasi uelewa wa makundiya kijamii kuhusu mantiki ya uzalendo. Hatutakikuamini katika hatua ya sasa kwamba huu ni msimamo waserikali kwamba wasomi na makundi ya kijamiiwametanguliza jazba na kukosa busara na uelewa katikakuijadili adhabu aliyopewa Mbunge Zitto Kabwe na hojayake ya kutetea Rasilimali za nchi yetu hususanimadini. Tunaamini kwamba kauli hii ni maoni binafsi yaBwana Kingunge ambayo ni ishara ya kulewa madarakakutokana kung’ang’ania serikalini toka wakati nchi hiiinapata uhuru kwani hii si mara ya kwanza kutoa kauliza kubeza-aliwahi kuibeza CHADEMA kwa kumtaja Nyererekwenye kampeni 2005 na hivi karibuni Julai 3, 2007aliripotiwa na vyombo vya habari akitetea msimamo waRais Kikwete wa kutumia nafasi yake kama raiskudhoofisha upinzani kwa kufanya kampeni za CCM katikamikutano ya kiserikali. Tunapenda kumbukusha WaziriKingunge maneno ya Shaban Robert kwamba “ elimuilipokuwa bado kujulikana mvi zilihesabika kuwa alamaya hekima lakini fikra hizo wakati wake umeshapitahaupo na wala hauji tena. Kisichobadilika ni kwambamtu mzima bado anastahili heshima kutoka kwa mdogo” .Ni vyema Waziri Kingunge akafahamu kwamba wasomi kamaProfesa Issa Shivji na makundi ya Kijamii mathalaniMtandano wa Jinsia(TGNP), Chama cha Wanasheria waMazingira(LEAT), Kituo cha Sheria na Haki zaBinadamu(LHRC) walifanya tathmini yao kwa lengo lakulinda maslahi ya taifa bila kujali itikadi.Mafisadi zaidi waendelee kutajwa; serikali ijibu hojaHivyo tunapongeza na tutaendelea kuunga mkono jitahadazote za vyama vya siasa, asasi za kijamii na hata watubinafsi waliowataja na watakaoendelea kuwatajaviongozi na/au maafisa wa umma na/au mawakala na/auwashirika wao katika sekta binafsi ambao kwa namnambali mbali wameshiriki katika kupora utajiri na/aufedha za umma na hivyo kulisababishia taifa na umma waWatanzania ufukara na/au umaskini mkubwa. Kadhalikatunaunga mkono na kutoa mwito kwa vyama vya siasa,asasi za kijamii na hata watu binafsi kuendeleakuwawajibisha viongozi wa umma ambao kwa kutumianyadhifa na/au vyeo vyao katika utumishi wa ummawamefanya maamuzi ambayo yamesababisha taifalimepoteza mapato na/au utajiri na rasilmali zake nakuwaneemesha raia na/au taasisi za kiuchumi na/au zakibiashara za kigeni. Kwa mfano, viongozi wa ummawalioshiriki katika kusaini mikataba mibovu katikasekta za madini na/au nishati na/au maeneo mengineyenye umuhimu mkubwa kwa maisha ya taifa na jamii yaWatanzania. Na katika haya tunataka serikali ijibuhoja na si kupuuzia na kutoa kauli za kejeli kama "haoni wapinzani hawana jingine la kufanya", "wana haki yakutoa maoni yao na huo ndio uzuri wa demokrasia" .Waziri Kingunge na serikali kumbukeni kuwa watuwachache wanaweza kudanganyika katika muda mchachelakini watu wote hawewezi kudanganywa wakati wote.Watanzania wa leo na kesho si watanzania wa jana najuzi.John MnyikaMkurugenzi wa Vijana Taifa (CHADEMA)Na Mwenyekiti wa KikaoGodbless LemaKatibu Mwenezi Mkoa-Arusha(TLP)Na Msemaji wa Ushirikiano wa Vyama vya Upinzani-ArushaMohamed MaabadMwenyekiti wa Wilaya-Arusha Mjini(CUF)Na Mwenyekiti wa Ushirikiano wa Vyama vyaUpinzani-ArushaEned MuroMwakilishi-Arusha(NCCR-Mageuzi)Amos KibandaKatibu Mkoa-Arusha(CHADEMA)Calist LazaroMwenyekiti wa wilaya-Arusha Mjini (TLP)<div class="blogger-post-footer"><img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/13876107-7480841724861753642?l=www.chadema.net%2Fblogu%2Fmnyika%2Findex.html'/></div>UDIhttp://www.blogger.com/profile/14745780769836030111noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-13876107.post-62763511872412465732008-02-20T20:29:00.000+03:002008-02-20T20:32:27.697+03:00<div align="justify">Kwa niaba ya Baraza la Vijana wa CHADEMA(BAVICHA), vijana wa CHADEMA tunaungana na wapenda uhuru, haki na ukweli kote nchini kulaani uamuzi wa Jeshi la Polisi kuwakamata na kuwaweka ndani vijana wa wawili wa kitanzania Maxence Melo na Mike Mushi kwa sababu ya masuala ya mtandao wa Jambo Forum(<a href="http://www.jamboforums.com/">www.jamboforums.com</a>).<br /><br />Uamuzi wa kuwakamata na kuwaweka ndani kwa takribani saa 24 na kuwahoji kwa zaidi ya saa 14(usiku na mchana) tunaona ni kinyume cha sheria ambayo inaeleza bayana mtuhumiwa anapaswa kuhojiwa si zaidi ya masaa manne kwa mfululizo na kwa ujumla ni uvunjaji wa haki za binadamu na haki za kikatiba za kupata na kutoa taarifa/habari. Kwa mujibu wa vyanzo mbalimbali katika Jeshi la Polisi, vijana hawa wamekamatwa kwa kutuhumiwa kuendesha mtandao wa Jambo Forum ambao unadaiwa kuwachafua watu mbalimbali ambao vyanzo hivyo vya polisi mpaka sasa havijawataja.<br /><br />Vyanzo mbambali vya polisi vimeeleza kuwa uamuzi wa kuwakamata vijana hawa umetokana na jeshi la polisi kupata mashtaka toka kwa watu wasiotajwa kwamba mtandao huo umekuwa ukiwachafua watu mbalimbali hususani viongozi wa serikali; suala hili nao linakwenda kinyume cha misingi ya kikatiba na kisheria. Sisi tunaamini kwamba kama kuna mtanzania yoyote ambaye anadhani amekashifiwa na mtandao huo ana haki ya kukanusha ama kuchukua hatua za kisheria kwa kwenda mahakamani. Mikakati hii ya kuzuia uhuru wa habari iliwahi kujitokeza siku za usoni pale upinzani ulipotoa ‘orodha ya mafisadi’ na baadhi ya vyombo vya habari kuchapa majina hayo vilipewa vitisho mbalimbali na watuhumiwa hao wa ufisadi ambao walisema wamechafuliwa.<br /><br />Serikali na vyombo vya dola ni vyema vikafahamu kwamba uhuru wa maoni kupitia katika mitandao unafaida zake na hasara zake, hivyo kuundoa uhuru wote kwa sababu za malalamiko ya watu wachache, masuala binafsi au migogoro ya familia Fulani ni kuukosesha umma faida ambazo zinatokana na mitandao kama Jambo Forum. Pia serikali ifahamu kwamba sheria nyingi za Tanzania zinasimamia masuala ya habari ziko kimya kuhusu masuala ya habari katika mitandao hivyo, mitandao kama Jambo Forum inalindwa kwa kanuni na mikataba ya kimataifa ambapo imesajiliwa.<br /><br />Tunarudia tena kukumbusha kuwa mwanahabari ni mjumbe tu wakufikisha ujumbe katika jamii; ambaye anapaswa kulindwa na kuheshimiwa. Tabia inayoanza kuchipua ya kuwanyanyasa wajumbe au chombo kilichofikisha ujumbe tena kwa njia ambazo ni kinyume cha sheria na haki binadamu badala ya kuushughulikia ujumbe wenyewe; ikiachwa ikashamiri inaweza ikatishia ufanisi wa sekta ya habari ambayo inapaswa kudumishwa kama mhimili wa nne wa dola.<br /><br />Aidha vijana wa CHADEMA tumesikitishwa na kutoweka hewani kwa mtandao wa Jambo Forum ambako kutokana na vyanzo mbalimbali inaelezwa kwamba waratibu wa mtandao huo wameshinikizwa kuufunga kutokana na shinikizo la ‘kigogo’ mmoja wa jeshi la polisi kwa maelekezo toka serikalini.<br /><br />Jambo Forum Wanahabari imekuwa mstari wa mbele kwa uwazi bila woga katika mapambano dhidi ya ufisadi na kutetea rasilimali za taifa, na kuwa sehemu ya jukwaa la sauti umma kusikika na habari kusambaa ndani na nje ya Tanzania kutia teknolojia ya habari na mawasiliano(TEKNOHAMA). Jambo Forum imekuwa mstari mbele katika kuandika tuhuma za ufisadi na/au matumizi mabaya ya madaraka zinazowakabili viongozi kadhaa wa serikali, makampuni na taasisi mbalimbali.<br /><br />Mtandao wa Jambo Forums ni moja katika ya vyombo vya habari na majukwaa ya umma yaliyohusika kwa kiasi kikubwa kwa kulifunua na kuliweka wazi sakata la Richmond hasa baada ya kuweka hadharani mkataba wa Richmond na kuchambua mambo mbalimbali yanayohusiana na mkataba huo. Kashfa ya Richmond ndiyo iliyosababisha kujiuzulu kwa Waziri Mkuu Mhe. Edward Lowassa na baadaye kuvunjwa kwa baraza la Mawaziri. Jambo Forum imewezesha ‘siri’ za ufisadi zinazofichwa na baadhi ya vigogo ikiwemo serikalini kuwekwa wazi kwa umma na watumishi mbalimbali wa serikali na taasisi mbalimbali bila majina yao kujulikana.<br /><br />Mtandao wa Jambo Forum umekuwa ni changamoto kwa mitandao mingine ya serikali ikiwemo kitengo cha mawasiliano cha Ikulu kuboresha ufanisi wao katika kutumia TEKNOHAMA katika kuwasiliana kwa umma. Mtandao huo umekuwa ni ukumbi pia wa vyombo vya ulinzi na usalama ikiwemo polisi kupata mawazo mbalimbali ya umma kuhusu masuala ya uhalifu yanayopaswa kufuatiliwa.<br /><br /> “Inashangaza badala ya serikali kutoa ushirikiano kwa mitandao kama hii inakuwa mstari wa mbele kuona kwamba inafungwa. Huku ni kukinzana na dhamira ya Rais Kikwete ya kuongeza uhuru wa habari na haki ya Taarifa hapa nchini. Sisi tulitegemea vipaji vya vijana wanaotengeneza mitandao mbalimbali vikuzwe kwa maslahi ya Taifa badala ya kukamatwa”.<br /><br />Vijana wa CHADEMA tunatoa rai kwa umma kutochukulia suala hili kuwa ni tukio dogo linalowahusu vijana wawili waliokamatwa bali litazamwe kama tukio linalohusu maslahi ya taifa, uhuru wa vyombo vya habari na haki za kikatiba za kupata na kutoa taarifa/mawazo.<br /><br />Hivyo tunaitaka serikali kutoa tamko la kina lenye kueleza ni kwa sababu zipi zilizopelekea kukamatwa na vijana hawa na walalamikaji ni wakina nani. Pia serikali itoe tamko rasmi kama imeufungia mtandao wa Jambo Forum au la na tunawataka watanzania wanaoratibu mtandao huo kwa mapenzi mema ya nchi yao waurudishe mtandao huo hewani mapema iwezakanavyo wakati tamko la serikali linasubiriwa. Kadhalika tunatoa rai kwa yoyote ambae anadhani hajatendewa haki ama amechafuliwa na Jambo Forum ajitokeze kukanusha au kuchukua hatua za kisheria dhidi ya mtandao huo badala ya kulitumia jeshi la polisi ama baadhi ya watu kuhujumu haki ya umma ya kupata na kutoa taarifa.<br /><br />Katika mataifa mbalimbali duniani, mitandao kama Jambo Forum inachukuliwa kama sehemu ya vyombo vya habari na mahali pa umma kukutana kujadili masuala mbalimbali. Hivyo uamuzi wa kufungia Jambo Forum, ni sawa na uamuzi wa kufungia chombo kingine cha habari kama redio, televisheni na magazeti. Kadhalika, uamuzi wa kufungia Jambo Forum ambapo umma wa watanzania kwa maelfu umekuwa ukikutana kujadili masuala mbalimbali ni sawa na kupiga marufuku kukusanyika huko ambapo ni kinyume cha katiba ya nchi na mikataba ya kimataifa ya haki za binadamu. Mwisho, tunaitaka serikali na vyombo vya dola visidhani Jambo Forum ni Maxence Melo ama Mike Mushi bali mihimili ya Jambo Forums kwani ni umma wa wachangiaji na wasomaji waliosambaa hapa nchini na nchi mbalimbali ambao baadhi yao wanaweza kukamatwa, majukwaa yao kuweza kushambuliwa, lakini mawazo yao ya mabadiliko yataishi milele hata pale ndoto ya maendeleo, uhuru na umoja itakapotimia katika taifa letu.<br /><br /><br />Imetolewa tarehe 20 Februari 2008 na:<br /><br /><br />John Mnyika<br />Mkurugenzi wa Vijana<br />0754694553<br /> </div><div class="blogger-post-footer"><img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/13876107-6276351187241246573?l=www.chadema.net%2Fblogu%2Fmnyika%2Findex.html'/></div>UDIhttp://www.blogger.com/profile/14745780769836030111noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-13876107.post-1616158330320484222008-01-17T11:33:00.001+03:002008-01-17T11:33:44.923+03:00TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI<br /><br /><br />WAZIRI MAGUFULI INGILIA KATI HATMA YA WAKAZI KIBAMBA<br />UTEKELEZAJI WA MRADI WA MIUNDO MBINU YA NGAZI YA WILAYA ENEO LA LUGURUNI NA KIBAMBA HOSPITALI KUKIUKA SHERIA ZA ARDHI ZA TANZANIA NA HAKI ZA MAKAZI<br />MAOFISA WANAOTUHIMIWA KUJIHUSISHA NA RUSHWA NA KUVUNJA HAKI ZA BINADAMU KATIKA UTEKELEZAJI WA MRADI WACHUKULIWE HATUA.<br />MCHAKATO WA MRADI UWEKWE WAZI KWA UMMA<br /><br /><br />Kwa tamko hili naungana na wakazi wenzangu wa Jimbo La Ubungo wanaokaa katika Kata ya Kibamba kupinga kitendo cha kutaka kuwahamisha Kimabavu kutoka katika ardhi na makazi yao ambavyo wamemiliki kihalali kwa mujibu wa sheria za nchi ya Tanzania kwa kushirikisha ngazi zote za Serikali ya Muungano wa Tanzania zikiwemo Serikali za Vijiji, Mitaa, Kata, Manispaa na Wizara ya Ardhi, Nyumba na Makazi. Kuwahamisha Kimabavu ni ukiukwaji mkubwa wa Sheria za Ardhi pamoja na Haki za Makazi kama zilivyoainishwa katika Tamko la Kimataifa ya Haki za Binadamu, ambayo Tanzania imesaini. <br /><br />Kwa hakika, vitendo vya watumishi wa Wizara yako, Halmashauri ya Jiji na Manispaa ya Kinondoni waliokabidhiwa jukumu la kutekeleza mradi huu vimepelekea utekelezaji wa mradi huu kuchukua sura ya kuhamisha watu kimabavu kutokana na kukiuka kabisa mwongozo wa uhamishaji watu kama ulivyoainishwa katika Sheria ya Kimataifa ya Haki za Binadamu na Haki za Makazi; mikataba ambayo Tanzania imeridhia. Na baada ya kuridhia Serikali ya Tanzania iliwajibika kuuingiza mwongozo huo katika Sheria za Ardhi zinazoongoza watu kuhamishwa kutoka katika Ardhi na Makazi yao.<br /><br /><br />Hivyo basi namuomba Mhe John Magufuli- Waziri wa Ardhi, Nyumba na Makazi kuingilia kati suala la wananchi wa Jimbo la Ubungo Kata ya Kibamba kuhamishwa kimabavu katika utekelezaji wa mradi wa ujenzi wa miundo mbinu eneo la Luguruni na Kibamba Hospitali na kufanya yafuatayo:-<br /><br />1) Wizara yako isitishe notisi ya siku 30 iliyotolewa kwa waathrika kuwa wamehama.<br /><br />2) Wizara yako isitishe vitendo vya kuvunja mkataba kati yake na wananchi wa Luguruni na Kibamba Hospitali uliofikiwa mwezi Febrauari 2007 kuhusu utekelezaji wa mradi wa ujenzi wa miundo mbinu ngazi ya wilaya eneo la Luguruni na Kibamba Hospitali kwa kutumia ardhi ya wananchi waliopo.<br /><br />3) Wizara yako ifanyie uchunguzi wa kina malalamiko ya ukiukwaji taratibu zilizomo ndani ya Sheria ya Ardhi na Sheria ya Kimataifa ya Haki za Binadamu na Haki za Makazi.<br /><br />4) Wizara yako isitishe zoezi zima la utekelezaji wa mradi huu hadi hapo tathmini itakayo washirikisha waathrika kuhusu kuepukika au kutoepukika kwa uhamishwaji watu katika utekelezaji wa mradi huu. Mchakato wa mradi mzima uwekwe wazi kwa umma ikiwemo bajeti ya mradi na mchakato wa utekelezaji. Kama Serikali (Wizara ya Ardhi, Nyumba na Makazi, JIJI na Manispaa ya Kinondoni) hazitaki kuwashirikisha waathrika katika kupendekeza mbinu mbadala badala ya watu kuhamishwa, ziwajibike kuhakikisha inapata ridhaa wote itakaowahamisha badala ya kufanya hivyo kwa mabavu.<br /><br />5) Endapo baada ya tathmini shirikishi, baadhi ya kaya zitalazimika kuhamishwa, mpango kabambe ambao utakaokuwa shirikishi uandaliwe kuhusu hatma ya kaya zitakazolazimika kuhamishwa. Mpango huo uandae kwa uwazi raslimali za kutosha kuwalipa fidia itakazowezesha kaya husika kurejea katika kiwango cha maisha walioyokuwa nayo kabla ya kuhamishwa.<br /><br />6) Endapo baada ya tathmini shirikishi, baadhi ya kaya zitalazimika kuhamishwa tathmini ya thamani ya mali ifanyike upya ikiwashirikisha independent valuers kwa nia ya kuepuka vitendo vya wananchi kudaiwa rushwa.<br /><br />7) Wizara yako isimamie majadiliano ya pamoja kati ya watekelezaji wa mradi na waathrika kutathmini endapo zipo mbinu zinzoweza kutumika kuepuka watu wasihamishwe kutoka katika ardhi na makazi yao k.m waathrika wakaelekezwa kuwekeza katika miradi mchanganyiko na makzi kama inavyofanyika eneo la Kariakoo.<br /><br />8) Wizara yako, JIJI na Manispaa ya Kinondoni viyafanyie uchunguzi wa kina madai yote ya rushwa, ufisadi na ukiukwaji wa haki za binadamu vinavyodaiwa kutendwa na maafisa waliopewa jukumu la kutekeleza mradi huu kwa nia ya kuwabaini watumishi wasio waaminifu ili waondolewe wasiiendelee kuipaka Serkali matope mbele ya wananchi. (kama ilivyoelezewa katika barua ya wazi ya wananchi kwa mamlaka zinazohusika ya tarehe 03 Januari 2008 ambayo nimeiambatanisha)<br /><br /><br />Imetolewa 16 Januari 2008 na:<br /><br /><br />John Mnyika<br />Mkurugenzi wa Vijana Taifa(CHADEMA) na Mkazi wa Jimbo la Ubungo<br />0754694553<div class="blogger-post-footer"><img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/13876107-161615833032048422?l=www.chadema.net%2Fblogu%2Fmnyika%2Findex.html'/></div>UDIhttp://www.blogger.com/profile/14745780769836030111noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-13876107.post-34878902449955690832008-01-14T11:57:00.000+03:002008-01-14T12:00:11.226+03:00<div align="justify"> </div><div align="justify"> </div><div align="justify"> </div><div align="justify">Majibu kuhusu Utamaduni wa Amani</div><div align="justify"> </div><div align="justify"> </div><div align="justify"><br /><span style="font-family:verdana;">Prosper,<br /><br />Nakubaliana na maoni yako, ndugu zetu wa Kenya hususani na Kibaki na Raila wanapaswa kuweka utaifa wao mbele na kutafuta suluhu ya mgogoro unaoendelea kufukuta huko. Na ni funzo kwetu wa Tanzania kwamba tufanye mabadiliko sasa kuhakikisha mifumo yetu ya uchaguzi na kisiasa inakuwa huru na inasimama mstari wa mbele katika kulinda haki na amani.<br /><br />Huu ujumbe ameandika kaka Mwakatobe mwenyewe kwa mkono wake? Sitaki kuamini!Kila uhuru ana haki ya mawazo na fikra, lakini binadamu anapotoa mawazo tofauti na imani yake ambayo imezoeleka na wengi kuna haja ya kujiuliza maswali mengi sana. Nitaendelea kujiuliza. Ukipata wasaa wa kuonana naye naomba umwulize ana kwa ana kama ujumbe huu ameuandika yeye.<br /><br />Sidhani kama mwakatobe ambaye tulikuwa naye NYF miaka mingi nyuma kabla ya kuingia kwenye siasa- wakati huo tukiwa kwenye harakati tu za kawaida za kuhamasisha mabadiliko ya kiraia nchini, sidhani kama alikuwa na mawazo kama haya. Na kwa kweli binafsi nimepata nafasi ya kubadilishana naye mawazo kirafiki kabisa maeneo mbalimbali hapa dsm na hata nje ya mkoa- kuanzia nyumbani kwake mpaka kwenye vikao vya ndani. Ukimweleza hivi najua atakumbuka mengi sana! Kama ujumbe umeandikwa mwenyewe- basi binadamu ni kiumbe cha pekee sana! Nitajaribu kuingia katika kumbukumbu zangu kuona kama nipata maandiko yake ya wakati huo, ikiwemo ile itikadi/falsafa aliyokuwa akiitetea. Je, ni wakati huo ndio alikuwa akiandika alichokuwa akiamini au ni sasa ndicho anachokiamini, Je, ataendelea kuamini hivyo? Nini asili ya uongofu huu? Kwa kweli, nikianza kuandika kwa undani kumbukumbu hizo za zamani, tukio hata tukio, hatua hata hatua- kwa kweli nitajikuta naandika mambo mengine binafsi kabisa! Sitafanya hivyo. Na wala si nia yangu kuandika makala ya gazetini, sitafanya hivyo pia. Kwa kuwa siamini kama makala haya uliyonitumia ni fikra huru za kaka Gwandumi Mwakatobe!<br /><br />Nakubaliana na maandiko haya kwamba AMANI ni tunu ya muhimu sana, na inafaa kulindwa kwa gharama zozote. Nakubaliana pia kwamba Tanzania ina UTAMADUNI WA AMANI. Ila mwandishi alipaswa kujiuliza- Utamaduni nini? Je, utamaduni huweza kuzaliwa na kufa? Nini asili ya utamaduni wa amani katika Tanzania? Na yapi yanaweza kufanya utamaduni huo kutoweka?<br /><br />Msimamo wa Kaka Gwandumi huko nyuma umekuwa ni kuwa Tanzania pamoja na kuwa tuna amani lakini kuna watanzania wengi hawana amani- na hali hii ya kukosa kwao amani inachangiwa pia na kukosa kwao haki, na wengine ni kutokana na hali mbaya ya maisha iliyozidi mipaka. Katika mazingira hayo msimamo wake wakati wote umekuwa kama ule wa Mwalimu Nyerere ambao pia ni msimamo ulioko kwenye Biblia ambayo Kaka Gwandumi amekuwa akiitumia kwa muda mrefu kwenye maandiko yake. Kwamba AMANI ni TUNDA la HAKI. Ndio maana sitaki kuamini kama msimamo huu mpya ni wa Kaka Gwandumi.<br /><br />Nakubaliana na mwandishi katika utangulizi kwake kwamba njia za amani ndizo ambazo ni za kwanza kabisa, na za kistaarabu katika kufikia malengo ya kisiasa. Ila sikubaliani naye kwamba njia zingine ni njia ambazo madhara yake hayawezi kufutika milele. Naandika ujumbe huu leo Januari 12 ambapo Wazanzibar wameadhimisha mapinduzi ya umma yaliyomwaga damu kumng’oa sultani; Je, anataka kusema kwamba mapinduzi yale- yeye kama mwanachama wa Chama Cha Mapinduzi, anayatangaza kuwa ni haramu na njia mbaya zaidi iliyowahi kutumika katika historia ya Taifa letu ambayo itasababisha visiwa vile visiwe na Amani milele? Afrika Kusini ilitumia muda mwingi mijadala na kujenga hoja huku makuburu wakitumia risasi za moto, ANC baadaye ikaazisha Umkotwo we Sizwe, jeshi lake hili ambalo lilifanya uharamia kwa serikali ya makuburu ikilenga miundo mbinu yao- ni harakati hizi ziliwarudisha makaburu kwenye meza ya majadiliano. Sisemi hivi kuhalalisha mapinduzi ya kijeshi; njia ambayo katika siasa za sasa za ustaraabu ni njia ya mbali kabisa. Nasema hivi kufuta hoja ya mwandishi, na mifano kwa kweli iko mingi sana duniani. Hawa wastaarabu wa demokrasia wa magharibi tunaowazungumzia leo, karibu kila taifa lao limepitia katika ushenzi usiomithilika kufikia katika ustawi walio nao sasa! Sisemi hivi kuhalalisha kwamba sasa tuwe washenzi, nasema hivi ili mwandishi wa makala haya ajaribu kutafakari kidogo- “Hivi kwa nini binadamu wanafikia hatua ya kuwa washenzi?”.<br /><br />Mwandishi amejaribu kujenga hoja kwamba AMANI ndiyo kipeo cha yote. Na amani hiyo ndiyo ameiita URITHI MKUU WA UTAMADUNI WETU WA KISIASA. Kama nilivyosema, utamaduni huzaliwa, hukua na huweza hata kufa? Mwandishi ajiulize, ni mambo gani yanatishia kuua huu utamaduni? Niliwahi kuandika hapa baadhi ya mambo ambayo yanaweza kutishia kufa kwa utamaduni wetu wa amani, mambo ambayo baadhi hata Nyerere mwenyewe alishawahi kuyatabiri- bonyeza hapa kusoma andiko langu hilo:Jambo moja utabaini; </span><a href="http://www.chadema.net/makala/mnyika/mnyika_15.html"><span style="font-family:verdana;">http://www.chadema.net/makala/mnyika/mnyika_15.html</span></a><span style="font-family:verdana;"> HAKI( kwa maana ya JUSTICE ambayo ni zaidi ya RIGHT); ni roho ya AMANI. Bila haki amani iko shakani. Haki ikitoweka, amani haiwezi kuishi hata kwa kuandika makala elfu na maelfu za propaganda kuhusu umuhimu wa amani katika nchi yetu. Namna ya kuendeleza uhai wa amani hiyo ni kuchambua, kukemea na kuondoa mizizi inayotishia haki za wengi. Mwandishi amesema AMANI ni urithi mkuu; lakini mwandishi anajua kuwa urithi ni jambo jema lakini si kila mrithi anauwezo wa kutunza urithi kama mwenye mali mwenye ambaye aliichuma kwa tabu hatua kwa hatua. Kauli ya kwamba huu ni urithi pekee haiwezi kulinda urithi huo.<br /><br />Ukiona viongozi wa serikali wanazomewa hadharani. Ukioana wananchi wanaanza kujichukulia sheria mikononi wenyewe. Huku viongozi na makada wakiendelea kuiamba AMANI,AMANI, AMANI! Wananchi wakiendelea kuimba HAKI, HAKI, HAKI!. Hizo ni alama za nyakati. Ni wakati wa viongozi na wananchi kukaa na kutafakari na kuzungumza lugha moja. Si wakati wa viongozi na kikundi cha watu wachache kuwahubiria kile wasioamini. Tembelea maeneo ya migodi, pata hisia za wananchi. Jaribu kaa vijiweni, sikiliza wananchi wanazungumza nini kuhusu ufisadi na watawala wao. Mambo haya yatahitaji mchambuzi kama huyu, aliyeandika kurasa zote hizi kuyafanyia kazi kwa manufaa ya taifa letu. Na ni kwa kuchukua hatua ndipo tutakuwa kweli walinzi wa AMANI. Ni kwa kuamka, na kukemea aina zote za UBAGUZI, zinazoanza kujitokeza katika nchi yetu, ndipo tutadumisha Taifa lenye AMANI.<br /><br />Umemkweza lakini wakati huo huo umemtweza Kinjeketile; niliwahi kuandika, tunu ya yangu kwa shujaa huyu: </span><a href="http://www.chadema.net/makala/mnyika/mnyika_13.html"><span style="font-family:verdana;">http://www.chadema.net/makala/mnyika/mnyika_13.html</span></a><span style="font-family:verdana;"> mwandishi wa uchambuzi huu kama naamini anajua historia ya nchi yetu pamoja na upotofu wote wa kihistoria uliofanyika. Anajua kwamba Kinjekitile ni mtu ambaye anapaswa kujengewa Minara kama ambavyo wakina Nyerere wanabigiwa baragumu! Wajerumani wametumia muda mrefu katika nchi yao mwaka jana kukumbuka vita vya Maji Maji, wanajua ni mapambano ya namna gani yalifanyika. Na mara baada ya Vita hivi utawala wa Kijerumani haukuwa tena katika hali ya awali hapa nchini. Falsafa ya maji, ilikuwa ni falsafa ya mapambano tu; lakini mbele yake waliokuwepo machifu na viongozi wengine wa kiafrika na wapambanaji wao waliokamata silaha. Mataifa ya wenzetu, chimbuko la uzalendo wao- ni harakati za watu kama hao. Lakini sisi tunawabeza! Uzalendo utatoka wapi? Uzalendo huchachushwa kwa moyo za hisia za kutazama mambo makubwa yaliyofanyika katika Taifa!<br /><br />Mwandishi anajua kwamba Wajerumani ndio walikokuwa wakoloni halisi, huku waingereza ambao Mwalimu aliwakimbiza kwa Harakati za Ndani na Zile hotuba za umoja wa Mataifa kwa kuwa walikuwa na wadhamini tu. Najua mwandishi anayajua haya yote! Mwandishi anajua kwamba kama waingereza wangekuwa walowezi Tanganyika kama ilivyokuwa kwa Kenya ni wazi baada ya Maji Maji ingezaliwa Mau Mau nyingine hapa kwetu. Mwandishi anajua haya! Anajua kwanini tulipeleka vikosi vyetu vijana wetu wakapoteza damu kuleta ukombozi kusini mwa Afrika- Msumbiji, Angola, Afrika Kusini nk! Anajua haya. Hata Nyerere aliyajua haya, ndio maana hakupeleka njia za Amani na Maelewano huko(Non Violence Method); Nyerere aliyekuwa kiongozi aliyejua falsafa ya mapambano. Alijua adui anayetumia mbinu gani akabiliwe kwa mbinu gani!. Ndio maana hakutaka kukaa meza moja ya majadiliano na maelewano na Iddi Amini Dada! Unadhani Nyerere hakuwa anajua “urithi mkuu na utamaduni wetu wa kisiasa” za AMANI?<br /><br />Mwandishi ametumia muda mrefu kujenga hoja kwamba WAPINZANI wanachochea vurugu, uhasama, ugomvi, matusi, kejeli nk na kwamba ndio wanaoelekea kuvunja AMANI nchini. Lakini mwandishi ameshindwa kutaja mifano ya kauli au matukio hayo na yalihusu wapinzani gani! Ujumbe huu, ukisomwa juu juu, waweza kuaminika na kuviza imani ya watanzania kwa watanzania wenzao walioko kwenye upinzani. Lakini tukumbuke, Mandela alipopinga ubaguzi aliitwa mpinzani mwenye kuvunja amani. Nyerere aliitwa na serikali ya mkoloni, mpinzani mwenye kuvunja amani na akashtakiwa kwa uchochezi. Mchambuzi mahiri kama huyu, angetumia muda kuvitaka vyombo vya dola kuchukua hatua kwa wapinzani hao kama kweli wanavunja amani ya nchi!. Mwandishi akumbuke kwamba, kwa mpinzani Dr Slaa alipojitokeza hadharani kusema ufisadi wa Benki Kuu(BOT) aliitwa majina yote ambayo mwandishi huyu ametumia kueleza tabia ya upinzani. Leo hii baada ya Rais Kikwete kuona ukweli wa mambo tena katika sehemu ndogo tu ya ukaguzi wa EPA; wale wote waliosema maneno hayo sijui kama wanajisikia AMANI mioyoni mwao! Ndio maana sitaki kuamini kama ameandika Kaka Mwakatobe ujumbe huu, kwa kuwa najua yeye anajua , na huwa anapenda sana kutumia biblia- na ndani ya kitabu hicho kuna simulizi ya Yesu ambaye naye aliitwa majina kama hayo na watawala wa wakati huo. Lakini leo wakristu wote kote duniani wanamuita jina tofauti kabisa!<br /><br />Siasa za kistaraabu za kujenga hoja naziunga mkono! Siasa safi, za sera na hoja. Na ndio ambazo upinzani umekuwa ukifanya. Dr Slaa alianzia bungeni, akajaribu kutoa hoja ya awali ikapuuzwa. Akaongeza ukali zaidi wa maneno, hakueleweka. Akaongeza uzito zaidi kwa kuandaa hoja binafsi, akaletewa mizegwe. Na hapo ndipo alipotumia lugha kali zaidi, kwamba ‘hawa ni wezi na mafisadi’. Leo mpaka Kikwete naye ameanza kutumia lugha kali! Lugha ambayo miezi michache nyuma, mawaziri waliikebehi kama ambayo makala hii inakebehi upinzani!. Wote kati yetu, mtu akichukua mali- tutazungumza kwa ‘urithi wa utadamuni wetu wa kisiasa’, “Naomba nirudishie”; asiporudisha lugha gani hufuata?<br /><br />Mwandishi ameendelea mbele kuonyesha nia ya maandiko yake pale alianza kujenga hoja kwamba Nyerere alisema ‘kiongozi bora lazima atoke CCM”; mwandishi anasahau ni Mwalimu huyu huyu alisema “CCM sio Mama yangu”. Mwandishi akasome maandiko ya mwisho mwisho ya Mwalimu Nyerere kwenye “Uongozi wetu na hatma ya Tanzania”; hakika hii kansa ya uongozi Nyerere alishaitabiri, na unaweza kubashiri kama angekuweo sasa na ufisadi angefanyaje! Kama kweli Nyerere aliamini kwamba “Kiongozi bora lazima atoke CCM”; Mwandishi anaweza kutuelezaje yaliyotokea kule Musoma baada ya mfumo wa vyama Vingi kuanza ambapo Baba wa taifa alimnadi wazi mgombea wa Upinzani Balozi Ndobho kwa ubora wake na kumuacha wa chama chake CCM? Watanzania tunapaswa kuwa na siasa zilizo juu ya vyama, zinazotazama zaidi maslahi ya Taifa.<br /><br />Mwandishi anajenga hoja kwamba dosari kuu ya upinzani ni kutaka wananchi wakichukie Chama Cha Mapinduzi na Serikali yake! Mwandishi anajua kabisa kwamba wema ni sumu ya uovu. Kama CCM na serikali yake wanatenda mema, unadhani wananchi wanaweza kuchukia hata wapinzani wangesambaza chuki? Lakini kwa kuwa kuna UOVU unajaribu kufichwa ni wazi kwamba yoyote anayesema UKWELI, ataonekana ni mchonganishi na mchochea chuki. Wakina Dr Slaa, Zitto wote wanaitwa waongo, huku wakina Mbowe na wengine wakiitwa wachochezi, Wakina Kubenea wakimwagiwa Tindikali na wakina Ndimara Wakikatwa mapanga. Hiyo ndiyo AMANI! Bahati nzuri, watanzania wanaelewa, na ipo siku KITAELEWEKA!<br /><br />Eti, kero ya wapinzani ni kuona CCM inazidi kuimarika na kukubalika! Ndio maana siamini kabisa kuwa haya ni maneno ya Kaka Mwakatobe. Mwandishi anasema watanzania hawafanyi utafiti kubaini ukweli huu, anasahau kuwa ni watanzania hawa hawa ndio wametoa maoni yao kwenye tafiti mbalimbali kwamba umaarufu wa CCM umeporomoka. Sio sababu ya chuki ya upinzani, ni kwa chama hicho kushindwa kutekeleza ahadi lukuki ilizotoa. Huu ni ukweli ambao mwanaCCM yoyote makini anaufahamu.<br /><br />Mchambuzi huyu anarudia kauli ya mara kwa mara ya kwamba wapinzani hawana DIRA- lakini mchambuzi huyu huyu anajua hazina ya sera ambazo CCM imekuwa ikichota kutoka upinzani kuanzia enzi za kufuta kodi za manyanyaso mpaka kipindi hiki cha kupitia mikataba ya madini. Mchambuzi huyu anajua kuwa “Maisha Bora kwa Kila Mtanzania” ni lengo tu la MKUKUTA ambao umeandaliwa na wananchi wote bila kujali itikadi na kuchukuliwa tu kwenye ilani ya Chama tawala. Mchambuzi amesahau kabisa kwa CCM imeshatelekeza falsafa na itikadi yake, na hata Mwalimu Nyerere amekiri hili kwenye kitabu cha Uongozi Wetu na Hatma ya Tanzania. Mwandishi angetueleza- DIRA YA CCM ni ipi? Mchambuzi mahiri kama huyu alipaswa awe anafahamu kabisa Dira na mwelekeo wa vyama vingine nchini. CHADEMA mathalani, mambo haya yamefafanuliwa Kwa CHADEMA falsafa na itikadi yake inapatikana hapa: </span><a href="http://www.chadema.net/maoni/kijue.php" target="_blank"><span style="font-family:verdana;">http://www.chadema.net/maoni/kijue.php</span></a><span style="font-family:verdana;"> na ilani yake ambayo utangulizi wake ni dira ya “Tanzania tunayoitaka” inapatikana hapa: </span><a href="http://www.chadema.net/ilani/tanzania.php" target="_blank"><span style="font-family:verdana;">http://www.chadema.net/ilani/tanzania.php</span></a><span style="font-family:verdana;"> na popular manifesto 2005 inapatikana hapa </span><a href="http://www.chadema.net/maoni/ilani.php" target="_blank"><span style="font-family:verdana;">http://www.chadema.net/maoni/ilani.php</span></a><span style="font-family:verdana;"> . Lakini Ndio maana sitaki kabisa kuamini kwamba aliyeandika ni Kaka Mwakatobe, kwa kuwa najua kabisa yeye alikuwa kwenye jopo la wataalamu waliofanya mapitio ya Sera na Katiba ya CHADEMA mwaka 2003/04. Wakati huo, mimi hata sikuwa mwachama wa CHADEMA. Kwa maneno mingine, najua Kaka Mwakatobe anafahamu vizuri asili ya Falfafa ya “Nguvu ya Umma”. Hivyo, sifikiri kabisa kwamba anaweza kusema upinzania hauna dira! Yeye anafahamu kwamba hata Mwalimu Nyerere aliwahi kusifia Sera za CHADEMA.<br /><br />Bahati nzuri nilikuwepo CHADEMA mwaka 2005, na nilikuwa mgombea Ubunge wa Ubungo wakati huo; najua undani wa mambo. Mwandishi amezusha kwamba mwaka 2005 CHADEMA iliponzwa kwa kujipendekeza kwa wafadhili; wafadhili gani, kujipendekeza gani? Hapa mwandishi anataka kusheheneza hisia kwamba CHADEMA ilipewa mapesa kutoka nje na kuyatumia kwenye helikopta na kuwatelekeza wagombea wa ngazi nyingine. Bahati nzuri, ni CHADEMA pekee iliyotangaza wazi matumizi yake ya fedha katika kampeni. Rejea Tamko la Baraza Kuu la CHADEMA hapa: </span><a href="http://www.chadema.net/uchaguzi/ripoti1.php"><span style="font-family:verdana;">http://www.chadema.net/uchaguzi/ripoti1.php</span></a><span style="font-family:verdana;"> CCM mbona mpaka leo haijatangaza? Hapa imeelezwa wazi kiasi gani tulitumia, kiasi gani zilitumika kwenye helikopta. Lakini tulikwenda mbele zaidi kutangaza ni kiasi gani zilipatikana toka nje. Tuliweka wazi, kampeni zetu hajikuchangiwa kwa fedha toka nje- zimegharamiwa kwa ruzuku ya chama ni michango ya wanachama mbalimbali. Kitu pekee tulichopata toka kwa rafiki zetu wa nje ni ruzuku kidogo ya kuendesha warsha ya mafunzo kwa wagombea ubunge, na michango hii ya kiufundi haikutolewa kwa CHADEMA tu katika kipindi cha kuelekea uchaguzi. Mchambuzi huyu, angepaswa aandike uchambuzi wa kutaka CCM itangaze mapato na matumizi yake ya uchaguzi-na angeuliza vile vile, zile tuhuma za fedha za uchaguzi wa CCM kutoka nje ya nchi ambazo walisema wangelishitiki gazeti la nje lililofichua suala hilo zimefikia wapi? Kama mchambuzi huyu hafahamu tuhuma hizo- asome humu atazipata: </span><a href="http://www.chadema.net/habari/misc/misc_10.html"><span style="font-family:verdana;">http://www.chadema.net/habari/misc/misc_10.html</span></a><span style="font-family:verdana;"> .Baada ya kuchambua hapa, atajua ni chama kipi cha siasa ‘kinajipendekeza’ kwa wafadhili wake wa wakati wa uchaguzi!<br /><br />Inasikitisha kwamba mchambuzi kama huyu, anadiriki kudanganya kuwa CHADEMA ilikuwa ikitumia milioni 10 kwa siku kwa ajili ya helikopta! Huu ni uzushi kabisa. CHADEMA haijawahi kutumia milioni 10 kwa siku kwa ajili ya kukodi helikopta. Niliwahi kuchambua gharama za matumizi ya helikopta katika makala yangu iliyotoka katika vyombo vya habari vya nyumbani- makala hiyo inapatikana pia hapa: </span><a href="http://www.chadema.net/blogu/mnyika/2008/01/helikopta-ya-chadema-raha-karaha-au.html"><span style="font-family:verdana;">http://www.chadema.net/blogu/mnyika/2008/01/helikopta-ya-chadema-raha-karaha-au.html</span></a><span style="font-family:verdana;"> .Ni vyema akajiridhisha na kusema ukweli.<br /><br />Mchambuzi huyu, anataka kujenga picha kwamba upinzani unapokea mabilioni mengi ambayo ingeweza kabisa kujenga zahanati, shule, hospitali nk ili kuonyesha kwa vitendo. Mchambuzi anataka kujenga picha kwamba vyama vya upinzani vinatapanya fedha! Mwandishi anashindwa kujua kwamba ruzuku ya vyama inatolewa kwa kazi maalumu za kisiasa ambazo sheria ya vyama vya siasa imeelekeza. Mwandishi anashindwa kujua kwamba michango mahususi inayotolewa inatolewa kwa kazi mahususi. Mchambuzi anashindwa kujua kabisa kwamba huwezi kupewa mchango wa kuendesha mafunzo wa viongozi ukapeleka kwenye kujenga zahanati pamoja na umuhimu wake. Kubwa kuliko yote, mwandishi anaashindwa kuelewa kazi ya vyama vya siasa- anashindwa kujua kwamba vyama vya siasa vinatoa sera na viongozi ili watumie vizuri rasilimali kuleta barabara, zahanati nk. Mwandishi anashindwa kujua kwamba michango ya wafadhili mbalimbali inapitia serikalini kutoa huduma za kijamii na kutekeleza miradi ya kimaendeleo- kazi ya upinzani ni kuiwajibisha serikali iliyoko madarakani na kutoa mwelekeo mbadala! Mwandishi anashindwa kujiuliza mbona CCM inapokea ruzuku ya takribani bilioni mbili(milioni 2000) kila mwezi kutokana na fedha za walipa kodi, wakati CHADEMA inapokea milioni 56 tu kwa mwezi lakini CCM haijengi barabara, zahanati kutokana na ruzuku hiyo? Badala yake madarasa, zahanati nk zinajengwa kwa kodi za wananchi kupitia bajeti ya nchi, michango ya wananchi na fedha toka kwa wadau wa maendeleo? Ni kutokujua au kupotosha?<br /><br />Hili la kusaidia miradi ya kuthibiti umaskikini: Linahitaji mjadala zaidi, tujiulize- duniani kote, kazi ya vyama vya siasa ni nini? Imani yangu ni kuwa CHADEMA tumeweza kufanya vizuri katika miradi mbalimbali katika halmashauri ambazo tumeongoza Kigoma Ujiji, Hai na Karatu; na tuendelea katika halmashauri ambazo tumeanza kuongoza baada ya 2005, sasa tunaoongoza pia Halmashauri mpya moja ya Tarime. Sidhani kama upinzani unatakiwa kugawa fedha za miradi ya kuondoa umasikin- kufanya hivyo, kuna vikwazo vifuatavyo: Mosi, tutakuwa tunatoa takrima ya maendeleo kwa wananchi toka mifukoni mwa chama ambayo kimsingi ni rushwa, Pili, tutatoa fursa kwa mafisadi nao kuanza kutoa michango hiyo kupitia vyama vyao- sasa mwenye kisu kikali ndio atakula nyama. Tatu, tutakuwa tumetoka katika malengo ya msingi ya chama cha siasa. Kwa maoni yangu, chama cha siasa ni muunganiko wa watu wenye mawazo yanayoshabihiana kwa lengo la kuchukua dola ili kutekeleza mawazo hayo, na kabla ya kuchukua dola kuiwajibisha dola iliyoko madarakani kwa misingi ya mawazo hayo! Kwa hiyo bidhaa za vyama vya siasa ni 'uongozi', 'sera' na 'oganizesheni'. Kwa hiyo, tunaondoa umasikini kwa kutoa viongozi bora, sera bora na oganizesheni bora. Kwa sasa pamoja na kuwa upinzani tumewatoa wakina Dr Slaa, Zitto nk ambao wanaiwajibisha serikali kwa sera zinazopinga ufisadi na kutetetea rasilimali za taifa, kwa kweli matokeo ya harakati zao ni fedha zetu za kodi kutumika vizuri zaidi katika miradi ya kuondoa umaskini. Naamini kabisa, serikali ya sasa(pamoja na ufisadi unaoendelea) kwa staili hii ya Orodha ya mafisadi kila mmoja yuko tumbo joto- hivyo, sidhani kama watakuwa na ari, nguvu na kasi mpya ya kufuja fedha za miradi ya kuondoa umaskini kama ilivyokuwa wakati wa Mkapa- sasa kama hali ikiwa nzuri kiasi nani atanufaika kama sio mwananchi? Nani amesababisha manufaa hayo kama si upinzani? Na ikifika 2009 na 2010 changamoto kwetu ni kuwafanya watu waelewe kwamba wakituchagua sisi tutaingia wenyewe kutekeleza sera hizo vizuri zaidi tofauti na CCM inayofanya mambo machache tena baada ya shinikizo. Kama ni kutokujua, niliwahi kuandika hapa kazi chama cha siasa- na ni kwa vipi upinzani unasaidia maendeleo nchini: “Huduma za Kijamii zinazotolewa na Vyama Vya Siasa vya Upinzani. Akitaka naweza kumtumia hilo andiko. .Leo upinzani ukiwezesha bilioni 133 zilizofujwa BOT zikapatikana unajua ni madarasa, barabara na zahanati ngapi? Kati ya chama kutumia milioni 56 kufanya harakati za kisiasa za kupambana na ufisadi na kuokoa bilioni 133 na chama kutumia milioni 56 kujenga matundu ya choo nyumbani kwa wananchi wachache kipi bora?<br /><br />Ndio maana siamini kama ujumbe huu umeandikwa na kaka Mwakatobe; najua anaujue Ukweli huu, na anajua kuwa UKWELI ni UHURU. Na anajua kwamba utumwa wowote unaosababishwa na jitihada ya kulinda maslahi binafsi na ni suala baya. Lakini anajua zaidi, kujaribu kuambikiza utumwa huo kwa kizazi cha baadaye cha Taifa hili ni DHAMBI. Na Ole wake yule ayakayesababisha mmoja wapo wa watoto hawa kutenda dhambi...................<br /><br /><br />JJ<br /><br />Ps: Unaweza kuutuma ujumbe huu kwa Kaka Mwakatobe na marafiki zetu wengine, lakini usiupeleke kama makala ya kwenye gazeti kwa kweli. Sijafanya uhariri wowote wala kuweka mpangilio, nimeandika mawazo kwa kadiri yalivyokuwa yakitiririka. Heri ya Mwaka Mpya na wasalimie Kigoma.<br /><br /><br /><br /><br /> </span></div><div class="blogger-post-footer"><img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/13876107-3487890244995569083?l=www.chadema.net%2Fblogu%2Fmnyika%2Findex.html'/></div>UDIhttp://www.blogger.com/profile/14745780769836030111noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-13876107.post-75296995234202545312008-01-12T20:56:00.000+03:002008-01-12T20:59:13.238+03:00‘HELIKOPTA YA CHADEMA’: RAHA, KARAHA AU ‘SILAHA’?<br /><br />Na John Mnyika<br /><br />Wakati wa uchaguzi mkuu 2005 “Helikopta ya CHADEMA” ilizua hamasa na mjadala mkubwa. Wako walioponda na wapo waliosifia. Mapema mwaka huu baraza kuu la CHADEMA lilitangaza kwamba chama kitaendelea kutumia helikopta kama moja ya vitendea kazi wakati wa utekelezaji wa mpango mkakati wa miaka mitano ya chama hiki. Wiki chache zilizopita vyombo kadhaa vya habari viliripoti kwamba CHADEMA inatarajia kutumia helikopta katika ziara yake ya kuwashukuru wananchi na kutekeleza baadhi ya mikakati ya chama huku chombo kimoja cha habari kikisema kwamba “Helikopta hiyo itakodiwa kwa dola 1200 kwa saa hivyo kwa saa 24 itakuwa dola za kimarekani 28,800 kwa siku. Hii ni sawa zaidi ya milioni 35 kwa siku”. Eti, CHADEMA itakodi helikopta kwa shilingi za kitanzania 35,000,000 kwa siku!. Hoja na maswali mbalimbali yametolewa kuhusu helikopta. Lengo la makala hii ni kujibu baadhi ya maswali na kupanua mjadala kuhusu matumizi ya helikopta. Wakati serikali ilipoamua kutumia magari ghali maarufu kama mashangingi, palikuwa na mjadala mkali. Wakati serikali iliponunua ndege ya raisi kwa takribani bilioni 40 mjadala ulikuwa kitu cha muhimu. Wakati serikali iliponunua rada ya kijeshi kwa gharama kubwa hutukuweza kuepuka kujadili kama walipa kodi. Kadhalika CHADEMA kama chama cha siasa kinaposemwa kinataka kutumia milioni 35 kwa siku kukodi chombo cha usafiri tunapaswa kwa kweli kukijadili. Tunawajibu huo kwa kuwa vyama vya siasa ni asasi za wanachama. Lakini pia ni asasi za umma kwa kuwa zinaendeshwa kwa pesa za walipa kodi kwa kiasi fulani. Hii ni kwa sababu ruzuku inayotolewa na serikali kwa vyama vya siasa vyenye wabunge na vilivyofikisha asilimia inayotakiwa ya kura inatokana na kodi za wananchi.<br /><br />Si kweli kwamba gharama za kukodi helikopta ni shilingi milioni 35 kwa siku. Na kwa mtazamo wangu ni kwamba katika kufanya ziara mfulululizo za kisiasa katika nchi kubwa kama Tanzania helikopta ni nafuu kuliko magari na ndege. Najua wengi mtashangaa!. Huu ndio ukweli. Helikopta nyingi duniani zinakodishwa kati ya dola 1000 na dola 2000 kutegemea aina, mwendo kasi, msimu nk. Uchaguzi 2005 CHADEMA ilikodi helikopta ya dola 1200 kwa saa. Kwa kampeni zote zilizoratibiwa na makao makuu ya chama, CHADEMA ilitumia jumla ya Tsh milioni 750 na ushee. Kati ya hizo ni sh milioni 223 tu zilitumika kwenye helikopta. Na si bilioni 3 kama baadhi wanavyosema, na pesa hizi zilitoka wanachama na wapenzi wa chama humu humu nchini. Na kwa kweli CHADEMA inapaswa kupongezwa kwa kuwa wazi kusema imetumia shilingi ngapi na kuvitaka vyama vingine navyo viseme. CHADEMA iliviambia vyama vingine navyo viseme toka Mei sasa ni Disemba. Kimya!!!Bado wanaandaa mahesabu toka Disemba mwaka jana uchaguzi ulipokwisha!.<br /><br />Nirejee kwenye mjadala wa helikopta!. Wasichojua watu ni kuwa helikopta, tofauti na vyombo vingi vya usafiri gharama zake za kukodi zinahesabiwa kwa muda ambao helikopta inakuwa hewani. Helikopta ikiwa chini hailipiwi gharama za kukodi. Wanachofanya tu ni kukupa kiwango cha chini kabisa cha kuruka kwa siku ambacho mara nyingi ni saa moja na kiwango cha chini kabisa cha siku za kukodi ambacho kwa mashirika mengi ni wiki moja. CHADEMA katika uchaguzi uliopita ilikuwa inatumia kati ya saa moja hadi mawili kwa siku!.<br /><br />Sasa tuchukue kadirio la juu- masaa mawili kwa siku, hii inafanya gharama kuwa dola 2,400 kwa siku. Mafuta ya ndege ni kati ya tsh 900 na 1200 kwa lita. Ila kwa uzoefu wanngu mafuta ya masaa mawili ni takribani asilimia 10 ya gharama za kukodi kwa hiyo ni dola 240. Jumla kwa siku ni takribani dola 2640, tufanye 2700 ili tuweze kufanya mahesabu kwa urahisi. Tukigeuza kwenda fedha za kitanzania hii ni sawa na takribani 2,970,000 kama dola moja ikiwa shilingi 1100 .<br /><br />Kwa hiyo gharama ya CHADEMA kukodi helikopta kwa siku ni shilingi hata tukimbandisha kupindukia milioni 3 tu. Ukifanya mikutano 8 kama ambavyo Mbowe alikuwa akifanya kwenye uchaguzi 2005 kwa siku hii ni sawa na wastani wa kadirio la juu wa shilingi laki nne kwa mkutano mmoja. Laki nne kwa mkutano mmoja wa mgombea urais. Hizi ni pesa kidogo. Mkutano uliofura watu ambao wamekuja wenyewe bila kubebwa na FUSO wala mabasi wala kuletwa kulipwa posho wala kuja kwa kupewa fulana na kofia. Wanakuja kwa ridhaa yao. Hii ni kuwa very cost effective(umakini katika gharama)! Iliwahi kusemwa kwamba Naambiwa mkutano mmoja wa kikwete wa Jangwani uligharimu tsh milioni 20. Hii ni sawa na mikutano mingapi ya helikopta? Gharama za kukodi ‘shangingi’ moja kwa siku ni dola 200. Hii ni sawa na 1/6 ya kukodi helikopta kwa gari moja tu!. Kikwete alikuwa na msafara wa mashangingi mangapi katika msafara wake wa kampeni? (watasema aliyanunua- sawa sasa tuyahesabu katika rate ya kukodishwa!). Haishangazi katika maeneo walikuwa wakitumia mashangingi ya serikali. Msafara wa magari mengi unahitaji watendaji kiasi gani? Kama kila mmoja akilipwa posho ya kati ya 20 na 30 jumla ya gharama kwa siku ni kiasi gani? Kikwete na Shein walikuwa wavuki kwa magari pekee mkoa hadi mkoa. Walikuwa wakitumia ndege ya serikali. Eti walikuwa wanaikodi. Ndege ya serikali kukodi ni bei gani kwa safari? Inatofauti gani na helikopta? Lakini je, ndege inaweza kutua kijijini na kufanya mikutano kama nilivyosema? Haya ndiyo mambo yanayohitaji mjadala!<br /><br />Wapo wanaotoa hoja kwamba helikopta inafika maeneo machache tu. Ukweli ni kuwa helikopta inafika maeneo mengi hata yale yasiyofikika kirahisi. Katika uchaguzi uliopita CHADEMA ilitumia magari katika awamu ya kwanza ya kampeni. Tukapata uzoefu wa kutumia magari katika kampeni za urais. Kumbuka hii ilikuwa ni mara ya kwanza kusimamisha mgombea urais. Katika awamu ya pili na kuendelea CHADEMA ilitumia helikopta. Mosi, Baada ya kuanza kutumia helikopta CHADEMA ilikuwa na uwezo wa kufanya wastani wa mikutano 8 kwa siku. Hii ilifanya Mbowe awe mgombea aliyefanya mikutano mingi kuliko mgombea mwingine yoyote tena katika maeneo yenye utofauti mkubwa wa umbali. Pili, CCM ni wajanja, siku za kampeni(kabla ya muda kuongezwa ni around 70) wakati ambapo nchi ina wilaya zaidi ya 130 na majimbo zaidi ya 230. Mgombea urais anayetumia magari kufanya mkutano mmoja kila wilaya kwa siku hawezi kumaliza nchi nzima katika kipindi hiki kifupi cha kampeni. CCM inatumia ‘faida’ ya kuwa na wakuu wa wilaya, wakuu wa mikoa nakadhalika kuziba mapengo na kuwa na ‘nguvu ya ziada ya kushindana’(competitive edge). Njia moja ya kuwazidi kete ni kutumia helikopta kwenda maeneo tofauti kwa haraka. Tatu, CCM imeshindwa katika miaka zaidi ya 45 ya utawala wake imeshindwa kuweka mtandao mzuri wa barabara mpaka vijijini kabisa. Hiki ni kikwazo cha wagombea wa uraisi kufika kila mahali. Yapo maeneo ambayo mpaka sasa wanadhani Nyerere bado ni rais. Hapafikiki kirahisi. Helikopta ilikuwa na makawa na jenerata ndogo. Ipo mikutano ambayo ilifanyika vijijini kabisa ambapo ingekuwa ngumu kufika kwa magari katika wakati mwafaka. Huku ni kuwafikishia ujumbe wa mabadiliko wananchi waliopembezoni kabisa!. Sasa itatumika tena kuchambua mwaka mmoja serikali imefanya nini na imeshindwa kufanya nini na kuwahamasisha uwajibikaji na kusambaza ‘TUMAINI JIPYA’. Hii ni kwa manufaa kwa Taifa zaidi ya vyama..<br /><br />Wapo waliotoa hoja kwamba helikopta imekuwa ikimbeba Mbowe pekee na kwamba inawakosesha fursa viongozi wengine kuhutubia mikutano. Si kweli kwamba helikopta ilimbeba Mbowe pekee. Helikopta inategemea ukubwa. Ile ambayo CHADEMA ilikodi katika uchaguzi 2005 ilikuwa na uwezo wa kubeba abiria 3 na rubani. Kwa hiyo kupanga ni kuchagua, unaamua tu kuchagua ni viongozi wangapi wapande. Kwa hiyo alikuwa akipanda Mbowe, mratibu wa ziara ya helikopta ambaye humsaidia pia rubani kutambua maeneo na nafasi ya kiongozi mmoja. Hapa ilitegemea mahali. Yapo maeneo ambayo alipanda mgombea mwenza, yapo maeneo ambayo mgombea wa eneo husika wa ubunge alipanda na yapo maeneo ambayo kiongozi wa chama wa eneo husika alipanda. Kwa hiyo ilifanyika kutokana na hali na mahali. Binafsi nilipanda helikopta ilipokuja Ubungo- tulitua Kimara, Mbezi, Mabibo, Urafiki na kadhalika. Nilipanda kama mgombea ubunge wa jimbo la Ubungo katika mwaka 2005. Kwa hiyo wagombea wanaosema helikopta ni ya Mbowe pekee ni wazushi. Tatizo ni kuwa ilikuwa ukitaka kupanda helikopta lazima uache jimbo lako uende kuipandia katika jimbo ambalo mkutano wa mwisho unafanyika kabla ya kufika kwako. Kwa hiyo wapo waliamua kubaki jimboni kwao waisubiri ije wampokee mgombea urais. Ilikuwa ni suala la kuchagua tu. Lakini kupanda helikopta ni nini mpaka watu wagombanie? Kiongozi wa chama wa eneo husika anapaswa kuwa uwanjani akimsubiri mgombea wake wa urais au kiongozi wa kitaifa afike ampokee, hizo ndizo itifaki.<br /><br />Wapo wanaotoa hoja kwamba hizo pesa zilizotumika kwa ajili ya helikopta zingepelekwa katika matumizi mengine. Nyerere aliwahi kusema, kupanga ni kuchagua. Hizo milioni 200 na ushee zilizopelekwa katika helikopta zingepelekwa katika matumizi mengine zisingeleta kishindo kama ambayo imeletwa na helikopta. Kupanga ni kuchagua. Lakini, kama ni kupelekwa maeneo mengine shilingi milioni 500 zilipelekwa katika maeneo mengine mathalani mabango, vipeperushi, vyombo vya habari, kusaidia wagombea ubunge katika maeneo ambayo chama kilikuwa na uwezekano mkubwa wa kushinda kwa mujibu wa tathmini ya vikao vya huu vya chama.<br /><br />Wapo wanaosema helikopta ni ‘raha mustarehe’ hivyo ni ishara ya Mbowe na CHADEMA kupenda anasa. Ukweli ni kuwa helikopta ni suluba, helikopta ni kazi. Kwa yoyote aliyewahi kupanda helikopta ya polisi ambayo inashabihiana na ile iliyotumiwa na CHADEMA anajua kuwa kupanda helikopta ni kuweka roho rehani kama sio hewani. Helikopta inaleta suluba ya kuongeza idadi ya mikutano, binafsi nampa pole Freeman kwa kuhutubia mikutano mingi namna hiyo kwa siku. Huyu jamaa angekuwa ‘kimeo’ angeanguka siku nyingi sana! Lakini jamaa alikuwa wima siku zote za kampeni. Sijasikia ameanguka jukwaani. Helikopta ni chombo cha kazi. Helikopta tunayotumia haina kiyoyozi kama mashangingi, haina viti vinavyofanana na masofa kama mashangingi. Haina raha kama ndege ya serikali wala haina anasa kama ndege ya rais. Hakuna wahudumu ndani wala ratiba ya kupewa juisi na keki. Karaha ya helikopta ni harufu ya moshi na vumbi la upepo mkali unaposhuka. Ni ishara ya mapambano na harakati!. Ni ‘silaha’ ya vita vya kidemokrasia dhidi ya mfumo mbovu wa utawala unaopenda anasa!<br /><br />Wapo wanaojenga hoja kwamba Tanzania bado haijafikia ngazi na hadhi ya viongozi wake wa vyama vya siasa kutumia helikopta.Lol, salaale! Huku ni kujidharau. Wakenya jirani zetu hapo wanatumia helikopta mpaka kukagua mashamba. Ile helikopta ambayo CHADEMA ilikodi pamoja na kurudi kufanyiwa matengenezo ilitumiwa pia na watu wa mashindano ya magari. Ni helikopta ilitumika kuhamasisha wananchi kwenye vuguvugu la chungwa(ODM) kuhusu katiba Kenya. Lazima tuwe na viongozi wenye kuona mbali na kujua nini tunastahili kwa raslimali tulizonazo!. Hatuwezi kuwa na chama kinachoona jembe la mkono ndio halali yetu tukipanda kidogo eti tutumie plau na mikokoteni ya kukokotwa na ng’ombe. Tunapaswa tuwe na uwezo wa kufikiri ‘nje ya boksi’.<br /><br />Wapo wanaosema kwamba suala la kutumia helikopta ni uamuzi binafsi wa Mbowe. Ukweli ni kuwa helikopta ni mkakati wa CHADEMA sio wa Mbowe. Uamuzi wa kutumia helikopta ulifanywa na baraza kuu la chama na kuridhiwa kwa kauli moja na mkutano mkuu wa CHADEMA. Sio uamuzi wa Mbowe ule!. Hata baada ya uchaguzi, baraza kuu lilikaa tena kutathmini na kwa kauli moja walipongeza matumizi ya helikopta na kupitisha azimio la kuendelea kutumia helikopta. Kwa hiyo helikopta ni mkakati na utamaduni wa CHADEMA. Helikopta inatarajiwa kutumika tena kwenye ziara TUMAINI JIPYA. Lakini helikopta ni njia moja tu inayotumiwa na viongozi wa kitaifa kwa kipindi fulani kwa nia fulani ya kisiasa!Kuwafikia wananchi wengi kwa muda mfupi na ujumbe mahususi. Ipo mikakati mingine, mathalani „CHADEMA ni Msingi“, kama ni jeshi basi huu ni mkakati wa vikosi vya ardhini. Wa chini kwa chini!. Huu unahusisha kutuma vikosi vya makada na viongozi wa kitaifa kufanya mikutano midogo ya hadhara katika kijiji na mitaa na kuingia mikutano ya ndani kutoa mafunzo na kujenga netweki au oganizesheni ya chama nganzi ya chini kabisa!. Huu utaanza mara baada ya helikopta ‚kulipua mabomu’ ngazi ya juu. Hii ni sayansi ya vita vya kisiasa....hii ndiyo vita ya kidemokrasia ya kuhamasisha nguvu ya umma.<br /><br />Wapo waliosema kwamba ‚mtoa ujumbe kwa kutumia helikopta hufika na ujumbe wake na kuondoka na ujumbe wake’. Ukitaka kujua kuwa ujumbe wa helikopta ulileta hamasa angalia jinsi ambavyo wagombea walikuwa wakiweweseka baada ya helikopta kupita maeneo yao. Utakuwa huwatendei haki watu wa Tarime kwa mfano kuwaambia kwamba baada ya Helikopta kupita na Mbowe kumwaga maneno alipoondoka walisahau kila kitu. Ingawa nakubali kuwa kuna baadhi ya maeneo CHADEMA ilisia mbegu katika jangwa na pengine katika magugu. Ni hadithi ya mpanzi! Ndio maana sasa CHADEMA imeamua kujikita katika kusuka vizuri na upya uongozi wa chama ngazi ya chini. Tunaanza uchaguzi kuanzia msingi, tawi na kuendelea mpaka taifa kuanzia uchaguzi wa mwakani. Watanzania wategemee chama kuongeza nguvu. Tunachotaka ni nguvu na mamlaka ya umma.<br /><br />Ila suala la muda wa kuzungumza naamini linastahili kuzingatiwa. Kwa hiyo katika awamu ya sasa nategemea kwamba mikutano ya helikopta itahusisha saa si chini ya moja kwa kila mkutano kwa mzungumzaji mkuu kuweza kuzungumza. Kwa maneno mengine sasa badala ya mikutano nane na zaidi kwa siku itapaswa kufanyika mikutano kati ya minne na mitano tu kwa siku. Hakuna kulala mpaka Kieleweke. Watoto wa kijiweni husema, huu utakuwa ni wakati wa makamuzi ya kufa mtu!.<br /><br />Wapo wanaosema kwamba watu hufika kushangaa helikopta tu! Kuna rafiki yangu mmoja hupenda kujibu hoja hii kwa mzaha kwamba, unaweza kuja kushangaa ndevu za shekhe ama padri lakini kwa dakika tano unazomsilikiliza ukaona TUMAINI JIPYA. Hivi!, tunawafanya watanzania washamba kiasi hiki kiasi kwamba hawajui kuchagua jema na baya.....wapo washangaaji-nakubali, lakini wapo pia ambao yanayozungumzwa huwasukuma kuamua.<br /><br />Wapo viongozi na wagombea wachache wanaojitoa katika upinzani na husema kwamba wanajitoa eti kwa kuwa Mbowe anatumia helikopta badala ya kutoa pesa kwao. Wahenga husema „Mbaazi zikikosa maua husingizia jua’! <br /><br />Ukweli ubaki pale kwamba helikopta ina wapenzi na washabiki wengi. Inapondwa zaidi na viongozi wa juu hususani wa CCM kama sehemu ya mikakati ya kuichafua CHADEMA na kuchochea migogoro. Hivi majuzi tu wakati wa uzinduzi wa mikakati ya CCM katibu mkuu wa chama hicho alisikika ‚live’ akisema kwamba waachane tu waruke na helikopta wakati sisi tunazindua mikakati. Bila kukumbuka kwamba CHADEMA ilitangulia kuzindua programu yake ya miaka mitano katikati ya mwaka juzi kabla ya CCM kufanya hivyo wiki iliyopita.<br /><br />Najua wapo pia wachambuzi wachache wanaoponda matumizi ya helikopta lakini najua bi kutokana tu na kutopata siri za upande wa pili wa shilingi kuhusu helikopta. Lila na fila havitangamani asilani.<br /><br />Ukweli ni kwamba helikopta ni chombo tu kinachomwezesha mwanasiasa wa kitaifa katika nchi kubwa na yenye miundo mbinu duni kama ya kwetu kufika katika maeneo mengi na pengine hata yasiyofikika kwa muda mfupi na kwa gharama nafuu. Helikopta ni ubunifu na ishara kwamba CHADEMA ingekuwa madarakani ingetumia ubunifu mwafaka mathalani hata katika kuleta umeme, badala ya kuja na ‚ubunifu wa RICHMOND.<br /><br />Mwandishi wa makala hii ni Mkurugenzi wa Vijana wa CHADEMA anayepatikana kupitia <a href="mailto:mnyika@yahoo.com">mnyika@yahoo.com</a> , www.chadema.net na 0754 694 553<div class="blogger-post-footer"><img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/13876107-7529699523420254531?l=www.chadema.net%2Fblogu%2Fmnyika%2Findex.html'/></div>UDIhttp://www.blogger.com/profile/14745780769836030111noreply@blogger.com1tag:blogger.com,1999:blog-13876107.post-1169836025011842352007-01-26T21:20:00.000+03:002007-01-26T21:27:05.050+03:00PROFESA MSOLLA : SULUHISHO LA MIGOMO NI KUTOA HAKI KWA WANAFUNZI<br /><br />Na John Mnyika<br /><br />Hivi karibuni, akiwa mkoani Mbeya katika majumuisho ya ziara yake ya vyuo vikuu. Waziri wa Sayansi teknolojia na elimu ya juu, Mh Prof-Peter Msolla, alinukuliwa na vyombo vya habari akitoa vitisho kwa wanafunzi wa vyuo vikuu kwa madai kuwa wanafunzi wanaohusika na migomo vyuo vikuu wanajiandalia mikosi na kwamba hawatapata ajira baada ya masomo yao.<br /><br />Prof Msolla ametoa kauli hiyo huku kukiwa na vuguvugu la wanafunzi wa vyuo vya elimu ya juu kupinga taratibu za sasa za utoaji mikopo ambapo kwa mujibu wa taratibu za sasa ambazo kimsingi zinakinzana na sheria halisi ya mikopo. Pamoja na mapungufu mengine ya msingi ni kwamba wanafunzi wanalazimika kuchangia asilimia 40 ya gharama za masomo. Na sasa vuguvugu hili huenda likasambaa zaidi wakati wowote kwani mpaka sasa kuna taarifa kuwa baadhi ya wanafunzi katika baadhi ya vyuo wanashinikizwa kuchangia pesa hizo ambazo ni kati ya laki 3 na zaidi ya laki 5 ili waruhusiwe kuingia darasani sambamba na kupewa huduma zingine za msingi.<br /><br />Aidha, hivi karibuni, vyombo vya habari vimeandika kwamba wanafunzi wa Chuo cha Kilimo Sokoine (SUA) waliendesha mgomo na kuja wizarani kutaka kuonana na waziri kupinga utaratibu wa kuchangia asilimia 40 ya mkopo. Pesa hizi ni takribani laki 5 ambazo walipaswa kuzilipa kabla ya kuanza masomo.<br /><br />Imeelezwa kuwa serikali imewataarifu kuwa wasaini mikataba na kuendelea na masomo. Uamuzi huu unaweza kutafsiriwa kuwa tayari serikali imewasaidia wanafunzi hawa kuendelea na masomo.<br /><br />Lakini ukweli ni kuwa huu ni mtego. Ni wazi kwamba serikali ama inasubiri kipindi cha karibu na mitihani ndipo iwabane wanafunzi kwa kuwataka kulipa hiyo asilimia 40 au inaweza kuwaruhusu wafanye mitihani na pindi watakapokwenda likizo ikatoa maelekezo kuwa wasiolipa wasirejee mpaka watakapopata pesa za kulipa.<br /><br />Huu ni mkakati wa ‘wagawe uwatawale’ (divide and rule) ambao serikali imekuwa ikiutumia mara kwa mara kuvunja mshikamano wa wanafunzi. Na hii inathibitika kutokana na kauli ya Waziri wa Elimu ya Juu, Prof Msolla ambaye amenukuliwa na gazeti la Uhuru la Januari 17 akisema kwamba serikali haina mpango wa kulipa hiyo asilimia 40 kwa kuwa wanafunzi walikwishasaini fomu za mikopo na kwamba sharti hilo lilikuwa sehemu ya mkataba. Waziri anasahau kuwa fomu hizo zilishasainiwa na wanafunzi chini ya shinikizo la serikali pamoja na ahadi mbalimbali kwamba serikali iko mbioni kuandaa utaratibu mzuri zaidi. Tunachotaka ni serikali kutoa tamko kwamba itahakikisha kwamba utaratibu huu unafutwa kwa kutenga pesa katika bajeti ya mwaka huu ikiwemo za kulipia gharama za wanafunzi walioko masomoni hivi sasa.<br /><br /><br />Ni katika muktadha huo, tunapaswa kulijadili suala hili ili kuhakikisha serikali inafika mahala inakiri kuwa mikopo sio hisani , ni haki ya kila mtanzania anayepata udahili wa chuo kikuu kwa mujibu wa sheria inayounda bodi ya mikopo. Na kwa mantiki hiyo tunasisiza msimamo wetu katika misingi ifuatayo;<br /><br />Migomo na Maandamano ni moja ya njia halali katika kudai haki.<br />Kauli ya Mh Waziri ni kama vitisho ambavyo vilikuwepo hata wakati wa serikali ya mkoloni wa kizungu kuwadhibiti wanafunzi wanao nyanyaswa na serikali yao wasipisisimamie haki yao kwa vigezo kwamba kufanya hivyo ni kujihatarishia mazingira ya ajira punde baada ya kumaliza masomo yao.<br /><br />Tunapaswa kutambua kuwa nguvu ya umma ni hatua ya mwisho katika kuhakikisha umma unapata haki yake stahiki kutoka kwa serikali isiyojali. Migomo na maandamano ni hatua ya mwisho inayorejesha wadau katika meza ya majadiliano baada ya hatua za awali za majadiliano kutokuzaa matunda.<br /><br />Maandamano na mashinikizo ya hali ya juu kutoka kwa wanafunzi wenyewe dhidi ya serikali ni mambo yasiyoepukika kama hatua ya mwisho kwani serikali yetu imekuwa na tabia ya kutowatendea haki wanafunzi kila wanaponyanyaswa mpaka wanapoamua kusitisha masomo kwa migomo na maandamano.<br /><br />Hivyo kwa kuwa serikali imejenga tabia ya kutowasikiliza wanafunzi wa elimu ya juu mpaka wagome na kuandamana, Na kwakuwa migomo na maandamano ni njia zinazoruhusiwa kwa mujibu wa mikataba ya kimataifa ya haki za binadamu, katiba ya nchi na sheria za taasisi mbalimbali ikiwemo vyuo vikuu kama moja ya njia ya kushinikiza haki kutendeka. Hivyo si ajabu kwa wanafunzi wa elimu ya juu kufanya kila linalowezekana ikiwa ni hata kugoma na kuandama kwa mujibu wa sheria ili kuhakikisha haki yao inapatikana, inalindwa na kuheshimiwa.<br /><br />Jumuiya ya wasomi kama vyuo vikuu kuacha haki yao inyongwe kwa hofu ya kitambo, tena isiyo na ukweli wowote ni mfano mbaya wa namna wasomi wanaotarajiwa kuwa mstari wa mbele kupigania mabadiliko ya msingi ili nchi hii ikombolewe wanavyoweza kudhulumiwa haki yao mbele ya umma unao watazama kama majemedari na wakombozi watarajiwa.! Ni usaliti wa hali ya juu.! Ni usaliti kwa nafsi zao, ni usaliti kwa taifa lao.<br /><br />Ndio maana natoa rai kwa Mh Waziri kuacha vitisho, na badala yake ahakikishe wanafunzi wanapata haki yao kama kweli ni msomi mzalendo. Hakuna binadamu anayependa kugomagoma wala kuandamana. Serikali isiwaweke wanafunzi katika mazingira yanayowalazimisha kugoma na kuandamana.<br /><br />Haiingii akilini kwa mwanafunzi kutishwa kuwa asigome na wala kuandamana kwa madai kuwa kufanya hivyo kunahatarisha ajira yake hapo baadae wakati ukweli ni kwamba mwanafunzi asipogoma hatopata mkopo, na asipopata mkopo atafukuzwa chuo, hatomaliza Chuo. Sasa kama hatopata mkopo na kushindwa kumaliza chuo, ni ajira gani ambayo Msola anasema wanafunzi wanahatarisha ?<br /><br />Mapungufu ya sera na utekelezaji wa sera ya mikopo.<br />Utaratibu wa sasa wa mikopo una mapungufu mbalimbali ya kimsingi ambayo yanaleta mkanganyiko wa hali ya juu katika taifa hili, na zaidi unatishia mustakabali wa elimu hiyo kwa wanafunzi wa kitanzania wanao toka familia masikini.<br />Mosi ; Dhana ya uchangiaji wa gharama za elimu ya juu imegeuzwa kuwa mfumo wa kufanya elimu ya juu nchini kuwa bidhaa inayouzwa badala ya huduma (service). Dhana nzima ya uchangiaji gharama za masomo ya elimu ya juu imepotoshwa , Kwa mujibu wa sera ya serikali , Mwanafunzi anatakiwa kuchangia asilimia 40 na serikali kumchangia asilimia 60 ya mkopo wote.<br /><br />Lakini kinachotokea ni kwamba, wanafunzi wanapewa mkopo wa asilimia 60 (huu ni mkopo sio mchango kwani watalipa), na baadae mwanafunzi anatakiwa kujilipia mwenyewe asilimi 40 ya gharama zinazobaki.<br /><br />Hivi katika muktadha huu, serikali inawezaje kusema kuwa inawachangia wanafunzi kusoma elimu ya juu ? Hii ni cost sharing ya namna gani ? .Kilichopo hapa ni mwanafunzi kujilipia asilimia 100 za gharama za masomo yake (total cost bearing).<br /><br />Pili ; Dhana ya kutoa mkopo kwa wanafunzi waliofaulu kwa daraja la kwanza wavulana, na la kwanza na la pili wasichana ina mapungufu ya msingi. Kwanza inapingana na sheria ya mkopo kuwa kila atakayekidhi vigezo vya mkopo ikiwa na maana ya kupata usajili/udahili wa chuo na kuhakikisha kuwa hana uwezo wa kujisomesha atapatiwa mkopo. Kinachozungumzwa hapa ni kufikia viwango vya kusajiliwa/kudahiliwa chuoni na sio utaratibu wa madaraja kama ulivyoelezwa hapo juu.<br /><br />Baada ya upinzani kutoa msukumo katika suala hili, serikali ilirudi nyuma kidogo na kuamua kutoa mkopo kwa baadhi ya wanafunzi wa daraja la pili wavulana na la tatu wasichana ambao wengi wao walijiunga na ualimu. Hii ni kwa mujibu wa kauli ya Mh Rais kuwa pamoja na serikali kuwaruhusu baadhi ya wanafunzi wa daraja la pili wavulana, na la tatu wasichana, lakini bado vigezo vilivyowekwa katika fani mbalimbali ni kikwazo kwa wanafunzi hawa kujiunga na vyuo husika.(mathalani katika fani za udaktari na uhandisi).<br /><br />Vigezo vilivyowekwa vilizingatia uhaba wa fursa zilizopo kwa msingi wa ni kiwango gani serikali imepanga kutoa mkopo katika fani fulani. Kwa mantiki hiyo, serikali inapotoa tamko kuwa imewaruhusu wanafunzi wa daraja la pili wavulana na la tatu wasichana katika fani chache, bila kuhakikisha vigezo vinabadilishwa, ni sawa na kutoa haki ambayo haipo. Ni kuwafanyia ‘usanii’ vijana wake.<br /><br />Ni vyema Mh Rais atambue hilo, lakini pia atafiti kuhusu ukweli wa kauli yake kuwa serikali inasomesha wanafunzi waliofaulu vizuri kabisa kwa madai kuwa serikali haiwezi kuwekeza kwa wanafunzi wasio na uwezo.<br /><br />Nasema hivyo kwa sababu kuu mbili : Kwa upande mmoja, kuna wanafunzi wengi wanao faulu kwa kiwango cha chini kutokana na mazingira ya shule wanazosomea, mifano dhahiri ni shule za serikali na zile za umoja wa wazazi wa CCM, shule hizi nyingi hazina walimu wala vifaa, mwanafunzi anayepata daraja la tatu au la pili katika shule za aina hii anao uwezo mkubwa wa kujifunza kuliko wanafunzi wengi wanao soma katika shule za kimataifa, seminari na baadhi ya shule za sekondari chache za serikali ambazo zinafaulisha vizuri.<br /><br />Kwa upande mwingine, Kauli hii imekuwa ikithibitishwa na maprofesa wanaofundisha vyuo vikuu kwa kubainisha wazi kuwa wanafunzi wengi wanaofanya vibaya vyuo vikuu ni wale wanaotoka shule zenye majina makubwa ambao waliingia kwa alama za juu. Kwa maana hiyo basi, hoja ya Mh. Rais kumchukulia kila mvulana aliyepata daraja la pili na kila msichana aliyepata daraja la tatu hawezi kufanya vizuri sana, ina mapungufu hayo ya msingi.<br /><br />Tatu ; Dhana ya kwamba waliopata daraja pili wavulana, na la tatu wasichana kuwa ndio wenye uwezo wa chini kitaaluma, na kwa hiyo wataenda ualimu ni kielelezo kuwa , serikali yetu inaamini Ualimu ndio taaluma isiyohitaji utaalamu sana, na hivyo haihitaji watu wenye uwezo mkubwa. Kitu ambacho kimewahi kurudisha maendeleo ya taaluma nchini kwa miaka kadhaa sasa.<br /><br />Nne ; Mwisho lakini kubwa zaidi ni kwamba chama tawala CCM katika ahadi zake wakati wa kampeni iliahidi kuhakikisha inawapatia mkopo wanafunzi 30,000 kwa mwaka. Hata hivyo waliofaulu kwa kiwango cha daraja la kwanza mpaka la tatu ni wanafuzi 21,000 tu. Hivyo kama serikali ingekuwa inatekeleza ahadi zake wanafunzi wote wangepata udhamini wa chuo kikuu. Hata hivyo zaidi ya nusu ya hao , ambao walikidhi vigezo vya mkopo hawakupata mkopo.<br /><br />Rai yangu kwa serikali, namuomba tena Mh Rais amshinikize waziri wa elimu ya juu , aufahamishe umma wa Tanzania ni kwa kiwango gani serikali yako imeshindwa kutimiza ahadi uliyoitoa wakati wa kampeni. Na pia serikali ieleze ni wanafunzi wangapi walistahili mkopo kwa mujibu wa sheria lakini wamekosa na sasa inaandaa utaratibu gani kuhakikisha walikosa mwaka 2006 watapewa haki yao mwaka 2007, na kwamba mwaka 2007 kosa halijirudii na kwamba ahadi ya Mh rais itatekelezwa. Ili serikali iweze kutekeleza ahadi yake inapaswa kutenga si chini ya bilioni 195 kwenye bajeti ya mwaka huu kwa ajili ya mikopo. Hii inawezekana, kwani kama tunaweza kutenga bilioni 272 katika miradi yenye utata kama mkataba wa RICHMOND, inashindwaje kusikiliza matakwa ya wananchi ya kufanya suala la elimu kuwa kipaumbele ? Kama Mfanyabiashara mmoja wa kitanzania anaweza kutuhumiwa kupata shilingi bilioni 15 ambayo ni sawa na milioni elfu 15 kama ‘hongo ya asilimia 30’ kwenye ununuzi wa RADA tunaweza kweli kusema hatuna pesa za kusomesha wanafunzi elfu 15 wanaohitaji takribani shilingi milioni moja kwa mwaka ?<br /><br />Mwelekeo wa elimu ya juu nchini.<br />Kwa ujumla kadri miaka inavyokwenda, na awamu za utawala wa CCM zinavyobadilika, ndivyo mwenendo wa elimu ya juu nchini unavyozidi kwenda kombo, na zaidi unaelekea kujenga matabaka ya masikini wasio na haki ya kupata elimu dhidi ya matajiri wenye uwezo wa kununua elimu.<br /><br />Itakumbukwa kuwa katika awamu ya kwanza ya serikali ya TANU, na baadae CCM ya wakulima na wafanyakazi chini ya Hayati Baba wa Taifa. Mwl Julius Kambarage kwa mtazamo wa siasa ya ujamaa, wanafunzi wote walisomeshwa bure chuo kikuu. Walipewa mahitaji yote ya msingi kwa mwanafunzi kuweza kusoma. Mwalimu aliweza kuwapatia watoto wa wakulima na wafanya kazi masikini elimu ya bure bila hata ya kuuza migodi, hifadhi za wanyama makampuni na nyumba za serikali na mali zote za watanzania. Viongozi walioko madarakani hivi sasa wengi wao walisomeshwa na serikali, ni vipi wanashindwa kuweka utaratibu mzuri wa kizazi kipya kupata fursa ya elimu ya juu?<br /><br />Serikali ya awamu ya pili ilijaribu kuwalazimisha wanafunzi wajilipie chuo kikuu, kwa sababu Mwalimu Nyerere alikuwepo, na wanafunzi walikuwa na uwezo mkubwa wa kujipanga na kupigania haki yao, serikali ilishindwa. Hata hivyo kadri Chama Cha Mapinduzi kilivyozidi kujipanga kuhakikisha kinamkandamiza mtoto wa kimasikini, ndivyo kilivyokaribia ushindi, hatimaye katika awamu ya tatu ya CCM kiliweza kushinikiza wanafunzi kujisomesha lakini kwa mkopo.<br /><br />Baada ya serikali ya awamu ya nne kuingia madarakani , tulitarajia mabadiliko ya msingi katika elimu ya juu. Lakini mbaya zaidi kilichotokea ni kwamba ni mwenendo mbaya na wa ukandamizaji zaidi kwa wanafunzi wanaotoka familia masikini.<br /><br />Wakati serikali ya awamu ya kwanza iliweza kuwasomesha wanafunzi wote bila kulipa hata shilingi wala mkopo, serikali ya awamu ya pili na ya tatu pamoja na kuuza migodi makampuni na mbuga za wanyama ilishindwa kuwasomesha wanafunzi masikini. Ilifuta utaratibu huo na kuanza kuwasomesha wanafunzi masikini kwa mkopo huku yenyewe ikijivinjari kwa maisha ya anasa katikati ya dimbwi linalotoa harufu ya umasikni.<br /><br />Serikali ya awamu ya nne iliyoingia madarakani kwa ahadi kemkem na kujifanya yenyewe ndio mkombozi. Ndani ya mwaka mmoja tu, mwenendo na kasi yake mpya, unaelekea kummaliza mkulima na mfanyakazi ambaye ambae pamoja na ukweli kuwa ndio aliyepigania uhuru wa nchi hii ndio masikini wa kutupwa katika nchi hii<br /><br />Wakati serikali ya awamu ya pili na tatu pamoja na uozo uliofanyika lakini iliweza kutoa mikopo. Serikali ya awamu ya nne kwasababu ya kuendekeza mikataba yenye mazingira ya rushwa na matumizi ya anasa sambamba na kukosa dira madhubuti ya uchumi, imeshindwa kutoa mikopo kwa wanafunzi masikini ambao ni watoto wa wakulima na wafanyakazi, na sasa inawataka waanze kujilipia.<br /><br />Naona hatari kubwa huko tuendako, na bila wanafunzi na asasi za kiraia kushika bango, serikali itaturejesha kwenye utumwa mkongwe wa wageni, maana mali zote zinasombwa na wageni, huku viongozi wetu wakiingia mikataba yenye utata kila kukicha. Bila wanafunzi na asasi hizo kusimama wima kudai haki hii, nchi yetu inaelekea rasmi kuingia kwenye ukoloni mamboleo.<br /><br />Hakuna nchi iliyofanya mapinduzi ya kisiasa, kiuchumi na kijamii bila ya kuwekeza zaidi kwenye elimu. Chama Cha Mapinduzi kinaposhindwa kufanya mapinduzi katika elimu maana yake hakiwezi kufanya mapinduzi katika maendeleo ya watu kama dhana ya mapinduzi ni katika maendeleo ya watu, labda kama maana yake ni vinginevyo.<br /><br />RAI YANGU KWA VIJANA<br />Naomba na kusisitiza kuwa, vijana tusitishwe wala tusirubuniwe. Tunataarifa kuwa CCM kimeanza kupita vyuoni na mbaya zaidi kinavunja sheria kiliyoipigania chenyewe ya kukataza siasa vyuoni, lakini sasa kinawatumia viongozi wa vyuo kufanya mkakati wa kuwaingiza vijana CCM, siwazuii vijana kuingia CCM lakini CCM izingatie sheria za nchi kwa upande mmoja,<br /><br />Na kwa upande wa pili, nawaomba vijana mtazame mbele zaidi , na kujiuliza mara mbili mara tatu juu ya ni nani atasimamia haki zenu ? Je sheria hizi zinamruhusu mdogo wako, ndugu yako, na hata mtoto wa jirani yako aliyeko kijijini kupata elimu ya juu?.Je unaweza kutetea na kuleta mabadiliko kwa mfumo uliopo kazi ambayo ilimshinda hata mwasisi wa CCM yenyewe, Hayati Baba wa Taifa letu, Mwl JK Nyerere ?<br /><br />Muda wa kustarehe vijana bado !, nchi ipo kwenye lindi la tope la umasikini , tusichelee kudai haki yetu na kuisimamia nchi yetu ikae kwenye mstari mnyoofu kwa hofu potofu ya kunyimwa kazi, au ahadi za kupewa ukuu wa wilaya, ubunge, ukurugenzi, nk.<br /><br />Tusimame pamoja tudai mabadiliko ya kweli mpaka serikali tuiweke kwenye kona yenye mwanga iweze kuona kuwa kupewa uongozi wa nchi ni kupewa dhamana na wananchi, na haina maana ya kuwa juu ya vichwa vya wananchi.<br /><br />Na nawataka wanafunzi wa vyuo vikuu wasiwe wabinafsi na kusimama kidete kwenye migomo na maandamano wakati wa kudai haki zao za mikopo tu bali watazame maslahi ya umma kwa ujumla ikiwemo masuala ya kupinga mikataba mibovu kama IPTL, RICHMOND, kwenye madini, ununuzi wa RADA na ndege ya rais. Huku kuna mabilioni ambayo yalipaswa kuelekezwa kwenye elimu.<br /><br />Profesa Msolla akumbuke maneno ya Mwanamuziki Bob Marley kwamba unaweza kuwadanganya baadhi ya watu kwa muda mchache lakini huwezi kuwadanganya watu wote kwa muda wote, na kama Mwalimu alivyowahi kusema haki haiwezi kupewa kwenye kisahani cha chai kama zawadi. Haki inatafutwa. Hakuna kulala, Mpaka kieleweke!<br /><br />Mwandishi wa makala hii ni mwanaharakati na mwanasiasa kijana anayepatikana kupitia 0754 694 553, mnyika@chadema.net<div class="blogger-post-footer"><img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/13876107-116983602501184235?l=www.chadema.net%2Fblogu%2Fmnyika%2Findex.html'/></div>UDIhttp://www.blogger.com/profile/14745780769836030111noreply@blogger.com1tag:blogger.com,1999:blog-13876107.post-1159712423935418072006-10-01T17:19:00.000+03:002006-10-01T17:20:23.936+03:00Mungu awalaze mahali pema:<br /><br /><a href="http://www.a-free-guestbook.com/guestbook.php?username=duesville">http://www.a-free-guestbook.com/guestbook.php?username=duesville</a><div class="blogger-post-footer"><img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/13876107-115971242393541807?l=www.chadema.net%2Fblogu%2Fmnyika%2Findex.html'/></div>UDIhttp://www.blogger.com/profile/14745780769836030111noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-13876107.post-1159712158107058392006-10-01T17:14:00.000+03:002006-10-01T17:15:58.106+03:00Tusambaze, tuweke kumbukumbu na kuhamasisha mabadiliko:<br /><br /><a href="http://www.jamboforums.co.tz/showthread.php?t=311">http://www.jamboforums.co.tz/showthread.php?t=311</a><div class="blogger-post-footer"><img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/13876107-115971215810705839?l=www.chadema.net%2Fblogu%2Fmnyika%2Findex.html'/></div>UDIhttp://www.blogger.com/profile/14745780769836030111noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-13876107.post-1159712022267843772006-10-01T17:11:00.000+03:002006-10-01T17:13:42.286+03:00Majibu yangu kuhusu mwelekeo wa CHADEMA:<br /><br /><a href="http://www.jamboforums.co.tz/showthread.php?t=291&page=3">http://www.jamboforums.co.tz/showthread.php?t=291&amp;page=3</a><div class="blogger-post-footer"><img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/13876107-115971202226784377?l=www.chadema.net%2Fblogu%2Fmnyika%2Findex.html'/></div>UDIhttp://www.blogger.com/profile/14745780769836030111noreply@blogger.com4tag:blogger.com,1999:blog-13876107.post-1159481764389721402006-09-29T01:15:00.000+03:002006-09-29T01:16:04.416+03:00<div align="justify"><br />DOKEZO KUHUSU UZINDUZI MPYA WA CHADEMA ULIOFANYIKA 13 AGOSTI 2006<br /><br />Na John John Mnyika<br /><br /> “Ukiona kobe ameinama ujue anatunga sheria” na “kimya kirefu kina mshindo mkuu”. Leo ni siku ya kipekee na ya muhimu sana, si tu kwa chama chetu, Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), lakini pia kwa wazalendo, wanaharakati, na watanzania wote kwa ujumla. Historia na hali ya chama chetu na vyama vya upinzani kwa ujumla hususani baada ya uchaguzi mkuu uliopita, ndivyo hasa vinavyojenga upekee na umuhimu wa sikuu hii.<br /><br />Mtakumbuka kuwa miaka kumi na tatu iliyopita CHADEMA ilizinduliwa rasmi baada ya kupata usajili wa kudumu tarehe 1 Julai, 1993 chini ya mfumo wa vyama vingi vya siasa. Wakati huo, waasisi wa chama chetu waliweka bayana imani, matumaini na mwelekeo wa CHADEMA. Toka wakati wa Mzee Edwin Mtei na wenzake, ambaye leo tumemzawadia kwa kuthamini mchango wake kama muasisi na mwenyekiti wa kwanza; Kwenda wakati wa Mzee Bob Makani na wenzake, ambaye leo tumemzawadia kama ishara ya kutambua utumishi wake uliotukuka alipokuwa mwenyekiti wa pili wa CHADEMA. Na sasa wakati wangu Freeman Mbowe na wenzake. Leo historia inaandikwa tena kwa kufanya uzinduzi mwingine. Hii ni ishara ya mwendelezo wa imani, matumaini na mwelekeo wa kweli wa CHADEMA chini ya misingi iliyowekwa na waasisi wa chama hiki.<br /><br />Nini hatma ya upinzani katika muktadha wa matokeo ya uchaguzi 2005 na utawala wa awamu ya nne?<br /><br />Tumekuwa kimya kidogo tangu kumalizika kwa uchaguzi mkuu 2005, uchaguzi uliokipa chama tawala ushindi wa asilimia themanini katika nafasi ya uraisi na upinzani kupata idadi ndogo ya wawakilishi wa ubunge na udiwani. Kwa ujumla matokeo yameonesha kuwa upinzani umeporomoka. Bila shaka ni vyema kwanza nikachukua fursa hii kugusia swali ambalo baadhi ya watu wamekuwa wakijiuliza pasipo kuwa na jibu ilhali wengine wakitoa majibu ya kupotosha: Nini hatma ya upinzani Tanzania baada ya matokeo ya uchaguzi mkuu 2005?. Ama kwa maneno mengine, Upinzani umekufa au unaelekea kufa?. Sina nia ya kujibu swali hili kwa kina kwa kuwa leo si mahali pake. Leo tunafanya uzinduzi wa CHADEMA. Lakini kwa kuwa CHADEMA kinaitwa ‘chama cha upinzani’ naona ni vyema nidokeze hoja kadhaa kuchochea mjadala zaidi kuhusu swali hilo. Hii ni kwa sababu imani, matumaini na mwelekeo wa CHADEMA unategemea pia mtazamo mwafaka wa watanzania kuhusu swali hilo.<br /><br />Nianze kwa kuweka bayana kwamba sipendezwi na jina – ‘vyama vya upinzani’. Sisi wanachadema tunapenda kukiita CHADEMA- ‘chama mbadala’. Vyama hivi vinavyoitwa vya upinzani ni vyama ambavyo kwa malengo ya muda mfupi vinalenga kutoa fikra na sera mbadala. Havijaanzishwa kwa ajili ya kupinga tu!. Hivi ni vyama ambavyo kwa malengo ya muda mrefu vinalenga kuchukua dola na kutekeleza misingi na mipango mbadala. Ni serikali zinazosubiri. Sasa je, vyama mbadala vimekufa au vitakufa? Mimi nasema hapana. Vyama mbadala makini havijafa na haviwezi kufa. Labda “vyama magirini”. Nadokeza sababu kumi na tatu zifuatazo kuthibitisha hilo:<br />· Mosi, sababu zilizotufanya tuanzishe mfumo wa vyama vingi,ziwe ni za ndani au za nje bado zipo. Mathalani haja ya kupanua wigo wa demokrasia na kuchochea utawala bora na wenye uwajibikaji bado ipo. Na kwa mantiki hiyo vyama mbadala vitaendelea kuwepo.<br />· Vipo vyama mbadala ambavyo mpaka sasa vimeonyesha mchango wao kwa taifa. Ukichambua toka mfumo wa vyama vingi uanze kuna maamuzi ya kisera yamefanyika kutokana na hoja ambazo ziliibuliwa na vyama vinavyoitwa vya upinzani. Hata katika utawala wa awamu ya nne, kuna mambo kadhaa ambayo serikali imeyachukua kutoka upinzani. Hii ni sababu tosha ya raia makini kutaka upinzani uendelee kama vyanzo vya sera mbadala.<br />· Pamoja na uchache wa ‘wapinzani’ katika vyombo vya maamuzi mchango wao wa hoja katika kuiwajibisha serikali umeonekana. Imefikia hatua kwamba raia wengi wanatamani wapinzani wengi zaidi wawepo bungeni. Hii ni sababu ya upinzani kuendelea kuungwa mkono na kuhamasishwa kuendelea kuwepo.<br />· Matokeo ya uchaguzi yanaonyesha kuwa vipo vyama ambavyo vina uwakilishi katika vyombo vya maamuzi. Vyama hivi vinavyoitwa vya upinzani pia ni vyama tawala baadhi ya maeneo, mathalani CHADEMA inayotawala halmashauri za karatu na kigoma ujiji. Kwa hiyo haviwezi kufa kwa sababu za kawaida.<br />· Matatizo ya wananchi bado yapo pamoja na ahadi nyingi. Shida wanazopata wananchi ni sababu tosha ya wao kuwa wapinzani wa mfumo uliopo. Hali hii inaota mizizi zaidi pale wanaposhindwa kuona matokeo yanayoshikika ya uongozi ulioko madarakani.<br />· ‘Vyama makini’ vya upinzani vinapata nguvu kadiri ‘vyama magirini’ vinavyozidi kupuputika na wakati huohuo vyama mbadala kushirikiana. Vyama hivi vinazidi kuwa katika nafasi ya kukua na kukomaa kadri mamluki wanavyozidi kugundulika siku hata siku na kurudi walikotoka.<br />· Uzoefu kutoka katika nchi nyingine unaonyesha hata katika hali bora ya maisha upinzani unaendelea kushamiri. Hivyo raia wakati wote wanaendeleza upinzani ili kupata kilicho bora zaidi.<br />· Vipo vyama vyenye mtandao wa wanachama na wapenzi ambao upinzani uko ndani yao. Upinzani kwao ni suala la kuendelea. It’s a going concern<br />· Upo upinzani ndani ya mfumo wenyewe wa utawala, upinzani huu ni chanzo kingine cha upinzani wa nje kuendelea kukua.<br />· Jitihada za kuhujumu na kubomoa upinzani zinaishia katika mambo yanayoshikika tu mathalani ‘kununua vijiwe vya wakereketwa’, upinzani kama fikra, mawazo na imani unaendelea kushamiri katika nafsi za watu. Huu haujafa wala hautakufa mpaka fikra, mawazo na imani vitakapo kufa.<br />· Vipo vyama vya upinzani ambavyo vimekuwa kisiasa na vinaendelea kujipanga na kujijenga ikiwemo kukabiliana na vikwazo. Hivi vinaonyesha kutokufa na badala yake vinazidi kukua.<br />· Wapo watu wanaoingia upinzani kutoka katika mfumo wa utawala kama ambavyo wapo wanaotoka katika upinzani kurudi katika chama tawala. Lakini wachunguzi wa mambo wanafananisha wengine wanaotoka upinzani sawa na wale wanaolezewa kwenye vitabu vitakatifu, waliopata taabu jangwani kisha wakawaomba manabii wawarudishe utumwani walipokuwa karibu na masufuria ya nyama. Kwa maneno mengine, ni wapinzani wa kweli pekee ndio wanaosimama kidete kuifikia nchi ya ahadi<br />· Nasisititiza kuwa vyama vinavyoitwa vya upinzani hususani CHADEMA, havijafa na wala havielekei kufa kwa sababu, “Maendeleo ya kweli hayawezi kuletwa na mafisadi walewale wa chama kilekile chenye uoza ule ule wakiendeleza yale yale eti kwa ari mpya, nguvu mpya, na kasi mpya”. Vyama mbadala hasa CHADEMA vitaendelea kupigania maendeleo ya kweli pasipo kuchoka.<br />Tunaweza kuzijadili vizuri sababu hizi kwa kuchambua historia ya CHADEMA kama mfano wa kutazama ilipotoka, ilipo na inapokwenda baada ya uchaguzi mkuu wa 2005.<br /><br />Nini nafasi ya CHADEMA katika siasa Tanzania chini ya muktadha huo?<br /><br />Pamoja na kushindwa uchaguzi mkuu wa 2005, CHADEMA imeongeza idadi ya wabunge kutoka 5 hadi 11 ambayo ni sawa na ongezeko la asilimia 110 na kuongeza idadi ya kura za ujumla za ubunge kutoka asilimia 4.23 mpaka 8.2. ambayo ni asilimia 100. Ruzuku ya chama imeongezeka kutoka milioni 5.6 kwa mwezi mpaka milioni 35.5 na hivyo kutoa nguvu nyingine ya chama kuweza kujijenga kisiasa. CHADEMA ndicho chama cha upinzani chenye wabunge wengi Tanzania bara. Tulisimamisha mgombea Urais kwa mara ya kwanza na kushika nafasi ya tatu. Jumla ya madiwani imeongezeka kutoka 64 mwaka 2000 mpaka 99 katika uchaguzi 2005. Kwa upande wa Zanzibar chama kimeweza kusimamisha wagombea wengi zaidi kuliko chaguzi zingine na kushika nafasi ya tatu katika kura za ubunge katika majimbo mengi na kujitambulisha kama nguvu ya tatu katika siasa za visiwani. Matokeo haya yamepatikana kwa rasilimali ndogo na kwa maandalizi madogo yaliyofanywa muda mchache kabla ya uchaguzi tena katika mazingira ya ‘rafu za kisiasa’. Vipo vyama ambavyo vimeendelea kupata uwiano ule ule wa kura na vingine vimeporomoka. CHADEMA ndicho chama pekee kikubwa cha upinzani ambacho kimekua na kinaendelea kukua kisiasa.<br /><br />Mambo gani ya pekee ambayo CHADEMA imeyapata kutokana na uchaguzi 2005?<br />Uchaguzi wa mwaka 2005 unaonesha kuwa CHADEMA ni chama chenye sura ya utaifa na kitaifa. Tulisema wazi wakati wa kampeni “Tanzania kwanza”. Mwaka 2005 ulishuhudia CHADEMA ikisimamia kidete masuala ya utaifa. Kuanzia haja ya wananchi kumiliki na kunufaika na raslimali na maliasili zetu. Mpaka kwenye mijadala kuhusu uzalendo na alama za taifa mathalani bendera na haja ya kuwaenzi kwa vitendo waasisi wa taifa hili hususani Mwalimu Nyerere. Yote yalitoa mwelekeo wa misimamo yetu kuhusu utaifa.<br /><br />CHADEMA ilichukua sura ya kitaifa katika kampeni, ikipendwa kuanzia kusini mwa Tanzania mpaka kaskazini. Kutoka magharibi mpaka mashariki. Matokeo ya uchaguzi yanadhihirisha mwelekeo huu wa kitaifa. Tumepata ushindi katika kona mbalimbali za nchi yetu. Kutoka Karatu huko Arusha mpaka Mpanda Kati mkoani Rukwa. Kutoka Moshi Mjini Mkoani Kilimanjaro mpaka Kigoma Kaskazini huko Kigoma. Tumesambaa zaidi na kushinda hata Tarime mkoani Mara. Tumeendelea kuwa chama tawala katika halmashauri ya Karatu na kutawala kwa mseto katika halmashauri ya Kigoma Ujiji. Na madiwani wetu 99 nao wamesambaa katika kila pahali nchini. Katika kila mkoa lazima kuna majimbo au jimbo ama walau kata ambapo tuna na nguvu kubwa kisiasa. CHADEMA ni chama cha utaifa na cha kitaifa. Hii ni mbegu ya mwelekeo tuliyoipanda mwaka 2005.<br /><br />Nini chanzo cha uzinduzi mpya wa CHADEMA?<br /><br />Naam! “Kobe akiinama ujue anatunga sheria” na “kimya kirefu kina mshindo mkuu”. CHADEMA tulikuwa kimya tukijipanga. Baada ya uchaguzi tulikaa kimya na kuibuka kwenye vikao vya kamati kuu na baraza kuu la chama tukitathmini kwa kina uchaguzi na kuandaa mikakati ya hatua za awali. Tulikaa kimya tena na kutuma timu zetu katika wilaya mbalimbali kukusanya maoni kuhusu mabadiliko ya chama. Leo tumemaliza mkutano mkuu wa chama, na sasa ni wakati wa kazi. Tunaumaliza ukimya wetu kwa kishindo kwa kuizindua upya CHADEMA baada ya zaidi muongo mmoja tangu kuasisiwa kwake.<br /><br />Tunafanya hivi kujenga chama imara na makini zaidi ili kuongeza ufanisi katika ushindani demokrasia ya vyama vingi. Tunazindua mchakato wa kwanza unaohusisha zaidi mabadiliko ya kimuundo na zana kisha tutaanza mchakato wa maboresho ya kisera na uongozi. Tunazindua alama na zana sita za CHADEMA. Ndani ya alama na zana hizi upo ujumbe mahsusi kwa wanaCHADEMA na watanzania. Alama na zana hizi ni ishara tu ya imani, matumaini na mwelekeo wetu kwa mustakabali wa chama na taifa letu.. Tunatazama mbali, tukiwa na imani, matumaini na mwelekeo.<br /><br /><br /><br />Uzinduzi wa mpango mkakati wa CHADEMA 2006 na mpaka 2010 ni nini?<br /><br />Mosi, tunazindua rasmi utekelezaji wa Mpango Mkakati wa CHADEMA kuanzia 2006 mpaka 2010. Mpango Mkakati ni dhana iliyotoka katika medani ya kivita. CHADEMA tunaitumia dhana hii je tunajipanga kuingia msituni? Naam, tunaingia vitani kwa silaha ya demokrasia ili kupambana na maadui ambao tunao katika ngazi mbili. Ya kwanza ni maadui wanaowakabili wananchi-ujinga, umaskini, maradhi na ufisadi. Ya pili ni mfumo uliowekwa na chama tawala. Hivyo tunajipanga kupambana kwa kutumia siasa na si silaha, ili kutumia uongozi kuleta mabadiliko ya kweli na uhuru wa kweli. Mpango Mkakati ni dhana inayotufanya kutambua nguvu na kuzitumia, kufahamu fursa na kuziendea, kubaini udhaifu na kuuondoa na kugundua vikwazo na kuviepuka ili kupata ushindi. Katika medani ya maendeleo, Mpango Mkakati tunaweza kuulezea kuwa ni mpangilio unaoelekeza tulipotoka, tulipo, tunapotaka kwenda na namna tutakavyokwenda. Katika Mpango Mkakati huu, yapo mambo ambayo tumedhamiria kuyafanya kwa ajili ya kuleta mabadiliko ya kweli ndani ya chama. Pia yapo mambo ambayo tumedhamiria kuyasimamia kuleta mabadiliko ya kweli nje ya chama,kwa maneno mengine, katika taifa kwa ujumla. Mpango Mkakati huu una mambo mengi, mengine ni siri za ushindi. Kwa mantiki hiyo, nadokeza machache tu:<br /><br />Kwa ndani tumepanga kujiendesha kama “chama taasisi” na “chama uchaguzi”. Tumemaliza kampeni ya uchaguzi mkuu. Sasa tunaendesha kampeni ya mabadiliko na maendeleo. Tutaendelea kufanya mabadiliko mbalimbali ndani ya chama pamoja na kuboresha mtandao wa chama ikiwemo vijijini. Baadhi ya mabadiliko ya alama na zana ambayo tumeshayatekeleza tunayazindua leo. Kwa upande mwingine tumejipanga kuwa sauti ya wasio na sauti tukitetea, kuendeleza na kutekeleza mabadiliko ya kweli na uhuru wa kweli. Tumedhamiria kusimamia uwajibikaji wa serikali na kuishinikiza kutekeleza ahadi ilizozitoa. Tutaendelea kuwa wenye mtizamo chanya na wenye kujenga katika kuiwajibisha serikali. Na tutakuwa watu wa fikra, wenye nafsi wazi(open mind) na nishati katika kuibua mawazo na kutengeneza sera tunazohitaji kukabiliana na changamoto hususani za muda mrefu ambazo nchi yetu inakabiliana nazo. CHADEMA kinaendelea kuwa moja ya vyanzo vya imani, matumaini na mwelekeo wa Taifa letu.<br /><br />Tulishaanza hatua hizi kwa kutoa sera mbadala. Zipo ambazo serikali imeamua kuzitekeleza. Hatuna tatizo na hilo maana hiyo pia. ndio faida ya kuwa na vyama mbadala kama CHADEMA . Tatizo letu ni kwamba kwa uzoefu wa huko nyuma na dalili zinavyoonyesha sasa serikali inazitekeleza sera hizi nusu nusu na pengine ovyo ovyo. Tunatoa rai kwa serikali kuchota kwa kina utaalamu wa kutekeleza sera hizi toka kwetu. Mkishindwa kutekeleza ushauri huu ni wazi wananchi watakuwa na sababu ya ziada ya kuwapumzisha katika chaguzi zijazo ili tuingie madarakani kutekeleza sera hizo kwa umakini na ufanisi zaidi. Hayo ndiyo mabadiliko ya kweli yanayotakiwa.<br /><br /><br />Uzinduzi wa kauli mbiu za ‘Tumanini Jipya’ la “mabadiliko ya kweli, Uhuru wa Kweli”?<br /><br />Pili, Tunazindua kauli mbiu ya mchakato huu. “Tumaini Jipya”. Hii ni kauli mbiu inayobeba dhana nzima ya “imani, matumaini na mwelekeo”. Kauli mbiu hii itakwenda sambamba na uzinduzi rasmi kauli mbiu ya: “Mabadiliko ya Kweli, Uhuru wa Kweli”. Hii ni kauli mbiu tuliyoitumia wakati wa kampeni za uchaguzi.Tunaizindua tena kama ishara ya kuindeleza na kuitekeleza.Wakati wa kampeni tulisema- “ Maendeleo ya kweli hayawezi kuletwa na mafisadi wale wale wa chama kile kile chenye uoza ule ule wakiendeleza yale yale eti kwa ari mpya, kasi mpya na nguvu mpya. CHADEMA inaamini kwamba kwa falsafa ya Chukua Chako Mapema (CCM), Tanzania yenye neema haitawezekana”, mwisho wa kunukuu. Tuliyasema haya tukitaka mabadiliko ya kweli na hatimaye uhuru wa kweli.<br /><br />Kwa maneno ya mtaalamu wa siasa wa Chuo Kikuu cha Dar es salaam(UDSM), Profesa Mwesiga Baregu aliyoyatoa hivi karibuni, “Ari, Nguvu na Kasi mpya haiwezi kuwa na maana kama hakuna fikra mpya”. Zaidi ya miezi sita imepita toka utawala wa awamu ya nne ukae madarakani, tumeanza kuona haja ya kuendelea kutetea mabadiliko ya kweli na uhuru wa kweli.Tumesikiliza maneno zaidi ya kuona vitendo. Tumeendelea kupata ahadi lakini nyingine zikiwa na hadaa. Tumewauliza wananchi kadhaa wa kawaida swali moja: Je, umeanza kuona japo matumaini ya maisha bora katika hali yako ya kila siku? Jibu la kijana mmoja ambalo kwa muhtasari linatoa mawazo ya wengine ni - “Tunauziwa mbuzi kwenye gunia”.<br /><br />Hapa ndipo inapokuja haja ya kuendelea kutetea mabadiliko ya kweli, uhuru wa kweli. Raisi Kikwete na Waziri Mkuu Lowasa walianza kwa hekaheka. Lakini mfumo unaelekea kuwakwaza. Na hii ni wazi kama alivyotoa wosia Mwalimu Nyerere kwenye kitabu cha uongozi wetu na hatma ya Tanzania- nchi yetu imeoza. “Our country is rotten to the core”. Tunahitaji mabadiliko ya kimfumo. Ndio maana tumedhamiria kutetea na kutekeleza mabadiliko ya kweli na uhuru wa kweli. Katika ngao na wimbo wa Taifa ipo ndoto yetu watanzania: “Uhuru na Umoja”. Hii ni ndoto ya pamoja bila kujali itikadi. Ni ndoto tuliyorithi toka kwa waasisi wa Taifa letu. Wakati wa kudai uhuru, viongozi wetu waliweka bayana kwamba tunataka uhuru ili tuondokane na umaskini, ujinga, maradhi na ufisadi ambavyo mkoloni alishindwa kuviondoa. Hatuwezi kusema tuna umoja katika taifa lenye pengo kubwa baina ya maskini na matajiri. Hatuwezi kusema tuna umoja katika ubaguzi. Nia ya kudai uhuru ilikuwa ni kuondoa maadui hawa na matokeo ya uhuru ni taifa lenye elimu, afya, utajiri na uongozi bora. Bado hatujafika. Ndio maana tunasema, ni wakati wa kuendeleza na kutekeleza mabadiliko ya kweli na uhuru wa kweli. Katika hali hii, nawakumbusha tena, “Hakuna Kulala, Mpaka Kieleweke”. Hakuna kulala, tuendeleze mabadiliko ya kweli. Mpaka kieleweke! Kikieleweka tutakuwa na uhuru wa kweli. Huwezi kulala kwa furaha katika ujinga, huwezi kulala kwa raha katika umaskini, utalala kwa karaha katika maradhi, huwezi kulala katika ufisadi. Hivyo hakuna kulala mpaka kieleweke. Mabadiliko ya kweli na uhuru wa kweli ni sehemu ya imani, matumaini na mwelekeo tunaouzindua leo.<br /><br />Uzinduzi wa marekebesho ya katiba ya CHADEMA ni nini?;<br /><br />Tatu, tunazindua marekebisho ya katiba ya CHADEMA. Tumefanya marekebisho ya katiba ya chama hususani katika itikadi, muundo na wajibu. Hii ni alama ya mabadiliko ya kweli. Tunasema kwa maneno na kwa vitendo. Mabadiliko yanawezekana. Tunaamini mabadiliko ya kweli yanaanzia ndani. Wanasosholojia wanasema “Mabadiliko huanzia kwangu”. Huu ndio ujumbe ambao tunamwambia kila mtanzania-‘badilika, tuibadili nchi yetu’.<br /><br />Tumeweka bayana itikadi yetu.Hapo nyuma tulisema CHADEMA inaamini katika falsafa na itikadi ya nguvu na mamlaka ya umma. Sasa tumeamua kuweka bayana falsafa yetu na itikadi yetu. CHADEMA tunaendelea kuwa na falsafa ya nguvu na mamlaka ya umma. Huu ni msimamo wetu wa asili: Kwamba falsafa ya CHADEMA ni kuamini katika “nguvu na Mamlaka ya Umma”(People’s Power) katika kumiliki, kuendesha, kubuni na kuendeleza mawazo, raslimali, uchumi na siasa za nchi. Aidha, falsafa ya nguvu na mamlaka ya umma ndiyo msingi na chimbuko la kuundwa kwa dola ya nchi na kuwa umma ndio wenye madaraka ya mwanzo na mwisho katika kuamua hatma ya nchi na taifa pasipo kuingiliwa, kudanganywa au kughilibiwa na viongozi, watawala au wageni....hivyo basi, falsafa ya “nguvu na mamlaka ya Umma” ndiyo njia ya msingi ya kubadilisha fikra na uongozi unaokandamiza umma, ili kuibua fikra mpya na kuweka uongozi unaoweza kumilikiwa, kuhojiwa, na kuwajibishwa na umma kwa kutumia vyombo vinavyopatikana kwa utashi wa wengi kupitia chaguzi huru na haki. Hii ni falsafa tuliyokuwa nayo ambayo tunaiendeleza.<br /><br />Kwa upande mwingine tumepitia madhumuni ya kuanzishwa kwa CHADEMA pamoja na sera za chama. Tumejitafakari kiitikadi na kuona tutamke bayana katika katiba yetu tuko wapi. Leo tunatamka kwamba Mkutano mkuu wetu umeamua kwa kauli moja kwamba CHADEMA ni chama cha itikadi ya MRENGO WA KATI(center party). Leo tunazindua kijitabu cha muhtasari wa falsafa na itikadi ya CHADEMA kama sehemu ya kuchochea mjadala kuhusu falsafa na itikadi katika nchi yetu. Kwangu mimi itikadi ni imani. Ni imani inayotuunganisha. Ni imani inayotuongoza. Ni imani inayotuelekeza. Ni imani tunayoielekea. Dhana ya “Mrengo wa kati” pengine itaeleweka vyema kama nitasimulia kisa cha dola moja ya kifalme kama ifuatavyo;<br /><br />“Katika ufalme huo palikuwa na baraza ambalo lilikuwa na wajumbe wa makundi matatu. Kundi moja lilikuwa upande wa kulia: Hili lilikuwa ni kundi la watawala, wakati wote lilitetea utawala, nidhamu ya kijamii na maslahi ya watu binafsi. Kundi la pili lilikaa upande wa kushoto: Hili lilikuwa likitetea umuhimu wa dola kuhudumia wananchi ikiwemo umiliki wa pamoja wa njia zote za uzalishaji mali na kuweka mkazo katika haki za matabaka. Kundi la tatu lilikaa katikati: Hili lilikuwa likitetea umuhimu zaidi wa dola kuwawezesha wananchi, likiweka mkazo katika uhuru na uwezekano wa kuboresha maisha ya mwanadamu na jamii. Kundi hili la tatu ndio asili ya itikadi ya mrengo wa kati.<br /><br />CHADEMA ni chama cha mrengo wa kati kwa mujibu wa madhumuni yake na sera zake. Mathalani, ukipitia madhumuni ya kiuchumi ya CHADEMA, utabaini kuwa ni chama kinachoamini kukuza na kuimarisha uchumi wa nchi kwa kutumia raslimali za nchi yetu bila kuathiri uhuru wa Taifa, na kuhakikisha kuwa umma kwa ujumla unanufaika na raslimali zao. CHADEMA inaamini katika kujenga na kuimarisha uchumi wa soko huru, utakaoheshimu na kulinda haki na mali za watu, biashara huru na sekta ya watu binafsi bila kupoka mamlaka ya umma katika maeneo nyeti. Tunaamini katika soko huru sio soko holela. CHADEMA inaamini kuhakikisha matumizi bora ya raslimali asilia za nchi ili zichangie kikamilifu katika pato la taifa na hasa kuboresha huduma za kiuchumi zinazotumiwa na wananchi wote.<br /><br />Pia CHADEMA kinayo misingi muhimu katika sera na ajenda zake inayokiweka chama katika Mrengo wa Kati. Tunaamini katika uzalendo na kuthamini mila na desturi zetu zilizo nzuri. Tunaamini katika uhuru chini ya sheria zilizo nzuri. Tunaamini katika siasa ambazo ziko juu ya vyama zenye kusimamia zaidi maslahi ya Taifa. Tunaamini katika umuhimu wa dini katika kujenga maadili ya mwanajamii mmoja mmoja bila kuifanya dini kuwa sehemu ya dola. Tunaamini taifa linaundwa na watu, hivyo uhai wake unawategemea watu, na mabadiliko yake yanatokana na watu. Tunaamini kumiliki raslimali na mali miongoni mwa wananchi kunawapa uhuru zaidi hivyo tunataka kujenga chama na baadaye taifa lenye kutoa fursa, ambapo kila mtu bila kujali asili na hali yake anaweza kutimiza na kufanikiwa kadiri ya vipaji vyake. Hizi ni baadhi tu ya sababu zinazofanya CHADEMA kuwa chama cha mrengo wa kati.<br /><br />Hatahivyo, hatuamini kwamba itikadi ni suluhisho pekee la matatizo katika taifa. Tutaendelea na utamaduni wetu wa kuwa na itikadi laini (relaxed ideology) badala ya itikadi iliyojibana (restrictive ideology). Tutaendelea na msimamo wetu wa kutaka mabadiliko kwa vitendo (pragmatism). Hiyo ni imani, matumaini na mwelekeo wetu.<br /><br /><br />Yapi ya ziada kuhusu marekebisho ya katiba ya CHADEMA?<br /><br />Tumezindua marekebisho ya katiba ya CHADEMA yaliyofanywa na mkutano mkuu maalumu uliomalizika leo. Katika mabadiliko haya tumeboresha pia muundo wa chama na kuweka mkazo wajibu wa wanachama. CHADEMA inauchukulia muundo wa chama kama nyenzo muhimu ya kuwezesha ufanisi kwa kuzingatia malengo ya chama na mazingira ya kisiasa na kiutawala katika jamii. Tumepunguza ukubwa wa baadhi ya vyombo katika ngazi mbalimbali hususani mikoa na kupeleka chama katika ngazi ya chini kabisa ambayo tumeiita “Msingi”. Huu ni muundo ambao utarahisisha mawasiliano katika ngazi mbalimbali za uongozi na kuwezesha ushiriki/ushirikishwaji wa wanachama hasa ngazi za chini na kumilikisha zaidi chama kwa wanachama kwa ujumla. Muundo wa sasa unaendana na ukubwa wa chama kitaasisi na hivyo utapunguza gharama za uendeshaji. Muundo wa sasa unapeleka chama zaidi katika vitovu vya mapambano ya kisiasa.<br /><br />Tumebadili muundo wa chama kutoa nafasi zaidi kwa makundi ya kijamii ya wanawake, wazee na vijana. Katiba ya sasa imetoa mwanya wa kuundwa kwa mabaraza ya wanawake, wazee na vijana. Pia tumeweka katika muundo wetu wa chama nafasi maalumu kwa ajili ya wenye ulemavu na kuwa chama cha kwanza kufanya hivyo katika muundo wake wa kikatiba. Tumeweka bayana mamlaka za kinidhamu pamoja na kuboresha mifumo ya utatuzi wa migogoro. Tumeweka mkazo kwenye wajibu wa mwanachama. Tunasisitiza kwamba chama cha siasa ni mjumuiko wa watu mbalimbali wenye imani inayofanana wenye lengo la kuchukua dola ili kuhakikisha imani hiyo inatekelezwa kwa maslahi ya taifa. Chama ni wanachama na uhai wa chama unategemea wanachama. Hivyo kila mwanachama anawajibu wa kutoa mchango wake wa hali na mali katika kutekeleza malengo ya chama. Mabadiliko haya ya kimuundo na kiwajibu yatakuwa msingi muhimu wakati tutakapoanza kujenga chama kuanzia katika ngazi ya chini kabisa ikiwemo vijijini. Tumeanzisha mabalozi wa kaya kumi na kuingiza mfumo wa ngazi ya majimbo kadiri ya sera yetu ya majimbo. Hii ni sehemu ya imani, matumaini na mwelekeo wetu.<br /><br />Uzinduzi wa bendera mpya ya CHADEMA ni nini?<br /><br />Nne, tunazindua na kupandisha bendera mpya ya CHADEMA. Ni alama nyingine ya imani, matumaini na mwelekeo wetu.<br /><br />Kimuundo bendera ya CHADEMA ina rangi nne: Nyeusi, Bluu isiyokoza(light blue), nyeupe na nyekundu.<br /><br />Bendera ya CHADEMA ina nembo ya kiganya cha mkono kilichonyoosha vidole viwili katika mfumo wa V kama ishara ya USHINDI. CHADEMA ni chama kinacholenga kushinda kidemokrasia na hatimaye kuleta ushindi wa maendeleo ya taifa.<br /><br />Rangi ya BLUU ISIYOKOZA iko juu ya rangi NYEKUNDU kama ishara kwamba kama taifa tumevushwa na mashujaa kuelekea katika jamii yenye haki, na wakati wote CHADEMA imevuka hatua kama chama cha siasa na sasa inasimamia haki.<br /><br />Rangi nyeupe iko mbele ya rangi zote kama ishara kwamba chama kinatanguliza UKWELI NA UWAZI katika nyanja zote. Pia rangi nyeupi imebeba nembo ya chama kwa kuwa UKWELI NA UWAZI ni misingi muhimu sana kwa chama. Nembo ya chama iko mbele kama kama ishara ya CHADEMA kuwa chama kiongozi katika kuchochea misingi muhimu katika kuleta mabadiliko na maendeleo katika Taifa.<br /><br />Rangi zingine zinatenganishwa na ufito mweusi ambao unaumbo la “T” ikiwasilisha kifupi cha jina la taifa la Tanzania.<br /><br /><br />RANGI ZA BENDERA:<br /><br />NYEUSI<br />Rangi hii inawakilisha WATU WA TANZANIA. Hii ni rangi ya wazawa asili wa nchi yetu. Ni rangi ambayo inabeba pia falsafa ya NGUVU YA UMMA.<br /><br />BLUU ISIYOKOZA (LIGHT BLUE)<br />Hii ni rangi ya asili ya CHADEMA. Ni rangi ambayo inawasilisha HAKI. Lakini pia rangi hiyo inawakilisha BAHARI kama ishara ya maliasili/raslimaji na Muungano kati ya Tanganyika na Zanzibar.<br /><br />NYEUPE<br />Rangi nyeupe inawasilisha UKWELI, UWAZI na AMANI. Huu ni msingi muhimu wa CHADEMA. CHADEMA ni chama ambacho kitasimamia uadilifu kwa njia ya demokrasia.<br /><br />NYEKUNDU<br />Rangi nyekundu inawakilisha MASHUJAA. CHADEMA inathamini historia ya nchi yetu ambayo inawasilisha kumbukumbu ya mashujaa waliotupitisha katika michakato ya mbalimbali ya demokrasia na maendeleo ikiwemo harakati za kuondoa ukoloni. Rangi ni chimbuko la uzalendo wetu.<br /><br /><br />Uzinduzi wa kadi mpya ya CHADEMA nini?<br /><br />Tano, tunazindua kadi mpya za uanachama wa CHADEMA. Tumeamua kuleta imani, matumaini na mwelekeo zaidi katika uanachama sasa tutaanza kuandikisha wanachama upya. Tumeamua kusitisha utamaduni wa kutoa kadi bure ingawa kadi za CHADEMA bado zitaendelea kuuzwa kwa bei ndogo ili kila mtanzania aweze kugharamia. Lengo ni kuhakikisha kila anayechukua kadi ya chama anachangia kama ishara ya nia yake ya kuunga mkono chama na harakati za ukombozi wa nchi hii. Tunataka tuwe na wanachama hai chini ya mkakati wa “CHADEMA ni msingi”. Tunataka wanachama wamiliki na kukiendesha chama. Michango hii midogo midogo ikiunganishwa pamoja ni nguvu ya pekee katika kuchochea kujitegemea na kuendesha chama kwa nguvu ya wanachama. Kama ambavyo bahari ni muunganiko wa matone madogo madogo ya maji ndivyo ambavyo michango hii inaweza kukijenga chama. Tunataka uanachama uwe chachu ya imani, matumaini na mwelekeo wa CHADEMA.<br /><br /><br /><br />Uzinduzi wa wimbo wa CHADEMA kitaifa nini?<br /><br />Sita, tunazindua wimbo wa CHADEMA. Huu ni wimbo rasmi wa chama utakaoimbwa kote nchini. Ni sauti ya CHADEMA. Ni njia ya kutumia sanaa kuwasilisha hisia, misimamo, hamasa, matamanio na matarajio yetu kuhusu imani, matumaini na mwelekeo wa CHADEMA na taifa. Ni muhtasari wa yote.<br /><br />Ubeti wa kwanza ni sala. Tunaimba:<br /><br />MUNGU TUSAIDIE, MUNGU TUWEZESHE,<br />TANZANIA INA KILIO,<br />WANAO TWATESEKA MAOVU YANASHAMIRI;<br />NCHI YATEKETEA WATAWALA WANEEMEKA<br /><br />Tunakabidhi harakati zetu zote kwa nguvu na mamlaka iliyo asili na juu ya yote. Tunaeleza hali halisi ya Taifa letu. Si kwa kukata tamaa, hapana!. Ni ishara ya kujitambua. Ili kwa nguvu yetu na baraka zake tuweze kutoka tulipo na kuelekea kwenye mabadiliko ya kweli na uhuru wa kweli.Tunaeleza, kwamba tunatambua kuwa hatukuumbwa maskini. Tunathamini utu, maliasili na raslimali ambazo tumepatiwa. Tunajua kuwa tunachokosa ni uongozi bora. Hii ni sehemu ya imani, matumaini na mwelekeo wetu<br /><br />Ubeti wa pili ni CHADEMA. Tunaimba:<br /><br />Chama cha Demokrasia na Maendeleo,<br />Tumaini la ukombozi wa kiuchumi na kisiasa<br />Chama cha Demokrasia na Maendeleo<br />Chimbuko la fikra mpya nayo mikakati ya utumishi<br />Mtetezi wa uhuru, uhuru wa kweli<br />Maendeleo ya kweli wanayostahili Watanzania<br /><br />Mlinzi wa uzalendo raslimali za taifa la Tanzania<br />Jukwaa la harakati kukomesha ufisadi, na uoza wa kimaadili<br /><br />Hapa tunatoa suluhisho. Tunaeleza nini ambacho tunatetea. Yapi ambayo tunaendeleza. Na kwa vipi tunatekeleza. Kutoka kudai mabadiliko ya kweli, maendeleo ya kweli mpaka uhuru wa kweli. Tunaweka bayana misingi yetu kama chama. Hii ni sehemu nyingine muhimu ya imani, matumaini na mwelekeo wetu.<br /><br />Sehemu ya tatu ni Wito: Tunaimba;<br />Wazee na akina Baba (twende)<br />Vijana na akina mama (amka)<br />Pamoja tuna umaskini (tuna maisha duni)<br />Pamoja tuna uchungu<br />Watoto nanyi jiungeni (twende)<br />Tunaweza acheni acheni woga x 2<br />KIITIKIO: WanaCHADEMA tushikamane<br /> Demokrasia Yawezekana<br /> WanaCHADEMA tushikamane<br /> Maendeleo Yawezekana<br /> Watanzania tushikamane<br /> Mabadiliko Yawezekana<br /> Nguvu ya Umma, People’s Power<br /> Nguvu ya Umma, People’s Power<br /><br />Hapa tunamalizia wimbo wetu kwa kuchochea hamasa na kutoa wito kwa wote. Ni wito kwa kila mmoja kujiunga nasi katika kuleta mabadiliko ya kweli na uhuru wa kweli. Ni wito wa kutuunga mkono katika kuchochea demokrasia na maendeleo. Ni mwamko, uamsho na hamasa.<br /><br />Sasa nini tufanye?<br /><br />Wimbo wa CHADEMA umehitimisha kwa kusema kila kitu. Na utuingie katika nafsi zetu. Tusiuimbe kama kasuku, tuuimbe tukiwa na imani, matumaini na mwelekeo. Tuuimbe kwa maneno na kuucheza kwa vitendo. Ndio mchango mwingine ambao tunaweza kutoa kwa CHADEMA, Tanzania na ubinadamu.<br /><br />Na huu ndio ujumbe wangu kwenu:<br /><br />Ewe mwanaCHADEMA, usihoji CHADEMA inafanya nini. Jiulize wewe umefanya nini kama mwanachama wa CHADEMA. Chama ni cha wanachama, jumla ya maneno na matendo ya wanachama ndio matokeo ya chama.<br /><br />Ewe mtanzania, usiulize mfumo wa vyama vingi uko wapi. Jiulize wewe umechangia nini kufanya vyama vya siasa hususani vyama mbadala kama CHADEMA kuendeleza yale unayoyaamini. Kama Mahatma Ghandi alivyosema, “Kuwa wakala wa mabadiliko unayotaka kuyaona”.<br /><br />Ewe mdau wa maendeleo wa ndani na nje ya nchi, usiulize demokrasia ina hali gani Tanzania. Jiulize, wewe umetoa ushikirikano gani kuwaunga mkono watanzania wenye kutetea, kuendeleza na kutekeleza demokrasia. Michango ya kimaendeleo unayoitoa haitaleta matokeo unayoyataka kama taifa halitakuwa na mifumo ya udhibiti thabiti ikiwemo upinzani makini na wenye nguvu.<br /><br />Mabadiliko yanawezekana kama kila mmoja akitimiza wajibu. Na tuanze sasa.<br /><br />Dokezo hili limeandaliwa kwa ajili ya kuwa rejea kwa yoyote anayetaka kufahamu au kufanya uchambuzi kuhusu uzinduzi mpya wa CHADEMA. Mtayarishaji ni Mkurugenzi wa vijana anayepatikana kupitia <a href="mailto:mnyika@yahoo.com">mnyika@yahoo.com</a> na 0744 694 553<br /> </div><div class="blogger-post-footer"><img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/13876107-115948176438972140?l=www.chadema.net%2Fblogu%2Fmnyika%2Findex.html'/></div>UDIhttp://www.blogger.com/profile/14745780769836030111noreply@blogger.com2tag:blogger.com,1999:blog-13876107.post-1153848721008434212006-07-25T20:28:00.000+03:002006-07-25T20:32:01.026+03:00<div align="center"><br /><span style="font-size:78%;">Chambelecho cha maadhimisho ya Siku ya Mashujaa: Tunu yangu kwa wakina Kinjeketile<br /><br /></span>Na John John Mnyika<br /><br />Kamaradi Kinjeketile na mashujaa wenzako popote mlipo!Hii ni tunu kwenu. Hidaya kwenu mliomwaga damu wakati mapambano kadhaa na Mreno na Mwarabu. Tuzo kwenu nyinyi mliopigana na Ujerumani wakati wa utawala na mliomwaga damu katika vita vya dunia. Heko ninyi ambao damu ilisafisha safari ya kumng’oa Nduli Amin. Heri wewe Sethi Benjamini na wote waliopotesha maisha katika hekaheka za kueneza Azimio la Arusha. Kumbukumbu kwenu mliotoa damu katika mikikimikiki ya mfumo wa vyama vingi kutoka Zanzibar mpaka bara. Damu yenu iliyomwagika haizoleki, ukiwa mlioucha hauzoeleki lakini fikra mlizosimamia hazizeeki. Mapambano bado yanaendelea!<br /><br />Kwako Bushiri bin Salim wa Tanga, suriama wa kiarabu na kiafrika, pamoja na nia yako tenge ya kulinda maslahi katika biashara ya utumwa ulimwaga damu kwa kunyogwa Pangani baada ya kuongoza maasi makali dhidi ya kuingia kwa ukoloni wa Kijeruamani-damu yako ilimwagika pamoja na damu za wapiganaji wa Pwani, Morogoro mpaka uhehe. Ewe Mtemi Meli, uliowashinda wadachi mpaka mwenzio Sina alipokusaliti hatimaye wewe na mashujaa wenzako mkamwaga damu kaskazini mkilinda uhuru.Wewe Chifu Mkwawa, tunakukumbuka uliovyowaunganisha wahehe-toka Kalenga, Tosamaganga mpaka ulipoamua kuimwaga damu yako mwenyewe kuliko uhuru upotee mikononi mwako. Mtemi Isiki wa Tabora uliendesha mashambulizi ya kishujaa, hatimaye ukaamua kumwaga damu yako na ya familia yako kwa kujilipua na baruti ili tu usipate aibu ya uhuru kuchukuliwa mbele ya macho yako. Ewe Mtemi Makongoro wa Musoma, ulipambana kwa ushujaa mpaka ilibidi kikosi cha wanamaji kiletwe kupitia miji ya Mombasa na Kisumu kukumaliza.<br /><br />Nakutunuku Kinjeketile kwa kuongoza vita vya kutisha vya Maji Maji kwa miaka kadhaa vilivyoanzia vilima vya Matumbi karibu na Kilwa. Nyinyi mlitaka kumwondoa mkoloni kwa nguvu na mlikuwa tayari kumwaga damu kuliko kuendelea kuishi bila ya uhuru. Mapambano yenu yalisambaa maeneo mengi ya ardhi yetu. Ninyi mlikuwa mashujaa kweli kweli mliojua umuhimu wa imani na falsafa katika mapambano-mkawapa watu ujasiri kwa dawa ya “Kugeuza risasi, Kuwa maji”. Pamoja na kushindwa vita na wazalendo zaidi ya laki moja kupoteza maisha katika wakati ambao ardhi ilikuwa na watu wachache yapo mapigano ambayo mlishinda. Pamoja na machifu 47 wa Kingoni kunyongwa damu yenu ilileta mabadiliko katika utawala. Kwa vyovyote vile damu nyingi kiasi hiki iliyomwagika kwa sababu ya kudai uhuru haiwezi kupuuzwa. Hivyo waraka huu ni tunu kwenu. Mapambano bado yanaendelea!<br /><br />Nawaandikia waraka huu ninyi wahenga mashujaa muweze kurejea na kurekebisha historia. Najua mnaweza msirudi kimwili, lakini ni vyema kiroho mkandelea kuwa nasi. Fikra zenu za kimapambano hazipaswi kupotea. Kumbukumbu zenu za kishujaa hazistahili kufutika. Taifa lisilo na historia haliishi, linakufa. Kupotosha historia ya mashujaa ni kinyaa. Karibu kila eneo katika nchi yetu yupo shujaa ambaye anaweza kukumbukwa laiti kama historia zenu zingejulikana kizazi hata kizazi na kuwa chimbuko la kujiamini, kujithamini na uzalendo miongoni mwa Watanzania.<br /><br />Julai 25 ilikuwa siku nyingine ambapo tulifanya maadhimisho ya kinafiki ya siku ya mashujaa. Mtanishangaa kwa kutumia dhana kali- “UNAFIKI”. Namaanisha!. Ni dhana ambayo mnaifahamu na hamkuipenda. Ndio maana hamkutaka kuishi katika unafiki wa kukubaliana ama kutumiwa na watawala. Mkaamua kupambana! Mkamwaga damu mkiukimbia unafiki. Sasa tunawakumbuka!. Lakini nasema tena, tunawakumbuka kwa kufanya maadhimisho ya kinafiki ya siku ya mashujaa. Ndani ya dhana ya unafiki kuna tabia nyingi, mojawapo ni kunena tofauti na matendo na kutenda tofauti na kauli. Na ndiyo tabia tunayoifanya wakati wa maadhimisho ya siku ya mashujaa. Ndio maana nasema, tunafanya maadhimisho ya kinafiki.<br /><br />Labda ni waambie wakina Kinjeketile, nini tulifanya huku kama ishara ya kuuadhimisha ushujaa wenu. Siku chache zilizopita 25 Julai, tulijumuika chini ya Amiri Jeshi Mkuu, kwa sasa ni Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete-Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Yeye mwenyewe hakuwepo, alituma mwakilishi wake. Tulielezwa kwamba Rais yupo kwenye ziara ya kikazi Ujerumani!<br /><br />Usiku mmoja kabla tuliwasha mwenge wa uhuru pale Mnazi mmoja. Halafu asubuhi yake gwaride lilijipanga kuwapokea wageni wa Kitaifa. Zikatolewa salam za Rais na wimbo wa Taifa ukapigwa kwa heshima yenu. Kikundi cha Buruji kikapiga “last post” na gwaride likaweka silaha begani. Askari sita waliojipanga vyema wakapindua silaha zao chini na baadae mizinga ikapigwa kwa ajili yenu huku watu wote wakiwa kimya. Gwaride likafanya “present arms” na kikundi cha buruji kikapiga “reveilles”. Gwaride likateremsha silaha na kufungua miguu.<br /><br />Halafu silaha za asili ambazo nyingine nyinyi mashujaa mlizitumia zikawekwa kwenye mnara pamoja na maua. Baadhi ya silaha zilizowekwa ni pamoja na mkuki, ngao, sime, shoka, pinde na mishale. Hizi ni kumbukumbu sanifu za mapambano mliyoyafanya.<br /><br />Hatimaye zikafuata sala na swala kutoka kwa viongozi wa dini wakiwakilishwa na sheikh, mchungaji, padri na maraji wa wahindu. Ingawaje sikumwona kiongozi wa dini ya jadi-ambao najua baadhi yenu nyinyi mashujaa na wahenga mliwaamini. Pengine dini za jadi zilitoweka na damu zenu. Gwaride likatoa tena heshima na wimbo wa taifa kupigwa ukafuatiwa na itifaki za viongozi wa kitaifa kuondoka. Wakabaki polisi kuzilinda silaha za kumbukumbu ya mashujaa mpaka jioni na hatimaye mwenge wa uhuru ukazimwa kama ishara ya mwisho wa maadhimisho ya kumbukumbu yenu ninyi mashujaa. Niwaulize wakina Kinjeketile, haya siyo maadhimisho ya kinafiki ya mashujaa?Pengine mtanijibu hapana!.<br /><br />Ngoja niwaeleze masuala kadhaa halafu niwaulize tena. Siku hizi kuna kitu kinaitwa Bunge, hiki ni chombo cha juu chenye uwakilishi wa wananchi ambacho kunafanya maamuzi mbalimbali ambayo mengine huwa sheria. Chombo hiki ni kama yale mabaraza ya jadi yaliyokuwepo wakati wenu. Wiki iliyopita bunge lilijadili kuhusu maadhimisho ya vita vya Maji Maji ambavyo nyinyi wakina Kinjeketile mliviongoza. Miaka mia moja imepita toka damu yenu azizi ilipomwagika katika mapambano hayo ya kumwondoa mkoloni.Ungekuwepo najua ungekuwa Mbunge wa Kilwa, ungeshangaa sana-Eti maadhimisho ya vita mlivyovianza Kilwa na mapambano ya mwisho yakawa Songea, yanafanyika kinyume chake!Maadhimisho yameanzia Songea na waziri ameahidi pengine yataishia Kilwa. Chacha Wangwe, mbunge wa CHADEMA(wakati wenu hakukuwa na vyama vya siasa vyenye majina haya) jimbo la Tarime, yeye akahoji-kwanini bendera ya taifa isiwekwe rangi nyekundu kama ishara ya kuwakumbuka nyinyi mashujaa wetu? Naibu waziri wa habari na michezo, Mheshimiwa Emanuel Nchimbi-yeye akajibu, hakukuwa na sababu ya rangi nyekundu kuwekwa kwenye bendera ya Taifa kama ishara ya kuwakumbuka mashujaa. Eti, historia ya uhuru wa nchi yetu inaamuliwa kuanzia mkoloni wa mwisho aliyetutawala ambaye ni Muingereza. Sasa kwa kuwa tulipata uhuru wetu kwa amani bila kumwaga damu chini ya uongozi wa mwalimu Nyerere basi hakukuwa na sababu ya kuweka rangi nyekundu. Enyi mashujaa Kinjeketile na wenzako tunaowakumbuka leo mnakubaliana na jibu hili?<br /><br />Ndio maana nikasema ni maadhimisho ya kinafiki. Tunanena tofauti na matendo. Nimesema awali, tunaanza maadhimisho ya leo kwa kuwasha mwenge wa uhuru halafu baadae tunaweka silaha za jadi. Kinjeketile na wenzako, iulizeni serikali- kama uhuru wetu tuliupata kwa amani, iulizeni serikali kwanini tunawasha mwenge wa uhuru na baadaye kuweka silaha za jadi? Tunanena tofauti na tunavyotenda? Iulizeni serikali, je harakati za mwisho za uhuru ni kipimo pekee cha historia ya nchi na hivyo kuwa kigezo pekee cha kuamua alama za nchi ikiwemo bendera?<br /><br />Enyi mashujaa mlioambana kuulinda uhuru wetu dhidi ya wakoloni kuingia kuanzia wakati wa Mreno, Mwarabu na Mjerumani na kumwaga damu, mnakubaliana na majibu haya? Kushindwa kwenu na hatimaye ukoloni kuingia hakuondoi historia kuwa mlimwaga damu kwa ajili ya kulinda uhuru wa ardhi hii tukiyoirithi!<br /><br />Enyi mashujaa mliopambana kuondoa ukoloni hususani ule wa Ujerumani mkamwaga damu, mnakubaliana na kumbukumbu hii?Kwamba mliyoyafanya si historia kuu kama historia ya uhuru toka kwa Mwingereza?<br /><br />Enyi mashujaa, waulizeni wataalamu wa historia-baada ya Ujerumani kushindwa na makoloni yake yote kuwekwa chini ya halmashauri ya mataifa na baadaye baraza la udhamini, Tanganyika ikiwekwa chini ya uangalizi wa Uingereza-si kwamba tulikuwa katika hatua za mwisho kabisa za kupewa uhuru ambao tayari tulishaupata kwa damu?Waulizeni pia, hakuna damu yoyote iliyomwagika wakati wa Mwingereza?Je, historia ya nchi yetu iliyojikita katika kipenzi chetu Nyerere imewajumuisha mashujaa wote wa ardhi hii?<br /><br />Nasema kwa damu-kuanzia ushindi pamoja na kushindwa dhidi Mjerumani ambao ulileta mabadiliko katika mfumo wa utawala sanjari na mashujaa ambao walikuwa mstari wa mbele katika jeshi la Mwingereza na washirika wake katika vita dhidi ya Mjerumani, vile vita vya dunia ambavyo vilipiganwa pia katika ardhi yetu?Wakina nani walimwaga damu zaidi katika kile kinachoitwa ukombozi ulioletwa na majeshi ya mfalme Afrika(KAR) kama si nyinyi babu zetu?<br /><br />Hojini serikali, hivi bendera hii ni ya Tanganyika au Tanzania? Jibu la Nchimbi limetolewa katika muktadha wa historia ya Tanganyika, Ingekuwa vipi jibu lingetolewa mintaarafu bendera ya Tanzania ambayo ilipatikana kutokana na Muungano wa Tanganyika na Zanzibar ilihali visiwani kuna historia ya damu kumwagika ama kumwagwa wakati wa mapinduzi? Kama kweli tuna serikali ya mapinduzi Zanzibar na utawala wa Chama cha Mapinduzi(CCM), je ni mapinduzi yasiyo na ‘rangi nyekundu’?<br /><br />Tunatenda tofauti na kauli! Tunafanya maadhimisho ya kinafiki. Wakina Kinjeketile tunawakumbuka kwa kuwa mlimwaga damu kupinga ukoloni na unyanyasaji. Mtuulize wajukuu zenu, je tunawaadhisha kwa kuendelea kupiga vita yale mliyoyakataa? Kwa hali ilivyo, wapo wanaotenda yale mliyoyakataa pamoja na kuwa wote kwa kauli tunawaenzi ninyi mashujaa. Tunapaswa sasa kuweka fikra zenu katika vitendo kwa ajili ya ukombozi wa taifa letu. Mwalimu Nyerere alikumbuka fikra zenu akatamka na kutenda kwamba uhuru, si uhuru wa maneno. Ni uhuru dhidi ya ujinga, uhuru dhidi ya maradhi, uhuru dhidi ya umaskini na baadaye akaongezea uhuru dhidi ya rushwa ama ufisadi. Enyi wahenga mashujaa, shukeni katika nyoyo za watoto na wajuu zenu, mtufanye kutokana na maadhimisho ya mwaka huu tuweke dhamira ya kupigana vita kwa zana kisasa kuleta mabadiliko ya kweli na uhuru wa kweli, kuleta haki na maisha bora. Hii ndiyo hidaya kwa damu yenu azizi. Sio siri, kwa sera bila silaha, mapambano bado yanaendelea!<br /><br />Mwandishi wa makala hii ni mwanaharakati na mwanasiasa kijana anayepatikana kupitia <a href="mailto:mnyika@yahoo.com">mnyika@yahoo.com</a> na 0744 694 553<br /><br /><br /> </div><div class="blogger-post-footer"><img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/13876107-115384872100843421?l=www.chadema.net%2Fblogu%2Fmnyika%2Findex.html'/></div>UDIhttp://www.blogger.com/profile/14745780769836030111noreply@blogger.com1tag:blogger.com,1999:blog-13876107.post-1152897241952585002006-07-14T20:00:00.000+03:002006-07-14T20:14:01.976+03:00HOTUBA YA NDUGU JOHN J. MNYIKA-MKURUGENZI WA VIJANA WA CHADEMA KATIKA UFUNGUZI WA MAADHIMISHO YA SIKUKUU YA WANAWAKE WA KIKRISTU WA KANISA LA MORAVIAN KANDA YA KUSINI, MABIBO-DAR ES SALAAM, 25 JUNI 2006<br /><br /><br /><br />Wapendwa wanawake wa Moravian,<br /><br />Wageni waalikwa-mabibi na mabwana.<br /><br />Amani iwe kwenu!<br /><br /><br />Leo ni siku yenye furaha sana kwenu, ni maadhimisho ya sikukuu ya wanawake wa kikristu wa Moravian kanda ya kusini kama sehemu ya utamaduni mliojiwekea. Lakini ni siku ya furaha pia kwangu, kwanza kwa kuwa mahali pa furaha yenu, lakini pili na muhimu zaidi kwa hadhi mliyonipa ya kuwa mgeni rasmi kwenye ufunguzi wa siku hii muhimu.<br /><br />Mmeacha wote na kuamua mimi niliye mdogo katika Kristu niwe mgeni rasmi katika sikukuu, siku hii kubwa. Mmetimiza Maandiko! Palikuwa na wanawake wawili, mmoja akiitwa Elizabeti na mwingine Mariam. Mariamu alipokwenda kumtembelea Elizabeti aliposikia tu kuamkia kwake kitoto kichanga kilichokuwa tumboni mwake kikaruka. Baada ya kuelezwa maajabu haya Mariamu aliamua kumshukuru Mungu. Alimshukuru kwa mengi, lakini kubwa kuliko yote, alimshukuru Mungu kwa kuwakweza wanyonge na kuwashibisha mema wenye njaa. Nami nami nawashukuru kwa kunikweza maana mara nyingi maadhimisho kama haya hufunguliwa na viongozi wa juu, wafanyabiashara wakubwa na wazee wenye kutambulika . Lakini ninyi mmenialika kijana wenu, najua wengi mmenifahamu katika hekaheka za uchaguzi mkuu 2005 ambapo mimi niligombea Ubunge Jimbo hili la Ubungo. Mwaliko wenu umetimiza maandiko.<br /><br />Maandiko matakatifu yanaeleza kuwa Nabii Samueli aliwahi kutumwa na Mungu kwenda nyumba ya Yese kumpaka mafuta mmoja wa watoto wake kuwa mfalme. Familia ya Yese ilikuwa na watoto mbalimbali wenye tambo na sifa kemu kemu. Walipitishwa wote, Samueli akasema HAKUNA. Alipouliza kama kuna mwingine wakamwambia “kapo katoto kengine kadogo sasa kanachunga kondoo”. Kalipoitwa kakaja, kakijana Daudi-mwenyezi Mungu akamwambia Samueli, “Huyu ndiye, mpake mafuta”. Nanyi leo ‘mmenipaka mafuta’, ndio maana narudia tena kuwashukuru kwa kutimiza maandiko.<br /><br /><br /><br /><br /><br /><br />Wapendwa wanawake wa Moravian, wageni waalikwa mabibi na mabwana:<br /><br />Sasa niko mbele yenu hapa kijana wenu. Tuko katika maadhimisho. Na nisingependa niseme maneno mengi katika sikukuu. Raha ya sherehe ni kushereheka. Pengine wengine mnatarajia mimi kama mgeni rasmi nichochee hali hiyo. Ni wajibu mzito kuleta mambo yenye kusherehesha. Mnakumbuka kuhusu simulizi la harusi ya huko Kana mji wa Galilaya? Mamaye Yesu pamoja na wanawake wengine walikuwa harusini, Yesu naye alialikwa harusini pamoja na wanafunzi wake. Maria alipomfuata Yesu na kumweleza kwamba divai imewatindikia- Yesu akajibu kwa unyenyekevu-“Mama tuna nini mimi nawe? Saa yangu haijawadia. Lakini Mama akawaeleza watumishi wafanye kama walivyoelekezwa na hatimaye maji yakageuka kuwa divai. Mimi siyawezi haya, ni ya kimungu.<br /><br />Pamoja na kuyashindwa haya, nawaomba nichukue fursa hii kabla ya kufungua rasmi niwape kidogo “divai”. Tofauti na ya Kana, mimi nawaomba niwape ‘kinywaji cha fikra’. Naomba niwaambie mambo mnayoyafahamu lakini pengine hamkupata wasaa wa kuyatafakari. Maadhimisho yetu ya leo yaambatane na tafakari.<br /><br /><br />Wapendwa wanawake wa Moravian, wageni waalikwa mabibi na mabwana:<br /><br />Mosi, nawapongeza sana kwa utamaduni wenu huu wa kukutana kila mwaka na kuadhimisha sikukuu. Biblia inakumbusha kwamba walipo wawili au watatu kwa jina lake yeye yupo katikati, atakuwepo kwa kiasi gani katika kusanyiko hili kubwa? Kusanyiko kama hili ni kiungo cha kuunganisha nguvu za pamoja katika kukubiliana na changomoto za kiimani, kijamii na kadhalika. Maadhimisho haya yawe chachu ya wanawake wa Moravian kanda ya kusini kuwa pamoja katika mwaka mzima. Katika shida na raha, katika raha na karaha, katika huzuni na furaha. Ukiangalia historia za ujenzi wa nchi na maeneo mbalimbali, taasisi za kidini zina mchango wa pekee sana. Hii ni kwasababu zinaongozwa katika misingi ya utumishi, zina maadili yanayotaka kutumia raslimali bila ubadhirifu lakini pia zina mihimili ya kiimani inayotaka waumini na wote wenye mapenzi mema kuchangia raslimali. Wanawake wa Moravian, ni vyema kuitumia fursa hii. Kwa kuchochea mabadiliko ya kimaisha miongoni mwa wanawake, katika kata na kuendelea mbele zaidi. Maandiko yanatupa wajibu huu. Moja ya amri kubwa tunayopewa ni kumpenda jirani yetu. Ninyi nyote ni majirani katika Kristu. Tunaelezwa tunapaswa kuwavisha wenye njaa, kuwapa tumaini waliokata tamaa, kuwatetea wanaozulumiwa na mengine mengi ambayo ni sehemu ya agano jipya. Tukitekeleza haya hatutapungukiwa kitu-tutapata mahitaji yetu kama wanawake wa Moravian, tutachangia katika kuleta maendeleo katika taifa letu lakini kubwa zaidi tutakuwa tumejiwekea hazina isiyoharibika mbinguni.<br /><br /><br />Wapendwa wanawake wa Moravian, wageni waalikwa mabibi na mabwana:<br /><br />Baadhi wanaweza kuwa na umaskini wa kipato, lakini hatupaswi kwa namna yoyote kujiruhusu ama kuruhusu tukawa na umaskini wa kimaadili. Maadili hayauzwi. Maadili ni bidhaa ya bure. Tunaweza tukawa na matabaka ya kiuchumi katika jamii yetu, lakini maadili ni chanzo cha heshima kwa wote. Maadili mema ni uwezo wa kutambua mema na mabaya na kuchagua yaliyo mazuri. Hatuhitaji fedha kuwa na maadili mema, hatuhitaji elimu ya chuo kikuu kuwa na maadili mema. Tunahitaji utashi. Maadili ni kinga dhidi ya matatizo mengi katika jamii. Maadili ni kinga dhidi ya kusambaa kwa UKIMWI, ngao dhidi ya rushwa na ubadhirifu, kinga dhidi ya matatizo ya kifamilia yanayopelea nyumba ndogo na kuvunjika kwa ndoa, ni ngao dhidi ya madawa ya kulevya na mapungufu mengi katika jamii. Kwa lugha ya mtaani tunaweza kusema maadili ni ‘dili’. Nyinyi mnayo nafasi ya pekee kwa kuwa mmejiunga pamoja chini ya mwamvuli wa wanawake wa Moravian-taasisi ya kidini. Dini zinahimiza upendo na kujitawala. Dini zinahimiza maadili. Tuyaweke mafunzo haya katika vitendo lakini twende mbele zaidi kwa kuhimiza maadili katika jamii kwa ujumla. Hiki ni ‘kinywaji cha pili cha fikra’.<br /><br />Wapendwa wanawake wa Moravian, wageni waalikwa mabibi na mabwana:<br /><br />Suala la tatu ambalo ningependa tulitafakari ni “ukombozi wa kifikra”. Mtu anaweza kuwa fukara lakini hatupaswi kukosa fikra. Ukombozi wa fikra unajumuisha kufikiri na kutenda. Ni kuthubutu kufikiri na kufikiri kuthubutu. Kwa nini nazungumza hizi falsafa leo? Sipendi kuwatoa katika maadhimisho na kuwatumbukiza katika maudhi. Lakini leo ni sikukuu yenu wanawake wa Moravian , imani yangu ni kwamba nyinyi wakina mama ndio ‘wazazi wa fikra’. Mathalani, tabia yangu na silika yangu binafsi ikiwemo kujiamini na kuthubutu ni matokeo ya malezi ambayo kwa kiasi kikubwa yametokana na mama yangu. Tujiulize vichwani mwetu, ni wangapi tumewakomboa kifikra, kwa namna gani? Kama bado tuanze sasa. Wajibu huu hauhitaji elimu darasani. Unahitaji elimu ya nyumbani. Ukichambua kwa kina mataifa yaliyoendelea ama watu binafsi walioendelea utakuta kuna tabia fulani fulani zinazofanana: kupenda kazi/kujituma, kuthubutu, kuwa na malengo/dira na kuyasimamia, kufahamu haki na kutimiza wajibu, kuheshimu muda/wakati na hulka nyingine za kijasiriamali. Tabia hizi wameziweka kuwa sehemu ya utamaduni wao wa kila siku. Lakini chanzo cha kuwa na yote haya ni ukombozi wa fikra. Kitalu cha ukombozi huu ni elimu ya nyumbani ambayo mwalimu wake mkuu ni “mwanamke”. Kwa hiyo nyinyi ndio wenye funguo wa ama jamii ibaki ilipo au ibadilike. Kama Margaret Mead alivyowahi kusema, tusihofu kuwa kikundi cha watu wachache chenye dhamira kinaweza kuleta mabadiliko, ukweli ndio kitu cha pekee kilichowahi kuleta mabadiliko. Hii ni changamoto yangu kwa wanawake wa Moravian kanda ya kusini. Hatupaswi kushindwa kugharamia ukombozi wa kifikra kwa sababu gharama yake ni bure.<br /><br /><br />Wapendwa wanawake wa Moravian, wageni waalikwa mabibi na mabwana:<br /><br />Pamoja na kuweka mkazo katika elimu ya nyumbani kama nilivyodokeza hatupaswi kuweka pembeni elimu ya darasani. Elimu ya darasani ni mkunga wa taarifa na maarifa. Wote tunafahamu matokeo ya elimu nzuri ya darasani kwa maisha ya binadamu. Kwa hiyo hatupaswi kabisa kuwaza ‘kumchinja huyu kuku anayetuzalia mayai ya almasi’. Lakini kwa wanawake wengi kikwazo kikubwa ni gharama za elimu. Nakiri kuwa ni sehemu ya kikwazo lakini niweke bayana kuwa ziko fursa za kielimu ama za kupunguza gharama za kielimu ambazo hazitumiki na mara nyingi ni kutokana na kukosekana ama uthubutu ama taarifa. Linapokuja suala la elimu kurudi nyuma ni dhambi. Bisha hodi mpaka ufunguliwe! Kwa pamoja tuitazame elimu kama urithi wa lazima kwa watoto. Mfano wa mwanamke mjane akidai haki bila kuchoka uliomo katika biblia Injili ya luka(18:2-7) uwe kichocheo kwa wanawake wote kuwa mstari wa mbele kudai haki ya elimu.<br /><br />Wapendwa wanawake wa Moravian, wageni waalikwa mabibi na mabwana:<br /><br />Mwisho, matendo hukidhi haja maridhawa kuliko maneno. Nimesema mengi. Ili haya yaweze kutekelezwa na wanawake wa Moravian nguvu za pamoja zinahitajika ikiwemo na raslimali. Na tuanze sasa, maadhimisho yetu yaende sambamba na harambee. Kama watu wanachangia harusi, kama watu wanachangia ‘kitchen party’, kwa nini tushindwe kuchangia kazi ya Mungu kupitia umoja wa wanawake wa Moravian? Kwa nini tushindwe kuchangia maendeleo kupitia asasi hii ya dini? Inawezekana, na tuanze sasa. Tunaweza kudhani hatuwezi. Tukumbuke sadaka wa mwanamke mjane, alitoa kidogo kilichochake ndani ya hazina yake lakini matokeo ya tendo lake yalikuwa makubwa. Tuanze sasa. Mimi nianze kutoa “sadaka ya mwanamke mjane”, natoa shilingi laki moja taslimu. Huu ni mwanzo, tuanze sasa. Viongozi wachukue nafasi, waongoze watu wengine hapa kuchangia na kutoa ahadi kwa namna mbalimbali. Tuanze sasa, huu ni mnyororo. Haupaswi kuishia hapa. Nilisema wapo waumini wengine ambao hawakufika na watu wengine wenye mapenzi mema ambao sio sehemu ya umoja huu. Huu ni mwanzo, muwatambue na kuwafuata. Mnyororo huu wa michango ya hali na mali uendelezwe mpaka malengo ya wanawake wa Moravian yapate raslimali za kuyatekeleza. Kama ambavyo bahari ni muunganiko wa matone madogo ya maji, raslimali zinazohitajika ni mkusanyiko wa michango kidogo kidogo kutoka vyanzo mbalimbali. Waswahili husema, haba na haba hujaza kibaba. Biblia inaeleza ukombozi ulizaliwa kupitia kwa mwanamke, wanawake walikuwa pamoja Yesu katika hatua zote za mateso na wanawake ndio wa kwanza kupokea habari za ukombozi. Maadhimisho ya sikukuu ya wanawake hapa Moravian kanda ya kusini hapa mabibo yalete mwamko huu katika kutimiza wajibu kama huu katika jamii yetu ya leo. Naamini sijawalevya kwa ‘divai hii ya maneno’, natumaini nimewapa ‘kinywaji ya fikra’ na sasa maadhimisho haya yamefunguliwa rasmi.<br /><br /><br />Mungu awabariki kwa kunisikiliza.<div class="blogger-post-footer"><img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/13876107-115289724195258500?l=www.chadema.net%2Fblogu%2Fmnyika%2Findex.html'/></div>UDIhttp://www.blogger.com/profile/14745780769836030111noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-13876107.post-1150687024359451952006-06-19T06:14:00.000+03:002006-06-19T06:17:04.390+03:00JARIDA<br />* * * * * * * * * * * * * * * * * * * * * * * * * * * * * * *<br />INTERNATIONAL YOUNG DEMOCRAT UNION<br />1st Floor, 100 Pall Mall, London, SW1Y 5HP, United Kingdom<br /><br />www.iydu.org<br />Patron THE RT HON THE BARONESS THATCHER OF KESTEVEN LG OM FRS<br />Founder Chairman Mark Heyward<br /><br />* * * * * * * * * * * * * * * * * * * * * * * * * * * * * * * * *<br />IYDU NEWSLETTER<br />EDITION 52<br />Published June 02 2006<br />* * * * * * * * * * * * * * * * * * * * * * * * * * * * * * * * *<br />CONTENTS<br />1. IYDU at the Reagan Ranch - register now<br />2. IYDU Leaders in Switzerland<br />3. The Hillary Prospect<br />4. British Local Elections - Conservatives back in contention<br />5. Events<br />6. End Note<br />* * * * * * * * * * * * * * * * * * * * * * * * * * * * * * * * *<br />1. IYDU at the Reagan Ranch - register now<br /><br />IYDU Freedom Forum 2006: The Reagan Legacy takes place in Santa Barbara,<br />California from 17 to 20 August 2006.<br /><br />The conference will be held at the Reagan Freedom Center and include a visit<br />to the Reagan Presidential Library. And of course we will pay what promises<br />to be a very special visit to Ronald Reagan's ranch.<br /><br />The ranch was President Reagan's private home throughout his years in the<br />White House and was nicknames the Western White House as it played host to<br />world leaders in the 1980s.<br /><br />Ten weeks out from Freedom Forum 2006, over 40 people have registered for<br />the event. Its unknown in IYDU for so many people to register so early.<br />Freedom Forum 2006 promises to be IYDU's biggest conference with over 100<br />participants from around the world.<br /><br />Full details on the event and registration forms can be found at<br />www.iydu.org/events.php<br /><br />Freedom Forum 2006 is open to all young politicians and members of all<br />center right youth and student organisations linked to IDU member parties.<br /><br />I would strongly encourage you to register soon and arrange your hotel<br />reservation. Santa Barbara is a popular tourist destination and the<br />recommended hotels will fill up fast.<br /><br />I hope you will be able to join IYDU on the Reagan Ranch.<br /><br />Donald Simpson<br />IYDU Chairman<br /><a href="http://webmail.chadema.net/src/compose.php?send_to=donald.simpson%40iydu.org">donald.simpson@iydu.org</a><br /><br />* * * * * * * * * * * * * * * * * * * * * * * * * * * * * * * * *<br /><br />2. IYDU Leaders in Switzerland<br /><br /><br />From Sunday May 21st to May 27th, the Swiss Government hosted 7 IYDU<br />activist for a week long exchange of ideas, aspirations and common values.<br /><br />The exchange was organized by IYDU Vice Chairman Jurg Stauffer and IYDU<br />activist Daniel Thretheway. Meetings took place in Berne, Zurich,<br />Interlaken, Geneva and Lausanne. The delegation was comprised of MP<br />Patrick Brown (Canada), Eric Hoplin (U.S), Nicole Hoplin (U.S), Scott<br />Stewart (U.S.), H.P. Gourley (U.S.), Karen Wandersheid (U.S.) and Annie<br />Palisi (U.S.)<br /><br />Swiss government officials that took part in the exchange included Hon.<br />Minister Urs Hammer, Luzi Stamm MP, Thomas Schmidt of Swiss People's Party,<br />and General Peter Regli.<br /><br />Topics touched on during the exchange ranged from "freedom and security",<br />"leaving no child behind", "trade liberalization between U.S., Canada and<br />Switzerland", "Swiss tax system", "emerging crisis in Iran" and "historical<br />figures"<br />* * * * * * * * * * * * * * * * * * * * * * * * * * * * * * * *<br />************************<br />3. "The Hillary Prospect" From the New Book on the Pending Threat of the<br />Clinton Return by John Podhoretz. Curtesy of College Republicans<br /><br />Introduction: An Open Letter to Conservatives and Republicans<br /><br />The very early hours of Wednesday, November 5, 2008, are going to seem<br />eerily, excitingly, frustratingly familiar to anyone in this country who is<br />older than twelve, has an IQ higher than 100, and has ever watched a TV news<br />program, or read a newspaper, or clicked on a news story. The polls in<br />Alaska will close at midnight Eastern Standard Time, and that will bring to<br />a close the casting of ballots that began twenty-four hours earlier in<br />Dixville Notch, New Hampshire, in the first presidential election since 1952<br />that will feature neither a sitting president nor a sitting vice president<br />as a candidate for the highest office in the land.<br /><br />And just as was the case in the two preceding presidential elections, we<br />still won't yet know which of the two-or three-major candidates will be the<br />next president.<br /><br />For once again, probably after all kinds of confusion caused by yet another<br />set of ill-conceived and politicized exit polls that will have Republicans<br />in a panic and Democrats in a state of unrealistic glee, the electoral map<br />will have fallen into place pretty much as it did on the last two Election<br />Days. States along the Pacific Ocean and the North Atlantic will be colored<br />a solid Democratic blue, while the Southwest, the South, and most of the<br />nation's midsection will shout out in vivid Republican red.<br /><br />The political operatives crowded together at the huge<br />please-God-let-our-team-win parties in Washington-Democrats packing the Old<br />Post Office, Republicans filling the Ronald Reagan Center-will be awash in<br />anxiety as thousands of unreleased balloons hang far over their heads<br />waiting either to be released in joy or to remain suspended in defeat. For<br />the third election in a row, the vote counts in Ohio, Florida, Michigan,<br />Wisconsin, Missouri, Pennsylvania, and New Hampshire will be inconclusive.<br />Anchormen will be explaining how if the Dems take Florida and Pennsylvania,<br />the Republicans will have to win every other state to record the necessary<br />270 electoral votes-and then move on to an entirely different set of<br />calculations according to which Republicans need win only Florida and Ohio<br />to get there. After which, a panel made up of blabbermouth pundits, who will<br />be getting punchy and maybe even a tad psycho, will fill some time until the<br />"decision desk" can call another state.<br /><br />And then, as the tension grows to an almost unbearable level, the toss-up<br />states will begin to tip . . . but which way?<br /><br />Which way?<br /><br />If you conservatives and Republicans-you Republican thinkers, strategists,<br />politicians, and voters and you conservative activists, intellectuals, and<br />organizers-can come to a meeting of the minds about the seriousness of the<br />threat facing this country in the next election, you can make sure that the<br />balloons drop on you and not on the other guys. You can forestall and<br />prevent the most frightening and disastrous outcome of that early morning.<br />You can guarantee that the candidate you most dread will not be not standing<br />in front of the west face of the U.S. Capitol alongside Chief Justice John<br />Roberts on January 20, 2009. You can prevent that candidate from being the<br />person who will utter the words spoken by only forty-two other Americans in<br />this nation's history.<br /><br />Yes, if you do what must be done to ensure that this nation will be safe and<br />secure and economically viable as it enters the second decade of the third<br />millennium, you and your fellow Americans (and the world) will never hear<br />the sentence specified by Article 2, Section 1 of the United States<br />Constitution spoken as follows: "I, Hillary Rodham Clinton, do solemnly<br />swear that I will faithfully execute the office of President of the United<br />States, and will, to the best of my ability, preserve, protect, and defend<br />the Constitution of the United States."<br /><br />You can end the newest American political dynasty aborning. You can make<br />certain that William Jefferson Clinton does not get to move back into the<br />White House and serve as history's first First Gent. Eight years after his<br />ignominious departure from 1600 Pennsylvania Avenue, amid reports that the<br />White House had been trashed by outgoing staffers and amid general disgust<br />at the extravagant pardons Clinton had been handing out like so many<br />business cards, the man who turned the White House into a fee-for-service<br />hotel and toyed with insecure young women and tortured widows and God knows<br />who else in the nooks and crannies of the West Wing will continue to have to<br />do his wretched business elsewhere.<br /><br />The flip side of this scenario is also unfortunately true. For if you<br />Republicans don't get real serious real fast, if you don't wise up and<br />settle down and get focused, that will be Hillary up there on the podium<br />taking the oath of office from John Roberts. Hillary Rodham Clinton will<br />become the next president of the United States unless you Republicans can<br />find a way to stop her.<br />And you can.<br /><br />But to do so, you need to understand just how real the possibility of her<br />victory is and what kind of challenge that poses to you as a party and a<br />movement. You need to come together in recognition of the threat. You need<br />to avoid the temptation that has begun to afflict members of the party's<br />more ideological branches-the temptation to threaten to break off, to<br />secede, to run third-party protest candidacies. That will only get Hillary<br />elected.<br /><br />Politicians and political writers are fond of sports analogies, and when<br />they're looking for one, they usually go straight to football or baseball.<br />Neither is the proper metaphor for what happens in elections. The sport<br />providing the closest analogy is golf. Golf is a game played over a series<br />of days in which a contender must not only compete with others but must also<br />overcome his own natural human tendency to fail-to lose focus, get lazy,<br />ease up, worry himself to death, get cocky and overconfident, or become<br />selfdestructive. Usually, the golfer who wins a tournament is the one who<br />makes the fewest unforced errors, the one who gets in his own way the least.<br /><br />And so it is with politics. Elections in America-and in this case I refer<br />only to contested elections, those increasingly rare events where nobody<br />quite knows on Election Day which of the two leading candidates is going to<br />prevail-are almost never won. Indeed, the real trick to winning an election<br />in America isn't to win it. The trick is not to lose it. In 2000 and 2004,<br />George W. Bush won the presidency in large measure because he made fewer<br />mistakes than Al ("Let me come across as three different people in three<br />different debates") Gore and John ("I voted for the $87 billion before I<br />voted against it") Kerry.<br /><br />Now, you can certainly make the case, and I would, that Gore and Kerry made<br />the unforced errors they did because they didn't quite know what they stood<br />for and what message they were trying to get across and so they were<br />superbly well suited to fumfer and blather and trip on their own shoelaces.<br />You can make the case that it was easy for George W. Bush to stick to his<br />rigidly programmed stump speeches, to say the same thing in the same way for<br />months and months and months without going insane, because he knew at his<br />core what he was running for and why selling his message was the best way to<br />get to Washington (or stay in Washington) and do what he thought he needed<br />to do for the country. Or you can make the case that Bush is a boring,<br />programmed robot, lacking the kind of human frailties that might cause a<br />Gore or a Kerry to screw up charmingly.<br /><br />Whichever side of the argument you take, Bush's two elections prove that not<br />losing is a vital part-maybe the vital part-of winning. And now, as 2008<br />approaches, the Republican Party faces a very complicated task. To stop<br />Hillary Clinton, it has to not lose to her. To succeed in this aim,<br />Republicans need to start now. You must avoid fights to the death with one<br />another. You know you want to have them. But you can't tear yourselves apart<br />over them. The cost will simply be too high for the country to bear. This is<br />not to say that disagreements among Republicans and conservatives over<br />matters of policy and conscience are bad and to be avoided. Far from it. The<br />greatest sign of health in the Republican Party is its growing capacity to<br />house people who share the same rough vision of the nation's direction but<br />who have differing views on how to get there. That rough vision, the<br />Republican vision, can be summed up briefly as this: America is and should<br />be a country that rewards individual achievement and hard work, disdains a<br />culture of preferential treatment and group rights, believes in equality of<br />opportunity rather than the equality of result, upholds traditional values,<br />and is dedicated to securing the nation from foreign threats.<br /><br />Now, do the Republican Party's politicians act in ways that are always<br />commensurate with this vision? Of course not. They are politicians first and<br />foremost, and most of them are guilty of the same sins that have corrupted<br />elected officials since the dawn of time-especially the sleazy but legal use<br />of public moneys to buy support from voters, reward friends and donors,<br />punish enemies and rivals, and cement their own place in office forever.<br /><br />In particular, for many rank-and-file Republicans, life would certainly be<br />simpler if the party-the party of traditional values and individual<br />accomplishment-had proved to be more exacting in its management of the<br />Congress in the years since the GOP took it over in 1994 than the party of<br />Big Government was in the forty years preceding it. But that was not to be.<br />Perhaps even hoping that it could have been so was a dangerous illusion. And<br />so many Republicans and movement conservatives, disdainful of Washington and<br />its tendency to turn Puritan reformers into Epicurean revelers, are<br />currently expressing great distress about the behavior of the Washington<br />party-about the rise of creepy lobbyists, the use of Congressional pork, and<br />the prevalence of cronyism.<br /><br />God knows it would be nice if you could have politics without politicians,<br />but you can't. Politics is a profession, and in general, people behave in<br />nasty and unseemly ways when it comes to keeping their jobs. Politicians are<br />among the reasons why, in his great essay, the novelist E. M. Forster was<br />able to issue only "two cheers for democracy." So as 2008 looms, Republicans<br />and conservatives should be sadder and wiser about politics-sadder because<br />the ideal of a "Republican Revolution" as promulgated in the 1990s proved to<br />be a fantasy, and wiser because it's always better to look at the world<br />through clear and cold eyes rather than rose-colored glasses. And here's<br />what you see when you look through clear and cold eyes: Sometimes, in<br />politics, the best you can do is to play the Lesser of Two Evils game. You<br />may have to commit yourself to a candidate who is not the most wonderful<br />person you can think of, a candidate who disappoints you and even angers you<br />in many ways-because it's more important to prevent a result you know will<br />be bad news.<br /><br />Hillary = Bad News.<br /><br />The mischief Hillary could do in the White House would be far more<br />devastating to the country than anything she and Bill cooked up in the<br />1990s. I'm not talking about personal peccadilloes, for it seems<br />unquestionable that Hillary's own personal morality resides elsewhere than<br />in the high-rent sewer where her husband's does. And as for financial dirty<br />dealings, she's doubtless learned to keep her nose clean after the<br />Whitewater agony-and the change for the better in the Democratic Party's<br />financial fortunes means she won't have to troll for campaign funds from<br />Chinese Communist agents and grant pardons in exchange for library<br />donations. To that extent, her presidency would be superior to her<br />husband's. Indeed, Bill himself has said she would be a better president<br />than he was-only "in some ways," of course, because in Clinton's own mind,<br />no human being could be better than he at anything. "In some ways," he told<br />an Israel Television anchor in November 2005, "she would be because of what<br />we did together. First, she has the Senate experience I didn't have. Second,<br />she would have had the eight years in the White House. I think she wouldn't<br />make as many mistakes, because, you know, we're older and more mature, and<br />she is far more experienced now in all the relevant ways than I was when I<br />took office. So I think in a way she has the best of both worlds."1<br /><br />Hillary might have the best of both worlds. But America would have the worst<br />of it. We have every reason to believe she would be a far more destructive<br />president than her husband was. Where Bill was a prudent and cautious<br />political player and an ideological vampire, almost always ready and willing<br />to drink deep from the opposition's ideas and command them as though they<br />were his own if it suited his interests, Mrs. Clinton will almost surely use<br />her time in the White House to advance frankly liberal or leftist ideas. At<br />a time when the Left poses a colossal threat to the nation's economic<br />viability and its national security, she will try to run for office from the<br />center but govern from the Left.<br /><br />If I'm right-and I hope this book will provide ideas and methods that will<br />ensure we need never find out-Hillary's presidency will be the mirror image<br />of the presidency f George W. Bush. There's every reason to believe that<br />Hillary Clinton is to liberalism what George W. Bush was to conservatism-its<br />Trojan Horse, its stealthy way back into power. She's a serious person, a<br />person of conviction, a talented politician, and a tough competitor-just as<br />he was and is.<br /><br />The current president ran in 2000 as a compassionate conservative, with a<br />greater stress on the compassion than on the conservatism. As president,<br />however, Bush immediately took his stand with the right wing of his party.<br />He found his home, his base, his succor, his sustenance, and, indeed, his<br />vision from the neoconservatives and the conservatives. That's who he really<br />was, as it turned out. Though it is true that Bush dissented from<br />conservative orthodoxy in many ways, chiefly in his refusal to embrace<br />penurious government, he was as right-wing a president as could be imagined<br />in this place and time (as Republicans and conservatives disenchanted with<br />him right now will discover as they begin to examine the likeliest choices<br />to replace him in 2009).<br /><br />The left-liberal governance of Hillary Clinton would be seen in every aspect<br />of the government. The economic alteration of the nation's course seems easy<br />to predict-tax increases, more government regulation of the economy, a<br />friendly disposition toward the use of the courts by trial lawyers, a war on<br />businesses large and small launched by regulatory agencies in the name of<br />the environment and small investors, and almost certainly a backslide into<br />protectionism (in the name of workers' rights and environmental justice).<br />But those changes pale in comparison to the consequences for the security of<br />the United States and the advance of U.S. interests around the world.<br /><br />If you are among those who believe, as I do, that the aggressive tactics<br />taken in the War on Terror have helped keep America safe and have so far<br />prevented a number of post- 9/11 attacks, then you have every reason to be<br />panicked about the prospect of Hillary's ascension. For there's good reason<br />to believe she would chip away at those aggressive policies and amend them<br />until they are so compromised they will spring as many leaks as a New<br />Orleans levee during a storm surge. And the people she would hire to work<br />for her would seek to reverse whatever aggressive policies they could<br />reverse.<br /><br />Take, first, the changes in domestic antiterror policy that she would<br />oversee. Though Hillary has generally talked tough on these matters and<br />voted for Bush-sponsored legislation like the Patriot Act, she did vote to<br />sustain a filibuster in December 2005 opposing the act's reauthorization.<br />Her unwillingness to defend this vital law against reckless Democratic<br />efforts to gut it was a hint that her own presidency would probably take up<br />these matters in the form of "cleaning up" domestic antiterror legislation.<br />That "cleanup" effort would, by the time Congress got through with it and<br />she signed it into law, begin erecting new barriers to the good working<br />order of the FBI and CIA and the possibilities of cooperation between them.<br /><br />The judges she would appoint, all of them left-leaning at best, would be<br />inclined to use their gavels to rule out of order any and all aggressive<br />efforts at terrorism prevention. And her cabinet officials, drawn from her<br />three decades of friendship with the left-wing majordomos of the United<br />States, would push back against the use of tough and innovative tactics by<br />enforcement agencies and first-responders.<br /><br />But even those actions would pale beside the changes she would make to the<br />foreign policy of the United States. George W. Bush's aggressive foreign<br />policy-taking the fight to the terrorists and the rogue states and trying to<br />replace Muslim tyrannies with democracies-offers the only real chance to end<br />the endless cycle of Islamofascist terror. But eliminating that foreign<br />policy is the goal that unites every Democrat and leftist. They may disagree<br />on just what exactly should replace it, but replace it they will. That<br />detestation of the Bush foreign policy is the glue that binds the disparate<br />elements of the Democratic coalition-from the Michael Moore crazies who<br />think Bush did it all for oil or for the Saudis or for some other wacko goal<br />to the more sensible Clinton officials who criticize Bush policy because,<br />hell, that's what foreign-policy experts do when they're affiliated with the<br />party out of power.<br /><br />And where does Hillary stand on all of this? It is true that she has voted<br />for Bush defense budgets and supported the wars in Afghanistan and Iraq. But<br />it is also true that for twenty years before she became a senator, she was<br />committed to a view of the world and America's role in it that was<br />defiantly, even passionately, hostile to a foreign policy that required<br />America to stand tall, defy conventional world opinion, and do what was<br />necessary to secure itself and free the world from tyranny.<br /><br />Which is the real Hillary? The senator with her eye on the White House,<br />casting votes to keep herself viable, or the activist whose sense of the<br />world remained remarkably unaltered even as her own husband moved to the<br />center? I submit that the senator is the Trojan Horse and the real Hillary<br />is inside, waiting to burst through and alter the course set by George W.<br />Bush. For, in the end, Hillary's almost perfect liberal voting record-she<br />received a 96 rating from the Americans for Democratic Action in 2005-is a<br />more reliable indicator of her ideological purposes than her studied efforts<br />to play a hawk.<br /><br />Which is why she must be stopped, and you're the only ones who can stop her.<br />But to do that, you first must stop doing something else. You need to stop<br />lying to yourselves. You need to stop having those conversations where you<br />begin to doubt her strength as a candidate. I've heard them. I've<br />participated in them. I've even reveled in them. They're very alluring.<br />After all, you and everyone you know probably<br /><br />despise Hillary Clinton. There's almost nothing about her that appeals to<br />you. You think she stayed in her marriage because she was hungry for<br />unelected power, and that disgusts you. Or you think she stayed in the<br />marriage because she had a kind of addiction to Bill Clinton, which evokes<br />contempt in you, considering all the foul things Bill Clinton did with his<br />incessant philandering.<br /><br />But that Hillary Clinton-the one that was so easy to dislike, even outright<br />hate-won't be the one running for president. As her husband suggested, she's<br />older and wiser and cleverer-and therefore more dangerous. She's shown the<br />most important quality a successful politician can have: She's learned how<br />to adapt. She's learned from her mistakes. And she's even managed to make<br />her mistakes work for her.<br /><br />When 2008 rolls around, it will have been sixteen years since Hillary first<br />emerged on the American scene. With the possible exceptions of the man who<br />won the Civil War and made his bid for the White House in 1868, the man who<br />defeated the Nazis and went for it in 1952, and the man who costarred in a<br />movie with a chimp named Bonzo and sought the brass ring in 1980, she will<br />be the most famous person ever to run for president.<br /><br />By the time the 1992 election rolled around, Hillary had already become the<br />best-known would-be First Lady ever-and by the end of the Clinton presidency<br />had achieved a prominence in the role equaled in the course of American<br />history only by Eleanor Roosevelt and Dolley Madison. What's especially<br />interesting about this is that much of her fame was due to mistakes she<br />made, the controversies she created, and the enemies she attracted like<br />flies. She generated unnecessary enmity toward herself before her husband's<br />election because of rude and cold statements about what she clearly took to<br />be the proper liberal role of women.<br /><br />It happened, basically, the moment America got a look at her on a 60 Minutes<br />broadcast on the eve of the New Hampshire primary in which she and Bill sat<br />together to answer Gennifer Flowers's charge that she had engaged in a<br />twelveyear affair with the presidential hopeful. It was on this occasion<br />that the then-unknown Hillary Clinton angrily and contemptuously declared<br />she wasn't "standing by my man, like Tammy Wynette." The remark was a<br />reference to a twenty-four-year-old country-music song, and it was<br />significant because everybody got the message: Hillary Clinton may have<br />moved to the South and been the wife of a Southern Democratic governor, but<br />she was a Northern liberal through and through.<br /><br />Nothing wrong with being a Northern liberal-hey, I'm married to one-but<br />there was something wrong about a would-be First Lady becoming a<br />controversial character right off the bat. And she just couldn't help<br />herself, somehow; she stepped in it yet again only a few weeks after the<br />Tammy Wynette moment, when she proudly told reporters that she had pursued a<br />profession rather than being a housewife. It was, to put it mildly, unwise<br />for her to act as though what she did was far more important and difficult<br />than what homemakers and other nonprofessional women did.<br /><br />Those personal mistakes were compounded in the first two years of Bill<br />Clinton's presidency by the grave political mistake she made as First Lady<br />in designing and championing a disastrously statist overhaul of the nation's<br />health care practices. So having become a lightning rod for being a<br />caricature of a women's libber during the campaign, Hillary then became a<br />caricature of a clueless and dogmatic leftist as a result of her bungled<br />health care plan.<br /><br />The final element of her early fame was intertwined with the mistakes she<br />had made in Arkansas and continued to make in Washington in regard to some<br />suspicious financial transactions during her time as a prominent young<br />politician's wife. The shadow cast over her by her surprising ability to<br />earn a 10,000 percent profit on a cattle-futures deal when she had never<br />before dealt in futures offered a rather more ambiguous picture of the First<br />Lady than you would have guessed from the air of moral superiority she bore<br />as conspicuously as the bright pink suit in which she appeared at a press<br />conference inside the White House to explain her lucky cattle score.<br /><br />The first sign that Hillary Clinton might indeed be a formidable political<br />force on her own was when she quieted down and put herself in a box in 1996<br />so that her husband could get reelected. She understood that the<br />controversies she provoked were bad for him, and rather than standing her<br />ground proudly, she shut her yapper.<br /><br />She opened it in a significant way only once more before she ran for the<br />Senate in New York-when in the week that Monica Lewinsky's name first<br />surfaced in 1998, she went on the Today show and declared that a "vast<br />right-wing conspiracy" had come into existence to force her husband to<br />accept oral sex and phone sex from an unpaid twenty-one-year-old intern.<br /><br />It turned out that silence served her well-so well, in fact, that she<br />decided to make it an integral part of her own political strategy when she<br />ran for the U.S. Senate in New York State in 1999 and 2000. She spent much<br />of the first year in her two-year campaign on what she called a "listening<br />tour" of the Empire State's sixty-two counties. In other words, she wasn't<br />going to say anything on the record, would be giving no speeches, and<br />wouldn't sit for interviews about the race. She was just going to "listen"<br />instead.<br /><br />This, again, demonstrated the political smarts that Hillary had developed<br />during the Clinton presidency. She was not yet quite skilled enough to wing<br />it on the campaign trail with a huge press corps hanging on her every word.<br />One bad mistake and she might be toast. So the woman who became famous for<br />sticking her foot in her mouth glided into the Senate by saying and doing<br />almost nothing.<br /><br />And by keeping quiet throughout her Senate tenure, Hillary Clinton helped<br />squelch the fires of the rage against her, because she has added little fuel<br />to them. During the Bush presidency, Hillary Clinton has been serving as the<br />junior senator from New York, careful to avoid making waves, casting<br />reliably liberal Democratic votes, and yet cultivating a reputation as a<br />centrist largely because she voted to authorize the use of force in the war<br />against Saddam and has supported every defense appropriation since.<br /><br />The tale told about Hillary Clinton's tenure in the Senate is that she is<br />just so very, very "hardworking." It's hard to know what that actually<br />means, since the work of a senator is to sit around listening to people<br />blather and take lots of meetings, but it's been the standard line about<br />her-and what's even more interesting is that the line has been peddled most<br />frequently not by Hillary's fellow Democrats but by Republicans like John<br />McCain and Lindsey Graham.<br /><br />In ways large and small, then, the Clinton project of this decade has been<br />to soften and becalm the image of the 1990s virago who was the subject of<br />comedian Jeff Foxworthy's immortal crack, "If you have nothing nice to say,<br />you must be talking about Hillary Clinton." And truth to tell, Hillary is<br />nothing if not a survivor, and she's been around long enough to seem like a<br />piece of political-cultural furniture, heavy and present and in your living<br />room whether you like it or not.<br /><br />That much became evident in 2002, with the publication of her astoundingly<br />uninformative and uninspired memoir, Living History. Whatever its weaknesses<br />as a work of literature-and suffice it to say it has no strengths as a work<br />of literature-Living History was an astounding success. Conservatives<br />scoffed when her publishing house paid $8 million for the book, which led<br />one of the biggest scoffers, the TV host-pundit Tucker Carlson, to say he'd<br />eat his shoe if Living History sold 1 million copies. Carlson's ingestion of<br />a cake in the shape of a shoe was a landmark moment-including for skeptics<br />in her own political camp-because it demonstrated that Hillary Clinton<br />really did possess mass appeal on her own.<br /><br />The book's success cemented the notion among Democrats in particular that<br />she might be their savior from the hard-charging Bush in 2004-and when she<br />wisely decided not even to dip her tippy-toe into the waters of that<br />maelstrom, it made her the prohibitive frontrunner for her own party's<br />nomination in four years' time.<br /><br />Her status as a frontrunner and her access to her husband's fundraising<br />machine mean that Hillary Clinton begins the presidential-campaign cycle<br />roughly where Bush did in 1999-so far ahead in terms of money-raising<br />abilities that a whole bunch of other prospective candidates may just decide<br />not even to give it a shot.<br /><br />Actually, she's probably in a far stronger position than Bush was. She is<br />also using her Senate reelection bid in New York to begin loading up her<br />bank account. Hillary will face no significant opposition, and yet will<br />probably raise between $50 and $100 million before Election Day 2006. By<br />February 2006, according to press reports, she had already banked $17.5<br />million. Federal election law will allow her to transfer the unused money<br />from that Senate campaign into her presidential coffers. This suggests that<br />Hillary will be in a position to break through the $40 million primary<br />campaign-spending limit more than a year earlier than Bush did, and he was<br />the first candidate in the modern era ever to decide to run a primary<br />campaign entirely with private funds.* By 2007, she will be the 800-pound<br />gorilla of the coming election.<br /><br />[* By breaking the spending limit, Bush was unable to collect federal<br />matching funds. In effect, then, he was betting that he could raise more<br />than $80 million, which he did both elections-more than $100 million each in<br />2000 and 2004.]<br /><br />The only way to deal with an enemy is to take that enemy seriously, to<br />respect the enemy's strengths, to understand the enemy's virtues. And you<br />can't shake off your worry by thinking dismissive thoughts. You need to give<br />up on attractive theories that tell you Hillary Clinton is not a strong<br />candidate for president. You need to restrain yourself from being seduced by<br />a few ideas that are already being bandied about to suggest that she is a<br />weak contender who will be easy to defeat. These seductive ideas come from<br />decades of received political wisdom, and they all seem to rule Hillary<br />Clinton out of order and unable to reach the Oval Office. Now, I would never<br />disagree with the contention that the best guide to how politicians will win<br />in the future is the close study of how other politicians have won and lost<br />in the past. But in every successful presidential campaign, the candidate<br />and his team also figure out a new way to win and upset the conventional<br />wisdom that prevailed before them.<br /><br />Nobody before 1988 thought a patrician vice president could successfully<br />peddle a populist message against a candidate raised by poor immigrants from<br />Greece, but George Bush the Elder did. Nobody before 1992 thought it would<br />be a good idea for a candidate from the South to pick a vice presidential<br />candidate from the same region-but it worked when Clinton chose Gore. Nobody<br />before 2000 thought that the son of a failed president could make it to the<br />Oval Office, but George Bush the Younger did. Nobody before 2004 thought<br />that a presidential election could be won by milking a candidate's own base<br />rather than moving toward the center for votes-and yet that's how George W.<br />Bush succeeded in scoring 62 million ballots with his name on them.<br /><br />And yet political thinkers and watchers are sorely tempted to believe in the<br />conventional wisdom they have come to know so well, because without it, what<br />do they actually know, really? Which is why it's essential to examine the<br />conventional wisdom and challenge its assumptions.<br /><br />"Depend upon it, sir," said Dr. Johnson, "when a man knows he is to be<br />hanged in a fortnight, it concentrates his mind wonderfully." Hillary's<br />election should be concentrating the minds of Republicans and conservatives<br />wonderfully. But it isn't yet. And if we're not careful, the disappointment<br />many of you feel with the state of your party will translate into an<br />exhilarating but potentially suicidal journey as the primary season gets<br />under way in earnest in 2007. The road you should travel, the path you<br />should take, is the one marked "Danger: Hillary Approaching." But there are<br />nascent signs that you may take another road, a road into the interior of<br />the Republican Party itself. Many on the right will want to use the primary<br />to lead the GOP and the country into some very dangerous<br />territory-ideological purity.<br /><br />Occasionally in politics, a small but influential caucus of idealists<br />decides that what its party really needs is a Purification Ritual. To stress<br />the importance of ideological purity, the caucus will stage a protest<br />candidacy against a mainstream politician and the political party that<br />chooses him, because the party and the politician have betrayed the caucus's<br />highest ideals.<br /><br />The conservative movement that undergirds the Republican Party is especially<br />fond of threatening the GOP with a Purification Ritual on every matter under<br />the sun. Even Ronald Reagan's presidency wasn't good enough for many<br />conservatives, who continually declared themselves good and ready to form a<br />third party whose sole purpose would be to divide the GOP-to injure the<br />party and prevent its candidates from winning elections. This was,<br />presumably, a form of tough love, an effort to force change on a<br />recalcitrant party. Or at least that's what the Purifiers usually say. But<br />in fact they are doing what insurgencies always do-engaging in destruction<br />and calling it revolution.<br /><br />The GOP's conservative base is very susceptible to the temptation to Purify,<br />because even though the Republican Party and the conservative movement are<br />enemies of the Left's utopian politics, we are often guilty of indulging in<br />our own form of utopianism when it comes to politics and politicians. We<br />cannot bear it if they don't devote themselves to all our policy hopes and<br />wishes, and we experience a yearning to punish them for their heterodoxy.<br />That's where the Purification Ritual comes in.<br /><br />Now, it's certainly the case that the Purifiers exist in both parties. The<br />Democratic Party has been wounded by the Ritual as well. In 1948, two<br />Purification candidates-radical leftist Henry Wallace and Southern<br />segregationist Strom Thurmond-ran against Harry Truman and nearly handed the<br />election to Republican Thomas Dewey. Twenty years later, George Wallace took<br />direction from Thurmond's racist playbook and stole Southern votes away from<br />Lyndon Johnson in 1968. And, of course, in 2000, Ralph Nader-a Henry Wallace<br />for the new millennium-took a small but crucial bite out of Al Gore.<br /><br />But in recent decades the GOP has been subjected to Purification Rituals far<br />more frequently than the Democrats-and at far greater cost, at least in<br />1992. The GOP's Purification Temptation first surfaced in a realm that no<br />longer even exists on our political spectrum-in the left wing of the GOP. In<br />1972, a Republican congressman named Paul McCloskey decided to run as a<br />third-party candidate against Richard Nixon, who was up for reelection.<br />McCloskey's intent was not to win but rather to speak as the voice of his<br />party's liberal conscience on foreign policy. Since there was little<br />difference between McCloskey and Democratic candidate George McGovern-and<br />since neither his nor McGovern's message had much appeal-McCloskey did Nixon<br />no damage. In 1980, another liberal Republican, Congressman John Anderson of<br />Illinois, tried to throw a monkey wrench intothe electoral proceedings by<br />staging a third-party assault on Ronald Reagan from the left. He too was<br />unsuccessful, since Reagan won an absolute majority with 51 percent of the<br />vote. (Anderson actually took some votes away from Democrat Jimmy Carter.)<br /><br />Despite their failure, the liberal Republican candidates planted a seed that<br />came to fruition in 1992-first in the primaries, when the Neanderthal<br />commentator Pat Buchanan became the vehicle for far-right-wing anger with<br />George Bush the Elder, and then when the wacko billionaire H. Ross Perot<br />made his Sherman's March through Republican strongholds in the November<br />election. Perot, who had never run for office and was all but unknown when<br />1992 began, scored an amazing 19 percent of the vote and basically gave the<br />presidency to Bill Clinton. Four years later, Perot did it again, getting 8<br />percent of the vote. And while it's doubtful that Republican Bob Dole could<br />have bested the resurgent incumbent Clinton under any circumstances, the<br />fact is that if you add Dole's and Perot's vote total, together they beat<br />the Man from Hope by a few hundred thousand.<br /><br />Though neither Perot nor Buchanan was an ideal vehicle for the voter who<br />cast his lot with the protest-since one was nutty and the other was<br />noxious-there's no question why the protest was being staged and for what<br />purpose. Daddy Bush had raised taxes when he had said he wouldn't, and had<br />signed three major pieces of big-government legislation when he had said he<br />would pursue smaller government. Bob Dole was the Washington Establishment<br />Republican par excellence, uncomfortable with any issue that moved and<br />excited voters. Perot was not an ideological Purifier-he talked too much<br />about getting under the hood and seeing what was wrong with the engine, as<br />though a representative government were a machine and not an ingathering of<br />fallen men and women-but he provided an outlet for the frustration of those<br />disappointed by the Republicans.<br /><br />Lovely. There's nothing like casting a ballot for someone who can never win<br />to make you feel like Don Quixote, nobly (if crazily) tilting at windmills.<br />But this is no time for Republicans and conservatives to be quixotic. You<br />have to get over the hunger to seek exile and isolation for those fellow<br />Republicans with whom you disagree. In this coming election, it is vital for<br />the nation's future that you resist the siren song of Purification. You must<br />not hold ideological purity more dear than partisan victory in the coming<br />two years.<br /><br />Yes, it's time to fight, but it's not time to fight one another. It's time,<br />instead, to start picking the right fights. I'm talking about fights with<br />the liberal Left that will rally your voters, inspire your donors, and offer<br />the Democrats a temptation of their own-the temptation they have been<br />courting for years now. You want them to redirect their own politics far off<br />to the left, to take a leap off a cliff and into the swirling rapids of<br />hatred and rage at all things Republican and conservative.<br /><br />You want Democrats to suffer the fate they suffered the last time they ran a<br />presidential candidate following a twoterm Republican president. That was<br />Michael Dukakis in 1988, who lost the election by 8 points (54-46). Now,<br />Hillary Clinton is not Michael Dukakis, and the nature of the current<br />American electorate makes it almost impossible for the 2008 election to<br />feature a victory that sizable by either side. But it is conceivable, if you<br />Republicans and conservatives put your minds to it, that you could do things<br />in the coming two years that would help push the Democratic Party away from<br />the more electable Hillary into the arms of a more frankly leftist<br />candidate.<br /><br />That candidate would probably be Howard Dean-yes, Howard Dean, the man who<br />shouted "yeeargh" like a crazed banshee, the man who later became chairman<br />of the Democratic National Committee. Certainly, Dean would be a pleasure<br />for the GOP to run against, but it need not be he. Al Gore-the new Al Gore,<br />the crazy and hysterical Al Gore, the Al Gore who no longer speaks as though<br />he had been anesthetized but rather like someone in dire need of Librium,<br />the Al Gore who likens those who dare to criticize him on talk radio and the<br />Internet to Hitler's brownshirts- would do just fine too. So would Wisconsin<br />senator Russ Feingold, a classic up-from-academia American leftist. John<br />Kerry has also been moving steadily left in hopes of finding solid ground<br />for his 2008 bid. Or it could be someone we've never even thought of, the<br />way nobody had even thought of Howard Dean as suitable for much more than<br />taking a drive between Montpelier and Brattleboro in early 2002.<br /><br />The point is that Republicans should act in ways that will drive Democrats<br />so batty they will strengthen the hand of the left-wing rump that might<br />consider Hillary a centrist sellout, allowing whatever Republican candidate<br />who shows up in November 2008 to waltz away with the election.<br /><br />I grant you this is neither probable nor likely. Mark Blumenthal, a<br />Democratic pollster and blogger, points out that despite virulent<br />anti-Hillary rhetoric on some left-wing sites in 2005, she maintained a<br />favorable rating among Democrats somewhere between 79 and 84 percent.2 But<br />it is conceivable-if you are clever enough and determined enough to make it<br />happen. And even if you don't succeed at that delicious goal, the act of<br />attempting it may force Hillary herself to move so far to the left to secure<br />the Democratic nomination that she will be unelectable by the time the two<br />party conventions are over at the end of August. And even if that doesn't<br />happen, doing what is necessary to hold your own party together is the only<br />way she can be stopped.<br /><br />There is more than mere pragmatism in this for you. Coming together in<br />recognition of a common enemy is powerful binding glue for a party and a<br />political movement, even if they feel themselves to be in the doldrums and<br />spoiling for an internecine battle. Many Republicans and conservatives feel<br />that their party and their movement have become strange victims of their own<br />successes-that the Bush triumphs in fighting the war against Islamic<br />radicalism have been obscured by the difficulty of finishing the job in<br />Iraq, and that the Republican takeover of Congress has not led to a greater<br />devolution of power to the individual but rather to an unhealthy fondness<br />for feeding its friends from the public teat. But whatever weaknesses and<br />sins have beset the Republicans and the Right, they are as nothing compared<br />with what Hillary Rodham Clinton might be in a position to do if she wins<br />the presidency, and you know that down to the root.<br /><br />This isn't about the visceral personal dislike many on the right have for<br />Hillary Clinton. This is about the future of the country, and what the<br />country needs now is for the Right to stop her. For parties and movements to<br />lead and to succeed, they need missions. Well, this is the mission, and this<br />is your moment. Let's get to it. Now.<br /><br />John Podhoretz is the New York Times bestselling author of Bush Country and<br />Hell of a Ride. He is a columnist for the New York Post and a political<br />commentator for the Fox News Channel. A cofounder of the Weekly Standard, he<br />has worked at Time, U.S. News and World Report, and the Washington Times.<br />Podhoretz served as a speechwriter for President Ronald Reagan and as<br />special assistant to Drug Czar William J. Bennett<br /><br />* * * * * * * * * * * * * * * * * * * * * * * * * * * * * *<br />**************************<br />4. British Local Elections - Conservatives back in contention<br /><br />After 14 years of poor local election results that have only slowly<br />recovered, David Cameron's newly rejuvenated Conservative party swept the<br />board in Britain's recent local elections.<br /><br />Roughly 40% of the vote was won by the Conservatives, with their nearest<br />rivals gathering just 27%, the governing party, Labour, crashed to a lowly<br />third in the polls.<br /><br />The Conservatives gained 316 new councillors and control of 68 councils,<br />whilst Labour lost 319 councillors and 30 councils. Crucially, the Liberal<br />Democrats, the third party in British politics and formidable local<br />campaigners, had a net gain of only two councillors and one council. This<br />means the electorate is switching from Labour to Conservative rather than<br />fragmenting into the smaller parties - crucial if the Conservatives are to<br />win the next general election outright.<br /><br />Remarkably, for a party that has struggled to make an impact in the cities<br />in recent years, London provided a set of key wins for the Conservatives.<br />They have tightened their grip on the all-important suburbs as well as vital<br />inner-city areas such as Hammersmith and Fulham. In addition, former Labour<br />strongholds have gone to No Overall Control, some for the first time in over<br />forty years.<br /><br />If the Conservatives successes were a remarkable story, so too was the<br />decline of Labour. Previously the dominant force in British politics, with a<br />slick PR machine and a remarkably loyal core vote, Labour struggled to hold<br />on - even in previously safe councils.<br /><br />They weren't helped by the blizzard of embarrassing stories that hit the<br />headlines in the fortnight before the election. Almost every senior cabinet<br />figure has come in for criticism whether for professional or private<br />indiscretions, this left the party's activists feeling let down by their<br />leadership.<br /><br />Unsurprisingly, in the aftermath of the bad news, the calls for Tony Blair's<br />leadership have grown louder, and the previously neutral press are actively<br />seeking out stories of ministerial incompetence.<br /><br />The one real surprise of the night was provided by the extremists of the<br />British National Party. After an ill-judged announcement by government<br />minister Margaret Hodge, that 80% of households in the Labour stronghold of<br />Barking might vote for the BNP, a massive 11 of 13 contested seats fell to<br />the nationalists. A fringe party that had struggled to field a full<br />compliment of candidates was suddenly thrust into the media spotlight and<br />were able to increase their national representation from 5 to 32 councillors<br />overnight.<br /><br />The encouraging message from the Conservative comeback is that its young<br />activists are playing a key role in revitalising the party. Target councils<br />with large numbers of young activists did proportionally better than<br />average, and for the first time a new generation of volunteers are becoming<br />predominant in filling key campaigning roles.<br /><br />The result has shown that, under its new leader, the British Conservative<br />party is capable of winning the next election and returning to government.<br /><br />* * * * * * * * * * * * * * * * * * * * * * * * * * * * * *<br />**************************<br /><br />5. Future Events<br /><br />June G8 Chairmanship, Russia<br />June Parliamentary Elections, Czech Republic<br />August 17 - 20 IYDU Freedom Forum 2006: The Reagan Legacy<br />September 24 Parliamentary Elections, Sweden<br />September State Elections, Mecklenburg-Pomerania<br />October 123rd Conservative Party Conference, UK<br />November 7 Congressional and State Elections, United States<br />November 25 State Elections, Victoria, Australia<br />November State Parliamentary Elections, Austria (tbc)<br /><br />* * * * * * * * * * * * * * * * * * * * * * * * * * * * * * * *<br /><br />To include your events in future editions please send details to<br /><a href="http://webmail.chadema.net/src/compose.php?send_to=patrick.brown%40iydu.org">patrick.brown@iydu.org</a><br />* * * * * * * * * * * * * * * * * * * * * * * * * * * * *<br /><br />6. End Note<br />The next edition of the IYDU Newsletter will be published on July 01 2006.<br />To submit an article for publication, please send it to the Newsletter<br />editor, IYDU Executive Secretary Patrick Brown, by email<br /><a href="http://webmail.chadema.net/src/compose.php?send_to=patrick.brown%40iydu.org">patrick.brown@iydu.org</a> for 25th June 2006.<br /><br />* * * * * * * * * * * * * * * * * * * * * * * * * * * *<br /><br />The views expressed in the IYDU newsletter represent the views of the<br />individual writers and not the views of the office bearers or member<br />organizations of the International Young Democrat Union or the International<br />Democrat Union.<br />* * * * * * * * * * * * * * * * * * * * * * * * * * * *<div class="blogger-post-footer"><img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/13876107-115068702435945195?l=www.chadema.net%2Fblogu%2Fmnyika%2Findex.html'/></div>UDIhttp://www.blogger.com/profile/14745780769836030111noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-13876107.post-1150686857873711292006-06-19T06:13:00.000+03:002006-06-19T06:14:17.896+03:00VIJANA WA CHADEMA NI WANACHAMA KATIKA MTANDAO HUU-SOMA JARIDA:<br />* * * * * * * * * * * * * * * * * * * * * * * * * * * * * * *<br />INTERNATIONAL YOUNG DEMOCRAT UNION<br />1st Floor, 100 Pall Mall, London, SW1Y 5HP, United Kingdom<br /><a href="http://www.iydu.org">www.iydu.org</a><br /><br />Patron THE RT HON THE BARONESS THATCHER OF KESTEVEN LG OM FRS<br />Founder Chairman Mark Heyward<br />* * * * * * * * * * * * * * * * * * * * * * * * * * * * * * * * *<br />IYDU NEWSLETTER<br />EDITION 51<br />Published May 03 2006<br />* * * * * * * * * * * * * * * * * * * * * * * * * * * * * * * * *<br />CONTENTS<br />1. Register now for the Reagan Ranch<br />2. Belarusian Freedom Day<br />3. IYDU Study Trip to Taiwan<br />4. Events<br />5. End Note<br />* * * * * * * * * * * * * * * * * * * * * * * * * * * * * * * * *<br />1. Register now for the Reagan Ranch…<br />First Speakers Confirmed for Freedom Forum 2006: The Reagan Legacy<br />Registration is now open for Freedom Forum 2006: The Reagan Legacy. As widely<br />trailed in previous newsletters, this event will be held at the Reagan Ranch near<br />Santa Barbara, California, USA from 17 to 20 August 2006. Highlights will include<br />a visit to the Reagan Presidential Library and an exclusive tour of the Reagan<br />Ranch. A seminar discussing the Reagan Legacy with guest speakers from the Reagan<br />administration will also be held at the new Reagan Freedom Center in Santa Barbara<br />opening this summer.<br />Registration forms can be downloaded from the IYDU website at<br />www.iydu.org/06FreedomForumReg.doc<br />IYDU is delighted to announce the first confirmed speakers for Freedom Forum 2006:<br />The Reagan Legacy. They include:-<br />John Barletta, the Secret Service Agent who acted as President Reagan’s personal<br />protection officer for over 17 years and had a unique insight into the life of<br />President Reagan. John Barletta will guide IYDU round the Reagan Ranch. He is the<br />author of ‘Riding with Reagan: from the White House to the Ranch’ a book published<br />in 2005 which captures the personal life of President Reagan.<br />Chairman of the National Endowment for Democracy, Vin Weber. Vin Weber is a former<br />US congressman representing Minnesota from 1981 to 1993 for the Republicans. He is<br />now Chairman of the National Endowment for Democracy, a private, nonprofit<br />organization designed to strengthen democratic institutions around the world through<br />non-governmental efforts.<br />Floyd Brown, Executive Director of the Young Americas Foundation. From 1980 to 1988<br />Floyd Brown served in various capacities in President Reagan's campaigns and was a<br />political appointee in President Reagan’s administration.<br />More confirmed speakers will be announced in the June and July editions of the IYDU<br />newsletter.<br />IYDU strongly recommends that you register today and arrange your travel and hotel<br />accommodation. Santa Barbara is a popular resort on the Pacific Ocean which will be<br />extremely busy with tourists in August before IYDU Freedom Forum 2006 rolls into<br />town. Accommodation in the recommended hotels will fill up fast. So don’t delay –<br />register and book today.<br />For full details on hotels and travel to Santa Barbara please visit<br /><a href="http://www.iydu.org/events.php" target="_blank">http://www.iydu.org/events.php</a><br />If you have any questions on the event then please contact IYDU Vice Chairman Eric<br />Hoplin <a href="http://webmail.chadema.net/src/compose.php?send_to=eric.hoplin%40mngop.com">eric.hoplin@mngop.com</a> Registration forms should be emailed to the IYDU<br />office <a href="http://webmail.chadema.net/src/compose.php?send_to=iydu%40iydu.org">iydu@iydu.org</a><br />* * * * * * * * * * * * * * * * * * * * * * * * * * * * * * * *<br />************************<br />2. Belarusian Freedom Day<br />In Minsk there was harshly scattered the peaceful meeting of Belarusian opposition<br />More than 25 thousand of people gathered on March 25th in order to celebrate the<br />traditional Belarusian holiday called the Freedom Day. The participants of the<br />meeting condemned the current electoral campaign and demanded to conduct new<br />elections which must be free and fare and should take place without A. Lukašenka<br />participating. The leader of democratic opposition A. Milinkieviè announced about<br />the creation of the People’s Movement for freedom and called all the present people<br />to join it.<br />After the meeting a part of participants according to the call of one of the leaders<br />of Belarusian opposition A. Kazulin decided to move to the special prison where the<br />majority of political prisoners are being hold. Against the demonstrating people<br />there were used military units of special purpose. They were using smoke and noise<br />grenades besides the traditional harsh physical force. There were hurt numerous<br />people (in total more than 100, a lot of them have craniocerebral traumas).<br />We are to remember that on the night from March 23 to 24 there was destroyed the<br />tent camp at Kastryènickaja square in the centre of Minsk. The assault that lasted<br />for about of 20 minuets ended with the arrests of more than 400 people. All of them<br />(except of the under-age ones) were accused to 15 days of imprisonment. Right now<br />all the prisons of Minsk are overcrowded with political prisoners to such an extend<br />that the authorities are to transfer new victims (their quantity even now is<br />becoming more and more critical each day) to other different places in other cities<br />of the country. In total from the beginning of the pre-election campaign there were<br />arrested more than 1500 people.<br />* * * * * * * * * * * * * * * * * * * * * * * * * * * * * * **************************<br />3. IYDU Study Trip to Taiwan<br />An IYDU study trip to Taiwan, the Republic of China, took place from 29th March to<br />2nd April 2006. The trip was led by IYDU Chairman Donald Simpson and he was<br />accompanied by officers and activists from the USA, Norway, Finland and Australia.<br />The study trip was hosted by the Kuomintang (the Chinese Nationalist Party) and<br />coincided with the launch of the new KMT Youth League. In addition to the IYDU<br />delegates, the KMT invited guests from Korea and Japan assisting IYDU with its<br />outreach work in Asia.<br />The KMT organised a busy programme of events. Courtesy visits were made to the<br />Secretary General of the KMT, Mr Chun-Po Chan, and the Mayors of Taoyuan County and<br />Hsinchu City. In addition the group also visited the National Palace Museum, the<br />Free Port and the National Science Park. The IYDU delegates also enjoyed many<br />chinese banquets including one hosted by Mr Jing-Ping Wang, the President of the<br />Legislative Yuan (Taiwan’s Parliament) and another banquet attended by KMT party<br />leader and Mayor of Taipei Dr Ying-Jeou Ma.<br />While the IYDU team were in Taiwan, the new chairman of the KMT Youth League was<br />elected. The election combined votes of young party members, public voting on the<br />internet and a telephone vote open to the public following a televised debate<br />between the candidates for chairman. The votes of young party members carried 80%<br />of the weight in the electoral college with internet votes carrying 10% weight and<br />the ‘phone-in counting for the final 10% of the votes. The result was Legislator<br />Len was elected as chairman of the KMT Youth League.<br />The first event for the KMT Youth League was an International Youth Summit to<br />discuss democracy, political affiliations and youth involvement in politics. The<br />IYDU delegates all spoke and participated at this event.<br />Following the International Youth Summit, the formal televised launch of the KMT<br />Youth Summit was held – an event with popular appeal that resembled a rock concert<br />rather than a traditional political event. At the International Youth Summit IYDU<br />Chairman Donald Simpson described the new KMT Youth League as having an important<br />role in IYDU in reaching out to other parties in Asia and sharing their democratic<br />heritage with developing countries across the Asia-Pacific.<br />The IYDU are most grateful to the KMT for organising this event and strengthening<br />ties between the IYDU, the KMT and other parties in Asia<br />* * * * * * * * * * * * * * * * * * * * * * * * * * * * * * **************************<br />4. Future Events<br />May 16 Parliamentary Elections, Dominican Republic<br />May 28 Presidential and Parliamentary Elections, Colombia<br />June G8 Chairmanship, Russia<br />June Parliamentary Elections, Czech Republic<br />June Football World Cup, Germany<br />July EU Presidency - Finland<br />July 9 World Cup Final, Berlin, Germany<br />September 24 Parliamentary Elections, Sweden<br />September State Elections, Mecklenburg-Pomerania<br />October 123rd Conservative Party Conference, UK<br />November 7 Congressional and State Elections, United States<br />November 25 State Elections, Victoria, Australia<br />November State Parliamentary Elections, Austria (tbc)<br />* * * * * * * * * * * * * * * * * * * * * * * * * * * * * * * *<br />To include your events in future editions please send details to<br /><a href="http://webmail.chadema.net/src/compose.php?send_to=patrick.brown%40iydu.org">patrick.brown@iydu.org</a><br />* * * * * * * * * * * * * * * * * * * * * * * * * * * * *<br />5. End Note<br />The next edition of the IYDU Newsletter will be published on May 01 2006. To submit<br />an article for publication, please send it to the Newsletter editor, IYDU Executive<br />Secretary Patrick Brown, by email <a href="http://webmail.chadema.net/src/compose.php?send_to=patrick.brown%40iydu.org">patrick.brown@iydu.org</a> for 25th May 2006.<br />* * * * * * * * * * * * * * * * * * * * * * * * * * * *<br />The views expressed in the IYDU newsletter represent the views of the individual<br />writers and not the views of the office bearers or member organizations of the<br />International Young Democrat Union or the International Democrat Union.<br />* * * * * * * * * * * * * * * * * * * * * * * * * * * *<div class="blogger-post-footer"><img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/13876107-115068685787371129?l=www.chadema.net%2Fblogu%2Fmnyika%2Findex.html'/></div>UDIhttp://www.blogger.com/profile/14745780769836030111noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-13876107.post-1150686484251068512006-06-19T06:06:00.000+03:002006-07-29T12:10:18.323+03:00Mjadala unaendelea na Maoni yangu ni haya:<br /><br />Wapendwa,<br /><br />Nimerejea tena ingawa sio kwa kina kama awali. Nawaomba nijibu juu juu tu kuchokoza mjadala zaidi. Nataka pia wengine waendelee kuchangia sio sisi(likes of Mkandara, Es, Kimbembe, Mnyika etc) tuuuuuuuuuuuuuu!<br /><br />Nyamgluu, nashukuru kwa kuamua kuangalia CHADEMA kwa mwanga mpya. Kuna umuhimu wa kuwa na mhimili mbadala wa siasa Tanzania kwa manufaa ya wote. Hapa Marekani nilipo katika majimbo yote niliyopita mpaka sasa ushindani kati ya Republican na Democrats unawafaa sana. Ingawa katika baadhi ya maeneo Independents wanazidi na Greens wanaendelea kuchipukia. Anyway, lets leave Bush to bush.<br /><br />Mzee Es, kumbe ulikuwa unanichokoa nitoke pangoni. Haya nimetoka sasa!<br /><br />Nimekuelewa hoja yako kuhusu umiliki. I didn’t know your were referring ownership basing on passion and influence. Nakubaliana nawe kuwa hii dhana ipo katika baadhi ya magazeti yetu hasa katika mazingira ya sasa ambayo mtu anaweza kumweka mwandishi kwenye pay or takrima roll kwa siri.<br /><br />Hoja ya Mbowe ku-socialize imejibiwa(umewahi kusoma makala ya “Siasa siyo Uadui?).Si kweli kwamba Mbowe hakuwa karibu na wanasiasa wa upinzani: Unataka kutuambia kuwa hakuwa karibu na Dk Slaa, Ndesamburo, Lwakatare na Cheyo?( I know how close were they, but I agree that he was also close to those you have mentioned, I also note that he was note close with some of the CUF MPs). You can’t be force to socialize with anti-socials!. I agree ni mfanyabiashara but I emphasize kuwa ni mwanasiasa mfanyabiashara and vice versa. Kwa CHADEMA mwenyekiti ni part time. Hivyo nusu ya muda wake anautumia kwenye kazi zake nusu kazi za chama. Ndio maana hagombanii ruzuku kama Mrema. Wengi ndani ya CHADEMA tunaendesha chama kwa mfumo huo. Tunaona chama kama harakati, hivyo tunawajibika kufanya na shughuli nyingine za kujikimu. Its blood, sweat and toil being in opposition in Tanzania. Isingekuwa wito, matusi kidogo tu mtu ungesusa. Kafara ya kushiriki siasa za upinzani ni kubwa lakini matokeo yake ni makubwa pia kwa mtu binafsi na kwa taifa.<br /><br />Nakubaliana nawe, si wote mliofuata jibini CCM. Lakini wa harakati wako wa chache. Wengi ni walinzi wa matumbo yao. Mnakazi kweli kweli kuigeuza CCM. Perhaps it will change when its out of power as KANU is currently doing!. Najua wewe ni shuhuda wa mambo mazuri yaliyowekwa kapuni kama sehemu ya mapendekezo ya watu makini ndani ya chama chenu waliotaka mageuzi. My advice to you dear friend, socialist parties are not changed by socialization, they have to be changed by radicalism. CCM is continuously turning itself into a social club of business people, petty bourgeoisies, kinsmen, urbanites and comprador cadres/leaders. Revolutionary parties are changed by revolutions and seldom by evolutions and never involvement! Hii ni topic pana, ifungulie mjadala pembeni kwa manufaa ya CCM.<br /><br />Labda niseme kwamba nime-notice kwamba mjadala umeanza kuchukua pande mbili-wanaCHADEMA versus wanaCCM, watu wengine wachache wakiwa mrembo wa kati. This is not healthy! Kwanza nikubaliane kuwa huu mjadala unahusu Mbowe na CHADEMA,kwa kuwa ndio kichwa cha mjadala. Ndio maana nikamshauri ES kufungua mjadala wa CCM pembeni. Lakini sikubaliane na huu mtindo wa kila anayetoa hoja za kumtetea Mbowe au CHADEMA kuitwa mwanachama wa CHADEMA. Every one has the right to take position on issues, freedom of expression should be our tenent. Wanachama wa CHADEMA tumejisema wazi. Kama kuna wengine wanaweza pia kujisema. Mbona si kila anayetetea CCM anaitwa mwanachama wa CCM?. Unaweza kumuuliza mchangiaji akipenda aseme yeye ni chama gani lakini si haki kumhukumu mtu kwa michango yake. Tutawakatisha tamaa watu kutetea makundi fulani kwa kuhofia kuitwa wanachama wa makundi hayo! This is another form of divide and rule that is closer to idea cannibalism.<br /><br />Kyoma,<br /><br />Asante. Tuendelee na harakati. Ipo siku tutaibadili manzese kwa mfugwa mbwa. Umeshawaza kuwachochea vijana wa kule kuanzisha vikundi vya kujiendeleza. Don’t forget your roots.<br /><br />Nakubaliana nawe Winner Takes All( FPTP) ni kaburi la demokrasia ya uwakilishi. Kwangu mimi full mixed system ni jibu. Fungua mjadala kwenye forum hii kuhusu hili. Baada ya mgombea binafsi kuruhusiwa utaanza mchakato wa kufanyia marekebisho katiba na sheria ya uchaguzi kwenye vifungu hivi. Tuutumie mwanya huo kuipenyeza hii hoja!<br /><br />Mkandara,<br /><br />Nakubaliana nawe kwamba wazee specifically Kingunge walichangia mimi kushindwa Ubungo. But with time itawezekana kama wazee hawa hawa walivyoshindwa Tarime, Kigoma kaskazini etc. Kinachotakiwa ni kuwa na mfumo madhubuti. Kumbuka CHADEMA ilianza kujiandaa kiuchaguzi 2003 kwa kuanza mchakato wa mageuzi ya chama, mimi nilianza Januari 2005. Lakini hivi sasa tumeanza Januri 2006 kuelekea 2009 na 2010. We need z hands of people like you. Kujenga upinzani makini ni wajibu wa wote bila kujali itikadi.<br /><br />Naheshimu maandiko yako yaliyojaa busara. Urithi ni kitu muhimu. UBUSOGA!<br /><br />Ni kweli CHADEMA tunahitaji vichwa vinavyoheshimika vingi zaidi. Sasa tunao wakina mzee Mtei, Mzee Makani, Mzee Masinde, Mzee Kasisiko(Kigoma), Profesa Baregu, Balozi Ngaiza na wengine katika maeneo mbalimbali nchini. But I agree with you “The sky is the limit”. But lets not over-exaggerate the role of “old guards”. Najua wewe unafuatilia sana siasa ulimwenguni, vipo vyama vilivyoshinda kwa nguvu ya kizazi kipya. Some times patronage goes with breaks. We are trying to strike a balance, CHADEMA is a new generation party that values the contribution of the old generation. Unadhani Conservative hawana wazee nyuma ya David Comerun?Lakini kwa nini yuko mbele? Au kwani nini Blair alikwa mbele na hatimaye New Labour ikachukua madaraka?<br /><br />Shujaa!Losers and winnes are all heroes and cowards-it depends on context and perception. To me for instance Nyerere was a hero however crazy his Ujamaa policies were.. I love Mkwawa and I skeptical about Kinjeketilism..anyway,let me not open another Pandora box.<br /><br />Usiniwekee maneno mdomoni. Sijasema CHADEMA ni chombo cha kumbeba Mbowe kuelekea ikulu. Nimesema Free ana malengo ya kwenda ikulu. But I said referring Ken that this by its self is not odd. What we have to care is whether its an end or a means and shun away from “The Prince of Evil”. Lakini wapo wengi unakumbuka kwenye kura za maoni mwaka jana wafuatao walitaka urais kupitia CHADEMA: Hebron Mwakagenda, Chiku Abwao, Maulidah Anna Komu na wengineo. Mwanzoni hata Profesa Baregu alitaka kugombea. But we are discussing Freeman because ndiye aliyegombea na kupata umaarufu nchi nzima. Na kila mtanzania anajua kuwa ama alitaka au CHADEMA inamtaka awe rais. Na hii ilikuwa mara yake ya kwanza hivyo kisiasa bado ana nafasi nzuri sana ya kugombea 2010 tofauti na Lipumba na Mrema. Kumbuka Kikwete atataka second term. Mtamwambia Kikwete awapishe wengine? Its up to Mbowe and his team to resist kubomolewa kwake kama anataka kugombea na kushinda 2010. Na wote wenye kujali. But this does not means he is CHADEMA endorsed candidate, when the right times comes the party will use its primaries to nominate candidate. And I tell, the party must have plan A,B,C on this. That’s why I told you, tunajenga chama taasisi badala ya chama mtu! But with our undemocratic constitution and laws all those who won’t have 40 years by 2010 are out of this equation. Unless you and me stand up and question this legalized civil discrimination!<br /><br />Kimbembe, bila kujali kama wewe ni mwanachama au ni uzalendo ndio umekusukuma nakushukuru kwa maoni yako.<br /><br />Mzee Es, nawe acha munkari. Mimi naamini hujatumwa na CCM. Endelea kumwaga hoja mchango wako ni muhimu kuibadili CCM na Taifa letu. Never be disappointed. Tunaweza kukubaliana kutokubaliana lakini nakubaliana na mission yako ya kuanika yaliyomo kwenye system ingawa mara nyingine unateleza.<br /><br />Ansi, nakushukuru hoja zako ni za kiuanahabari na kiuanausalama. Asante kwa uzalendo. Watu wenye ujasiri wa kutoa mtazamo wako tunawahitaji humu.<br /><br />Mkira, nakushukuru kwa kuwataka watu wapunguze munkari. Musoma ni kweli, ndio maana Tarime kwa mfano Mbowe alipata kura nyingi sana. Inaonyesha musoma particularly mjini na Tarime ni wapinzani kwelikweli. Nakubaliana naye kuwa CHADEMA nayo ina mapungufu yake. Its common for a new party in a young democracy. But at least its policies and leadership gives a ray of hope than the “Lost CCM”.<br /><br />Mzee Es, unahaki ya kutumia neno NONSENSE. But lets not be defensive and face the truth. Lets neither exaggerate the power of CHADEMA nor underrate. Mpaka leo Kikwete anapita kuwashukuru wananchi na kujenga matumaini. If not, why?<br />Ya Rostam na Manji, Mzee Es hayawaathiri CHADEMA peke yao. Na CCM(rejea mgawanyiko unaofukuta). Na babu zetu na bibi zetu wanaokondeana wa njaa vijijini, na binamu zetu wanaocheleweshewa mafao yao. Lakini mbaya zaidi, na watoto wetu tutakaowazaa. We all thus have responsibility, unless you are for them lets be against them. Not because of their person, but because of what they do to our resources and our leadership!<br /><br />Upinzani tunajadili pia matatizo yetu. Ila hapa tulikuwa tanajadili habari ya Mbowe/CHADEMA versus CCM ndio maana tumejikita kwenye matatizo ya nje. Lets be a bit guided or reasonable.<br /><br />Mkandara, sijapata muda wa kuijibu post yako ya mwisho. Ila nakubaliana nawe kuwa wanachadema na wote tutazame nje ya maboksi yetu. Mzee Es,endelea kutupa “Nyeti”.<br /><br />Mkandara, siasa ni mchezo mchafu!-nakubaliana nawe but tunaweza kuufanya uwe na madoa tu badala ya kuwa takataka kabisa. Hatupaswi mimi na wewe tukubaliane na mtindo wa kisiasa wanaofanya hawa wazee wetu. We can’t accept Machiavellianism as a life necessity. Unajua nilipoingia kugombea ubungo ndugu na marafiki waliniambia siasa ni mchezo mchafu, wakaniambia lazima nitaingia katika uchawi, rushwa, matusi ya nguoni nk. But niliamua kabisa niende kwa siasa safi-hakuna uchawi, hakuna takrima, hakuna matusi. Wale wananchi waliokuwa wamezoea siasa chafu wakabadilika, wakanipenda kwa siasa safi. Wakaanza kuwakosoa wapinzani wangu, matokeo yalikuwa tofauti kwa sababu zingine. Lakini tumeacha mark. And I tell you, tukishinda kesi ya uchaguzi itakuwa funzo lingine kubwa. Taratibu mtazamo na utamaduni wa watu utaanza kuelekea kwenye siasa safi. Sasa changamoto ni kufanya hivi kila mtaa. Nyerere alisema ili tuendelee tunahitaji watu, siasa safi na uongozi bora. It is better to lit a candle than to curse darkness!<br /><br />Nakubaliana na wewe kuhusu Zanzibar, there was nothing the divided opposition could have done then. Lets our children learn from that mistake.<br /><br />Mkandara, CHADEMA ilianza vizuri kwa magari yes, na ikaendelea vizuri kwa helikopta. Naona hii hoja ya helikopta inajitokeza sana. Ifungulie mjadala wa pekee nije kutoa uchambuzi wa kina wa kitakwimu kuhusu faida ya helikopta. But kumbuka huu haukuwa uamuzi wa Mbowe, ulikuwa uamuzi wa mkutano mkuu wa chama miezi mingi kabla ya uchaguzi. Uamuzi wa kutumia helikopta pamoja na bajeti ya ujumla ulipitishwa na mkutano mkuu wa chama. Chama kiligawa kampeni katika awamu mbili. Mzunguko wa kwanza wa magari, kwa ajili ya manufaa uliyotaja na kwa ajili ya kupunguza gharama. Mzunguko wa pili helikopta, kwa ajili ya kuongeza mvuto na hamasa ya kampeni, nguvu ya kampeni, uwezo wa kufika maeneo mengi mpaka ya vijijini kwa muda mfupi kabisa hususani katika kipindi cha lala salama kwa gharama nafuu. My nafuu seems to be in both car and chopper. Its deliberate; chopper is cheaper than cars when used in fewer days-so the strategy was “counting down”. Haikuwa luxury, I happen to take up the chopper thrice during the campaign. Men’ its hectic, mikutano mingi kwa siku-with crowd pressures!<br /><br />Ukweli ni kuwa ili vyama vya upinzani vinahitaji kuwa na ama people’s power(kama ilivyokuwa Pemba na Tarime) au change of the political environment(perhaps through civil movement and international pressure). There is no short cut. Mass consciousness and organization is crucial.<br /><br />Mkandara, kwa CHADEMA ikulu ya magogoni ilikuwa sehemu ya mwisho. Si unakumbuka Mbowe alijiwa juu na kambi yote ya upinzani baada ya kusema hili kwenye acceptance speech yake during the congress?. Si unakumbuka aliendelea kuwaambia wananchi ikulu halisi ni mitaa, kata na majimbo?<br /><br />Kaka I always struggle to have an open mind. So when I defend, its part of opening my mind.<br /><br />Rufiji, nashukuru.Nadhani Mzee Es aliteleza kidogo aliposema watanzania wasikerwe na ma-DC kwa kuwa ni “mambo ya chama”. DC ni mtumishi wa umma, alipaswa kufanya kazi za kiserikali. Lakini ukweli ni kuwa sio. Hapa nchini ma-RC na M-DC wote ni makada. Mbaya zaidi kiserikali hawa ni wenyeviti wa kamati za ulinzi na usalama zenye uwakilishi mpaka wa usalama wa taifa. Lakini wengine wakitoka pembeni ni wajumbe wa kamati za ulinzi na usalama za chama. No separation of powers, no rule of law. Mzee Masinde amefanya uchambuzi wa sera ya mfumo mpya wa utawala ambao wengi mmeibatiza “sera ya majimbo”. Ikitekelezwa hii hawa watakuwa pembeni( ukitaka kupata chakula cha fikra hii tandaa kwenye <a href="http://www.chadema.net/nyaraka/sera/majimbo1.php">http://www.chadema.net/nyaraka/sera/majimbo1.php</a> )<br /><br />Mzee Es, lets not over-exaggerate Free’s engagement with Chenge and the rest. Wasiojua wanaweza kudhani kwamba hawa watu ni maswahiba kupindukia wakutanao mara kwa mara. I know ni seldom, tena baada ya tamko la siku mia ndio imepungua zaidi. Besides, remember I hinted in my first contribution. I said CCM to be more specific, a group of people(not the word group of people). Mwenyewe umesema si kila aliye CCM ni wa mkate na jabini. There are few guys who are pierced off. It tell hata mimi some of information nazipata kutoka kwa watu wa jamii hiyo. Kumbuka sisi wa baada ya uhuru wengi wetu hatuwahi hata kuwa wana CCM. Kizazi za mageuzi! Lakini tunao ndugu zetu humo. For instance, mimi baba yangu na mama yangu wote ni CCM. Lakini msukumo wao haukunifanya niingie CCM, kwa kuwa natofautiana kimisingi. But I agree with your caution, and I hope kama Freeman anasoma ata-note public perception on this issue and act accordingly!.<br /><br />Mzee Es, haya yanaweza kutokea-Mungu apishie mbali. Si unakumbuka vitisho vya wakati wa kampeni vilivyopelekea kufanya mkutano na waandishi wa habari?(people may question this, mwenye haki ya kujibu ni Freeman mwenyewe,kwani mpaka uchaguzi ulikwisha polisi hawakusema chochote kuhusu uchanguzi wao ingawa walimuongezea ulinzi). Lakini naweza kusemea kwa upande wangu(of course I neither report this cases to police nor do a press conference apart from telling close relatives and friends). Wakati wa kampeni nilitishiwa mara kadhaa kuuwaa na kuna attempt moja ilifanyika ya sumu. Politics in Tanzania is close to grave my friend. Kwa hiyo ukiona habari kama hizo pengine ni preventive strategy. If what people say about Kolimba and the rest is true then the error the did is not to pre empty if at all the new. Ukishasema kama hivyo watu wanaogopa kufanya, wanasema mchawi mpe mwana alee. I know you know better than me Mzee Es.<br /><br />Unakumbuka ‘tifu na kingunge’ kuhusu Mwalimu? Sasa urafiki uko wapi? Mkandara alisema kuwa CHADEMA haiukuwa na mzee wa kulinda! Kumbuka, Mzee mmojawapo wa CHADEMA Profesa Baregu alimshukia Kingunge na unajua kwamba tukio lile lilimshushia hadhi Kingunge baada ya CHADEMA kuendelea kumzungumzia Mwalimu?<br /><br />Mzee Es, umesema mmoja ajitokeze kueleza ubovu wa vyama vya upinzani. Kumbuka huu mjadala unazungumza kuhusu “CCM kumbomoa Mbowe na CHADEMA”. Its external environment based topic!. Ukitaka ya udhaifu wa vyama vya upinzani fungua separate topic, I promise to be one of the contributor. Such topic will focus on the internal environment.<br /><br />Umeuliza zaidi wakati CCM inapanga kumbomoa upinzani sisi tunafanya nini! Well, one thing I should put clear. Mosi, hii habari hayakuwa malalamiko ya upinzani. It seems CHADEMA is not even concerned about this issue. It appears to be an investigative piece of story and the source in CCM sources. What does this mean, it is either Upinzani didn’t know or didn’t care. Choose any!.The source being CCM it tells me that CCM is not at par. That’s why is said, this can not be a decision of CCM but rather perhaps a faction or fraction.<br /><br />Upinzani uendelea kujipanga. Sasa CHADEMA imetuma makada wake wilayani kukusanya maoni kuhusu mabadiliko ya ndani ya chama. Soon Mbowe atapita kushukuru wananchi na kuamsha hamasa upya. Halafu utafuata mchakato wa ujenzi wa mtandao wa chama, and so forth and so on. Hakuna Kulala, Mpaka kieleweke.<br /><br />By the way, Mzee Es Mkandara na wengine: Naombeni mtembelee hapa <a href="http://www.chadema.net/maoni/index.php">http://www.chadema.net/maoni/index.php</a> mnitumie maoni yenu kuhusu BAVICHA. Muhimu sana, I like ur criticisms. Ukisoma hotuba yangu hapa <a href="http://www.chadema.net/hotuba/mnyika/hotuba_3.html">http://www.chadema.net/hotuba/mnyika/hotuba_3.html</a> utajua kwa nini nakuomba unipe maoni yako ingawa si mwanaCHADEMA.<br /><br />Besides, unless kama mtu anahoja ya kuniuliza mahususi nadhani michango yangu katika mjadala wa “CCM kumbomoa Mbowe” umetosha. Nataka nichangie mijadala mingine. Coz 2 be frank guys, I am fed up!<br /><br />Jingine, Nimeshatoka St. Louis, Niko Portland-Maine, kama kuna mwana Forum huku tuwasiliane. Otherwise, nitakuwa New York wiki hii mwishoni.<br /><br />JJ<div class="blogger-post-footer"><img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/13876107-115068648425106851?l=www.chadema.net%2Fblogu%2Fmnyika%2Findex.html'/></div>UDIhttp://www.blogger.com/profile/14745780769836030111noreply@blogger.com1tag:blogger.com,1999:blog-13876107.post-1150507789478728302006-06-17T04:26:00.000+03:002006-07-29T12:11:59.603+03:00Hoja zangu kuhusu mjadala wa "CCM kumbomoa Mbowe na CHADEMA" :<br /><br /><br /><br /><br /><br /><br /><br />Mwanakijiji, Mkandara na Mzee Es,<br /><br />Nadhani nikiendeleza ukimya na kusoma tu sitakuwa nimechagiza vizuri mjadala.<br /><br />Naowaomba nirushe kidogo “chakula cha fikra”<br /><br /><br />Tuisome na kuijadili habari husika kwa ujumla- kichwa kinasema Mbowe lakini habari imedokeza kuwa CCM inataka kumharibu “Mbowe na chama chake”. Sijui kama mwandishi alitumia “chama chake” kama lugha ya picha au ulikuwa akimaanisha umiliki. Yote kwa yote, kwenye ‘chama chake’ tuweke “CHADEMA”. Utamaduni wa chadema ni kutoamini katika chama mtu bali chama taasisi.<br /><br />Niweke bayana kwamba nitakayosema ni maoni yangu binafsi, si kauli ya chama kama.<br /><br />Naamini ni kweli CCM ina mpango wa kubomoa upinzani, au niweke vizuri- “kundi fulani” ndani ya CCM. Wanajitahidi kupandikiza migogoro(Rejea mtiririko wa matukio ndani ya vyama), wanajitahidi kutaka kuhonga(vyeo, fadhila nk) baadhi ya viongozi wanaochipukia katika upinzani lakini kubwa kuliko yote wanajenga kupitia vyombo vya habari propaganda dhidi ya upinzani(kwa walio nyumbani rejea mtiririko wa habari na makala katika magazeti mbalimbali kuhusu upinzani, utajiuliza kwanini makala kuhusu masuala nyeti haziandikwi kwa wingi lakini kuna makala nyingi za namna hii tena katika hoja zisizo na mshiko). Huu ni mkakati.(media spin)<br /><br />Ni kweli vyombo vya habari vilitumika wakati wa kura za maoni ndani ya CCM sasa nguvu imeelekezwa katika kuupamba utawala na kubomoa upinzani.<br /><br />Lakini Rais Kikwete anajiweka mbali kabisa na haya, alianza kwa kusema upinzani usibezwe baada ya matokeo, akaendelea kusema katika hotuba yake ya kufungua bunge kuwa mwenye kuwepo CHADEMA ni haki yake, asibuguziwe, akaendelea kusema Moshi Mjini kwamba hata waliochagua upinzani hawatanyimwa maendeleo. Na kwamba hakutakuwa na ubaguzi wala kunyanyaswa. Haya ni maneno matamu! Lakini hali halisi ardhini ni tofauti. Je, rais kama kikwete mwenye kupenda kuwa karibu na watu hajui kinachoendelea?Je usalama wa Taifa hawamwambii?. Nini chanzo cha mgogoro wa CCM Tarime kama sio kuchukia upinzani? Wananchi wa Karagwe wanafanywa nini hivi sasa? Angalia mwenendo wa Tendwa katika sakata la TLP!. Ya Mahita je?Najua wengine mtasema, serikali iliomba msamaha kwa CUF, je kwa kiasi gani imesadia CUF kusafishika? Lakini mimi nasema, CCM ilianza kuua upinzani siku nyingi kabla ya uchaguzi na kwenye uchaguzi wenyewe. Hoja ninazo, ila si sehemu ya mjadala huu.<br /><br />Mzee mwanakijiji, umekuja na nadharia kwamba Mbowe ndio kaua upinzani kwa kuamua kugombea urais. Hii si kweli. CHADEMA imefanya tathmini na kuona ni jinsi gani chama kimepata faida kwa kusimamisha mgombea urais. Macho ya wananchi, asasi mbalimbali, na hata vyombo vya habari yasingekuwepo kwa CHADEMA kama isingekuwa na mgombea urais. Uzito wa Mbowe wakati wa kampeni usingekuwa mkubwa kama angezunguka kama mwenyekiti( Waulize Mbatia na Mvungi). Kuna baadhi ya maeneo matokeo ya wagombea ubunge na udiwani yamebebwa na kampeni za urais kupitia mabango, vipeperushi na nguvu ya helikopta kuwafikia watu wengi. Na ingekuwa vigumu kuwianisha muda katika ya haja ya CHADEMA kuendelea kutawala Hai na siasa za nchi nzima. Kwa ujumla, CHADEMA iliwasha mwamko mpya katika siasa za Tanzania uchaguzi uliopita kwa kuamua kumsimamisha Mbowe kama mgombea urais.(Hili nalo ni suala pana linalohitaji makala ya peke yake yenye uchambuzi wa matokeo kwa kina).<br /><br />Yote kwa yote, mimi siamini kama upinzani ulishindwa kwa kiasi kile cha matokeo ya tume. Siamini kama zile ndio kura za Mbowe na wala siamini kama ndio kura za CUF kama ambavyo siamini ndio kura za hata Mrema pamoja na kushuka kwake kisiasa. Unayaamini matekeo ya Temeke, Karagwe, Bukoba mjini, Ubungo na kwingineko? CHADEMA imeeleza sababu za kwanini haidhani kama yale yalikuwa matokeo sahihi ya uchaguzi( rejea <a href="http://www.chadema.net/uchaguzi/ripoti1.php">http://www.chadema.net/uchaguzi/ripoti1.php</a> ). Hili nalo ni suala linalohitaji mjadala wa peke yake!<br /><br />Mzee Es, si kweli kwamba gazeti la Tanzania Daima linamilikiwa na viongozi wa CCM wasiokuwa wanamtandao. Tena ukichambua kwa makini habari za magazeti utaona kuwa Tanzania Daima ni moja ya magazeti yanayoandika sana habari za wanamtandao likizidiwa kiasi na magazeti ya Habari Corporation. Kwa jinsi ninavyofahamu ulivyomjuzi wa mengi, naamini mkono uliteleza!<br /><br />Sitaki kwa sasa kuingia kwenye mjadala wa Independent candidates na mwelekeo kwa siasa za Tanzania aliouchokonoa Mzee Es. Kuna maswali mengi ya kujiuliza: Utanufaisha CCM, upinzani ama wananchi? Tufanyeje? Nashauri tuweke kwenye mjadala wa peke yake ili tusipoteze mtiririko.<br /><br />Mzee Es umesema Freeman ni CCM. Kama alivyosema Mwanasiasa-Tupe ushahidi. Kwa maoni yangu mimi siyo. Ilinichukua muda sana kuamua kuingia CHADEMA. Mimi napenda Utomaso!. Niliwachunguza sana viongozi wa CHADEMA kabla sijajiunga. Wengi nawaamini. Kama watabadilika huko mbele hiyo ni silika nyingine tofauti ya binadamu. Nimekaa karibu sana na Freeman, msimamo wake kuhusu masuala mbalimbali ya maisha naufahamu. Kama watu wa jamii hiyo ni wanaendana na yanayofanyika CCM basi watanzania wengi ni CCM. Lakini siamini hivyo. Kumbuka Freeman ana mizizi katika CHADEMA kama mmoja wa waasisi miaka kumi na ushee nyuma. Unataka kusema toka wakati huo alikuwa CCM? Sitaki kuzungumza sana, labda niulizwe-maana ningependa kuzungumzia zaidi masuala, sio watu. Walau kidogo naweza kuzungumzia matukio. Nachelea kuingia katika mizani ya busara nyepesi, busara za kawaida na busara zilizotukuka.<br /><br />Umeghafilika pia katika suala la wabunge. Habari imezungumzia ubunge wa Afrika(AU), umeingiza ubunge wa EAC. Lakini umeenda mbali zaidi kusema kwamba ubunge huu ulipaswa kupewa kwa chama cha upinzani chenye wabunge wengi..nk ..nk..nk. Kwanza rejea kwenye mjadala wa bunge la AU kwa kuwa wa EAC bado(hata ukija ni yoyote anaweza kugombea si lazima awe mbunge. Pili, hitaji ni mbunge wa upinzani bila kujali kama anatoka chama chenye wabunge wengi au la suala ni awe mbunge. Ukweli ni kwamba CCM walifanya vikao kabla wakakubaliana kwamba wasimchague Zitto Kabwe wa CHADEMA wala Fatma Maghimbi wa CUF na kumfuata Mzee Phares wa TLP agombee. Wakampa kura nyingi. Walitumia uhuru wao, lakini siamini kama walitumia busara zao-hawakutanguliza utaifa wala sifa za kiuongozi. Mmoja alisema kabisa hatumtaki Zitto kwa kuwa tutaipa nguvu CHADEMA. Hii ni ishara ya wazi ya kuwa CCM imedhamiria kubomoa upinzani!<br /><br />Ya Sumaye, JM na umakamu mwenyekiti tuyaache kwa sasa. Sumaye alichafuliwa na alilamika wazi- “Anayeingia madarakani kwa kalamu atatawala kwa risasi”. Lakini walichofanya ni kutumia udhaifu wa Sumaye, kuuweka wazi. Utasemaje sasa ya Mwananchi, uarabu wa Salim Ahmed Salim na mauaji ya Karume? Haya yalitokea Mzee Es. Tusipingane na ukweli. Ni wazi baada ya kumaliza kazi hiyo sasa nguvu imehamishiwa kwa majukumu mawili niliyoyataja.<br /><br />Sasa kwani nini CHADEMA ilengwe zaidi na sio chama kingine? Mwandishi ametoa sababu mbili- Mosi, Kampeni kali za CHADEMA uchaguzi uliopita(nakubaliana naye), Pili-Mbowe na kashfa ya Kikwete ya pesa Mererani(nakubaliana naye kidogo), Tatu, Hoja ya Mbowe kuhusu wanamtandao(Nakubaliana naye ingawa amefinya sana hoja hii- sababu hapa ni tamko la CHADEMA la siku mia za kikwete-ukitaka kuthibitisha rejea <a href="http://www.chadema.net/makala/mbowe/mbowe_10.html">http://www.chadema.net/makala/mbowe/mbowe_10.html</a> ). Mimi nasema, sababu kuu ni tatu: Moja, CHADEMA ilikuwa tishio kwa CCM uchaguzi uliopita(ndio maana CCM iliitaja sana CHADEMA). Pili, CHADEMA imekubalika sana kutokana na uchaguzi uliopita(sasa na wakati wa kubomoa kukubalika huku); tatu, CHADEMA ndio chama pekee cha upinzani kilichokuwa kisiasa na kuonyesha matumaini ya kuchukua dola chaguzi zijazo na Mbowe ndio tishio zaidi kwa Kikwete na mgombea ajaye wa CCM( rejea <a href="http://www.chadema.net/uchaguzi/ripoti1.php">http://www.chadema.net/uchaguzi/ripoti1.php</a> -hivyo CHADEMA itazamwa kuwa adui namba moja wa CCM na utawala wake). Lakini kwa nini haraka hivi? Ni kutokana na sababu ya tatu, Uamuzi wa CHADEMA na Mbowe kuukosoa utawala wa Kikwete-hivyo mtandao unaona umaarufu wa Kikwete unapunguzwa. Ndio maana utasikia kauli si tulidhani Mbowe ni mstaarabu kumbe sio. Tulitegemea CHADEMA isikosoe nk nk. Ndio maana tamko limetolewa siku nyingi lakini mpaka leo CCM wanaendelea kulikanusha( rejea <a href="http://www.chadema.net/">http://www.chadema.net/</a> kwenye tamko la Vijana wa CHADEMA kuhusu UVCCM). Hivyo kwa mtu yoyote makini anajua pamoja na idadi ndogo ya wabunge, CHADEMA sio chama cha kupuuza. CCM wanajua kuwa idadi ndogo ya kura sio nguvu ya kweli ya CHADEMA, mashushu wao wanaujua ukweli uliopo nyuma ya matokeo ya uchaguzi 2005.<br /><br />Sitaki kuingia katika mjadala na Mzee Es kuhusu rai yake ya kutaka magazeti ya IPP na Tanzania Daima yafungiwe.<br /><br />Mzee Es,nawe heshima yako, nakumbuka. Nilikwambia Sumaye na Keenja hawataaniibia. Na ukweli ndio. Walioiba Ubungo ni system. Wala sio kwa nguvu ya Keenja. Yeye alisha-surrender. Mkurugenzi wa manispaa wakati huo ambaye ndiye alikuwa msimamizi wa uchaguzi alitamka kuwa alipewa maagizo toka juu( yeye alisema ikulu) atangaze matokeo. Na kweli mwishowe baada ya kumaliza kuhesabu za urais akatoka nje aliporudi akatangaza matokeo bila kujumlisha matokeo ya Ubunge kituo hadi kituo kama sheria inavyohitaji. So my heart is sober on this, I belief the residents and young people were the winners in Ubungo what ever the results. Anyway, huu ni mjadala tofauti.<br /><br />Mzee Es, narudia tena. Matokeo ya uchaguzi hayawezi kunifanya niingie CCM. Kwa nini sikuingia in a first place. I differ in its leadership principles and policies!. Sijaingia kwenye siasa kwa ajili ya “Mkate na Jibini”. There is a vision and mission I am pursuing. Sorry for using strong language but as Shaban Robert puts it, ‘’ ‘’Msema kweli hukimbiwa na marafiki zake nikipatwa na ajali kama hiyo sitawaonea wivu wale wanaodumu na marafiki zao siku zote. Siwezi kuikana kweli kwa kuchelea upweke wa kitambo na kujinyima ushirika wa milele unaotarajiwa kutokea baada ya kushindwa kwa uongo”.<br /><br />Mwanasiasa, nakubaliana na hoja zako.Asante.<br /><br />Jasusi, yafungulie mjadala hayo maswali- Masha, Kikwete na Madini ya Mererani. Tujadili humu, kutoka Afgem mpaka TanzaniaOne. Kutoka IMMA mpaka kauli za Tundu Lissu. Yapo mengi. And Let them respond!. There are issues on minerals, let me reserve them for now.<br /><br />Mkira, naendeleza ulipoishia..as Bob says…but now you see z light..STAND UP FOR YOUR RIGHT.<br /><br />Mwanakijiji-maswali yako kuhusu loyalty ya wabunge naomba uyafungulie mjadala wa pekee. Kuna masuala nyeti humo! Ila Mimi naamini katika kuishi beyond partisan politics. Vyama mbalimbali ni muhimu, muhumu sana. Ndio maana namshangaa yoyote mwenye kutaka kuua upinzani. I know politics is about power, but a good politician or citizens must know absolute power corrupts absolute. Ndio maana nataka kwa pamoja tuvilee vyama lakini kulea kwetu vyama kusitufanye tupoteze utaifa.<br /><br />Mkandara, ni kweli kuwa JK hakuvunja sheria. Na wala Free hakusema alivunja sheria. Alichosema ni kuwa Kikwete hawezi kuwatetea wana Appolo akiwa rais kwa kuwa amechangiwa na wale wale waonaowanyanyasha wanamerereni. This was a policy attack. But CCM took it as a personality assault which is tantamount to cropping enemity!<br /><br />Ya takrima nakubaliana nawe. We profaned the essence of our traditional hospitality and even abused the dictationary meaning on the word “Takrima”.<br /><br />Nakubaliana nawe kuwa tumeipokea demokrasia kichwa kichwa. We the new generation have the role to change this trend!<br /><br />Mkandara, Free wa mwaka juzi si wa mwaka jana na si wa leo. He is one of the everyday readers and learners I have seen. Perhaps sasa umuandikie kwa kirefu. You may send him direct your plans or through me. Anapokea sana mawazo.<br /><br />Ila narudia tena, CHADEMA ilifanya vizuri sana kumsimamisha kugombea. Nakubaliana nawe kuwa CHADEMA inahitaji kujipanga, na ndicho tunachofanya hivi sasa. Tulianza kwa kutengeneza Mpango Mkakati wa Miaka mitano na Mpango kazi wa Mwaka. Sasa tumeanza kutekeleza. Tuko kwenye mchakato wa kubadili katiba, mwezi wa nane tutafanya mkutano mkuu. Mwakani tunafanya uchaguzi. Viongozi wote wa chama wamefupisha muda wao wa uongozi kupata fursa ya kukipanga chama vizuri ikiwemo kuweka muundo thabiti kwa mapambano.<br /><br />Mkandara, sikubaliani sana na dhana ya kutoa viongozi toka CCM. Mko vijana makini wengi na watanzania wengi mahiri ambao hawana vyama. Karibuni tujenge upinzani wenye manufaa kwa taifa. Somo la Njelu Kasaka na wengine linafundisha mengi kuhusu watokao CCM. But I don’t close my door. There are some good people the likes of Dr. Slaa, Balozi Ngaiza, Pesha etc.<br /><br />Mkandara, Mbowe kuwa na ndoto ya kwenda ikulu sio nongwa. Ni fursa. As JF. Kenedy said- mwanasiasa yoyote lazima autake uongozi ndipo ataweza kupata uongozi na kuongoza. But what is important is shunning away from Machavellianism!. Suala la msingi ni unataka kwenda ikulu kwa nia gani? Is Ikulu a means or an end?. Kiongozi yoyote anayetaka kwenda ikulu kwa nia njema atajenga taasisi. Naamini ndicho Mbowe anajitahidi kufanya CHADEMA. Na katika hatua kilipofika hivi sasa CHADEMA sio Mbowe, CHADEMA ni taasisi. Katika hatua hii maamuzi ya mwachama mmoja hayawezi kubomoa chama. Hii ndio CHADEMA inayopaswa kulindwa dhidi ya hujuma za chama tawala ambacho ni chama dola ili Tanzania tuendelee kuwa na upinzani wenye maslahi kwa wote.<br /><br />Mungu atubariki tuendelee kutofautiana bila kugombana. Kama nilivyosema mwaka jana SIASA sio UADUI<div class="blogger-post-footer"><img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/13876107-115050778947872830?l=www.chadema.net%2Fblogu%2Fmnyika%2Findex.html'/></div>UDIhttp://www.blogger.com/profile/14745780769836030111noreply@blogger.com1tag:blogger.com,1999:blog-13876107.post-1150249774751226272006-06-14T04:46:00.000+03:002006-06-14T04:49:34.760+03:00<a class="heading3" href="http://www.chadema.net/makala/mnyika/mnyika_8.html">Watchdog or toothless civil society?</a><br /><br />Can I have your comments regarding the role of civil society in Tanzania(check mine at <a href="http://www.chadema.net/makala/mnyika/mnyika_8.html">http://www.chadema.net/makala/mnyika/mnyika_8.html</a> )<br /><br />JJ<div class="blogger-post-footer"><img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/13876107-115024977475122627?l=www.chadema.net%2Fblogu%2Fmnyika%2Findex.html'/></div>UDIhttp://www.blogger.com/profile/14745780769836030111noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-13876107.post-1149549779396654632006-06-06T02:21:00.000+03:002006-06-06T02:22:59.420+03:00<div align="justify"><strong>‘VIHIYO’ WETU NA HATMA YA TANZANIA</strong><br /><br /><br />Niko jiji la Washington-Marekani, nimetembelea maeneo mbalimbali. Masuala niliyoyaona na kuyasikia ni mengi, nitayaeleza katika makala zingine. Nafika katika mnara wa kumbukumbu ya Mwanasayansi Albert Einstein, navutiwa na kauli zake kadhaa zilizoandikwa lakini moja inanichota zaidi na kunikumbusha nyumbani. Ni kauli nzito, “kila mtu ana haki ya kuutafuta ukweli lakini akishaupata ana wajibu wa kuutoa huo ukweli”. Nakumbuka, wapo watu walioishi maneno haya nchini kwetu. Ukisoma kitabu cha uongozi wetu na hatma ya Tanzania cha hayati baba wa Taifa utakubaliana nami. Kwenye kitabu hicho Nyerere ameeleza hatua kwa hatua jinsi alivyoutafuta ukweli kuhusu hatma ya Tanzania, alipoupata akauweka wazi. Kwa maandishi yake akatamka ‘our country is rotten to the core’. Kwa tafsiri yangu, nchi yetu imeoza mpaka kitovuni. Mwalimu akaelezea jinsi ufisadi na kutowajibika kulivyoshamiri na kutishia hatma ya Taifa. Aliamua ukweli utafanye huru, na kweli ukatufanya huru japo kwa muda ule mfupi.<br /><br />Ushujaa huu wa Mwalimu Nyerere unanisukuma kuutafuta ukweli, nazunguka maeneo kadhaa, naupata ukweli, narejea hotelini nafika na kuanza kuandika. Lakini si kuhusu uongozi. Ni kuhusu “vihiyo”. Vihiyo wetu na hatma ya Tanzania. Nimepata haki ya kuupata ukweli, makala hii inatimiza wajibu wa kuutoa!<br /><br />Vihiyo! Ni wakina nani? Kamusi niliyonayo hainipi tafsiri ya neno hili. Lakini kumbukumbu zinaniambia Mwaka 1996 aliyekuwa Mbunge wa jimbo la Temeke kupitia CCM Bw. Ramadhani Kihiyo, alibainika kughushi vyeti vya elimu, katika Mahakama Kuu ya Tanzania, mahakama ikatengua matokeo ya uchaguzi. Baada ya sakata hili kila aliyegushi vyeti akaitwa “Kihiyo”, wakati mwingine hata asiyesoma naye akaitwa “kihiyo”. Neno likashika kasi likazoeleka. Leo nikisema “Vihiyo” yatosha kueleweka kuwa ni wote wenye kujitambulisha kuwa na kiwango cha elimu wasichonacho. Hawa wako katika makundi mawili. Kundi la kwanza ni wale ambao wanaghushi vyeti kwa kuandika au kusema wamesoma chuo fulani kumbe hawajawahi kabisa kusoma katika chuo hicho. Hawa si sehemu ya makala hii. Hawa ni wajibu wa raia wema kuwataja, kutoa ushahidi na hatua zikachukuliwa. Hawa ni rahisi sana kwa vyombo vya dola kuwabaini. Kundi la pili ni vihiyo wanaotumia teknolojia. Wanatumia vyuo ambavyo vipo lakini havina hadhi ya vyuo. Ni mitambo kuzalisha vyeti. Hivyo wanashirikiana na vyuo hivi kughushi. Vyuo ambavyo havitambuliki kisheria, kimazingira wala kitaaluma. Hawa nawajadili katika makala hii. Kwa kuwa mkono wa dola unaweza kushindwa kuwabaini kama ukweli hautawekwa bayana.<br /><br />Ukweli kuhusu vihiyo wetu na hatma ya Tanzania naupata ughaibuni? Ndio!. Niko nje, lakini Teknolojia ya Habari na Mawasiliano(TEKNOHAMA) imefanya dunia kuwa kiganja. Upaswa kuwa mjanja tu kujua nini kinaendelea. Hivi karibuni nilitembelea tovuti na kukuta habari kwamba kuna kashfa ndani ya Bunge letu tukufu. Kwamba kuna sakata la baadhi ya wabunge kutuhumiwa kughushi vyeti. Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Bwana Samwel Sitta alizungumzia sakata la skendo linalowakabili wabunge wanaotuhumiwa kufoji vyeti vya elimu kuonyesha kitabu kimepanda kumbe siyo. Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano Bw. Samwel Sitta amekiri tuhuma hizo kuwepo lakini akasema suala zima hivi sasa liko mikononi mwa vyombo vya dola. Spika Sitta amesema baada ya kupata tuhuma hizo, aliyaripoti majina hayo kwa vyombo vya dola, ikiwemo polisi, kwa ajili ya uchunguzi zaidi. Hata hivyo, Bw.Sitta alitahadharisha kwamba idadi ya wabunge hao ni ndogo, hivyo jambo hilo lisikuzwe na kuonekana kana kwamba bunge lote ni linahusika. Aidha, Bw. Sitta alikataa kutaja majina ya wabunge hao, kwa madai kwamba bado ni watuhumiwa, na hatua yoyote ya kutaja majina yao inaweza kuvuruga uchunguzi. Aidha akasema hajaweka mipaka ya muda wa uchunguzi huo, ili kuvipa uhuru vyombo husika vifanye kazi kwa misingi ya maadili ya kazi zao. Aidha alipoulizwa ni hatua gani za kisheria ambazo watachukuliwa wabunge hao, iwapo watabainika kughushi vyeti vya elimu, Bw. Sitta akasema ni mapema kutaja hukumu hiyo. Lakini akasema ikishabainika hivyo, suala hilo litakuwa limegusa zaidi sheria za nchi kuliko hata Bunge. Amebainisha kwamba mbunge mmoja kati ya hao, alilalamikiwa zaidi na mtu ambaye alimshinda katika kinyang’anyiro cha uchaguzi mkuu mwaka jana. Habari nzito hii!<br /><br />Nikatafakari! Nikakumbuka kauli kauli nyingine, hii ilitolewa na Waziri wa Sayansi Teknolojia na Elimu ya Juu, Profesa Msolla, kwamba serikali itawashughulikia wote wenye vyeti vya kughushi.Nikimnukuu, "Kuna hili suala la mtu kuwa na fedha na kuuziwa digrii...anatakiwa kusema anahitaji cheti cha aina gani na kwa daraja gani kisha akiwasilisha hundi anatumiwa digrii yake. Watu wa aina hii lazima hatua zichukuliwe ili kuwabaini na tuwachukulie hatua," Hii aliitoa mwanzoni mwaka, katika mkutano wake wa kwanza kabisa na watendaji wa wizara yake. Miezi kadhaa imepita mpaka naondoka nyumbani sijamsikia tena Waziri akizungumzia suala hili. Pengine kauli ya Sitta ni fukuto la hekaheka za Profesa Msolla. Lakini nachelea kuamini hiyo kwa Spika ameweka bayana kwamba uamuzi wake wa kuchunguza umetokana na barua ambazo ameandikiwa na raia wema kuhusu suala hili. Nami nachukua fursa hii kama raia mwema kuchangia masuala kadhaa kwa uwazi kuhusu sakata hili.<br /><br />Baada ya shutuma hizi kwa waheshimiwa wabunge wetu, nikaamua kutembelea tovuti ya bunge letu tukufu kupata japo hisia za kashfa hii. Kitu kimoja kilinivuta kuwa mdadisi zaidi, nakuta karibu asilimia kumi ya wabunge wamepata shahada na wengine udaktari hivi karibuni. Hii ni habari njema kwa Taifa!. Kinachonivutia, wengi wamesoma katika vyuo vitatu vinavyofanana- Washington International University, Pacific Western University na Commonwealth Open University. Cha pekee zaidi wamehitimu na wengine udaktari kwa muda mfupi. Jina la chuo kimojawapo linavuta wasi wasi wangu zaidi kuliko mengine. Nalikumbuka hilo kwa kuwa mwanzoni mwa mwaka huu lilizua mjadala katika uchaguzi nchini Uingereza. Katika uchaguzi huo, mgombea wa Torries katika jimbo la Elmwood Transcorna, Bi. Linda West aliitwa “Kihiyo”. Alishambuliwa kwa kujiita Daktari wa Falsafa wakati hana hadhi hiyo na kwamba chuo unachokisema hakitambuliki. Yeye mwenyewe akaibuka na kukiri kuwa chuo hicho hakitambuliwi na mabaraza ya ithibati lakini kimempa shahada ya udaktari. Hivyo hajaghushi!<br /><br />Heeh! Kumbe wabunge wetu ambao wengine ni mawaziri na manaibu nao wamesoma kwenye chuo hicho. Napata shauku. Natandaa zaidi. Natembelea tovuti ya chuo chetu kikuu kimojawapo. Haah! Nakuta wahadhiri kadhaa wamepata shahada zao za udaktari katika vyuo hivi. Naendelea na udadisi zaidi. Mama yangu, nakuta rais mmojawapo katika eneo la maziwa makuu naye amepata shahada yake katika vyuo hivi. Nashusha pumzi!<br /><br />Naendelea naendelea na udadisi zaidi. Natembelea tovuti za vyuo hii. Nakuta mambo ya kuvutia. Vigezo vya kila mtu kuweza kupata shahada; moja, mbili, tatu-kiasi chako unachotaka kupata. Kadiri ya uwezo wako wa kutuma maombi, kulipa ada na kupeleka nyaraka wanazohitaji.<br /><br />Kimoja kinasema. Udaktari wa falsafa unaweza kupatikana kwa mwaka mmoja ilimradi mwanafunzi popote pale alipo awasilishe dhana(thesis) ya kuelezea ufahamu wake wa somo analotaka apewe udaktari. Kingine kinaeleza, “hatutasema katika shahada yako kwamba umechukua shahada yako kwa kujifunza ukiwa mbali(distance learning)”. Chuo kinajiuliza swali- “Vyeti wa chuo chenu ni halisi?Kina jibu chenyewe-Ndio, vimethibitishwa na mawakili(notary). Hiki kinajivunia kwa kutoa shahada ya udaktari kwa bei nafuu kabisa, dola elfu nne na ushee. Kingine kinajitangaza, “pata udaktari wa falsafa bila kukaa darasani”. Kimoja kimeandika kabisa, hakuna vigezo vyovyote(no entry requirement) kama uanataka kuingia shahada ya kwanza. Duh!, najiuliza kwa utaratibu huu kwa nini serikali isitoe ruzuku kidogo kwa kila mwananchi, watu wengi wakapata shahada za kutosha, wengine wakajiajiri, wengine wakaajiriwa katika nafasi zinazohitaji wataalamu na wengine wakasambazwa kote ulimwenguni kama wataalamu na kuijaza nchi mapesa ya kigeni? Ndio Mzee!<br /><br />Kwa hatua hii naamua kuachana na udadisi. Naamua kufanya uchunguzi wa haraka. Naanza na mtandao. Dunia ya utandawazi! Kwanza nakuta vyuo vyenye kutambulika na kuheshimika duniani shahada zinatolewa kwa miaka kadhaa, udaktari ndio usiseme!. Tena kwa gharama kubwa, hata vyuo vya Tanzania. Nakuta vyuo vimethibitishwa na mabaraza ya ithabati. Hata nyumbani Tanzania, chuo kikuu lazima kithibitishwe na baraza la Taifa la ithabati(National Accreditation Council). Na baadhi ya wahitimu toka nje ya nchi hupaswa kupeleka vyeti vyao kwenye baraza kama wametoka katika vyuo visivyozoeleka ili vyeti viweze kutambuliwa hadhi yake. Nakuta kimoja kimetoa onyo kwa maandishi madogo kwamba vyeti vyake havijathibitishwa na baraza la ithabati la nchi kilichomo. Nakuta kingine kinatamka kabisa kuwa vyeti vyake vinakubaliwa na baadhi ya waajiri lakini hakiwezi kukuhakikishia kuwa mwajiri wako atakubali cheti hicho. Maajabu!<br /><br />Naamua kufanya uchunguzi wa ziada. Niko Washington, na chuo kimojawapo kinaitwa Washington International University (WIU). Naamua kuzunguka. Nafika George Washington University. Wanakana kwamba sio wenyewe, na wanaweka wazi kuwa hakuna chuo kinachoitwa hivyo hapa katika mji mkuu wa Marekani. Naamua kwenda kwenye mamlaka zinazohusika na elimu-nakutana na ukweli unaosisimua. Chuo hiki hakitambuliwi na baraza lolote la ithabati, sio Marekani tu hata nchi nyingine kama Canada na Uingereza. Chuo hiki kimepigwa marufuku majimbo mbalimbali mathalani Hawaii na Oregon huku Marekani na nchini Australia. Chuo kina wahadhiri wawili tu wenye shahada za udaktari. Chuo hakina mazingira ya chuo(campus), kinafanyia kazi zake nje katika kakisiwa kadogo maeneo ya Carribean. Chuo hiki kilishtakiwa na kuhukumiwa Hawii kikaamua kufunga taasisi yake na kuhamishia ofisi yake Pennyslvania. Kwa uchambuzi wowote, chuo hiki ni kinu cha diploma(diploma mill). Ni chuo cha kutoa shahada ‘vihiyo’.<br /><br />Nikarejea na kuanza kutafakari kuhusu “vihiyo” na hatma ya Tanzania. Nini hatma ya mwanachuo anayefundishwa na mhadhiri kihiyo? Jibu liko kwenye sayansi ya kompyuta-GIGO(Garbage Inn, Garbage Out). Takataka Ikiingia, Takataka Itatoka!, Taifa la vihiyo. Taifa linapata hasara kiasi gani pale ambapo mishahara inalipwa kwa watu ambao viwango vyao haviwafanyi wastahili kulipwa mishahara wanayolipwa? Ikumbukwe kuwa baadhi ya mishahara inalipwa kulingana na kiwango cha elimu. Wananchi wa baadhi ya majimbo wanapata faida gani kwa kuongozwa na viongozi ambao hawakuwastahili? Naambiwa wapo waliojinadi katika kampeni kwamba wachaguliwe kwa kuwa wamesoma zaidi yaw engine, ya kwamba wana udaktari wa falsafa. Pengine hata kasi ya Rais wetu Kikwete inapunguzwa na mambo kama haya. Nakumbuka pamoja na kusema kwamba hakuwapanga mawaziri kutokana na taaluma zao kwa kuwa uwaziri hausomewi, JK amekuwa akisisitiza sana kwamba ana matumaini kubwa na safu yake kwani imejaa wasomi kuzidi yeye, tena wengine wana udaktari wa falsafa. Kubwa kuliko yote, inakuwaje pale ambapo wengine wanashahada kama hizi katika masuala yanayogusa uhai wa binadamu. Nakumbuka mjadala wa Bi. Linda West, kule uingereza ulikuwa mkali zaidi kwani kitaaluma alikuwa nesi na akajipatia udaktari wa falsafa katika utawala wa afya!. Tunaowakina Linda wangapi katika taasisi zetu nyeti?<br /><br />Kwa vyovyote haya maneno ni makali, yanaumiza na kuchoma roho na pengine hata kuniogopesha. Lakini tusionane maadui, hatma ya Taifa iko mashakani katika hili. Ni kama kwenda peponi, sote tunapenda kwenda hata sasa hivi. Lakini kwa nini tunaogopa kufa wakati ndio njia pekee ya kwenda peponi. Naamini waliosoma katika vyuo hivi wanapaswa kuwa wakwanza kujitokeza kupinga. Ama kama hanauona ukweli huu wawe wa kwanza kujitokeza kukiri tatizo hili kwa maslahi ya Taifa. Na kutangaza wazi kwamba pengine walitapeliwa na vyuo vya jamii hiyo. Na kuomba umma usiwaite tena kwamba ni madaktari au kwamba wasitambuliwa kuwa wanashahada za ngazi ambazo wamezipata katika vyuo vya jamii hii. Nilisema mwazoni. Ukweli utatufanya huru.<br /><br />Hili lisipofanyika mamlaka zinazohusika zichukue hatua. Naamini Profesa Msolla sasa umepata mahali pa ziada kwa kuanzia. Sikubalini na mheshimiwa Spika. Sio suala la vyombo vya dola. Ofisi yake kama mwajiri inawajibu wa kufanya uchunguzi wa ndani kabla na ikiwezekana kutoa taarifa kwa umma hata kabla ya kuwasilisha mashtaka kwa vyombo vya dola. Ofisi ya bunge inapaswa kuiitisha vyeti halisi vya wabunge, ikivitilia shaka ndio inaweza kuvitoa kwa vyombo vya dola. Lakini hii ni kwa vihiyo wa kundi la kwanza. Hili kundi la pili nililolitaja halihitaji hatua hii. Maana ni wazi vyeti wanavyo, tena vizuri sana. Vyenye nembo za kila namna. Hata ukiwasiliana na vyuo vya jamii hiyo watakwambia hawa ni walikuwa wanafunzi wetu. Wanao utaalamu wa kuwalinda wateja wao. Hapa ofisi ya spika ishirikiane na baraza la ithabati la Taifa(NAC). Tamko litolewe kama vyuo hivi viko katika orodha ya vyuo vilivyopitishwa. Kama hakuna serikali ifanye mchakato wa kuvipima kwamba kwa utaratibu wao huu niliotaja kama vinakidhi hadhi ya kuwa vyuo vikuu kama kama itathibitika ndio nitakuwa wa kwanza kuomba radhi kwa usumbufu wowote uliowapata wote waliosoma katika vyuo hivi na nitafuta makala yangu yote sentensi kwa sentensi na neno kwa neno. Lakini nitafanya hivyo kwa serikali ya nchi yetu pekee sitafanya hivyo kwa Marekani, Uingereza,Australia na nchi nyingine ambazo zimekataa kuvitambua vyeti toka katika vyuo vya jamii hiyo ambavyo viko vingi kote duniani. Mwanafalsafa, mwanafasihi na gwiji wa magwiji wa lugha ya Kiswahili hayati Shaaban Robert katika moja ya vitabu vyake aliwahi kunasihi hivi, ninamnukuu ‘’Msema kweli hukimbiwa na marafiki zake nikipatwa na ajali kama hiyo sitawaonea wivu wale wanaodumu na marafiki zao siku zote. Siwezi kuikana kweli kwa kuchelea upweke wa kitambo na kujinyima ushirika wa milele unaotarajiwa kutokea baada ya kushindwa kwa uongo’’. Maneno haya yawe chagizo kwako na kwangu wakati tukiendelea kutafakari kuhusu “Vihiyo” na hatma ya Tanzania.<br /><br /><br /><strong>Mwandishi wa makala hii ni Mkurugenzi wa Vijana CHADEMA kwa sasa yuko ziarani na anapatikana kupitia </strong><a href="mailto:mnyika@yahoo.com"><strong>mnyika@yahoo.com</strong></a><strong> na www.chadema.net/blogu/mnyika/</strong></div><div class="blogger-post-footer"><img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/13876107-114954977939665463?l=www.chadema.net%2Fblogu%2Fmnyika%2Findex.html'/></div>UDIhttp://www.blogger.com/profile/14745780769836030111noreply@blogger.com5tag:blogger.com,1999:blog-13876107.post-1149461628626840882006-06-05T01:52:00.000+03:002006-06-05T01:53:48.630+03:00<div align="justify"><br /><br /><strong>MNYIKA LEAVES FOR U.S.A VISIT<br /></strong><br /><br />The CHADEMA Director of Youth, Mr. John Mnyika is schedule to depart today for three-week visit to United States of America (USA) by invitation of the U.S. State Department. He is expected to participate in a study visit entitled “youth empowerment”.<br /><br />His visit is part of the prestigious International Visitor Leadership Program that is intended to facilitate personal and professional contacts between the people of United States and Tanzania.<br /><br />The goals of these visit are: to introduce the US system of democracy, the US political system and significance of political and civic engagement of young adults; to learn how American Youth obtain the skills to influence public policy at the local, state, national and international levels; and to explore the range of non governmental organizations involved in youth activities and encourage exchange of management and development strategies.<br /><br />Mr. Mnyika has been invited due to his engagement in diverse youth development programs in the country through various organizations particularly YouthNet Tanzania in which he is a member of its Youth Executive Committee. He has also been selected in this prestigious program to his outstanding contribution in youth activism in Tanzania and his leadership potentials.<br /><br />He will begin his visit in Washington, DC were he will participate in examining the role of federal government and non governmental organizations in supporting initiatives that promote youth leadership and visit Capitol Hill and Supreme Court. He will meet with officials of various political organizations including American Council for Young Political Leaders, Republican and Democratic National Committees.<br /><br />He will then visit Seattle were he will meet student leaders and participate in a retreat at the YMCA Camp Seymor to engage in variety of outdoor activities aimed at developing leadership skills and team building. Here in Tanzania Mr. Mnyika is a member of the National Executive Council of Young Men’s Christian Association(YMCA).<br /><br />Mr. Mnyika will travel to St. Louis, Missouri for another program that will include meetings with members of the Black Leadership Roundtable Education committee which works to address the academic gap among African-American youths. He will also meet with representatives from AIDS Resources for KIDS, a program which provides family-centered HIV/AIDS prevention services to young people.<br /><br />After this he will reconvene at Portland, Maine in which he is expected to interact with representatives of various organizations such as Citizens Leadership Fund and Lets Talk America. He will also meet with officials from Rising Tide, a non partisan group that provides training and development of future leaders between the ages of 16-35 who have demonstrated political and social commitment and aspire to develop their campaign, activist and lobbying skills. Mr. Mnyika is planning to share experience from his engagement at the age of 25 in 2005 General Elections as a parliamentarian candidate in Ubungo Constituency.<br /><br />He will then depart Portland with the group for the “Big Apple” where they will receive an introductory tour of the New York City that will provide an overview of the city’s rich history, demographic breakdown and its role as the economic capital of the United States. He will then participate in the guided tour of the United Nations. They will also meet with Youth Venture, a community organization that empowers young people to create and launch their own enterprises and encourages them to take greater responsibilities for their lives and communities.<br /><br />He is scheduled to from New York City on 23rd June, 2006 and attends a briefing session with staff of the Embassy of United States of America in Dar es Salaam Tanzania.<br /><br /><br /><strong>Issued on 29th May, 2006 by CHADEMA Youth Department<br /></strong> </div><div class="blogger-post-footer"><img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/13876107-114946162862684088?l=www.chadema.net%2Fblogu%2Fmnyika%2Findex.html'/></div>UDIhttp://www.blogger.com/profile/14745780769836030111noreply@blogger.com1tag:blogger.com,1999:blog-13876107.post-1149461562539596182006-06-05T01:51:00.000+03:002006-06-05T01:52:42.553+03:00MNYIKA AENDA ZIARA MAREKANI<br /><br /><br />Mkurugenzi wa Vijana, Bwana John Mnyika anatarajiwa kuondoka leo kwa ziara ya wiki tatu nchini Marekani kwa mwaliko wa Idara ya Ikulu ya nchi hiyo. Anatarajiwa kushiriki kwenda kwenye ziara ya kujifunza inayohusu “ Uwezeshaji wa Vijana”.<br /><br />Ziara yake ni sehemu ya mpango unaosifika wa Kiongozi Mgeni wa Kimataifa(International Visitor Leadership Program) ambao unawezesha mawasiliano ya kibinafsi na kitaaluma kati ya watu wa Marekani na Tanzania.<br /><br />Malengo ya ziara hii ni: kutambulisha mfumo wa demokrasia wa Marekani, mfumo wa kisiasa wa Marekani na umuhimu wa ushiriki wa vijana kwenye siasa na uraia; kujifunza jinsi vijana wa Marekani wanavyopata stadi za kuathiri sera za umma katika ngazi za chini, majimbo, kitaifa na kimataifa na kuchambua asasi zisizo za kiserikali zinazojihusisha na masuala la vijana na kuhamasisha ubadilishanaji wa mikakati ya kiutawala na kimaendeleo.<br /><br />Bwana Mnyika amealikwa kutokana na ushiriki wake katika mipango anuai ya maendeleo ya vijana nchini kupitia asasi mbalimbali hususani YouthNet Tanzania ambamo ni mjumbe wa kamati yake ya vijana. Amechaguliwa pia kutokana na mchango wake mkubwa katika harakati za vijana nchini na uwezo wake wa kiuongozi.<br /><br />Ataanza ziara Washington, DC ambapo atashiriki katika kutahini wajibu wa serikali ya majimbo na mashirika yasiyo ya kiserikali katika kuunga mkono jitihada za kuhamasisha uongozi wa vijana na kutembelea Capitol Hill pamoja na mahakama kuu. Atakutana na maafisa wa asasi mbalimbali za kisiasa ikiwemo Baraza la Viongozi Vijana wa Kisiasa Marekani na kamati za kitaifa za Republican na Democratic.<br /><br />Atatembelea Seattle ambapo atakutana na viongozi wa wanafunzi na kushiriki katika mafungo katika kambi ya YMCA ya Seymor ambayo yatahusisha shughuli za nje zenye shabaha ya kuendeleza stadi za uongozi na kufanya kazi kwa timu. Hapa Tanzania Bwana Mnyika ni mjumbe wa Baraza Kuu la chama cha vijana wa kiume wa kikristu Tanzania (YMCA).<br /><br />Bwana Mnyika atasafiri kwenda St. Louis, Missouri kwa programu nyingine ambayo itahusisha mkutano na wanachama wa kamati ya Uongozi wa Watu Weusi kuhusu Elimu ambayo inafanya kazi kuondoa ombwe la kitaaluma kati ya vijana wa Kimarekani wenye asili ya Kiafrika. Atakutana pia na wawakilishi wa programu ya Raslimali za UKIMWI kwa watoto(AIDS resource for KIDS) ambayo inatoa huduma za kukinga VVU/UKIMWI miongoni mwa vijana ambazo kitovu chake ni familia.<br /><br />Baada ya hapo atajumuika Portaland, Maine ambapo anatarajiwa kushirikiana na wawakilishi wa asasi mbalimbali mathalani Mfuko wa Uongozi wa Raia na Tuongee America. Atakutana pia na maafisa wa Rising Tide, kikundi kisicho na mrengo na chama chochote cha siasa kinachojihusisha na kutoa mafunzo na maendeleo kwa viongozi wa baadaye wa kati ya miaka 16 mpaka 35 ambao wameonyesha nia ya kisiasa na uthabiti wa kijamii na wana malengo ya kuendeleza stadi zao katika stadi za kampeni, harakati, na ushawishi. Bwana Mnyika amepanga kutoa uzoefu wa ushiriki wake katika uchaguzi Mkuu 2005 ambapo alikuwa mgombea Ubunge katika jimbo la Ubungo akiwa na miaka 25.<br /><br />Halafu ataondoka Portland pamoja na washiriki wengine kuelekea “Big Apple” ambapo watapata ziara ya utambulisho wa Jiji na New York ambayo itawapa picha kuhusu utajiri, historia, idadi ya watu na nafasi yake kama makao makuu ya kiuchumi ya Marekani. Atashiriki pia katika ziara ya kutembelea umoja wa Mataifa. Watakutana pia na Youth Venture ambayo ni taasisi ya kijamii inayowawezesha vijana kuunda na kuzindua miradi yao na kuwahamasisha kuchukua wajibu wa ziada wa maisha yao na ya jumuia.<br /><br />Mnyika anatarajiwa kurejea kutoka New York tarehe 23 June, 2006 na kufanya mkutano wa kutoa mrejesho kwa ofisa wa Ubalozi wa Marekani nchini.<br /><br />Imetolewa tarehe 29 Mei, 2006 na Idara ya Vijana CHADEMA.<div class="blogger-post-footer"><img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/13876107-114946156253959618?l=www.chadema.net%2Fblogu%2Fmnyika%2Findex.html'/></div>UDIhttp://www.blogger.com/profile/14745780769836030111noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-13876107.post-1149408031521708542006-06-04T10:58:00.000+03:002006-06-04T11:00:31.540+03:00<div align="justify"><strong>Waraka WA wazi WA Mnyika Kwa wakazi WA Jimbo la Ubungo Na Watanzania<br /><br /></strong>Mtanzania mwenzagu ama mkazi wa Jimbo la Ubungo. Asalaam aleykum! Amani iwe nawe! Leo nimekukumbuka. Nipo hapa Marekani, mjadala wa kuhusu ushiriki wa vijana katika uchaguzi umenifanya kumbukumbu zangu zirudi nyumbani. Makala hii naomba ifikishe kwako mang’amuzi yangu.<br /><br />Miezi mitano na siku kadhaa zimetimu tangu tuwe sote bega kwa bega kwenye safari za kampeni ya uchaguzi ulioisha desemba 14 mwaka jana. Ama ulikuwa nami kwa kuniunga mkono ama kunipinga. Yote sawa tu, cha msingi watanzania tulikuwa sote bega kwa bega katika uchaguzi “Siasa siyo Uadui”. Tulikuwa sote safarini tukiongozana kupita kwenye vichaka vyevye miiba, nyika za ukiwa na majangwa yenye kiu, tukiwa na dhamira moja tu ya kufika kwenye “nchi ya ahadi”. Mimi nilikuwa naaita safari ya kufikia “Kizazi Kipya, Maisha Mapya, Ubungo Mpya”, kauli mbiu niliyokuwa nikiitumia katika uchaguzi.<br /><br />Najua wengi hawakuridhishwa na kushindwa kwangu na mlihusisha kutoonekana kwangu na kushindwa kwangu. Na kama kawaida ya penye wengi, mengi yakasemwa na yanaendelea kusemwa. Lakini kama ilivyo ada, penye wengi hapaharibiki neno. Hakika, mlikuwa na kila sababu ya kufikiri yote hayo maana nimekuwa kimya kwa kipindi kirefu pasipo kuja kutoa shukurani kwako moja kwa moja na pasipo kueleza undani wa mambo. Zaidi ya shukrani nilizozitoa kupitia vyombo vya habari mara baada ya uchaguzi kumalizika. Na shukrani zingine nilizozitoa kupitia mkutano na waliokuwa wagombea udiwani niliouitisha mwanzoni mwa mwaka huu ambao ulilenga zaidi kufanya tathmini. Niseme toka awali kuwa hoja tulizozipata wakati ule nitazitumia zaidi leo kung’amua mwelekeo.<br /><br />Labda nikueleze sababu ambazo nimekuwa nikizitoa kwa wote walioniuliza kwa nini nilikuwa kimya. Mosi, nilikuwa nafanya tathmini-kujua ‘nitoke vipi’. Pili, nilikuwa nasubiri vikao vya kikatiba vya CHADEMA vitoe mwelekeo wa chama kwa ujumla-kama mjuavyo Baraza kuu la chama limekamilisha kazi hii mwanzoni mwa mwezi huu. Tatu; nilikuwa katika hatua za mwanzo za kesi, na masuala yakiwa mahakamani hususani katika hatua za awali si vyema kuyazungumzia. Nne, nilitaka kuwapa muda mbunge na madiwani walioko madarakani kuanza kazi yao, tayari sasa tunaweza kuanza kuwapima ufanisi wao.<br /><br />Baada ya kimya kirefu, leo mwana mpotevu nimekukumbuka!. ‘’Kimya kirefu kina mshindo mkuu’’ – nina masuala ya kukueleza. Upo msemo wa kiingereza usemao “Silence cannot be misquoted” ukimya hauwezi kunukuliwa vibaya. Ukimya wangu umeniepusha kuropoka na kunukuliwa vibaya maana si desturi ya wanasiasa wa CHADEMA kuropoka. Kimya kirefu kimetupa fursa mimi na chama changu kufanya tathimini ya kina juu ya mazingaombwe yaliyotokea kwenye uchaguzi mkuu ili kutoa maelezo yakinifu na ya kweli kwa watanzania maana si desturi ya wanasiasa wa CHADEMA kukurupuka.<br /><br />Kwa waraka huu naomba kukushukuru wewe mtanzania mwenzangu kwa kuniunga mkono kwa hali na mali hata kama ulinipinga-ulipa changamoto. Tulikubaliana kutokukubaliana.. Wapo walionipa kura, wapo walionichangia, wapo waliozunguka huko na huko kwa hiyari – kwa wote nasema ahsanteni sana. Nguvu yenu haijapotea bure, itabakia kuwa ni shinikizo kwa mbunge wa sasa kuwajibika ipasavyo. Mmechangia katika mchakato wa demokrasia na maendeleo si tu kwa jimbo la Ubungo bali taifa zima kwa ujumla. Nashukuru kampeni zangu ziliendeshwa kwa nguvu yenu ninyi wananchi kama ambavyo Nyerere na wengine walivyoendesha kampeni za kudai uhuru wa taifa hili. Ni washukuru tena kwa kuwa watulivu kwa kipindi chote tangu kwisha kwa uchaguzi licha ya kuamini kuwa hamkutendewa haki katika uchaguzi huo. Nawashukuru sana kwa hilo kwani si desturi ya CHADEMA kuchochea na kufanya vurugu. Desturi yetu imekuwa na itaendelea kuwa ushindani wa nguvu ya hoja na si hoja ya nguvu.<br /><br />Zaidi ya shukurani naomba sasa nichukue wasaa huu kueleza japo kwa muhtasari yale niliyojifunza na yaliyotokea kwenye uchaguzi wa jimbo la Ubungo na kudodosa japo kidogo mkakati na mustakabali wa chama chetu katika jimbo hili na taifa zima kwa ujumla.<br /><br />Natamka kuwa kugombea kwangu kumekuwa na mafanikio makubwa na kuna mengi ambayo wanasiasa wanaochipukia wanaweza kujifunza kutokana na kugombea kwangu. Funzo la msingi ni kwamba siasa na uongozi si haki ya tabaka fulani katika jamii ila ni wajibu wa watanzania wote wenye vipaji, fursa na uwezo wa kufanya hivyo. Fikira kuwa siasa ni ya watu wenye umri mkubwa peke yao, wakati wake umepita, haupo na wala hauji tena!. Kampeni zangu zimedhihirisha kuwa vijana ama wanasiasa wa kizazi kipya wanao uwezo kabisa wa kushika mamlaka katika nchi tena pasipo kutumia rushwa wala takrima. Pamoja na elimu duni ya uraia, bado watanzania wameonesha utimamu wa kung’amua sera na hoja na kupuuza matusi na malumbano. Pamoja na kupata kura elfu 45 na kutangazwa kushindwa ni ukweli usiopingika kuwa nilikubalika.<br /><br />Maandalizi ya mapema, wasifu wangu wa kuvutia, matumizi mazuri ya vyombo vya habari, kutumia siasa za sera dhidi ya siasa za matusi, kuhusisha wananchi katika kampeni na kuwa na kampeni yenye mkakati, ndivyo hasa vilivyonifanya nikubalike kwa haraka. Sina shaka kuwa umri wangu mdogo wa miaka 25 nao ulitia hamasa wananchi kuniunga mkono. Kukubalika kwangu kulikuwa dhahiri kwa wakazi wa Ubungo na hata nje ya Ubungo na wengi walitarajia kuwa ningeshinda lakini matokeo hayakuwa hivyo. Tulishindwaje?<br /><br />Mwanafalsafa, mwanafasihi na gwiji wa magwiji wa lugha ya Kiswahili hayati Shaaban Robert katika moja ya vitabu vyake aliwahi kunasihi hivi, ninamnukuu ‘’Msema kweli hukimbiwa na marafiki zake nikipatwa na ajali kama hiyo sitawaonea wivu wale wanaodumu na marafiki zao siku zote. Siwezi kuikana kweli kwa kuchelea upweke wa kitambo na kujinyima ushirika wa milele unaotarajiwa kutokea baada ya kushindwa kwa uongo’’. Ukweli ni kwamba, uchaguzi mkuu nchi zima kwa ujumla na kwa kiasi kikubwa jimbo la Ubungo haukuwa huru na haki.<br /><br /><br />Kimsingi, hujuma za kimfumo na kimkakati za chama tawala ndiyo hasa vilivyofanya uchaguzi kutokuwa huru na haki. Kabla ya uchaguzi wajumbe wa nyumba kumi waliandikisha kadi za wapiga kura kwa lengo la kuwakosesha kupiga kura wale walioelekea kupigia kura upinzani na pia kuweza kuwapa rushwa wengine ili kupigia CCM.Wananchi wengi walizuiwa kupiga kura licha ya kuwa na kadi kutokana na ama majina yao kutoonekana kwenye orodha au kuwa tofauti na kwenye daftari. Kulikuwa na kampeni za vitisho kwa wapiga kura hususani katika kata za vijijini. Wananchi wengi walihongwa kukipigia kura chama tawala – hii ni pamoja na wengi kujifanya hawajui kusoma na kuandika ingawa baadhi yao vitambulisho vyao vya kupigia kura vilionekana kuwa na saini. Kulikuwa na mapungufu kadhaa katika mpangilio na idadi ya vituo vya kupigia kura. Halikadhalika, kulikuwa na ukiukwaji mkubwa wa kanuni na sheria katika ujumlishaji wa kura za ubunge. Kwa kiasi kidogo mtandao hafifu wa chama katika maeneo machache na udhaifu wa baadhi ya mawakala navyo vilichangia kushindwa katika vituo vichache ambavyo visingeathiri matokeo kwa kiasi kikubwa kwa ujumla. Na mwisho matokeo ya ubunge jimbo la Ubungo yakatangazwa kwa shuruti bila kutangaza na kujumlisha kwa pamoja matokeo ya kituo hadi kituo hali iliyoashiria kuwa matokeo ya Ubunge yalikuwa na utata. Kutangaza huku kwa nguvu ilikuwa ni mkakati wa kutaka matokeo hayo yasihojiwe kama ilivyokuwa katika matokeo ya urais ambayo yalichelewa kutangazwa kutokana na kukutwa na mapungufu mengi. Kwa hali iliyodhihirisha wazi kuwa matokeo yalipikwa, waliopiga kura za Ubunge walikuwa 185,684 wakati waliopiga kura za Rais walikuwa 152,525 na hivyo kufanya tofauti ya kura za Ubunge na urais kufikia 33,159. Katika hali ya kawaida na katika uchaguzi uliofanyika kwa wakati mmoja ilikuwa ni vigumu kwa tofauti kubwa ya kura kiasi hiki. Na hata kama wananchi wangekuwa hawapendi kupiga kura za rais kwa kuwa mpiga kura alikuwa akipewa karatasi zote tatu kura hizi zilipaswa kuwepo katika kura zilizoharibika kitu ambacho hakikutokea.<br /><br />Baada ya uchaguzi wapo wanaofikiri kuwa upinzani umekufa na CHADEMA imekufa , wanajidanganya. Hayakuwa masihara tuliposema ‘’Hakuna kulala mpaka kieleweke’’ CHADEMA ingali hai na itaendelea kuwa hai zaidi ndani ya jimbo la Ubungo na nchi zima kwa ujumla. Naomba nithibitishe hilo kwa kudokeza kile kinachoendelea , mkakati wa chama katika jimbo letu na ngazi ya taifa.<br /><br />Ni uwendawazimu kuwa na chama cha siasa kisichoweza kutetea ushindi, CHADEMA sio chama cha namna hiyo.Baadhi ya wagombea ubunge tumefungua kesi katika majimbo kadhaa ambako hatukutendewa haki ikiwemo Ubungo. Nilifungua kesi namba moja Januari mwaka huu kutaka mahakama kuu ibatilishe matokeo ya jimbo la Ubungo na kutoa agizo la kurudiwa kwa uchaguzi huo. Kesi inasimamiwa na wakili mahiri Bwana Tundu Lissu. Katika hatua za awali ombi letu la kuomba kuondolewa dhamana ya milioni tano lilitupwa na kutokana na hili watu wengi wakapata hisia kuwa kesi imetupwa. Ukweli ni kuwa tulipaswa kutumia fursa kuwasilisha ombi la kuambiwa kuhusu kiasi cha kulipa kama dhamana. Na tulishawasilisha upya ombi la kujulishwa na hatimaye kufutiwa dhamana ya milioni 5 ili kesi ya msingi iendelee. Sasa tunasubiria ombi letu jipya liweze kusikilizwa. Naahidi kuwa nitawapigania katika kesi hii hadi mwisho na ninaomba wananchi wa jimbo la Ubungo muendelee kuwa wavumilivu kama mjuavyo, uzoefu unaonyesha kuwa kesi za uchaguzi huchukua muda mrefu wakati mwingine hata miaka kuweza kukamilika. Wakati kesi ikiendelea ni vyema mkatambua kuwa viongozi waliotangazwa ndio viongozi halali kwa mujibu wa sheria mpaka sheria hizo hizo ziamue vinginevyo. Hivyo rai yangu kwenu ni kuwa viongozi wa sasa wapewe ushirikiano unaostahili. Uchaguzi umekwisha sasa wazalendo wote tushirikiane kuleta demokrasia na maendeleo katika jimbo letu.<br /><br />Yapo mambo makuu matatu ambayo yanafanywa na mengine yanatarajiwa kufanywa na chama ngazi ya taifa. Mosi, hivi sasa chama kinaendesha mchakato wa kukusanya maoni nchi zima kuhusu katiba ya chama. Lengo la mchakato huu ni kuboresha mfumo wa chama ili kishindane kwa ufanisi zaidi. Mchakato huu wa maboresho ya katiba ya chama utafikia tamati mwezi Agosti kwenye mkutano mkuu wa chama.<br /><br />Pili, chama kinaandaa ziara za aliyekuwa mgombea raisi Mh. Freeman Mbowe kwa ajili ya kuwashukuru wananchi kwa kumuunga mkono kipindi chote cha kampeni na uchaguzi. Ziara hizo zitaanza katika ya mwaka huu.<br /><br />Tatu, baada ya mkutano mkuu wa Agosti, chama kitaanza mchakato wa kujenga mtandao wa chama kuanzia ngazi ya chini kabisa na huku kikipigania uwepo wa mfumo huru wa uchaguzi nchi zima. Wakati huo huo, chama ngazi zote kitaendelea kuwa chama mbadala na kutetea demokrasia na maendeleo kwa kuchochea uwajibikaji na sera mbadala.<br /><br />Wakati kesi ikiendelea, mwelekeo wa CHADEMA jimbo la Ubungo ni kujenga mtandao wa chama kwa kufungua matawi ya kutosha na kufanya uchaguzi wa viongozi ndani ya matawi, kata na jimbo. Kwa hivi sasa tayari chama kina ofisi ya jimbo inayotarajiwa kufunguliwa rasmi mwezi Julai. Mimi na waliokuwa wagombea wa udiwani tutaanza kutekeleza baadhi ya ahadi zinazowezekana licha ya kuwa nje ya madaraka. Ahadi ya kufungua ofisi ya jimbo tumeitekeleza, sasa tunasubiri tu kuizindua rasmi ianze kuwatumikia wananchi wa jimbo la Ubungo hususani pale viongozi waliopo wanaposhindwa kutekeleza wajibu wao. Na miezi michache iliyopita CHADEMA ilianza kuwatetea wakazi wa jimbo la Ubungo bungeni kupitia wabunge wetu hususani wa viti maalum walioko bungeni. Wameshawasilisha maswali kadhaa kuhusu barabara, mgogoro wa ardhi na maji. Mchakato huu wa kutetea wananchi tutaendelea nao.<br /><br />Tutahamasisha chama kutetea mfumo huru wa uchaguzi jimbo la Ubungo, kutoa elimu ya uraia na kufanya maandalizi ya mapema ya wagombea watarajiwa na mawakala. Jukumu la kila kiongozi wa CHADEMA jimbo la Ubungo sasa ni kuuelewa mpango mkakati wa chama jimbo la Ubungo, kuutafsiri katika eneo husika , kuutekeleza na kuueneza. Katika hili naomba ushirikiano wa dhati kutoka kwa wakazi wa jimbo la Ubungo na wananchi wote kwa ujumla.<br /><br />Kabla ya kuhitimisha waraka huu naomba nigusie mambo mengine mawili ambayo ni muhimu sana kwa mustakabali wa jimbo letu. Mosi, naomba ieleweke kuwa Tanzania katika ngazi ya Ubunge na uraisi, wananchi hawana nguvu ya mara moja ya kikatiba ya kuwaondoa viongozi madarakani pale inapobainika kuwa hawawajijibiki ipasavyo kwa wapiga kura wao. Fursa pekee ya mtanzania kumwondoa mbunge au raisi madarakani ni kwa kutompigia kura na fursa hiyo huwepo kila baada ya miaka mitano. Kwa ngazi ya serikali za mitaa, wananchi wanao uwezo wa kikatiba wa kumwondoa kiongozi asiyewajibika yaani ‘’Power of recall’’ hata kabla ya uchaguzi wa serikali za mitaa kufika. Kwa mfano iwapo wenyeviti wa serikali za mitaa watashindwa kufanya vikao vitatu mfululizo, wananchi mnaweza kuitisha mkutano wa mtaa kupitia kwa mkurugenzi wa manispaa na kuwaondoa viongozi wa serikali za mitaa na kufanya uchaguzi mwingine. Rai yangu kwa wakazi wa Ubungo ni tuitumie fursa hii kuwawajibisha viongozi wa serikali za mitaa ambao hawatimizi wajibu wao. CHADEMA jimbo la Ubungo tutalifuatilia hili kwa ukaribu zaidi. Sisi tunaamini kuna kero nyingi ndogo ndogo mathalani uchafu, matatizo ya kukosa ulinzi, kushindwa kutumia fursa za miradi ya wananchi ambazo chanzo chake ni ubovu katika ngazi ya chini zaidi ya kiuongozi ambayo iko karibu zaidi na wananchi-serikali za mitaa, vijiji na vitongoji.<br /><br />Pili, upo mfuko wa maendeleo ya jamii unaojulikana kwa kingereza ‘’Tanzania Social Action Fund (TASAF) ambao unatoa fedha kwa vikundi vidogo vidogo vyenye lengo la kufanya miradi mbalimbali ya kujikwamua kimaisha. Wapo wanaofikiri kuwa huu ni mfuko wa CCM, sivyo. Naomba ieleweke wazi kuwa fedha za TASAF si fedha za CCM bali ni msaada kutoka Benki ya Dunia (BD) kwa lengo la kuwakwamua kimaisha watu masikini. Kwa hiyo TASAF ipo kwa ajili ya watanzania wote pasipo kujali itikadi za vyama. Rai yangu kwenu wakazi wa Ubungo ni kutaka tuzichangamkie fedha hizi ili zitukomboe. Wananchi wanachotakiwa kufanya ni kujiunda kwenye vikundi vidogo vya watu watano watano, kuchukua na kuzipitia fomu za TASAF zinazotolewa na halmashauri, kubuni na kuandika mchanganua mzuri wa mradi wa kikundi husika, kujaza fomu za TASAF na kuzituma halmashauri huku mkiambatanisha na mchanganua wa mradi. Katika hili pia, CHADEMA jimbo la Ubungo tutatoa ushirikiano wa karibu na kutoa mwongozo kwa wananchi bila kujali itikadi waweze kutumia fursa hizi. Inawezekana, kila mmoja atimize wajibu wake, siasa siyo uadui. Wasalaam!<br /><br /><br /><br /><strong>John Mnyika ni Mkurugenzi wa Vijana Taifa aliyekuwa mgombea Ubunge kwa tiketi ya CHADEMA Jimbo la Ubungo katika Uchaguzi Mkuu mwaka jana. Anapatikana kupitia 0744 694 553 na mnyika@chadema.net<br /></strong><br /><br /><br /><br /> </div><div class="blogger-post-footer"><img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/13876107-114940803152170854?l=www.chadema.net%2Fblogu%2Fmnyika%2Findex.html'/></div>UDIhttp://www.blogger.com/profile/14745780769836030111noreply@blogger.com3tag:blogger.com,1999:blog-13876107.post-1149210652421002532006-06-02T04:05:00.000+03:002006-06-02T04:10:52.436+03:00<div align="justify"><br /><br /><br /><br />MAKALA: MBOWE AMEWEKA MBELE UZALENDO, KIKWETE ATEKELEZE<br /><br /> <br />Mei 27, 2006, Naibu Katibu mkuu UV-CCM bara aliupotosha umma wa watanzania kuhusu tathimini iliyotolewa na CHADEMA kuhusu siku 100 za Kikwete madarakani kama ilivyoripotiwa katika gazeti la Majira , toleo namba 4527 la Mei 29.<br /><br />Bwana Makala katika hotuba yake hiyo aliyoitoa wilayani Temeke, alidai kuwa “Mbowe alitoa kauli kuwa rais Kikwete amekuwa ni mtu wa kutoa ahadi, kuzunguka na kutokaa ofisini”. Makala alidai kuwa Kikwete anafanya hivyo kuonyesha kuwa anawajali wananchi na matatizo yao na ndio maana anazunguka ili ajue na kufanya utafiti na sio kukaa ofisini na kusubiri matatizo”<br /><br />Nimeamua kumjibu Makala kwa maslahi watanzania hususani vijana wenzangu wa nchi hii wakiwemo wale wa CCM ambao Bw-Makala amekuwa akizunguka wilaya kadhaa na kuwapotosha kila alikozunguka kwa kutumia ujumbe huu.<br /><br />Inavyoelekea Bw-Makala hakulielewa vyema tamko la CHADEMA kuhusu siku100 za Kikwete ama sivyo, ameamua kupotosha kwa kuwafanyia vijana wenzake na umma wa watanzania propaganda badala ya kuwaeleza ukweli.<br /><br />Katika tamko la CHADEMA,kipengele cha pili sehemu ya mafanikio,Mbowe alisema ”Serikali imerejesha matumaini ya kinadharia kwa wananchi.” Mh-Mbowe alimsifu rais Kikwete kwa kuonyesha kuwa karibu na wananchi na kwamba amevunja uzio uliojengwa na awamu ya tatu wa kutenga kwenye tabaka moja, viongozi wa serikali na CCM, wawekezaji na wafanya biashara wakubwa katika upande mmoja na wapinzani, waandishi wa habari, wakulima, wafanyakazi na wananchi masikini kwa upande mwingine.<br /><br />Kwamaneno mengine Mbowe hakumaanisha Kikwete asiwekaribu na wananchi kama Bwana Makala anavyotaka kuwasadikisha watanzania na hususani vijana wenzake wa UV-CCM. Hoja ya Mbowe si Kikwete kutokuwa karibu na wananchi bali Kikwete kushughulikia matatizo ya wananchi kwa kuipatia nchi uelekeo. Na kwa upande mwingine kuwa karibu na wananchi katika matukio ya muhimu na kuhimiza watendaji wengine nao kuwa karibu na wananchi.<br /><br />Mh rais amekuwa akizunguka huku na kule, mara leo yupo gerezani, kesho sokoni keshokutwa Muhimbili lakini kote huko hakuna matokeo ya kutosha yanayoonekana, hakuna kinachobadilika na katika baadhi ya maeneo hali imezidi kuwa mbaya..<br /><br />Kikwete anayafahamu vizuri matatizo ya watanzania. Hii ndio hoja ambayo CCM ilikuwa ikiisema wakati wa kampeni na kujivunia kwamba tayari alishakuwepo katika utawala kwa muda mrefu hivyo anafahamu hali halisi ya watanzania. Vipi leo Makala atake Kikwete apite kuyafahamu matatizo ya wananchi? Hoja ya Makala kuwa rais anawatembelea wananchi ili kufanya utafiti haina msingi kwani matatizo ya watanzania yapo wazi, na kama itabidi utafiti ufanyike , hauwezi kufanywa na rais tena kwa kuzunguka sokoni na hospitalini. Serikali inatumia mabilioni ya pesa kudhamini tafiti mbalimbali, Sasa kama Bwana Makala anasema rais anapita sokoni ili kufanya utafiti kuna sababu gani ya kutumia mabilioni ya walipa kodi masikini wanaokufa kwa njaa kugharamia tafiti za umasikini?<br /><br />Katika mifumo ya utawala kuna mfumo wanaita ‘Management by Walking Around’ambapo kipimo ni namna kiongozi anaweza kuzungukia na kukagua, na pili kuna “Management by Results or Objectives” ambapo matokeo na malengo ndio kigezo cha kupima mafanikio ya utawala. Sasa tunajiuliza Mh rais ameamua kutumia staili ipi?na Je watanzania wanataka staili ipi?, wanataka kutembelewa pekee au matokeo ya ufumbuzi wa matatizo yao?<br /><br />Kimsingi hakuna maana yoyote rais kwa kutembelea masoko kwa madai ya kujionea hali halisi ya bei zilivyopanda halafu hakuna kitu kinachobadilika baada ya hapo.Wala hakuna maana yoyote rais kutembelea hospitali anakuta wagonjwa wanalala sakafuni halafu baada ya hapo hakuna kinachoendelea.Wagonjwa hawawezi kupona kwa kutembelewa na rais,wala bei haziewezi kushuka kwa sababu rais katembelea soko. Wagonjwa wanapata huduma bora na bei zinashuka kwa maamuzi ya kisera na kimwelekeo.<br /><br />Na kwa upande mwingine wapo wanaolalamika kuwa inaonekana wazi kuwa sasa Mh rais anafanya kazi zisikuwa zake, rais hawezi kuzunguka kila sehemu na kukutana na kila mwenye matatizo, na hii ndio sababu ukawepo uongozi katika kila ngazi. Rais kama kiongozi wa juu anapaswa kuwapanga viongozi na watendaji wake vizuri ili waweze kutekeleza majukunmu yao. Ndio maana tunaamini kwamba wakati umefika wa Rais kuwaongoza watendaji wengine na wao wawaongoze watendaji wa chini yao mpaka tufike wakati ambapo hata mwenyekiti wa kijiji au mtaa anatembelea wananchi na kutatua kero zao.<br /><br />Hali ya sasa inaonekana wazi kuwa rais anawaacha askari wake wa miamvuli tena kwa mbali kabisa, haya ni mapungufu na kikwazo kwa ufanisi kwani rais kama kiongozi hawezi kuwafikia wananchi wote wenye matatizo , lakini viongozi wakipangwa vizuri wanaweza kuwafikia wananchi wote wenye matatizo. Hivyo Mbowe alichofanya ni kuwa mpinzani anayejali maslahi kwa taifa kwa kumkosoa Raisi kuboresha utendaji kwa manufaa ya watanzania wote bila kujali itikadi.<br /> <br />Kwa upande mwingine sababu ya Mbowe kumshukia Kikwete aache kuendelea kuahidi kumetokana na ukweli kuwa wakati wa kampeni CCM ndio chama kilichoongoza kwa ahadi nyingi,lakini cha kushangaza hata baada ya uchaguzi Mh rais ameendelea kutoa ahadi zaidi huku baadhi ya ahadi alizotoa tayari muda wake umepita na bado hazijatekelezwa<br /><br />Mifano ya ahadi ambazo alizitoa na tayari muda wake umepita ni mingi,Agosti 26,2005 Mh rais aliahidi kuwa barabara ya Masasi-Songea kupitia Tunduru itakuwa imemalizika ifikapo Nov 2005, miezi miwili baada ya uchaguzi, leo hii ni miezi takribani sita bado ahadi haijatekelezwa kikamilifu.<br /><br />Januauri 18,2006 alimugiza waziri wa kilimo kuhakikisha kuwa hakuna mtu anaye kufa kwa njaa, hadi sasa wananchi ni mashahidi, Januari28 iliripotiwa kuwa Mkoa wa Tabora pekee watu saba walikufa kwa kukosa chakula.<br /><br />Huku Mkuu wa wilaya ya Kishapu Shinyanga akitangaza kuwa wananchi wa wilaya yake walianza kula nyasi baada ya kukosa chakula.<br /><br />Mh rais aliahidi kuwa serikali itaanza kujenga kiwanda cha mbolea mwaka huu,hadi sasa bado haijaeleweka hata ni wapi kiwanda hicho kitajengwa na sasa tunaelekea katikati ya mwaka.<br /><br />Wakati akizitembelea wizara, Mh rais alidai kuwa anasikitishwa na viongozi kutembelea mashangingi huku wananchi wanakula mlo mmoja. Sasa tunashangaa katika muda mfupi tayari serikali yake imeidhinisha mkopa wa mil 40/= kwa kila Mbunge huku wananchi wanaendelea kula mlo mmoja na hata wengine kukosa kabisa. Inasikitisha Mh rais kutenga mabilioni ya shilingi kwa mashangingi ya wabunge lakini anakataa serikali kupoteza fedha kwa kupunguza kodi ya mafuta ili bei ishuke,nauli zipungue,wananchi wapate ahueni.<br /><br />Hoja ya Mbowe si kumuhukumu Kikwete katika muda huu ambao kimsingi bado ni mapema,hoja ya Mbowe ni kumuasa Mh rais kuendelea kuporomosha ahadi. Hii ni hoja ya kizalendo inayopaswa kuungwa mkono.<br /><br />Huu ndio ukweli ambao umekuwa ukisisitizwa na vyombo vya habari makini likiwemo gazeti la Mwananchi. Tunakubali kuwa ipo haja ya kumpa muda Mh-Jk kutekeleza ahadi lakini si kutoa ahadi. Kiongozi mmoja maarufu aliwahi kuwaambia wananchi wake kuwa kuahidi kufanya kila jambo ni kuwajengea wananchi matumaini ya upofu,na huko ndiko tunapo elekea. Sidhani kama Makala angependa tuelekee huko. Ukimya wa Kikwete kujibu tamko la Mbowe pengine ni ishara kuwa ameona mantiki ya ushauri aliopewa.<br /><br />Hadi sasa haileweki ni mambo gani nchi imeamua kuyasimamia kama vipaumbele, hakuna muelekeo wa kisera na itikadi,haieleweki nchi inaongozwa kwa kutumia sera za upinzani kama ambavyo ameanza kuchomoa baadhi ya sera za upinzani(ingawa si kosa na CHADEMA iliipongeza serikali kwa kufanya hivyo kwani matokeo ya utekelezaji ni kwa maslahi ya watanzania wote bila kujali mrengo), au nchi inaongozwa kwa ilani ya CCM au maelekezo aliyoyatoa kwenye semina elekezi ya ya Ngurdoto au nini hasa tumeamua kufuata kama muongozo. Inapaswa kuwa bayana kwa kila mdau kama tunaongozwa kwa MKUKUTA au mwelekeo gani ili wadau wote waweze kuunga mkono jitihada za pamoja. Na katika hili kuna haja ya kuzingatia ushauri wa Mbowe na CHADEMA wa kuchagua sekta kipaumbele ambazo kuendelea kwake kutaboresha na sekta zingine.<br /><br />Upungufu wa Mh-rais kutotulia na kuweka mambo sawa sote tumeiona, kwa muda mfupi tangu aingie madarakani amekuwa akitofautiana na hata Mawaziri wake kuhusu muelekeo wa masuala ya msingi kabisa mathalani wakati Mh-rais alitangaza kuwa bei ya umeme isingepanda na kwamba lazima TANESCO ihakikishe kuwa bei inashuka, muda mfupi baadae waziri wake wa fedha anakanusha na kwamba bei ya umeme lazima ipande. Wakati Mh rais akiutangazia umma kuwa anawafahamu wala rushwa kwa majina, waziri Marmo alimpinga bungeni kwa kusema serikali haina ushahidi wa msingi kuhusu majina ya wala rushwa.<br /><br />Kimsingi kila kiongozi na vyake, ndio maana hatukushangaa pale rais alipotembelea daraja ambapo kimsingi waziri wa miundo mbinu aliwajibika kuwepo lakini baada ya kuhojiwa kulikoni hakuwepo aliwajibu kwa kujiamini kabisa,”sikuwepo kwasababu sikuwa na taarifa” . Mramba alinukuliwa na vyombo vya habari akilalamikia kutokuwepo kwa taarifa<br /><br />Ndio maana nasisitiza kauli ya Mwenyekiti Freeman-Mbowe kuwa Mh rais akae ikulu ipatie “Nchi visheni, tofauti na hapo atakuwa hapingani na kauli yake kuwa nchi haiwezi kuendeshwa kwa misheni town.”<br /><br /><strong><a href="mailto:mnyika@chadema.net">mnyika@chadema.net</a>, mnyika@yahoo.com , 0744 694 553<br /></strong><br /> </div><div class="blogger-post-footer"><img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/13876107-114921065242100253?l=www.chadema.net%2Fblogu%2Fmnyika%2Findex.html'/></div>UDIhttp://www.blogger.com/profile/14745780769836030111noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-13876107.post-1147453135826386612006-05-12T19:56:00.000+03:002006-05-12T19:58:55.846+03:00HOTUBA YA UFUNGUZI WA MKUTANO WA VIJANA WA SEKTA MBALIMBALI KUKUSANYA MAONI YA RASIMU YA MWONGOZO WA BARAZA LA VIJANA WA CHADEMA ILIYOTOLEWA NA MKURUGENZI WA VIJANA-JOHN MNYIKA KATIKA UWANJA WA MAKAO MAKUU YA CHAMA KINONDONI-DAR ES SALAAM<br />JUMAPILI 23 APRILI,2006<br /><br />Waheshimiwa vijana wenzangu wa sekta mbalimbali,<br />Waheshimiwa wanachadema wenzangu,<br />Waheshimiwa wanahabari,<br />Waheshimiwa wageni waalikwa,mabibi na mabwana<br /><br />Heshima yenu wote!<br /><br />Wengine mtajiuliza ni vipi nimekuwa mtovu wa itifaki katika kulitumia neno “waheshimiwa”. Mimi imani yangu ni kama ile iliyo katika katiba ya nchi yetu kwamba kila mtu anastahili heshima. Sasa kwa kiswahili rahisi yoyote yule anayestahili heshima basi ni mheshimiwa. Sisi wote ni waheshimiwa.<br /><br />Naomba nianze kwa kuwakaribisha na kuwashukuru kwa kuitikia kwenu mwetu wetu. Ninazo sababu mbili kubwa za kuwashukuru:<br /><br />Mosi kwa uamuzi wenu kwa kuacha mapumziko na kuja kufanya kazi ya kujitolea. Kwa wengi jumapili ni siku ya mapumziko wakati mwingine huonekana hata kufanya kazi siku hii ni dhambi. Lakini Nabii Isa amefafanua vizuri-yu wapi ambaye mfugo wake ukiingia shimboni siku ya mapumziko ataacha kuutoa eti kwa kuwa anapaswa kupumzika?Kadhalika vijana wa CHADEMA leo tumewaiteni, nawashukuru kwa kuja kutusadia hii kazi iliyo mbele yetu.<br /><br />Pili kwa kuitika mwito wa toka kwa vijana wa CHADEMA-chama cha upinzani. Katika jamii ya Tanzania ambapo mfumo huu wa vyama vingi bado ni mgeni na pengine kuna nguvu za utawala zinazouminya ni wazi kuwa upinzani kunaonekana kuwa jambo gumu na la hatari. Wakati mwingine watu wanaweza kukunyanyapaa kwa kuwa tu uko upinzani. Lakini nyinyi mmekubali mwito wetu kuja kutusikiliza na kutoa maoni yenu. Niwapongeze kwa kukomaa kisiasa. Siasa si uadui. Na nafurahi sasa kuna viongozi wa serekali wamenza kulitambua hili, kwamba kila mtu ana haki na uhuru wa kuwa katika chama anachokitaka na wananchi wana haki ya kuchagua chama wanachokitaka ama mwakilishi wampendae. Raisi Kikwete alisisitiza kauli hii hivi karibuni, mwito huu unapaswa kuitikiwa na wote wanaopenda demokrasia na maendeleo.<br /><br />Ndugu washiriki:<br /><br />Wajibu wangu hivi sasa ni mdogo tu, kufungua rasmi mkutano huu kama mwenyeji wenu. Huu ni wajibu wa sekunde chache. Lakini kabla sijautekeleza naomba kwa ruhusa yenu mniruhusu niseme maneno mawili matatu kwani fursa si mara kwa mara zinapatikana fursa kama hii ya kukutana na wadau mbalimbali wa vijana.<br /><br />Leo tumewaalika ninyi vijana wa sekta mbalimbali baadhi yenu ni wanachadema na wengi wenu si wanachadema mje mtupe maoni yenu kuhusu rasimu ya mwongozo wa Baraza la Vijana wa CHADEMA. Hapa mpo vijana wenye ulemavu,mpo vijana wafanya biashara ndogo ndogo, mpo vijana wa vyuo vikuu, mpo vijana wa sekondari, mpo vijana wa Asasi Zisizo za Kiserekali, mpo vijana wa Jumuia za kidini, mpo vijana wa utamaduni nakadhalika.<br /><br />Labda wengine mtajiuliza ni kwanini moja kwa moja tumeamua kuanza na vijana wa sekta mbalimbali. Kwa nini hatukuamua kujifungia na vijana wa CHADEMA kuandaa mwongozo na kuupitisha. CHADEMA tunaamini katika itikadi ya nguvu ya umma kwamba umma wa watanzania ndio unahaki ya kuamua kuhusu hatma ya nchi yao ikiwemo kufurahia matunda yake. Kadhalika, umma wa vijana una haki ya kuamua hatma ya baraza la vijana wa CHADEMA tuliloamua kuliunda. Chama cha siasa ni mali ya umma. Vyama vya upinzani ni mali ya umma. Vyama cha upinzani ni serekali inayosubiri kwa kiingereza wanasema “a government in waiting”. Hivyo kwa kuwa iko siku chama kitaingia madarakani na hivyo kutoa mwelekeo wa watanzania wote ni lazima tangu mwanzo kiruhusu ushiriki mpana. Tunawashukuru kwamba mmekubali kuja kuchangia maoni yenu kama sehemu ya kutekeleza lengo hili.<br /><br />Ndugu washiriki:<br /><br />Nyinyi ni wataalam na wazoefu wa masuala ya vijana katika sekta zenu. Wito wangu kwenu ni kutusaidia kwa kutoa maoni yenu ili kuboresha uundwaji wa baraza la vijana wa CHADEMA. Lengo letu ni kuhakikisha kuwa malengo, muundo na masuala mengine kuhusu baraza la vijana wa CHADEMA vinazingatia matakwa ya vijana wa sekta mbalimbali na vigezo vya ushiriki wa vijana wenye kuleta ufanisi.<br /><br />Lakini kwa kuwaita ninyi kutoa maoni haimaanishi kwamba tumewanyang’anya wajibu wao wa kikatiba vijana wa CHADEMA hususani vijijini. Baada ya mkutano huu tutasambaza rasimu hii katika wilaya zote nchini na kuwahimiza viongozi wetu katika ngazi hizo kukusanya maoni ya ngazi za chini zaidi na hatimaye kuyawasilisha makao makuu ya chama.<br /><br />Kwa upande mwingine kwa kuwa sisi vijana ni “kizazi za TEKNOHAMA”, tutaitumia fursa hii vizuri. Tunawataarifu vijana wote na wadau wengine kwamba mnaweza kutembele tovuti ya chama <a href="http://www.chadema.net/">www.chadema.net</a> na kuchangia maoni au kuyatuma moja kwa moja kwa anuani pepe <a href="mailto:vijana@chadema.net">vijana@chadema.net</a>.<br /><br />Mwishowe kabla ya mkutano mkuu wa chama unaotarajiwa kufanyika mwezi wa nane tutaitisha mkutano wa kitaifa wa vijana wa CHADEMA ambao utapitisha rasimu iliyochanganya maoni yatakayokusanywa kabla ya kuthibitishwa na vikao vya juu vya chama.<br /><br />Ndugu washiriki:<br /><br />Labda pia nidokeze mambo machache ambayo ni vyema mkayatafakari wakati mnatakapotoa maoni yenu. Uamuzi wa kuunda Baraza la Vijana wa CHADEMA(BAVICHA) ni sehemu ya utekelezaji wa sera ya vijana ya CHADEMA. Ni sehemu ya mwendelezo wa jitihada za chama za kutoa fursa kwa vijana kama chama mbadala kinachotambua mchango wa kizazi kipya katika kuchochea demokrasia na maendeleo. Uamuzi huu unalenga pia kutekeleza sera za kimataifa kuhusu vijana mathalani Mkakati wa vijana wa Dakar na Mpango wa vijana wa dunia kuanzia mwaka 2000 na kuendelea. Kwa upande mwingine msukumo ziada wa kuunda baraza la vijana kutokana na uzoefu wetu hususani katika uchaguzi mkuu 2005 kama vijana wa CHADEMA wa haja ya kuwa na chombo kipana zaidi cha kutuunganisha pamoja. Lakini pamoja na nia njema ya uhuru na kujitegemea mhakikishe kuwa maoni hayatupeleki kuwa na “chama ndani ya chama”.<br /><br />Pamoja na malengo na majukumu ya kisiasa ambayo naamini hamtayasahau kwa kuwa hili ni baraza la chama cha siasa ni vyema maoni yenu yakawezesha baraza la vijana litakaloundwa kuwa na wajibu wa kutetea maendeleo ya vijana ikiwemo kuwasadia vijana wenye matatizo, kuunga mkono harakati makini za vijana na kushirikiana na vijana wa sekta mbalimbali. Wajibu huu ni muhimu sana hususani katika wakati wa sasa ambapo jumuia nyingi za vijana zipo kimya kutetea maslahi ya vijana na kuwahamasisha kutimiza wajibu wao. Pia baraza liweze kuwahamasisha vijana wa CHADEMA kushiriki shughuli za kisiasa na kijamii ikiwemo kuhamasisha vijana kujiunga katika vikundi vya michezo/kiuchumi na kudhibiti madawa la kulevya na UKIMWIVVU.<br /><br />Ndugu washiriki:<br /><br />Ni imani yangu uamuzi wa kuunda baraza la vijana wa CHADEMA utatoa changamoto kwa serekali kuharakisha mchakato wa uundwaji wa Baraza la Vijana la Taifa.(BAVITA). Mtakumbuka kuwa toka mwaka 1998 vijana wa sekta mbalimbali tumekuwa tukitaka kuundwe baraza huru la vijana la Taifa. Leo miaka nane imepita baraza limeendelea kuwa ahadi. Sisi vijana wa CHADEMA tunaunga mkono uanzishwaji wa baraza la vijana la Taifa ambalo litaunganisha vijana wote wa Tanzania bila kujali itikadi. Umoja ambao uliwekewa ufa baada ya kuanza kwa mfumo wa vyama vingi na hivyo umoja wa vijana wa chama tawala kupoteza uhalali wa kuwa kiungo na kiwakikilishi cha vijana wote. Lakini katika mchakato huu lazima ukamilishwe kwa kuzingatia matakwa ya vijana. Kuna mambo kadhaa yanayopaswa kujadiliwa kuhusu mchakato huu lakini leo si mahali pake. Ila kwa vyovyote vile baraza la lazima liwe na uanachama mpana na wa aina mbalimbali utakaowakilisha maslahi ya vijana wa sekta mbalimbali. Kwa upande mwingine pamoja na kupata ruzuku serekalini kama ilivyo katika nchi nyingine ni vyema baraza likawa na uwezo wa kupata raslimali toka kwa wanachama wake na wadau wengine ili kuliepusha kupoteza uhuru wake kutokana na utegemezi. Kwa upande mwingine viongozi ni vyema wakatokana na vijana wenyewe kupitia mchakato wa kidemokrasia na watendaji wapatikane kupitia mfumo wa wazi wenye ushindani.<br /><br />Ndugu washiriki:<br /><br />Ninyi ni vijana toka sekta mbalimbali. Nadhani ni vyema nikawaeleza haya leo ili mtusadie katika kuleta mabadiliko ya kweli. Nakumbuka nilitembelea Accra-Ghana niliona sanamu ya Hayati Nkurumah chini yake palikuwa na nukuu yake, “Utafuteni ufalme wa siasa na yote mtaongezewa”. Siku elewa kwa kina ujumbe nyuma ya maneno hayo kwa wakati huo. Lakini nilipotafakari baada ya miaka kadhaa nilipata mang’amuzi mbalimbali ambayo leo nisingependa kuchukua muda kuyaelezea. Pengine niwape mifano kutoka katika uchaguzi mkuu 2005 labda nitaeleweka zaidi. Kabla ya uchaguzi huo vijana walikuwa wakiitwa taifa la kesho-lakini vijana walipoelekea kuutafuta ufalme wa siasa ama kwa kugombea au kwa kuunga mkono wagombea hali ilibadilika. Vijana wakaonekana watu wa muhimu kweli, wakaanza kuongezewa yote. Ghafla ajenda za ujana na ujana vikatawala katika uchaguzi, kizazi kipya kikaonekana ni funguo za kuelekea utawala. Kila mtu akapenda kuwa kijana. Ahadi zikatolewa kwa vijana kubwa zaidi ikawa ile ya ajira. Sasa uchaguzi umekisha, vijana waanze kuzitumia fursa zinazojitokeza na kutengeneza fursa za kujiendeleza kijamii na kiuchumi. Lakini narudia tena maneno ya Nkuruma, endeleeni kuutafuta ufalme wa siasa na yote mtaongezewa hii ni pamoja na kufuatilia ahadi zilizotolewa. Wapo vijana waliopata nafasi za kuwakilisha katika bunge, halmashauri na asasi nyinginezo-nyinyi mmeongezewa. Ni zamu yenu sasa kuwaongezea vijana wengine. Lakini idadi yao ni ndogo. Nambari yao inadhihirisha kwamba pamoja na hamasa kuhusu vijana na ujana zilizokuwepo katika uchaguzi uliopita vijana bado wanalitumika kama wapiga debe tu. Hivyo ninyi mnao wajibu wa kuibadili hali hii. Niwape mfano hai, katika bunge letu lenye wabunge 324 wabunge walio chini ya miaka 30 wako watano tu. Hii ni sawa na asilimia moja na nukta kadhaa tu. Haya ni matusi kwa demokrasia. Demokrasia ni utawala watu kwa ajili ya watu, iweje watanzania wenye umri chini ya miaka 30 ambao ni asilimia takribani 60 ya watanzania wote wakawakilishwa kwenye chombo kikuu cha maamuzi ya nchi kwa asilimia moja? Vijana bado tunasafari ndefu, nawaombeni vijana wa sekta mbalimbali twendeni sote tuimalize hiyo safari. Tunahitaji matanuru ya kuoka kuoka viongozi vijana-Baraza la vijana wa CHADEMA litakuwa ni tanuru mojawapo.<br /><br />Hii itakayowasilishwa hapa ni rasimu sifuri ama kwa kimombo Zero draft, hivyo mko huru kuichambua na hata ‘kuichanachana’ kama ikibidi. Natangaza kuwa mkutano huu wa kukusanya maoni ya vijana wa sekta mbalimbali kuhusu rasimu ya baraza la vijana wa CHADEMA umefunguliwa rasmi na mchakato wa kupokea maoni ya vijana na wadau mbalimbali kuhusu BAVICHA umezinduliwa rasmi.<br /><br />Mbarikiwe kwa kunisikiliza<div class="blogger-post-footer"><img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/13876107-114745313582638661?l=www.chadema.net%2Fblogu%2Fmnyika%2Findex.html'/></div>UDIhttp://www.blogger.com/profile/14745780769836030111noreply@blogger.com1